أمريكا وازدواجية المعايير «إِذَا لَمْ تَسْتَحْيِ فَافْعَلْ مَا شِئْتَ»
أمريكا وازدواجية المعايير «إِذَا لَمْ تَسْتَحْيِ فَافْعَلْ مَا شِئْتَ»

الخبر:   أعلنت واشنطن عن مؤتمر صحفي، حول جرائم الحرب، والجرائم ضد الإنسانية، والتطهير العرقي في السودان، تقدمه سفيرة وزارة الخارجية الأمريكية المتجولة للعدالة الجنائية العالمية بيث فان شاك. وقالت إن السفيرة فان شاك ستناقش القرار الأخير الذي اتخذه وزير الخارجية أنتوني بلينكن، بأن أعضاء القوات المسلحة السودانية، وقوات الدعم السريع، ارتكبوا جرائم حرب، وجرائم ضد الإنسانية، والتطهير العرقي في السودان. ...

0:00 0:00
Speed:
December 18, 2023

أمريكا وازدواجية المعايير «إِذَا لَمْ تَسْتَحْيِ فَافْعَلْ مَا شِئْتَ»

أمريكا وازدواجية المعايير

«إِذَا لَمْ تَسْتَحْيِ فَافْعَلْ مَا شِئْتَ»

الخبر:

أعلنت واشنطن عن مؤتمر صحفي، حول جرائم الحرب، والجرائم ضد الإنسانية، والتطهير العرقي في السودان، تقدمه سفيرة وزارة الخارجية الأمريكية المتجولة للعدالة الجنائية العالمية بيث فان شاك.

وقالت إن السفيرة فان شاك ستناقش القرار الأخير الذي اتخذه وزير الخارجية أنتوني بلينكن، بأن أعضاء القوات المسلحة السودانية، وقوات الدعم السريع، ارتكبوا جرائم حرب، وجرائم ضد الإنسانية، والتطهير العرقي في السودان.

تقدم السفيرة المشورة لوزير الخارجية وقيادات الوزارة الأخرى بشأن القضايا المتعلقة بالمنع، والرد على الجرائم الفظيعة، بما في ذلك جرائم الحرب والجرائم ضد الإنسانية والإبادة الجماعية.

عملت السفيره أستاذة زائرة في حقوق الإنسان، في كلية الحقوق بجامعة ستانفورد، حيث قامت بالتدريس الدولي للقانون الجنائي، وحقوق الإنسان، والاتجار بالبشر، ومختبر سياسات حول الأدوات القانونية والسياسية، لمنع الأعمال الوحشية، فضلا عن قيامها بإدارة العيادة الدولية لحقوق الإنسان وحل النزاعات في جامعة ستانفورد. (نبض السودان، 13 كانون الأول/ديسمبر ٢٠٢٣م).

التعليق:

وفقا لتقرير في آذار/مارس 2021م، أصدرته مجموعة كود بينك؛ وهي مجموعة أمريكية مناهضة للحرب، فإن الولايات المتحدة وحلفاءها واصلوا قصف دول أخرى على مدار العشرين عاما الماضية، حيث أسقطوا في المتوسط أكثر من 40 قنبلة في اليوم الواحد! ولنا أن نتخيل حجم الدمار والجرائم ضد الإنسانية، والإبادة الجماعية، والتطهير العرقي الذي ارتكبته أمريكا بهذه القنابل!!

إذا كانت هناك ثم قوة، منذ أن وجدت الدول، سعت للهيمنة على العالم وقسر الآخرين وانتهاك القواعد والقيم والأعراف الدولية، من خلال اعتناق ما يسمى بـ"الاستثنائية الأمريكية"، بالإفراط في استخدام معايير مزدوجة مع عدم مراعاة القوانين والقواعد الدولية، فإنها أمريكا بدون منازع، لذلك لا يحق لهذه الدولة الاستعمارية المجرمة أن تتحدث عن جرائم الحرب، وانتهاكات حقوق الإنسان.

إن الولايات المتحدة هي التي تغذي الحروب والنزاعات المسلحة في السودان، وفي العالم، حتى أعيت صفحات التاريخ التي تئن من جرائم أمريكا بهدف السيطرة على العالم، فمنذ نهاية الحرب العالمية الثانية لم تدخر الولايات المتحدة جهدا للسعي وراء الهيمنة على العالم وسخَّرت ما يسمى بالأمم المتحدة، للتدخل في شؤون الدول، ونهبت ثروات كل دولة دخلتها وسيطرت عليها، تحت شعار حماية "الحرية والديمقراطية وحقوق الإنسان ومحاربة الارهاب".

ونجد هذا النوع من الخداع والمكر، أمراً أساسياً في عقلية أي سياسي أمريكي، بل هو نابع من المبدأ الرأسمالي الذي أوجد فكرة الاستعمار، وانطلاقا من مبدأ ترومان المعروف أيضا باسم سياسة الاحتواء، ووصولا إلى السياسات الخارجية للإدارات الأمريكية الحديثة، بما في ذلك استراتيجية باراك أوباما المعروفة باسم "القوة الذكية"، وسياسة "أمريكا أولا" التي أعلنها دونالد ترامب، وخطة "إعادة البناء بشكل أفضل"، التي وضعها جو بايدن الآن، فإن الهدف دائما هو ضمان الهيمنة الأمريكية.

وللحفاظ على هيمنتها انتهكت أمريكا بشكل صارخ مبادئ ميثاق الأمم المتحدة، وأعراف القانون الدولي مرات عديدة، بالاعتماد على قوتها العسكرية، حيث تتدخل في الشؤون الداخلية للدول، وخلقت صراعات في العراق، وأفغانستان، وسوريا، واليمن، والسودان وغيرها...

وقد عملت الولايات المتحدة على تأجيج التوترات في جميع أنحاء العالم، من خلال الإطاحة بالحكومات بالانقلابات العسكرية، باستخدام قادة القوات المسلحة التابعين لها في هذه البلدان، لأن الناس إن تركوا في انتخابات حرة نزيهة، لاختاروا الإسلام، وتجربتا الجزائر ومصر خير مثالين. لذلك انتزعت أمريكا العسكر من يد الاستعمار القديم لتستخدم الحكام العسكر الأكثر بطشا ببني جلدتهم، فحكموا بالحديد والنار. وفي السودان، فإن كل الانقلابات العسكرية خدمت النفوذ الأمريكي منذ جعفر نميري وحتى انقلاب البشير ثم البرهان.

فكيف لأكبر مخرب للقيم الإنسانية والأعراف، ومصدر تزايد عدم اليقين، وعدم الاستقرار في العالم، أن يقيم مؤتمرا عن جرائم الحرب وانتهاكات حقوق الإنسان في السودان، وهو المسؤول الأول عن إشعال الحرب فيه؟! لقد أدت تدخلات الولايات المتحدة إلى جعل السودان الأكثر فوضوية وتعقيدا، مع نزاعات متكررة، وتطهير عرقي، غير مسبوق، ونزوح عدد لا يحصى من اللاجئين، وحقا كما يقول ﷺ: «إِذَا لَمْ تَسْتَحْيِ فَافْعَلْ مَا شِئْتَ».

لن يوقف ازدواجية المعايير، والتشدق بالقيم والمثل الذي تتبناه أمريكا إلا دولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة، تلك الدولة المبدئية التي تطبق شرع رب العالمين الرحمن الرحيم، فهي الدولة الرائدة للبشرية جمعاء.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

غادة عبد الجبار (أم أواب) – ولاية السودان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon