الشيخة حسينة تستعبد بلادها للقيادة الهندية الهندوسية
الشيخة حسينة تستعبد بلادها للقيادة الهندية الهندوسية

بعد أن تم تأجيل زيارتها مرتين في الأشهر القليلة الماضية، الشيخة حسينة رئيسة وزراء بنغلادش كانت في الهند هذا الأسبوع، وهذه الزيارة هي أول زيارة رسمية قامت بها حسينة منذ سبع سنوات. وقد كانت زيارة طويلة حيث تأمل بنغلادش في جعلها جزءاً مهماً من سياستها مع الجوار. وكسراً للبروتوكول فإن رئيس الوزراء الهندي (ناريندرا مودي) استقبل حسينة في المطار شخصيا، مما يؤكد على أهمية هذه الزيارة بالنسبة لنيودلهي، فمنذ وصول مودي للحكم أعطت حكومته أولوية قصوى للجوار. وعلى الرغم من الفشل الأولي للهند في التواصل مع باكستان إلا أن تواصل الهند مع جيران آخرين مثل سيريلانكا وبنغلادش كان ناجحاً أكثر. [thediployment].

0:00 0:00
Speed:
April 14, 2017

الشيخة حسينة تستعبد بلادها للقيادة الهندية الهندوسية

الشيخة حسينة تستعبد بلادها للقيادة الهندية الهندوسية

(مترجم)

الخبر:

بعد أن تم تأجيل زيارتها مرتين في الأشهر القليلة الماضية، الشيخة حسينة رئيسة وزراء بنغلادش كانت في الهند هذا الأسبوع، وهذه الزيارة هي أول زيارة رسمية قامت بها حسينة منذ سبع سنوات. وقد كانت زيارة طويلة حيث تأمل بنغلادش في جعلها جزءاً مهماً من سياستها مع الجوار. وكسراً للبروتوكول فإن رئيس الوزراء الهندي (ناريندرا مودي) استقبل حسينة في المطار شخصيا، مما يؤكد على أهمية هذه الزيارة بالنسبة لنيودلهي، فمنذ وصول مودي للحكم أعطت حكومته أولوية قصوى للجوار. وعلى الرغم من الفشل الأولي للهند في التواصل مع باكستان إلا أن تواصل الهند مع جيران آخرين مثل سيريلانكا وبنغلادش كان ناجحاً أكثر. [thediployment].

من المقرر أن توقع نيودلهي ودكا اتفاقية شاملة لزيادة التعاون الدفاعي وذلك خلال زيارة حسينة للهند والتي ستستمر لأربعة أيام ابتداءً من الجمعة.

وقد قالت حسينة يوم الأربعاء في دكا بأن جميع الصفقات ستحافظ على العلاقات الودية بين البلدين ولن يكون هناك شيء يضر بمصالح بنغلادش في الاتفاقية.

غير أن العديد من خبراء الأمن والدبلوماسيين وغيرهم في بنغلادش يعتقدون بأن الاتفاق المقترح لن يفيد بنغلادش بل سيتعارض مع مصالحها.

وقد قال سيراجول الدبلوماسي الإسلامي السابق لبنغلادش لـ"voa": "إن بنغلادش لا تحتاج إلى اتفاق دفاع مع الهند أو أي دولة أخرى لأنها لا تواجه أي تهديد لعدوان خارجي من أي من جيرانها"، وأضاف: "إن الصين بالرغم من عدائها للهند إلا أنها بقيت في تعاون دفاعي مع بنغلادش لعقود، فإذا ما وقعت بنغلادش مثل هذا الاتفاق الدفاعي مع الهند فإن الصين ستعتبره موجهاً ضدها". [voanews]

التعليق:

لم يكن لدى رئيسة الوزراء الشيخة حسينة أي شكوى حول اجتماعها برئيس وزراء الهند ناريندرا مودي المجرم على الرغم من أنه تجنب الترتيب لزيارتها حتى بعد اكتمال انتخابات الدولة الحرجة. لم يقبل مودي أن يرحب برئيس بلد مسلم كبير أثناء حملته الانتخابية الشرسة ضد السكان المسلمين في الهند.

وحققت أفكار وعقلية مودي فوزاً ساحقاً في ولاية (أوتر براديش) الولاية الأكثر اكتظاظاً بالسكان في الهند والتي تعرف باسم (أوب)، والتي يبلغ عدد سكانها 200 مليون نسمة، وذلك من خلال إدارة حملة معادية للإسلام بشكل علني، لم يسمح بوجود أي مرشح مسلم بالرغم من وجود أقلية مسلمة في الدولة قادرة على التغيير. وقد لجأ مودي إلى خدمات (يوجي أديتياناث) وهو سياسي هندوسي متطرف، وهو يمثل (المهانات) أي رئيس الكهنة والمعهد الهندوسي وهو مؤسس الجناح الهندوسي (هندو يوفا فاهيني)، وهو منخرط فيما يسمى بالعنف الطائفي ضد المسلمين والنصارى، وكمكافأة لجهوده في الحملة الانتخابية أصبح الآن رئيس وزراء (أوب).

بعد سحق حرب الاستقلال عام 1857م، بدأ المستعمرون البريطانيون مشروعهم وسياستهم المعروفة في التقسيم، حيث بدأوا بمشروعهم الذي استمر لعقود وهو تأسيس الأمة الهندوسية غير المسلمة والتي بإمكانها الوقوف ضد الحكام المسلمين في السابق، وكان من الطبيعي أن تتوج هذه السياسة بالتقسيم الذي حدث عام 1947م حيث أصبحت المجموعة الهندوسية ضد مسلمي باكستان ولاحقا أصبحت ضد مسلمي بنغلادش. ومن خلال تلاعب بريطانيا تحول مصطلح الهندوسية من مصطلح جغرافي إلى مصطلح ديني، وتحول الهندوس من رعايا بسيطين محبين للسلام تحت الحكم الإسلامي إلى دنيويين فاشيين يمتازون بالهيمنة الدنيوية.

الشيخة حسينة لم تقم فقط بخيانة مسلمي الهند وإنما مسلمي بنغلادش أيضا، لأن رابطة عوامي التي صرحت بها لديها تاريخ طويل من الاستعباد للهند، وهذه الاتفاقيات الأخيرة ما هي إلا استمرار لذلك، لا حاجة للشيخة حسينة أن تتحول إلى الهند عندما يكون لديها مصالح مع الصين في الاستثمار في بنغلادش لتجنب الهيمنة الهندية. الهند والتي ترأس الأسلحة المستوردة غير قادرة على تلبية المتطلبات العسكرية المحلية الخاصة بها ناهيك عن متطلبات دولة أخرى كبنغلادش.

وعلاوة على ذلك فإن بنغلادش أكثر قدرة على إنشاء القاعدة الصناعية المحلية الخاصة بها لتصبح متقدمة جدا. بنغلادش كانت المركز الصناعي الجنوبي لآسيا عندما كانت تحت سيطرة المغول، وهذا هو السبب في أن الشركة الهندية الشرقية بدأت بمشروعها الإمبراطوري من بنغلادش، المسلمون في بنغلادش ما زالت لديهم القدرة الكاملة على الصناعات الثقيلة ولكن استمرار هيمنة أنظمة المستعمر الغربي الكافر أدت إلى اقتصارهم على الصناعات الخفيفة كالملابس.

الأمة الإسلامية سابقا كانت صاحبة أحدث تكنولوجيا عسكرية في العالم، ولكن الثورة الصناعية البريطانية تصدرت التكنولوجيا العسكرية بعد أن وقعت بريطانيا اتفاقيات مع الهند وبعد حكم بريطانيا للهند الذي بدأ بعد هزيمة السلطان (هليو رحيم الله)، حيث أصبحوا قادرين على تفكيك الصواريخ التي يستوردونها وإعادة تركيبها للتعرف على هندستها وتعلم كيفية صنعها، مما أدى إلى تطوير صناعة الصواريخ في بريطانيا والقوة العسكرية للصواريخ المستخدمة في القرن القادم، حتى الوصول للصواريخ التي تنقل البشر إلى القمر، والمسلمون لديهم القدرة على استعادة هذه التكنولوجيا مرة أخرى. وكل هذا يتطلب القيادة الصادقة والمخلصة، حيث ما زالت القيادات تابعة للمصالح الأجنبية البريطانية أو الأمريكية أو الصينية أو الهندية الهندوسية.

المسلمون بحاجة إلى تذكر تاريخهم وواجبهم تجاه خالقهم، وليس هناك سوى السياسة الإسلامية القادرة على إيجاد القيادة الصادقة، وسيشهد العالم وجود قوة جديدة وسنرى مسلمي بنغلادش يعودون لقيادة العالم صناعيا إن شاء الله في ظل الخلافة الراشدة على منهاج النبوة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

فائق نجاح

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon