أمريكا ترامب لا تتعظ من هزائم أوباما البنتاغون ينظر في إمكانية استئناف عملياته القتالية في أفغانستان
أمريكا ترامب لا تتعظ من هزائم أوباما البنتاغون ينظر في إمكانية استئناف عملياته القتالية في أفغانستان

الخبر:   روسيا اليوم 2017/7/1 - تنظر قيادة وزارة الدفاع الأمريكية في إمكانية استئناف العمليات العسكرية في أفغانستان، بهدف القضاء على مسلحي "طالبان" وعناصر "شبكة حقاني" هناك، وفق ما أفادت به قناة NBC"". ونقلت القناة عن مصادر لها، اليوم السبت، أن البنتاغون والبيت الأبيض يقومان في الوقت الحالي بإعادة النظر في الاستراتيجية الأمريكية في أفغانستان وأن هربرت ماكماستر، مساعد الرئيس الأمريكي لشؤون الأمن القومي، يشارك في هذه العملية مشاركة نشطة. وبحسب المصادر، يتلخص أحد المقترحات المتوقع تقديمها للرئيس دونالد ترامب في شهر تموز/يوليو الجاري، بناء على نتائج عملية إعادة النظر، في استئناف العمليات ضد حركة "طالبان" و"شبكة حقاني" (المتطرفتين). ...

0:00 0:00
Speed:
July 02, 2017

أمريكا ترامب لا تتعظ من هزائم أوباما البنتاغون ينظر في إمكانية استئناف عملياته القتالية في أفغانستان

أمريكا ترامب لا تتعظ من هزائم أوباما

البنتاغون ينظر في إمكانية استئناف عملياته القتالية في أفغانستان

الخبر:

روسيا اليوم 2017/7/1 - تنظر قيادة وزارة الدفاع الأمريكية في إمكانية استئناف العمليات العسكرية في أفغانستان، بهدف القضاء على مسلحي "طالبان" وعناصر "شبكة حقاني" هناك، وفق ما أفادت به قناة NBC"".

ونقلت القناة عن مصادر لها، اليوم السبت، أن البنتاغون والبيت الأبيض يقومان في الوقت الحالي بإعادة النظر في الاستراتيجية الأمريكية في أفغانستان وأن هربرت ماكماستر، مساعد الرئيس الأمريكي لشؤون الأمن القومي، يشارك في هذه العملية مشاركة نشطة.

وبحسب المصادر، يتلخص أحد المقترحات المتوقع تقديمها للرئيس دونالد ترامب في شهر تموز/يوليو الجاري، بناء على نتائج عملية إعادة النظر، في استئناف العمليات ضد حركة "طالبان" و"شبكة حقاني" (المتطرفتين).

ويوجد في أفغانستان حاليا، وفقا للبيانات الرسمية، حوالي 13 ألف جندي من قوات التحالف الدولي، بمن فيهم نحو 8.4 ألف جندي وضابط أمريكي، يتخصصون أساسا في تدريب القوات الحكومية الأفغانية أو يعملون كمستشارين عسكريين لديها.

وتشير قناة "NBC" إلى أن القوات الأمريكية تركز جهودها في الوقت الحالي على توجيه ضربات إلى مسلحي تنظيمي "داعش" و"القاعدة" (الإرهابيين)، ولا تقصف مواقع "طالبان" إلا في حالات نادرة.

وكانت وسائل إعلام أفادت سابقا بأن إدارة الرئيس ترامب تنظر في إمكانية إرسال قوات إضافية إلى أفغانستان، حيث تتكبد القوات الحكومية، التي يزيد قوامها عن 300 ألف جندي، خسائر بشرية جسيمة، أما مساحة الأراضي الخاضعة لسيطرة الحكومة فتقلصت من 72% في نهاية العام 2015 إلى 57% في نهاية العام الماضي.

التعليق:

طرح ترامب خلال حملته الانتخابية شعار "إعادة أمريكا عظيمة مرة أخرى"، لذلك تراه يتورط على غير هدى من حفرة إلى حفرة جديدة. وهذا الرئيس الذي لا يمتلك من الخبرة السياسية ما يكفي لرئيس دولة بحجم أمريكا ونفوذها فإن الأوهام هي ما يسيطر عليه، ولعناده فإنه لا يستمع كثيراً لنصائح المستشارين، الذين كانوا أشاروا على أوباما من قبله بترك أفغانستان التي هزمت بريطانيا مرة، والاتحاد السوفييتي مرة أخرى، وكأنه بذلك لا يريد أن يخرج من أفغانستان بأي ماء وجه.

ومن هذا الباب تراه يعطي الجنرالات في البنتاغون صلاحيات واسعة في نقل القوات الأمريكية وتحريكها، تلك الصلاحيات التي كانت قد نقلت من الجنرالات إلى البيت الأبيض لأن تفكيرهم عسكري محض، ولا ينتصرون! فزيادة القوات لم تحقق لأمريكا النصر في العراق، وإنما ابتداع الصحوات هو ما أخرج أمريكا بشيء من ماء وجهها من العراق. وفي أفغانستان قاتلت أمريكا 15 عاماً دون أن يتحقق لها النصر، والآن يريد ترامب إعادة تجربة المجرب!

وقد يكون في هذا خير للمسلمين من حيث لم يحتسب ترامب، وذلك أن المسلمين أقوياء في القتال ولا تهزمهم جيوش الدول العظمى، هذا سطره أهل فلسطين رغم ما صوره جنرالات رويبضات العرب من أن جيش كيان يهود هو أقوى جيش في المنطقة، فأسقط أهل فلسطين العزل نظرية الردع "لكيان يهود"، التي ردعت لعشرات السنين جيوش الرويبضات عن يهود، ثم أسقط العراق ومقاومته جبروت الجيش الأمريكي، فتمرغ أنف أمريكا في رمال العراق، وتساقط جنودها بين أيدي المجاهدين، وطلبت من كافة دول العالم إنقاذها من المقاومة العراقية، وكأنها ليست دولة عظمى، وكذلك فعلت أفغانستان، من قبل حين هزمت جيوش موسكو واضطرتهم للانسحاب المذل، ثم هزمت جيوش أمريكا ومن حالفها منذ سنة 2002، ولم تنتصر أمريكا في أفغانستان، وفشلت خططها أمام المجاهدين.

والخير الذي يكمن في المسألة هو أن إرسال مزيد من القوات الأمريكية قد يجعل حركة طالبان تبتعد عن أي مفاوضات كانت أمريكا ورويبضات المنطقة يدعونها إليها لعقد صلح مع الحكومة العميلة في كابول، إذ إن الصلح الذي تريده أمريكا هو بمثابة استسلام وخضوع وقبول بالشروط الأمريكية.

وبقدر ما يكون الجيش الأمريكي منغمساً في حروبه مع المسلمين، بقدر ما ستكون ردة الفعل قوية تجاهه، حتى يأتي الله بفرجه وتقام دولة الخلافة على منهاج النبوة التي يترقبها المسلمون لحظة بلحظة، وحينها سترى أمريكا من المسلمين ما لم تره بعد، والذي سينسيها وساوس الشياطين.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

عصام البخاري

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon