أمريكا تعلن حلف أوكوس العسكري لمنطقة الهند الصينية
أمريكا تعلن حلف أوكوس العسكري لمنطقة الهند الصينية

الخبر:   أوردت وكالة أسوشيتدبرس يوم الأربعاء 2021/9/15 عن رئيس الولايات المتحدة خبر الإعلان عن حلف عسكري جديد ضم الولايات المتحدة وبريطانيا وأستراليا (أوكوس) لضمان أمن منطقة المحيط الهندي والهادي، وجاء في الإعلان أن هذا الحلف يهدف إلى التعاون في تعزيز المقدرات الأمنية في هذه المنطقة والتي تشمل تزويد أستراليا بغواصات مسيرة بالطاقة النووية.

0:00 0:00
Speed:
September 27, 2021

أمريكا تعلن حلف أوكوس العسكري لمنطقة الهند الصينية

أمريكا تعلن حلف أوكوس العسكري لمنطقة الهند الصينية

الخبر:

أوردت وكالة أسوشيتدبرس يوم الأربعاء 2021/9/15 عن رئيس الولايات المتحدة خبر الإعلان عن حلف عسكري جديد ضم الولايات المتحدة وبريطانيا وأستراليا (أوكوس) لضمان أمن منطقة المحيط الهندي والهادي، وجاء في الإعلان أن هذا الحلف يهدف إلى التعاون في تعزيز المقدرات الأمنية في هذه المنطقة والتي تشمل تزويد أستراليا بغواصات مسيرة بالطاقة النووية.

التعليق:

أوردت وكالات الأنباء أن الإعلان عن هذا الحلف الجديد من شأنه أن يعمق الهوة المتزايدة بين أمريكا والصين. وقد وصف وزير خارجية الصين زاو ليجيان الإعلان عن الحلف الجديد في اليوم التالي لإعلانه بأنه خطوة غير مسؤولة وأنه يهدد السلم والاستقرار الإقليمي ويؤدي إلى سباق تسلح ويضر بالجهود المبذولة لمنع الانتشار النووي. كما وصف التحالف الأمريكي البريطاني أنه أداة للعب على المسرح الدولي التي تعشق عقلية الحرب الباردة. بينما وصفت وسائل الإعلام الصينية أستراليا بأنها أصبحت عدوا وعليها توقع الأسوأ.

أما فرنسا والتي خسرت صفقة بناء الغواصات النووية الأسترالية فقد ردت باستدعاء سفيريها من واشنطن وأستراليا للتشاور، وهي عملية تعبر عن غضب فرنسا وعدم رضاها، وقد وصف وزير خارجية فرنسا بأن الحلف الجديد وما رافقه من إلغاء صفقة الغواصات مع فرنسا بأنها طعنة من الخلف من الحلفاء، وبأنه خطوة غير مقبولة بين الحلفاء والشركاء، وأن تبعاتها ستؤثر على أساس الحلف القائم والتعاون، وأهمية قضايا المحيط الهندي والهادي لأوروبا.

أما موقف أمريكا الرسمي فقد بينه الرئيس بايدن في خطابه أمام الجمعية العامة للأمم المتحدة يوم 2021/9/21 بقوله إن أمريكا قد حددت أولوياتها الإقليمية والعالمية كما هو الحال في إقليم محيطي الهندي - الهادي. وأن أمريكا لا تسعى لإشعال حرب باردة. أما فيما يتعلق بغضب فرنسا لخسارة صفقة الغواصات فقد قال بايدن إن هذه الصفقة تدخل حكم التنافس الرأسمالي وأن أمريكا ستنافس وبشدة بغض النظر عن العلاقات الخاصة التي تربطها بغيرها.

والناظر في الحلف الجديد وبدقة لا بد أن يلاحظ مسائل مهمة عدة، أهمها:

أولا: بعد أن اطمأنت أمريكا إلى علاقة مهمة مع روسيا على المسرح الدولي، فقد عمدت إلى التركيز على القضية الإقليمية الأهم وهي قضية الصين في المحيطين الهندي والهادي. وفي ثنايا هذا التوجه تكون أمريكا قد صرفت النظر عن اعتبار الصين قوة دولية، وعادت لتعمل على حصر النفوذ الصيني في الإقليم الهندي - الهادي.

ثانيا: لم تعد أمريكا مهتمة بترتيب قوانين لعبة حرب باردة مع الصين كما سماها وزير خارجية الصين، ولكن في المقابل تعمد أمريكا إلى فرض سباق تسلح مع الصين. ولعل هذا السباق يحمل أكثر من هدف. فمن ناحية فإن سباق التسلح بالنسبة للصين سيؤدي إلى إرهاق اقتصادها وبالتالي عدم تمكينها من الاستمرار في تعزيز اقتصادها لتصبح منافسا حقيقيا ودائما لقوة أمريكا. ومن الناحية الثانية فإن سباق التسلح هذا من شأنه أن يبقي دول منطقة المحيطين الهندي والهادي شديدة الحذر والإذعان للهيمنة الأمريكية.

ثالثا: إن عدم إشراك فرنسا في حلف أوكوس يشير إلى استبعاد أمريكا للاتحاد الأوروبي وعلى رأسه فرنسا من شؤون الإقليم الهندي - الهادي. ولعل هذا هو سبب غضب فرنسا الأكبر، وموقف دول الاتحاد الأوروبي بما فيها ألمانيا. أما إشراك بريطانيا في قضية الإقليم الهندي - الهادي فبريطانيا جزء مهم من هذا الإقليم بسبب ارتباط أستراليا العضوي مع بريطانيا من خلال الكومنولث، ومن ناحية أخرى فإن بريطانيا قد خرجت من الاتحاد الأوروبي وبالتالي فإن إشراكها في الحلف لا يؤثر على الهدف الاستراتيجي الخاص باستبعاد أوروبا وعدم إشراكها في القضايا الإقليمية المهمة.

رابعا: أما إلغاء صفقة الغواصات الفرنسية الأسترالية فله دلالات عدة. أهمها أن الرأسمالية العالمية ليست إلا غابة وحوش مفترسة كما عبر عنها كثير من قادة الدول الرأسمالية في تعليقهم على قضية الغواصات. فبينما بايدن يقول إننا مستعدون للمنافسة بكل شراسة، فهو لا يلتزم أبدا بقوانين المنافسة الرأسمالية والتي تجعل السوق وعمليات السوق هي الضابط للتنافس بين الشركات الرأسمالية. فلا يشك أحد أن إلغاء الصفقة الفرنسية الأسترالية هو عمل سياسي تم استخدام كل أدوات الضغط السياسي والبلطجة السياسية بعيدة عن أي نوع من التنافس. وقد شهدنا باستمرار كيف أن الشركات العالمية يتم إقصاؤها من كثير من الصفقات لصالح شركات أمريكية أقل مقدرة على التنافس وأكثر استغلالا للربح المالي من غيرها. ففي السعودية كانت أمريكا قد عملت على إلغاء صفقات شركة إريكسون السعودية لصالح شركات الاتصالات الأمريكية. وفي العراق حصرت أمريكا الصفقات الكبرى لصالح شركة هاليبرتون التي كان يرأسها ديك تشيني. وفي أفغانستان تم استبعاد أكبر الشركات المنافسة لمد خط أنابيب تابي للغاز لصالح شركة ينيكول الأمريكية.

والحاصل أن العالم لا يزال يعيش عصر الهيمنة والبلطجة السياسية تحت وطأة سباق التسلح، والحرب الباردة التي قد تغدو ساخنة، والتسلط الرأسمالي المدعوم بالقوة العسكرية والسياسية، ما يجعل العالم وشعوبه ودوله تعاني أشد المعاناة، وتستمر بالعيش في أسوأ الظروف المالية والسياسية والمعيشية. ما يجعل الحاجة اليوم أكثر من أي وقت مضى لنظام عالمي جديد يشيع الأمن والأمان بدلا من شبح الحرب المستمر، والعيش الطبيعي بدلا من ضنك العيش، والعدل بدلا من الظلم والطغيان. وهذا عينه ما جاء الإسلام ليحققه على مستوى البشرية كلها. ﴿لَقَدْ أَرْسَلْنَا رُسُلَنَا بِالْبَيِّنَاتِ وَأَنزَلْنَا مَعَهُمُ الْكِتَابَ وَالْمِيزَانَ لِيَقُومَ النَّاسُ بِالْقِسْطِ وَأَنزَلْنَا الْحَدِيدَ فِيهِ بَأْسٌ شَدِيدٌ وَمَنَافِعُ لِلنَّاسِ وَلِيَعْلَمَ اللَّهُ مَن يَنصُرُهُ وَرُسُلَهُ بِالْغَيْبِ إِنَّ اللَّهَ قَوِيٌّ عَزِيز﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. محمد جيلاني

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon