انقسام الغرب على النظام الليبرالي فرصة يجب عدم تفويتها
انقسام الغرب على النظام الليبرالي فرصة يجب عدم تفويتها

الخبر: التقى الكفر والإجرام بزيارة ترامب الأخيرة لأوروبا، وكان القادة الأوروبيون في البداية مندهشين وأصبحوا بعدها غاضبين بسبب عدم التزام ترامب بالعديد من المبادرات الغربية، وقد فسر البعض السبات العام كعلامة مشؤومة على أن الغرب في تراجع، في حين اختار آخرون التأكيد على الفراغ القيادي الذي خلفته أمريكا في العالم.

0:00 0:00
Speed:
June 13, 2017

انقسام الغرب على النظام الليبرالي فرصة يجب عدم تفويتها

انقسام الغرب على النظام الليبرالي فرصة يجب عدم تفويتها

الخبر:

التقى الكفر والإجرام بزيارة ترامب الأخيرة لأوروبا، وكان القادة الأوروبيون في البداية مندهشين وأصبحوا بعدها غاضبين بسبب عدم التزام ترامب بالعديد من المبادرات الغربية، وقد فسر البعض السبات العام كعلامة مشؤومة على أن الغرب في تراجع، في حين اختار آخرون التأكيد على الفراغ القيادي الذي خلفته أمريكا في العالم.

التعليق:

ليس هناك شك في أن جدول أعمال ترامب يتضمن تعطيل الوحدة الغربية، وعدم التزامه بالمادة الخامسة من منظمة حلف شمال الأطلسي (الناتو)، والتهديدات بإصلاح العجز التجاري لأمريكا مع ألمانيا، والانسحاب من اتفاق باريس، جعل الأوروبيين يعتقدون أن أمريكا لم تعد شريكا لأوروبا، فقد كانت لهجة ترامب سلبية بشأن العلاقة عبر الأطلسي بين أوروبا وأمريكا.

مع ذلك، ليست هذه المرة الأولى التي تتراجع فيها شراكة أوروبا مع أمريكا، فمنذ نهاية الحرب الباردة، ظهرت أزمات عدة كانت تهدد بتقويض وحدة الغرب، وبرز الانقسام الأكثر وضوحًا بين أمريكا وأوروبا في الفترة التي سبقت الحرب على العراق في عام 2003م، لكن ذلك الانقسام ضئيل مقارنة بالصدع الحالي بين الأطلسي وأمريكا، والذي يهدد بتمزيق الجبهة الغربية بأكملها. قالت ميركل: "إن الأوقات التي نستطيع فيها الاعتماد على الآخرين قد انتهت، كما شاهدت ذلك في الأيام القليلة الماضية، وكل ما يمكنني قوله هو أننا نحن الأوروبيين يجب أن نقرر مصيرنا بأيدينا".

إن الخلاف بين أوروبا وأمريكا مرده اختلاف الآراء حول العلاقات الدولية، الأوروبيون الذين تقودهم ألمانيا يلتزمون بالليبرالية الدولية التي تؤكد في جوهرها على أهمية الأمن الجماعي والتعاون بين القوى العظمى والسلام المنجز من خلال نشر الديمقراطية والتجارة الحرة والتمسك القوي بالمؤسسات الدولية التي يقوم عليها القانون الدولي؛ وأمريكا في الماضي كانت قد أعربت عن تأييدها لبعض هذه الأفكار، لكن اعتمادها على الانفرادية هو الذي أخلّ بالعلاقات مع أوروبا، وأصل إنشاء النظام الليبرالي لكل من أوروبا وأمريكا اللتين عملتا كأوصياء عليه.

مع رحيل أوباما وقدوم ترامب، والنظام الليبرالي في حالة تغير مستمر، ويرجع ذلك إلى أن ترامب مؤيد لرأي "توماس هوبز" أو "الهوبزي" في العلاقات الدولية، والذي يقوم على الحفاظ على الدولة أو المصلحة الوطنية واتباع سياسة العدوان واستخدام القوة في السيطرة على العلاقات مع الأمم الأخرى، وهذا يعني أن العلاقات بين الدول هي مجرد معاملات، يتم فيها تجنب الشراكات - إن وجدت -، فهي ببساطة مؤقتة في جوهرها، وفي الشهر الماضي، دعت إدارة ترامب إلى هذه الفكرة باعتبارها حجر الزاوية في سياستها الخارجية الأمريكية الأولى: "العالم ليس المجتمع العالمي" بل هو ساحة تشارك فيه الدول والجهات الفاعلة غير الحكومية والمنافسة من أجل الامتيازات، والعالم بالنسبة للسياسة الخارجية هو للمعاملات فقط، ويتم التركيز الكبير على الصفقات بدلًا من بناء علاقة دائمية. واتضح ذلك من زيارة ترامب للسعودية، حيث قام بابتزاز السعودية لإعطائه أكثر من 450 مليار دولار مقابل أمنها، ورفض في أوروبا الموافقة على اتفاق باريس للمناخ مشيرًا إلى أنه يضر بالاقتصاد الأمريكي.

مع انفصال أوروبا عن أمريكا، نشأت حالة من الانفتاح للقوى العظمى الأخرى للعب دور قيادي في الشؤون الدولية، وبصورة ظاهرية، أشارت الصين إلى تفضيلها للنظام الليبرالي وأنها تدعم اتفاق باريس وغيره من المعاهدات الدولية، ولكن إلى أي مدى ستذهب الصين نحو تبني النظام الليبرالي؟ هذا السؤال يبقى سؤالًا مفتوحًا. في الوقت نفسه، فإن روسيا أكثر حذرًا في نهجها والذي يظهر في سياستها الخارجية، أما بريطانيا فإن لديها جرحاً داخلياً من خلال (البريكسيت)، ولم تعد تتمتع بعلاقات جيدة مع الاتحاد الأوروبي أو مع أمريكا.

أحد الأطراف الغائبين عن هذا التحول في الموقف الدولي هو الأمة الإسلامية، والتي تفتقر إلى دولة حقيقية تمثلها على الساحة الدولية، ومع ذلك فإن الانشقاقات العميقة في الغرب، وعدم توفير القوى العظمى لبدائل تحل محل النظام الليبرالي المنهار، يمثل فرصة ذهبية لأبناء الأمة لإقامة الخلافة على منهاج النبوة وتجيير الوضع الدولي لصالح الإسلام.

يمكن للخلافة على منهاج النبوة بكل سهولة دعم ألمانيا من خلال تزويدها بالنفط الرخيص وتشجيعها على التسلح، ومن شأن مثل هذا التطور أن تقع بريطانيا وفرنسا وروسيا في مواجهة التوسع الألماني وبالتالي غرق القارة الأوروبية في حرب كبيرة معها. قبل أكثر من مائة عام، استخدم السلطان عبد الحميد الثاني ألمانيا لمواجهة روسيا وبريطانيا وفرنسا لكنه فشل بسبب خيانات داخلية. أما هذه المرة فإنه يمكن للخلافة القائمة قريبا بإذن الله تحقيق انتصار غير عادي من خلال تشجيع الصين لاستعادة تايوان وغيرها من الأراضي المتنازع عليها. الأزمة على جبهتين ستضعف أمريكا وتقوض من قدرتها على مواجهة الخلافة في توحيد البلاد الإسلامية. هل هناك من بين جيوش العالم الإسلامي من يعي هذه الظروف خلال شهر رمضان المبارك؟

﴿وَمَنْ يَتَّقِ اللَّهَ يَجْعَلْ لَهُ مَخْرَجًا * وَيَرْزُقْهُ مِنْ حَيْثُ لَا يَحْتَسِبُ وَمَنْ يَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّهِ فَهُوَ حَسْبُهُ إِنَّ اللَّهَ بَالِغُ أَمْرِهِ قَدْ جَعَلَ اللَّهُ لِكُلِّ شَيْءٍ قَدْرًا

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

عبد المجيد بهاتي – باكستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon