الطبقة العلمانية الحاكمة والإعلام المضاد للإسلام والسلطات الأمنية هم العائق الرئيسي في حماية شرف النساء في بنغلادش
April 23, 2015

الطبقة العلمانية الحاكمة والإعلام المضاد للإسلام والسلطات الأمنية هم العائق الرئيسي في حماية شرف النساء في بنغلادش

خبر وتعليق

الطبقة العلمانية الحاكمة والإعلام المضاد للإسلام والسلطات الأمنية هم العائق الرئيسي في حماية شرف النساء في بنغلادش

(مترجم)

الخبر:

بحسب خبر ورد في صحيفة دكا تربيون يوم 19 نيسان/أبريل، ادّعت صحفية تعمل في تلفزيون (إختار) تسمى رُبى فرزانة أنها تلقت تهديدًا بالقتل من شخص ادّعى أنه من الإسلاميين مباشرةً بعد بثها لحادثة اغتصاب مجموعة من النساء على قناة 14 في التلفزيون الخاص. في 14 نيسان/أبريل، وسط الاحتفالات برأس السنة البنغالية، تم اغتصاب 20 امرأة على الأقل بطريقة بشعة في حرم جامعة دكا. لم تقم قوات الشرطة بالقدوم للإنقاذ مع أنهم كانوا يتواجدون في نفس المنطقة. تم القبض على بعض الجناة متلبسين وتم تسليمهم إلى الشرطة، ولكن الشرطة قامت بإطلاق سراحهم بعد اكتشافها بأنهم نشطاء في الجناح الطلابي لرابطة عوامي الحاكمة. قالت ربى وهي مراسلة خاصة في القناة التلفزيونية صحيفة دكا تربيون أن شخصًا عرّف عن نفسه بأنه نائب رئيس جماعة إسلامية مسلحة قام بتهديدها بالقتل بالإضافة إلى أفراد من عائلتها إذا لم تستقل من وظيفتها. وتقول ربى أنها تلقت هذا التهديد بعد بث أسماء المشتبه بهم في حادثة الاغتصاب والاعتداء الجنسي على النساء أثناء احتفال برأس السنة البنغالية في جامعة دكا نحو الساعة السابعة مساءً يوم السبت..

التعليق:

بعد وقوع أية حادثة شنيعة في بنغلادش، ولكي تُخفَى أي معلومات عن الجناة ولتحقيق مآرب سياسية، أصبح أمرًا معتادًا في وسط الإعلام العلماني والسياسي توجيه أصابع الاتهام إلى الإسلام أو إلى من يسموْن بالإسلاميين. حقيقةً فإن هذا الأمر ليس سوى لعبة سياسية قذرة. بعد وقوع هذه الجريمة البشعة انكشفت حقيقة القيم الديمقراطية العلمانية، ووجوه المجرمين الذين هم نتاج لهذا الفكر العلماني الفاسد. ولحماية ظهر هؤلاء المجرمين فإن النظام البنغالي والإعلام المعادي للإسلام يقومون بممارسة اللعبة القديمة نفسها. بعد 4 أيام من وقوع هذه الحادثة المؤسفة، وبدون أي دليل ادّعى وزير العدل أنه عمل للإرهابيين المسلمين. ويقوم الإعلام العلماني المعادي للإسلام بتضليل الجماهير من خلال إعلامه الخاطئ الموجه من الطبقة الحاكمة.

في الحقيقة فإن المضايقات الجنسية في حرم الجامعات أصبحت ظاهرةً طبيعيةً في بنغلادش، وعامًا بعد عام تقوم الكوادر السياسية التابعة للنظام باقتراف جرائم بشعة تحت سمع وبصر السلطات. وقد تم تقديم شكاوى عدة إلى سلطات الجامعة بالنيابة عن نساء تمت مضايقتهن، وتم نشر مجموعة من التقارير الصحفية في الجرائد مصحوبةً بأدلة مفصلة. لكن الطبقة الحاكمة والسلطات الجامعية والوكالات الأمنية في البلاد لم تقم بأي تصرف ضد الجناة. على العكس، ومن أجل تحقيق مكاسب سياسية أنانية، تقوم الطبقة العلمانية الحاكمة بإعطاء الجناة سندًا سياسيًا وبالتالي تحويل حرم الجامعات إلى ملجأ آمن لهؤلاء المغتصبين والجناة. قبل شهرين فقط في أثناء معرض كتاب إيكوشاي، تم الاعتداء الجنسي على 3 نساء في الحرم الجامعي نفسه. ولقد تم التعرف عن 2 من الجناة من خلال كاميرا مراقبة، وتبين أنهم نشطاء في رابطة تشاترا بنغلادش - وهي الجناح الطلابي لرابطة عوامي الحاكمة. مع هذا، فإن السلطات الجامعية رفضت اتخاذ أي قرار ضدهم. وهذه المرة أيضًا وبواسطة كاميرات مراقبة قام بعض النشطاء وطلاب في الجامعة بتأكيد أن بعض الجناة هم كوادر في الرابطة المذكورة. لكن الشرطة ادّعت بأنها لا تستطيع التعرف على هويات الجناة، بينما يقوم الإعلام المعادي للإسلام والطبقة الحاكمة بإلقاء اللوم على الإسلاميين متجاهلين بذلك الحقيقة. وأيضًا فإن الشرطة ممنوعة من عرض شريط الكاميرا والذي يعتبر مهمًا للغاية في التحقيقات.

في الواقع فإن المجموعة العلمانية المتكونة من الطبقة العلمانية الحاكمة والإعلام المعادي للإسلام والوكالات الأمنية في بنغلادش هم المجموعة الوحشية التي تشكل العائق الأساسي أمام حماية شرف وكرامة النساء. وللتخلص من هؤلاء يجب علينا أن نلقي بهذا النظام العلماني الفاسد الذي تسبب بوجود هؤلاء إلى هاوية سحيقة. وبهذا يتخلص الناس في هذه البلاد ليس فقط من الاعتداءات الجنسية على النساء، ولكن أيضًا من كل مظاهر الفساد والمحسوبية ومحاباة الأقارب المخزية، والسياسات المدمرة، وفوق كل ذلك التخلص من الطغيان والظلم والخيانة التي تقوم بها الطبقة الحاكمة.

في ظل دولة الخلافة، ولمدة 1300 سنة كانت النساء فيها هن شرف وكرامة الأمة. ولم يوجد دليل واحد على حدوث مثل هذه الجرائم البشعة في تاريخ دولة الخلافة. على النقيض من الحكم العلماني الفاسد، فإن الخليفة المسلم يعتبر الدرع الحامي لشرف وكرامة النساء. وعلى النقيض من القانون الوضعي الحالي، فإن قوانين الشريعة الإسلامية كانت تضرب بيد من حديد كل من تسول له نفسه اقتراف مثل هذه الجرائم. ليس هذا فحسب، وإنما كان الخلفاء أيضًا يُسَيِّرون الجيوش للدفاع عن شرف امرأة واحدة. ولقد قام الخليفة العباسي المعتصم بالله بتسيير جيش كامل لتحرير امرأة صرخت وامعتصماه بعدما احتجزها الرومان. وقام القائد المسلم الشاب محمد بن القاسم بإنقاذ مجموعة من النساء والأطفال كانوا محتجزين في أيدي الملك الظاهر سينغ طاغوت الهندوس. بالإضافة إلى هذا، وبعكس النظام العلماني، فإن النساء في ظل الخلافة كن يذهبن إلى المؤسسات التعليمية من غير خوف من تعرضهن للمضايقات. كان هذا بسبب أن الخلافة أوجدت بيئة تعيش فيها النساء في كل زاوية من زوايا المجتمع بأمان واطمئنان. ولذا فإن على النساء البنغاليات اللواتي نزلن إلى الشوارع للاحتجاج على هذه الجرائم البشعة ومطالبات لهذا النظام العلماني الفاسد، الذي لم يفِ يومًا بوعده، أن يوقع العقوبة الصارمة ضد الجناة، عليهن أن يقمن عوضًا عن ذلك بالعمل لاستئناف الخلافة الراشدة على منهاج النبوة التي ستعيد للمرأة موقعها الطبيعي الكريم الذي كرمها به الله سبحانه وتعالى.

﴿أفَحُكْمَ الجَاهِلِيَّةِ يَبْغُونَ وَمَنْ أَحْسَنُ مِنَ اللهِ حُكْمَاً لِقَوْمٍ يُوقِنُونْ﴾ [المائدة: 50]

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

فهميدة بنت ودود

عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon