التدرج في تطبيق الإسلام
التدرج في تطبيق الإسلام

الخبر: ما زالت تداعيات نتائج الانتخابات التركية تلقي بظلالها على النقاشات الفكرية بين شباب ورجال العمل الإسلامي بمختلف توجهاته، فالمدونات الإلكترونية ومواقع التواصل وحوارات البرامج المصورة تضج بزخم من المقالات والكلمات، حيث تتباين وجهات النظر في تقييم التجربة المعاصرة لحكم أردوغان وحزبه،

0:00 0:00
Speed:
June 15, 2023

التدرج في تطبيق الإسلام

التدرج في تطبيق الإسلام

الخبر:

ما زالت تداعيات نتائج الانتخابات التركية تلقي بظلالها على النقاشات الفكرية بين شباب ورجال العمل الإسلامي بمختلف توجهاته، فالمدونات الإلكترونية ومواقع التواصل وحوارات البرامج المصورة تضج بزخم من المقالات والكلمات، حيث تتباين وجهات النظر في تقييم التجربة المعاصرة لحكم أردوغان وحزبه، وذلك انطلاقا من جملة قواعد بعضها فاسد ومخالف لأصول الإسلام كقاعدة الغاية تبرر الواسطة، وبعضها صحيح في أصله ولكنه ينزل على غير مناطه كقاعدة أخف الضررين، أو قاعدة التدرج الحتمي في التطبيق الشامل للإسلام.

التعليق:

من المهم جدا لحامل الدعوة أن يمتلك التفكير النقدي العميق، وأن يسعى بكل قوة لرفع المستوى الفكري للمسلمين عامتهم وخاصتهم، وهذا يستوجب ضبط المفاهيم وتحرير معاني المصطلحات أثناء النقاش والدعوة، كي يمنع صاحب الرسالة وصول معان غير مقصودة من رسالته أو حدوث فهم مغلوط عند المتلقي، كما يتمكن من صناعة وعي كاف عند المخاطبين يُمَكِّنهم من الوقاية من مغالطات المضللين وتخليطِ المتعمدينَ إلباسَ الحق بالباطل، وتحريف المصطلحات الصحيحة والقواعد السليمة عن معانيها ومناطها الصحيح.

ولضيق المقام سأعرض لمصطلح واحد تضاربت الأفهام في دلالاته حتى انقسم بعض الفرقاء حوله بين رافض له بالكلية دون تحقيق، وبين من يستعمله أداة لفتح أبواب الشر، وتثبيت الباطل عوضا عن اجتثاثه، ألا وهو "التدرج في تطبيق الإسلام".

إن التدرج في تطبيق الإسلام وتنفيذ جميع أحكامه في الدولة والمجتمع، ليس أمرا مشروعا فحسب، بل هو أمرٌ حتمي لا مفر منه من الناحية العملية، إذ يستحيل على الدولة أن تنفذ جميع أحكام الشريعة وتحملَ الناس على تنفيذها بين ليلة وضحاها، فالدولة ليست حجرة صغيرة يمكن ترتيب ما فيها بدقائق أو ساعة من نهار، والمجتمع ليس طفلا صغيرا في غرفته يمكن للوالدين مراقبة أفعاله لحظة بلحظة وتدريبه على سلوكيات خاصة أو تنشئته على قيم معينة في سيطرة شبه كاملة، بل الدولة والمجتمع فضاء واسع من الناس والقضايا والمشاكل التي تحتاج إلى معالجات، وبعض هذه المشاكل متراكم في البلاد ومتجذر في النفوس عبر السنين، وبعضها واسع الانتشار لا يخلو منه حي، وبعضها معلن وبعضها خفي، وبعضها أخطر من بعض، ومعالجة هكذا مشاكل تحتاج لجهد كبير، وقوة وحكمة وتدبير، كما تحتاج لترتيب الأولويات، ومراحل في التغيير قد تحتمها طبيعة المشكلة، وهو ما فعله النبي ﷺ وفعله الصحابة من بعده عندما كانوا يباشرون تطبيق الإسلام فيبدؤون بالأخطر والأشدّ إلحاحا، وينجزون ما من شأنه التنجيز الفوري أو السريع وينتقلون لما بعده مما يحتاج إلى مراحل في تنجيزه، وهذه سنة كونية في كل شيء، سواء في الحكم والدولة وحياة الجماعات والمجتمعات، أم في حياة الأفراد وشؤونهم اليومية.

ولكن ألسنا نقول: إن الواجب على المسلمين حال وصولهم للحكم والسلطان تطبيق الإسلام بشكل فوري وجذري وانقلابي؟

الجواب: نعم دون شك. ولا تعارض البتة بين وجوب التطبيق الانقلابي الجذري والفوري للإسلام، وبين سنة التدرج الحتمية في تنفيذ ذلك وجعله واقعا محسوسا. لأن الدولة الإسلامية لا تكون إسلامية إن لم تجعل الإسلام من يومها الأول بل لحظتها الأولى، مصدرا وحيدا للأحكام والمقاييس، فتعتمد دستورا وقوانين مبنية على الإسلام وحده، تحل حلاله وتحرم حرامه، فتوجب الواجبات كلها بلا استثناء، وتحظر المحرمات كلها بلا استثناء.

ولعل سائلا يسأل: لماذا تنكرون إذاً على أصحاب مشروع "التدرج في تطبيق الإسلام" فعلهم، خاصة من يجعلون التجربة التركية الأردوغانية نموذجا لهذا التدرج؟

والجواب:

أولا: إن ما يزعمه هؤلاء من وصف عملهم في بعض بلاد المسلمين، أو وصف عمل أردوغان وحزبه بالتدرج المشروع والسنة المتبعة، هو تضليل للناس وتزوير للحقائق يصل إلى مرتبة الكذب، لأنهم لا يطبقون من الإسلام وحده ما يسعه الوقت اليوم ثم ينتقلون إلى غيره غدا، بل هم يشرعون الكفر وأحكامه من حيث المبدأ، فيجعلون التشريع للبشر ويفاخرون بالديمقراطية وعلمانية الدولة، ثم يعمدون للمحرمات والموبقات، والمعاهدات الخيانية، والجرائم في حق الإسلام والمسلمين، فيسنون القوانين لترسيخها وتنظيمها ويسخرون سلطان الدولة لتطبيقها، ويزعمون بعدها أن هذا هو مفهوم التدرج في التطبيق الذي عليه النبي وأصحابه وتحتمه سنن الكون.

ثانيا: إن التدرج المشروع لا يكون في سن القوانين وتحديد المقاييس بل لا بد للقوانين أن تكون شرعية لا غير، فلا تدرج في تشريع الكفر وصولا إلى تشريع الإسلام.

ثالثا: إن الاحتجاج الفاسد بتدرج التشريع زمن نزول الوحي على سيدنا محمد ﷺ، هو احتجاج باطل وخطر على العقيدة، فالنبي كان يبلغ التشريع الجديد لحظة نزوله ويأمر باتباعه ولا يعمل بالمنسوخ بعد النسخ، فلا يتدرج في تشريع ما نزل عليه، ولا يسمح بالحرام بعد تحريمه، وكذلك إجماع الصحابة الكرام على حمل الإسلام للناس كما هو بتمامه دون تبديل أو تغيير، وتعليمه للناس وتطبيقه عليهم وحده ونبذ كل ما يخالفه.

رابعا: إن التدرج في تنفيذ الأحكام الشرعية يكون بترتيب الأولويات حسب القدرات والإمكانيات وسعة الأوقات، وتنفيذ ما يحتاج إلى مراحل أولا بأول دون إبطاء، ولا يكون بتطبيق الكفر والمعاصي وحماية بل رعاية وجودها، بزعم أن تلك مرحلة ضرورية للتخفيف منها وصولا إلى حظرها.

خامسا: نعم يمكن للقاضي أثناء نظره في القضايا والنزاعات أن يراعي حداثة عهد الناس بالقوانين الجديدة، فيرفق بمن يستحق الرفق، ويعلّم الجاهل، ويقيل ذوي الهيئات عثراتهم، (وهذا باب واسع في الفقه لا يتسع له المقام)، ولكن هذا لا يجعل المحظور مشروعا ولا يعطي للباطل شرعية ولو مؤقتة بل ولا طرفة عين.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

الشيخ عدنان مزيان

عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon