الطريق التي تسلكها الإمارة الإسلامية مظلمة محفوفة بالمخاطر
الطريق التي تسلكها الإمارة الإسلامية مظلمة محفوفة بالمخاطر

الخبر:   قال وزير خارجية إمارة أفغانستان الإسلامية أمير خان متقي يوم 24/11/2021 إنه سيناقش في الدوحة مع المسؤولين الأمريكيين رفع الحظر عن الأرصدة الأفغانية في الخارج وفتح صفحة جديدة في العلاقات مع واشنطن، وإنه توجه مع عدد من الوزراء والمسؤولين الأمنيين إلى قطر لعقد اجتماعات منفصلة مع المبعوث الأمريكي إلى أفغانستان وممثلي الاتحاد الأوروبي ودولة قطر بشأن المستجدات الأخيرة في الملف الأفغاني،  ...

0:00 0:00
Speed:
November 30, 2021

الطريق التي تسلكها الإمارة الإسلامية مظلمة محفوفة بالمخاطر

الطريق التي تسلكها الإمارة الإسلامية مظلمة محفوفة بالمخاطر

الخبر:

قال وزير خارجية إمارة أفغانستان الإسلامية أمير خان متقي يوم 2021/11/24 إنه سيناقش في الدوحة مع المسؤولين الأمريكيين رفع الحظر عن الأرصدة الأفغانية في الخارج وفتح صفحة جديدة في العلاقات مع واشنطن، وإنه توجه مع عدد من الوزراء والمسؤولين الأمنيين إلى قطر لعقد اجتماعات منفصلة مع المبعوث الأمريكي إلى أفغانستان وممثلي الاتحاد الأوروبي ودولة قطر بشأن المستجدات الأخيرة في الملف الأفغاني، وشدد على التزام الإمارة باتفاق الدوحة المبرم مع أمريكا بعدم السماح باستخدام الأراضي الأفغانية لمهاجمة دول أجنبية. وذكر مراسل الجزيرة في أفغانستان أن الوفد سيضم أيضا مسؤولين من وزارة التربية، وسيبحث في الدوحة موضوع الاعتراف بالإمارة. بينما قال المتحدث باسم الخارجية الأمريكية نيد برايس يوم 2021/11/24 إن المبعوث الأمريكي لأفغانستان توماس ويست سيزور الدوحة لعقد اجتماعات تستمر يومين 26 و2021/11/27، مع زعماء طالبان، وإن المباحثات ستناقش مصالح أمريكا الحيوية في أفغانستان. وقد حضر توماس ويست الاجتماعات الأولى يومي 9 و2021/10/10 وهي الأولى بين الطرفين بعد تسلم حركة طالبان الحكم.

التعليق:

يظهر أن حركة طالبان متهالكة على عقد اتفاقيات تراضي بها الدول الأخرى وخاصة أمريكا لتنال اعترافها بها من دون أن تجعل الإسلام أساسا في علاقاتها الخارجية! وما يؤكد ذلك الاجتماعات التي تعقد مع أمريكا في قطر وبوجود مسؤولين أمنيين للتأكيد على أنها لن تحارب أمريكا ولن تجعل أفغانستان نقطة انطلاق لأية حركة تحارب أمريكا أو حلفاءها، وكذلك اصطحاب مسؤولي التربية والتعليم ليراضوا أمريكا فيما يتعلق بتعليم البنات! ويؤكد ذلك أيضا الرسالة المفتوحة التي أرسلتها حكومة الحركة باسم وزير خارجيتها متقي خان إلى الكونغرس الأمريكي يوم 2021/11/17 التي دعا فيها إلى بناء الثقة بينها وبين أمريكا، فقال فيها: "نطالب الكونغرس الأمريكي باتخاذ خطوات تساهم بفتح الأبواب أمام العلاقات المستقبلية وإزالة تجميد أصول البنك المركزي الأفغاني (9,5 مليار دولار) ورفع العقوبات". وقال "نتيجة الحرب في أفغانستان ضمنتها اتفاقية الدوحة الهادفة إلى بناء علاقات إيجابية بالكامل في مصلحة كل من طالبان وأمريكا. إن الحركة دخلت كابل بناء على طلب السكان لملء الفراغ في السلطة بعد هروب أشرف غني. طالبان تعمل كحكومة ذات سيادة ومسؤولية للقضاء على الفساد وغياب القانون والتهديدات الموجهة للعالم والمنطقة. وأمريكا يمكن لضمان الأمن أن تستثمر في قطاعات التصنيع والزراعة والتعدين" وقال: "إن تجميد الأصول (المالية للبنك المركزي في أفغانستان) جاء بمثابة مفاجأة وهو يتعارض مع الاتفاقية. وهو أصل كل المشاكل في أفغانستان ويلحق الضرر بهيبة أمريكا" وقال "هناك حاجة إلى خطوات متبادلة لبناء الثقة. يجب على أمريكا رفع عقوباتها، وإلا ستكون كارثة وهجرة جماعية في الشتاء، ما سيخلق مشاكل جديدة للمجتمع".

فالحركة أو حكومتها تطلب من أمريكا دخول أفغانستان من جديد للاستثمار لضمان الأمن! وهذا يعرض البلاد لأن يكون فيها للكافرين على المؤمنين سبيلا. وأمريكا دولة استعمارية حاربت في أفغانستان نحو عشرين عاما فدمرت البلاد وقتلت وشردت الملايين، فهل يطلب بناء ثقة معها؟! هل تغيرت سياستها منذ تأسيسها وهي تخوض الحروب الاستعمارية في كل أنحاء العالم بدءا من أمريكا الوسطى والجنوبية حيث احتلت أراضي من المكسيك وما زالت تحتل قناة بنما وتصول وتجول في القارة الجنوبية منها وتسخر المافيات لمآربها وتثير الفوضى والاضطرابات السياسية وتشتري الذمم وتنهب ثروات تلك البلاد وهم نصارى على دينها ويحكمون بمبدئها الرأسمالي؟! وهي في صراع مع أخواتها الاستعمارية الأوروبية وأحدث مثالين على ذلك صفقة الغواصات الفرنسية لأستراليا فسلبتها من فرنسا، ولحد الآن تمنع ألمانيا من افتتاح وتشغيل خط السيل الشمالي2 لنقل الغاز من روسيا مع أن الخط قد تم إنشاؤه! وهناك كثير من الأمثلة لا يتسع المجال لذكرها. فهل ينتظر من أمريكا التي تتبنى الرأسمالية مبدأ لها والاستعمار طريقة وفي كثير من الأحيان هدفا لها أن تصبح دولة يؤمن جانبها حتى تعاد الثقة بها؟! فحركة طالبان تحفر قبرها بيديها إذا استمرت بهذه السياسة!

وهي تترامى على عقد اتفاقات تراضي أمريكا وغيرها على حساب مبدئها فتجعل أمريكا تماطل في عقد مثل هذه الاتفاقات وتؤخر الإفراج عن الأموال، حتى تبتز الحركة أكثر وأكثر وتطلب منها التنازلات. وهذا أسلوب تستعمله أمريكا كما تستعمله دول استعمارية أخرى. وقد استعملته مع عميلها عمر البشير في السودان فعمل على مراضاة أمريكا وغيرها فبدأت تبتزه وتطلب منه المزيد من التنازلات فتنازل عن جنوب السودان وألغى أحكاما شرعية وعدل في الدستور وعقد اتفاقات مع المتمردين العملاء، وظلت تماطل به حتى ثار عليه الناس وعندئذ تخلت عنه وأتت بعملاء آخرين يخلفونه ليكملوا مسيرته في تقديم التنازلات.

فهذه الطريق التي تسلكها حكومة حركة طالبان أو "الإمارة الإسلامية" محفوفة بالمخاطر ومصيرها مظلم. فيجب أن تتخذ سياسة الحيطة والحذر وعدم الثقة في المستعمرين سواء أمريكا أو غيرها من الدول الاستعمارية والطامعة ومن يتبعها أو يدور في فلكها، فلا تسعى لعقد مثل هذه الاتفاقات، وأن تتخذ سياسة الاستعداد للقتال في مواجهة هذه الدول ولا تغفل لحظة، وتتخذ الإسلام ركيزة للسياسة الخارجية بحيث يكون هدفها حمل الدعوة الإسلامية للعالم ومنها العمل على توحيد البلاد الإسلامية في ظل دولة واحدة، دولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أسعد منصور

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon