انتهى عهد الشعارات العابرة للقارات  فهذا زمن الفعل والإنجاز
انتهى عهد الشعارات العابرة للقارات  فهذا زمن الفعل والإنجاز

  الخبر: أكد الرئيس التونسي قيس سعيّد، أن موقف بلاده من التطبيع مع (إسرائيل) "ثابت برفضه"، واصفا التفكير به بأنه "تعبير عن الانهزامية". جاء ذلك وفق كلمة مصورة للرئيس التونسي، الجمعة 2023/11/03، بثها التلفزيون الرسمي للبلاد، وتابعها مراسل الأناضول.

0:00 0:00
Speed:
November 09, 2023

انتهى عهد الشعارات العابرة للقارات فهذا زمن الفعل والإنجاز

انتهى عهد الشعارات العابرة للقارات

فهذا زمن الفعل والإنجاز

الخبر:

أكد الرئيس التونسي قيس سعيّد، أن موقف بلاده من التطبيع مع (إسرائيل) "ثابت برفضه"، واصفا التفكير به بأنه "تعبير عن الانهزامية". جاء ذلك وفق كلمة مصورة للرئيس التونسي، الجمعة 2023/11/03، بثها التلفزيون الرسمي للبلاد، وتابعها مراسل الأناضول.

وقال سعيد: "الموقف التونسي من التطبيع ثابت برفضه، ولا توجد في قاموسي كلمة تطبيع، والتفكير بهذه الطريقة تعبير على الانهزامية، ولا يمكن أن يكون فكر المقاوم والفدائي بهذا الشكل".

وأضاف: "الخوض في ذلك الآن ليس منطقيا، لأننا في لحظات تاريخية يواجه فيها الشعب الفلسطيني أبشع الجرائم، بعزيمة الفدائي المقاوم، وهي نفس العزيمة التي نتقاسمها معه، لأننا لا نرضى إلا بالنصر أو الاستشهاد"، وفق تعبيره.

وأشار الرئيس التونسي إلى أن بلاده "لا تمتلك الصواريخ العابرة للقارات، لكنها تمتلك المواقف العابرة للقارات، ولا تقبل المساومة". (وكالة الأناضول)

التعليق:

إن قضية فلسطين، هي قضية المسلمين جميعا، وهي ليست قضية فلسطينية وطنية تُختزل في صراع فلسطيني (إسرائيلي) على قطعة أرض، ولا قضية قومية تختزل في صراع عربي صهيوني يُقصي نظام الإسلام من الوجود، إنما هي قضية صراع بين إسلام وكفر لا يقبل الحلول الوسطى. حيث عمدت قوى الكفر بداية القرن الماضي، إلى زرع كيان يهود في أرض الإسراء والمعراج ليكون خنجرا مسموما في خاصرة الأمة وقاعدة متقدمة للغرب في بلاد الإسلام بل في قلب العالم الإسلامي النابض (فلسطين)، وذلك لضمان عدم وحدة المسلمين على أساس عقيدتهم ودينهم، وليبقى الصراع حول حدود وهمية صنعها الاستعمار، يحافظ على بقائها حكام عملاء كرّسوا الحكم بغير ما أنزل الله وفرضوا تطبيق العلمانية التي تفصل الدين عن الدولة، فلم يخدموا إلا مصالح التحالف الصهيوني-الصليبي ضد أمة الإسلام، مهما رفعوا من شعارات عابرة للقارات...

وعليه، فإن الخيانة الموصوفة لقضية فلسطين، تبدأ من تضييع البوصلة، وتغييب الإسلام وأحكامه بوصفه الحل الشرعي والوحيد لتحرير الأرض المباركة من رجس يهود، بل تبدأ من تنكيس راية الإسلام وتغييب ذروة سنام الإسلام (وهو الجهاد في سبيل الله) ورفع الرايات الاستعمارية التي مزقت الأمة إلى أشلاء تحت شعارات الوطنية، وهذا ما دأبت عليه الأنظمة المتواطئة مع هذا الكيان منذ تأسيسه.

نعم، هكذا تبدأ الخيانة العظمى للإسلام والمسلمين، وهو ما حصل منذ إلغاء الخلافة العثمانية كمقدمة لتحقيق وعد بلفور، وتنتهي بطرح موضوع "التطبيع" للنقاش، سواء بالرفض أم بالقبول، لأن في كليهما اعترافاً بالوجود، ثم حصر الأمر في الكلام دون الأفعال، وهذا هو عين الخذلان. وقد قالها مؤخرا الناطق باسم حكومة نتنياهو؛ بأن القضية هي قضية وجود لا قضية حدود، وكررها غيره من الصهاينة؛ بأنهم يسعون إلى دولة يهودية على أرض فلسطين، فهل يقدر الرئيس الحريص على المواقف الاستثنائية على رفع سقف المعركة إلى دولة إسلامية ترفع راية الإسلام وتحقق واجب الجهاد في سبيل الله، أم سيكتفي بتخدير الأتباع بالشعارات العابرة للقارات، ثم يعود إلى التمسح على قبر بورقيبة وحراسة النظام الجمهوري العلماني، وكفى الله المؤمنين "شر" القتال؟!

لقد أتقن جميع الحكام دورهم في إطلاق صواريخ الكلام كل حسب مداه، وخوض المعارك الوهمية كل حسب جهده، أما الفعل فأقله تضخيم للعدو الصهيوني وفق نظرية المؤامرة، وما الحديث عن إعصار "دانيال" وعن تهريب "الإرهابيين" عنا ببعيد، وأقصاه عجز عن تمرير قانون يتيم يُجرّم "التطبيع" شكليّا، بحجة عدم الإضرار بالمصالح الخارجية، واصطفاف واضح في محور "الممانعة" الذي انكشفت سوءته، بعد وضع اليد في أيدي الطاغية بشار الملطخة بالدماء.

وأما الحقيقة التي يسكت عنها الجميع في تونس، فهي أن القانون مرفوض من قبل "الإسرائيليين" الذين يتوافدون سنويا إلى جربة، فهم يرفضون وجود قانون يدينهم، ولو ضمن سقف الوطنية التي تحرس زياراتهم وتؤمن مصالحهم. قبح الله وجه من أنشأها وكرّسها ورعاها وجعلها قبّة حديدية تحرس كيان يهود، وتمنع أمة الجهاد من اقتلاع هذا الكيان المسخ من جذوره، ومن الاستشهاد في سبيل الله.

لقد جاءت أحداث غزة لتؤكد أن الأمة الإسلامية تتوق إلى يوم المواجهة، وتتحضر للموقف الفاصل، وأنها متأهبة ومستعدة للبذل والتضحية من أجل إنجاز التحرير، وتطهير المسجد الأقصى من رجس يهود. بل لقد شكل "طوفان الأقصى" الوعي اللازم لديها، وجعلها تميّز وتفرّق بين وهم الكلام وقوّة الإنجاز، فما أنجزه أبطال غزة في ساعات، عجزت عن فعله الأنظمة مجتمعة لعقود. ولذلك وجهت الأمة بوصلتها إلى جيوشها، تلك القوّة المختطَفة من قبل الأنظمة العميلة الحاكمة في بلادنا، والتي توفر الحماية لكيان يهود، فصار لزاماً أن تبدأ خطة التحرير باستعادة الأمة لسلطانها المسلوب، وإجبار حكامها للتحرك وتحريك الجيوش نحو فلسطين، فإن أبوا فخلعهم واجب، وإقامة خليفة ينقاد للإسلام ويقودنا به واجب، حينئذٍ يفتح الطريق نحو فلسطين، وحينها يكون النصر قاب قوسين أو أدنى، ولسان حالنا يقول لكم: ﴿ادْخُلُوا عَلَيْهِمُ الْبَابَ فَإِذَا دَخَلْتُمُوهُ فَإِنَّكُمْ غَالِبُونَ وَعَلَى اللهِ فَتَوَكَّلُوا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ﴾.

نعم، نحن على موعد مع طوفان الأمة الذي تقوده دولة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة قريبا بإذن الله، فمن أراد النصر والاستشهاد فليتيقن أن الإسلام هو سفينة النجاة، ومن أبى فسيجرفه طوفان الأمة وإن تعلق بأستار الكعبة. قال تعالى: ﴿وَلَيَنصُرَنَّ اللهُ مَن يَنصُرُهُ إِنَّ اللهَ لَقَوِيٌّ عَزِيزٌ﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

المهندس وسام الأطرش – ولاية تونس

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon