انتخابات أخرى، هجوم إرهابي آخر! (مترجم)
انتخابات أخرى، هجوم إرهابي آخر! (مترجم)

الخبر:   وقع هجوم إرهابي في موسكو مساء الجمعة. ففي 22 آذار/مارس، ذكرت وكالة ريا نوفوستي: "في يوم الجمعة، وقع هجوم إرهابي في مجمع كروكوس للحفلات الموسيقية في شمال غرب موسكو، ووفقاً للمعلومات الأولية، فإنّ ثلاثة أشخاص على الأقل فتحوا النار وهم يرتدون ملابس مموهة، ووقعت لاحقاً انفجارات، أدّى الحريق على إثرها إلى تدمير الطوابق العليا من المبنى بشكل شبه كامل، ومقتل أربعين شخصاً وإصابة أكثر من مائة آخرين".

0:00 0:00
Speed:
April 01, 2024

انتخابات أخرى، هجوم إرهابي آخر! (مترجم)

انتخابات أخرى، هجوم إرهابي آخر!

(مترجم)

الخبر:

وقع هجوم إرهابي في موسكو مساء الجمعة. ففي 22 آذار/مارس، ذكرت وكالة ريا نوفوستي: "في يوم الجمعة، وقع هجوم إرهابي في مجمع كروكوس للحفلات الموسيقية في شمال غرب موسكو، ووفقاً للمعلومات الأولية، فإنّ ثلاثة أشخاص على الأقل فتحوا النار وهم يرتدون ملابس مموهة، ووقعت لاحقاً انفجارات، أدّى الحريق على إثرها إلى تدمير الطوابق العليا من المبنى بشكل شبه كامل، ومقتل أربعين شخصاً وإصابة أكثر من مائة آخرين".

التعليق:

لقد أصبح تقليداً في روسيا أنه عندما تأتي الأوقات السياسية والاقتصادية الصعبة، تحدث هجمات إرهابية في البلاد. وصل بوتين إلى السلطة إثر موجة من الهجمات الإرهابية عندما وقعت سلسلة من الانفجارات في مدن بويناكسك وموسكو وفولجودونسك الروسية في عام 1999.

وفي ذلك الوقت، اختلف العديد من الخبراء والصحفيين مع نتائج التحقيق الرسمي وأيّدوا رواية أنّ التفجيرات تمّ تنظيمها من قبل جهاز الأمن الفيدرالي من أجل وصول بوتين إلى السلطة. وهناك العديد من هذه الأمثلة.

كقاعدة عامة، هناك عدّة مكونات في الهجمات الإرهابية الروسية. أمّا بالنسبة للعامل الإسلامي، فإنّ المشاركين هم مواطنون من القوقاز أو آسيا الوسطى، وهم إما قُتلوا على الفور أو قُبض عليهم في أقصر وقت ممكن. ولم يكن الهجوم الإرهابي في قاعة مدينة كروكوس استثناءً. وفي اليوم التالي أُعلن عن اعتقال 11 شخصاً و4 مشاركين مباشرين في الهجوم. وأعلن تنظيم الدولة مسؤوليته عن الهجوم من خلال خلية خراسان. والمعتقلون هم من الطاجيك، ومواطنون في طاجيكستان.

إذا تحدثنا عن الهجوم الإرهابي نفسه:

أولاً: من المستحيل تخيل موسكو دون وقوف ضباط الشرطة في كل زاوية، ناهيك عن إقامة حفلات موسيقية كبيرة دون مشاركة الشرطة والتعزيزات، ناهيك عن الوضع العسكري والتحذيرات من احتمال حدوث هجمات إرهابية. وهكذا، في 8 آذار/مارس، حثت سفارة الولايات المتحدة في روسيا الأمريكيين في البلاد على تجنّب التجمعات الكبيرة من الناس بسبب التهديد بهجمات إرهابية. وقال بوتين في اجتماع لمجلس إدارة جهاز الأمن الفيدرالي في 19 آذار/مارس: "أودّ أيضاً أن أذكركم بالتصريحات الاستفزازية الأخيرة، بصراحة، الصادرة عن عدد من المؤسسات الغربية الرسمية حول احتمال وقوع هجمات إرهابية في روسيا. كل هذا يشبه الابتزاز الصريح ونية تخويف مجتمعنا وزعزعة استقراره". ومع ذلك، يطلق المجرمون النار على الناس، ويشعلون النار في المبنى ويبتعدون دون أن يواجهوا أي مقاومة في طريقهم.

ثانيا: يعرف أي شخص عاش في موسكو ما هي الاختناقات المرورية، وفي مساء يوم الجمعة، تكون ساعة الذروة، عندما يميل الناس إلى مغادرة الضواحي، ولا يستطيع المجرمون القدوم والخروج بسهولة من مسرح الجريمة، مسلّحين ببنادق آلية ووسيلة لإشعال الحرائق على نطاق واسع. ومما سبق يمكننا أن نستنتج أن سلطات البلاد، وعلى وجه الخصوص جهاز الأمن الفيدرالي، متورطة في هذه الجريمة.

أما عن الغرض من هذا الهجوم الإرهابي، فقد أصدرت الولايات المتحدة مباشرةً بعد الهجوم بياناً قالت فيه إن أوكرانيا لم تكن متورطة وأنّ الهجوم نفّذه تنظيم الدولة الإسلامية. وصرّح رئيس الخدمة الصحفية لمجلس الأمن القومي بالبيت الأبيض، إدريان واتسون بأنه "لا علاقة لأوكرانيا بالهجوم الإرهابي الذي وقع في قاعة مدينة كروكوس في منطقة موسكو، المسؤولية الكاملة عن الهجوم تقع على عاتق تنظيم الدولة الإسلامية".

من الواضح أنه في الوقت الحالي، على خلفية الانتخابات الأمريكية، يدور صراع على السلطة في الداخل، وأمريكا لا تريد أي تغييرات غير منضبطة في الحرب بين أوكرانيا وروسيا. ولذلك تحاول الولايات المتحدة فرض فكرة تورّط تنظيم الدولة في الهجوم الإرهابي على العالم أجمع، وعلى روسيا بشكل خاص.

وتؤيد القوى الأجنبية المعارضة للكرملين فكرة تورط تنظيم الدولة الإسلامية في الهجوم الإرهابي وتحاول إظهار أنّ بوتين ضعيف ولا يسيطر على الوضع في البلاد، وأنّ الأجهزة الخاصة لا تستطيع منع الهجوم الإرهابي حتى في موسكو، وهو الأمر الذي يقولون إنه تم التحذير منه مسبقا.

وبدوره، ألقى الكرملين باللوم على أوكرانيا والقوى الموالية للغرب في الهجوم الإرهابي. وبحسب بوتين، كان الإرهابيون المعتقلون يتجهون نحو أوكرانيا، حيث زُعم أنّ الجانب الأوكراني أعدّ "نافذة" معينة لعبور الحدود. وقال جهاز الأمن الفيدرالي (FSB) إن الإرهابيين خططوا لعبور الحدود بين روسيا وأوكرانيا وكانت لديهم "اتصالات مناسبة على الجانب الأوكراني".

تسمى الحرب في أوكرانيا، التي تخضع لرقابة الكرملين، بعملية عسكرية خاصة. لكن في صباح يوم 22 مارس/آذار، وقبل الهجوم الإرهابي مباشرة، سمح السكرتير الصحفي لبوتين، في مقابلة مع مجلة Argumenty i Fakty، لنفسه أن يقول هذا: "نحن في حالة حرب. نعم، لقد بدأت العملية كقوة عسكرية خاصة، ولكن بمجرد تشكيل هذه المجموعة هناك، وعندما انخرط الغرب كله في هذا الأمر إلى جانب أوكرانيا، أصبحت حرباً فعلية بالنسبة لنا، أنا مقتنع بذلك"، وهو ما يوحي بأن الكرملين لن يذهب إلى محادثات السلام، لكنه ينوي إنهاء ما بدأه.

وفي 17 آذار/مارس، انتهت الانتخابات، حيث لم يشكّ أحد في بقاء بوتين في السلطة. وكما يحدث عادة، مباشرةً بعد الانتخابات، يبدأ بوتين بتدمير شعب روسيا بحماسة أكبر.

في الوقت الحالي، هناك استياء متزايد في روسيا بشأن مدة الحرب في أوكرانيا، وعدم الرغبة في الموت. وتحتاج السلطات إلى سبب مقنع للتعبئة مرةً أخرى ومواصلة الحرب بشراسة أكبر. وهذا الهجوم الإرهابي هو على وجه التحديد ما يحتاج إليه الكرملين لإقناع الشعب الساخط بخوض الحرب في أوكرانيا. ولذلك نسمع مسؤولي الكرملين يصرّون على تورّط أوكرانيا في الهجوم.

يبقى شيء واحد صحيح، وهو أنّ الكفار يستخدمون قاعدة الغاية تبرر الوسيلة! إنّ الكفار يضحّون بشعبهم من أجل تحقيق أهدافهم. إنهم غير مهتمين ولا يهتمون برغبات الناس ولا بمشاكلهم. إنهم مستعدون لتفجير وقتل رعاياهم من أجل الوصول إلى السلطة والثروة والنجاح.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

إلدر خمزين

عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon