عن أي مصلحة تتحدثون أيها الواهمون؟
عن أي مصلحة تتحدثون أيها الواهمون؟

الخبر: أكد الدكتور الهادي إدريس رئيس الجبهة الثورية السودانية ورئيس حركة جيش تحرير السودان أن مصلحة السودان تعلو فوق كل المصالح، وأشار في حواره مع وكالة السودان للأنباء إلى تأييده لأي اتجاه يصب في مصلحة تقدم البلد وتطوره خاصة في إقامة علاقات مع الدول أو المؤسسات الخارجية مرحباً في هذا الصدد بعملية التطبيع مع (إسرائيل) إن كان يفضي إلى ما هو خير في مصلحة السودان لافتاً إلى تطبيع عدد من الدول مع (إسرائيل) لمصلحة اقتصادهم وأمنهم مردفاً بالقول "السودان ليس استثناء من تلك الدول". (وكالة السودان للأنباء 2020/12/2م).

0:00 0:00
Speed:
December 13, 2020

عن أي مصلحة تتحدثون أيها الواهمون؟

عن أي مصلحة تتحدثون أيها الواهمون؟


الخبر:


أكد الدكتور الهادي إدريس رئيس الجبهة الثورية السودانية ورئيس حركة جيش تحرير السودان أن مصلحة السودان تعلو فوق كل المصالح، وأشار في حواره مع وكالة السودان للأنباء إلى تأييده لأي اتجاه يصب في مصلحة تقدم البلد وتطوره خاصة في إقامة علاقات مع الدول أو المؤسسات الخارجية مرحباً في هذا الصدد بعملية التطبيع مع (إسرائيل) إن كان يفضي إلى ما هو خير في مصلحة السودان لافتاً إلى تطبيع عدد من الدول مع (إسرائيل) لمصلحة اقتصادهم وأمنهم مردفاً بالقول "السودان ليس استثناء من تلك الدول". (وكالة السودان للأنباء 2020/12/2م).

التعليق:


لا بد للإنسان وهو يحيا في هذه الدنيا أن يكون له مرجع يعود إليه ومقياس ينضبط به وينقاد له ثم يحدد موقفه تجاه الأشياء والأعمال قبل أن يقدم عليها، ثم بعد ذلك ما يراه خيراً يقدم عليه وما يراه شراً يحجم عنه. فهل تطبيع العلاقات مع كيان يهود قيس بمقياس صحيح؟


أولاً: إصدار الأحكام المسبقة على عملية التطبيع مع كيان يهود دون ترو ودون استقاء العبر ممن سبق لهذا المنحدر الذي يهوي إلى مكان سحيق وتوهم المصلحة من توثيق العلاقات مع اليهود أمر غير مستغرب بل هو أمر طبيعي لرئيس الحركة الثورية، فقد تأسست هذه الحركات المسلحة من دعم اليهود والنصارى الحاقدين على الإسلام والمسلمين وكانت معولاً وأداة في يد الداعمين ورهن إشارتهم، فمقياس المصلحة عندهم هو إملاءات وليس مصلحة. وقد ولغت الجبهة الثورية في الدم الحرام داخل وخارج السودان كمرتزقة في ليبيا واليمن، فمن اتصف بهذه الصفات لا يمكن أن يرى التطبيع مع كيان يهود وفق مقاييس الإسلام بل بمقاييس المصلحة الشخصية، والمصلحة بهكذا فهم هي من أخطر الأفكار التي استطاع أن يبثها الغرب الرأسمالي بين المسلمين؛ فهي مصلحة يحددها البشر مع عجزه ونقصه واحتياجه، وهي مقياس الأعمال عند الغرب وعليها قام المبدأ الرأسمالي وهي المفهوم البارز في النظام وفي الحضارة الغربية، ولهذا كانت الحضارة الغربية حضارة نفعية بحتة لا تقيم لغير المنفعة أي وزن ولا تعترف إلا بالنفعية وتجعلها هي المقياس للأعمال، وعليه فالغرب يدعي أن الإنسان أدرى وأعلم بمصالحه وبكيفية تحقيقها لأن التشريع للإنسان أي للطاغوت، فالهوى هو المشرع وهو المحدد للمصالح والمسير للسلوك الإنساني فكيف يقبل بتلك الضلالة عاقل؟! إن هذه النظرة الخاطئة للمصلحة تؤدي إلى إحداث الغموض والإبهام والتذبذب في الولاء.


إن من يحدد المصلحة هو الوحي وحده لأنه هو الذي جاء بالمصلحة ﴿أَلَا يَعْلَمُ مَنْ خَلَقَ وَهُوَ اللَّطِيفُ الْخَبِيرُ﴾، وهو الذي يحدد هذه المصلحة وكيف يمكن الحصول عليها، أما أن يترك تقريرها للعقل البشري فسيشكل أمر تقرير المصلحة الحقيقية؛ لأن العقل محدود فهو لا يستطيع أن يحيط بكنه الإنسان وحقيقته ومصالحه ومفاسده، فلا يستطيع أن يقرر ما هو مصلحة للإنسان أو مفسدة، ولا يدرك حقيقة الإنسان إلا خالقه. ولقد كفانا الله شر القتال بشرعه الحنيف الذي لا يأتيه الباطل من بين يديه ولا من خلفه، ولأن الله تعالى خلقنا ويعلم عجزنا وقصورنا وتسرب الظن إلى حكمنا على الأشياء لم يترك لنا تحديد ما يصلح وما يضر. وعدم الإحاطة بالوجود تجعل الحكم على الشيء من البشر مصلحة اليوم ثم يتبين له أن الشيء نفسه مفسدة وقد يحصل ذلك بالنسبة للمفسدة، فيقول عن الشيء إنّه مفسدة اليوم ثم يتبين له غداً أنه مصلحة فيصبح الشيء الواحد مصلحة ومفسدة، وهذا لا يجوز ولا يكون؛ إذ الشيء إما مصلحة وإما مفسدة للحالة الواحدة، وإلا تصبح المصلحة مصلحة اعتبارية لا مصلحة حقيقية.


إن اتفاقيات التطبيع تتيح لكيان يهود الدخول والسيطرة الكاملة واختراق المجتمعات وبث بذور الفتنة والانقسام بداخلها، لأن منطلقات يهود في بناء علاقاته مع أي دولة تكمن في زيادة نفوذه واختراق العالم الإسلامي ومحاصرته وفق نظرية بن غوريون منذ خمسينات القرن الماضي، وتكفي الإشارة لتجربة أربعين عاماً من مسار التسوية والمعاهدات بين دول عربية وكيان يهود لم تحقق السلام والاستقرار في المنطقة ولم تحقق مصالح. والتطبيع بهذه الدوافع سيجعل السودان تحت (رحمة!) أخبث خلق الله اليهود فيكون الدواء داء والهبات يدس فيها المرض، فاليهود لا يعطون لله بل ما دخلوا بلداً إلا أفسدوها ودمروها وجعلوا أهلها تحت (رحمتهم!). فلا يحقق مصلحة المسلمين إلا شرع الله الذي تقيمه دولة الخلافة الراشدة وتقطع دابر اليهود وأشياعهم، وعليه فلا يستطيع أن يقرر بشر كائناً من كان ما هو مصلحة أو مفسدة للناس على وجه التحقق إلا خالق الإنسان وهو الله سبحانه وتعالى، فما علينا إلا اتباع ما أمر به؛ فطاعة الله ورسوله أنفع لنا، فقد جاء في مسند الإمام أحمد، عَنْ رَافِعِ بْنِ خَدِيجٍ قَالَ: «كُنَّا نُحَاقِلُ بِالْأَرْضِ عَلَى عَهْدِ رَسُولِ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ فَنُكْرِيهَا بِالثُّلُثِ وَالرُّبُعِ وَالطَّعَامِ الْمُسَمَّى فَجَاءَنَا ذَاتَ يَوْمٍ رَجُلٌ مِنْ عُمُومَتِي فَقَالَ نَهَانَا رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ عَنْ أَمْرٍ كَانَ لَنَا نَافِعاً وَطَاعَةُ اللَّهِ وَرَسُولِهِ أَنْفَعُ لَنَا نَهَانَا أَنْ نُحَاقِلَ بِالْأَرْضِ فَنُكْرِيَهَا عَلَى الثُّلُثِ وَالرُّبُعِ وَالطَّعَامِ الْمُسَمَّى وَأَمَرَ رَبَّ الْأَرْضِ أَنْ يَزْرَعَهَا أَوْ يُزْرِعَهَا وَكَرِهَ كِرَاءَهَا وَمَا سِوَى ذَلِك فطاعة الله ورسوله أنفع» فرحم الله صحابة رسول الله ﷺ؛ لقد كانوا يعتبرون طاعة الله هي الأنفع والأولى في كل حال، فقد كانوا يرون أن كراء الأرض وهي عبارة عن تأجير الأرض للزارعة فقط، لقد كانوا يرونها نافعة وخيراً لما تجلب لهم من منفعة، ولكن لما أتى الله بتحريمها عدلوا عن رأيهم وعدوا أن طاعة الله أنفع وأولى. لقد حق لهؤلاء أن يكونوا سادة الدنيا وسادتنا. فالمنفعة ليست فيما يقرره العقل بل المنفعة الحقيقية هي في طاعة الله ورسوله بالتقيد بالأحكام الشرعية.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
غادة عبد الجبار (أم أواب)

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon