الشعارات العنصرية لحزب الثورة (مترجم)
الشعارات العنصرية لحزب الثورة (مترجم)

الخبر:   ذكرت وسائل الإعلام في تنزانيا أن بعض أنصار حزب الثورة قاموا برفع شعارات ولافتات عنصرية أثناء احتجاج عبر البلاد وسط الاحتفالات بثورة زنجبار التي بدأت في 12 كانون الثاني/يناير عام 2016. وقد حدث هذا في حضور رئيس زنجبار علي محمد شين ونائبة رئيس الاتحاد سميحة سولوحو حسن.

0:00 0:00
Speed:
January 17, 2016

الشعارات العنصرية لحزب الثورة (مترجم)

17 1 2016

الشعارات العنصرية لحزب الثورة

(مترجم)

الخبر:

ذكرت وسائل الإعلام في تنزانيا أن بعض أنصار حزب الثورة قاموا برفع شعارات ولافتات عنصرية أثناء احتجاج عبر البلاد وسط الاحتفالات بثورة زنجبار التي بدأت في 12 كانون الثاني/يناير عام 2016. وقد حدث هذا في حضور رئيس زنجبار علي محمد شين ونائبة رئيس الاتحاد سميحة سولوحو حسن.

التعليق:

الكراهية والتمييز العنصري في زنجبار قد يكونان أسوأ إرث تاريخي زرعه الإنجليز لتدمير حياة المسلمين ولاتخاذه وسيلة لاستبدال الوسائل الأخرى بعد أن ضاق الناس ذرعًا من السلطنة. وما زال السياسيون وخاصة الحزب الحاكم ينشرون الكراهية لتحقيق أهدافهم السياسية. وعلى الرغم من امتلاك حزب الثورة لعدد كبير من الأعضاء، إلا أنه يضم مؤيدين وبعض كبار المسؤولين من خلفيات عرقية مختلفة. والشعارات المكتوبة على اللافتات هي: "الناس من أعراق مختلطة في الحزب (الحزب الوطني تأسس قبل الثورة) تجعلك تعلم أن زنجبار تعود إلى السكان السود".

وحتى لو أدان حزب الثورة بشكل عاجل هذه الرسائل، وسارع باعتذار علني ووعد بإجراء تأديبي ضد ما أطلق عليه "الأعمال المشينة". إلا أن الجميع يعرف على وجه اليقين أن هذا ما هو إلا مجرد شعارات لا تتعدى أفواههم وهو ذر للرماد في العيون. فهل يعلم حزب الثورة نفسه أن أساس ثورة زنجبار قد بني على أفكار عنصرية وبتحريض من بريطانيا، وأنه يتم الحرص على بقائها بشدة وبشكل عنيف، بعد الثورة وحتى الآن؟ فمن خلال استغلال ونشر هذه النعرات القومية الخطرة، فقد تم الزج بزنجبار في دوامة الفوضى، وأدى ذلك إلى مقتل الآلاف من الأبرياء وسرقة ممتلكاتهم وامتهان كرامتهم على يد من يسمون أنفسهم بالثوار ومؤيديهم.

إن أسوأ تصور لهذه الأفكار ما زال قائمًا بالفعل ويتم التحريض عليها حتى بعد مضي أكثر من 50 عامًا على الثورة، وحتى بعد انتشار الزواج المختلط والتفاعل الواسع بين أطياف المجتمع. فالأفكار العنصرية يتم تبنيها وتمويلها من قبل بعض مسؤولي حزب الثورة بشكل مباشر أو غير مباشر عندما يتم الترويج لها من قبل أعضاء الحزب ومؤيديه. فمنصة عضو حزب الثورة ميومبي كيسونكي الشهيرة في زنجبار معروفة بالتحريض على التعصب العنصري وبث التوتر في صفوف الناس وخاصة في جزيرتي بيمبا وأونجوجا. وفي معظم الحالات، فإنه يتم إلقاء بيانات التعصب العنصري هذه ونشرها تحت سمع وبصر بعض مسؤولي حزب الثورة، إلا أنهم ما زالوا يشكلون أداة بيد غيرهم كما كانوا دائمًا، وهو ما يدل على موافقتهم عليها.

أما على الجانب الآخر تنجانيقا، فإن حزب الثورة يقوم بلعب الدور نفسه ولكن بأسلوب مختلف. وهو ترسيخ السياسة العنصرية داخل هيكله وفي الحكومة. وبطاقة اللعب العرقية الأكثر شيوعًا هي ضد المسلمين. فعلى الرغم من أن المسلمين كانوا ضحايا التهميش العنصري التاريخي منذ عهد الاستعمار البريطاني، إلا أن الأوضاع في فترة ما بعد الاستقلال لم تتغير قط، إن لم تكن أسوأ من ذي قبل. فيجري تهميش مناطق إقامة المسلمين عندما يتعلق الأمر بالتنمية. ويتم اضطهاد المسلمين وإذلالهم واعتقالهم وتعذيبهم، ولا تسلم مؤسساتهم التقليدية من كل ذلك. والآن في ظل حرب الكراهية والتعصب العالمي ضد الإسلام والمسلمين التي تقودها أمريكا، فإن الأمور تزداد سوءًا بالنسبة للمسلمين. فدول العالم الإسلامي تتفق وتتآمر مع أمريكا للتعامل بكل قسوة ووحشية مع شعوبها بالنيابة عنها.

فحزب الثورة كأي حزب ديمقراطي يتبنى قاعدة "الغاية تبرر الوسيلة". وبالتالي فإنه يقوم باستخدام أية وسيلة للوصول إلى هدفه السياسي بغض النظر عن الأضرار الناتجة عن ذلك. وهذا دليل واضح وصريح على فشل السياسة الديمقراطية المنافقة التي تعمل على تدمير وتفكيك المجتمع بدلًا من توحيده. وقد آن الأوان لنبذ السياسة الديمقراطية هذه وأحزابها، وتبني الإسلام كأساس في السياسة وجميع شؤون الحياة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

مسعود مسلم

نائب الممثل الإعلامي لحزب التحرير في شرق أفريقيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon