انتخابات ديمقراطية في ظل أنظمة الكفر أم البيعة لخليفة في ظل دولة الخلافة؟
انتخابات ديمقراطية في ظل أنظمة الكفر أم البيعة لخليفة في ظل دولة الخلافة؟

الخبر:   ستجرى انتخابات رئاسية مبكرة يوم 12 آذار/مارس، بقرار من رئيس تركمانستان قربانغولي بيردي محمدوف في المجلس الوطني لمجلس الشعب. وفي هذا السياق انطلقت دعاية سيردار بيردي محمدوف، نجل الرئيس قربانغولي بيردي محمدوف، المرشح لرئاسة الجمهورية، في مكاتب تركمانستان في إقليمي البلقان وليباب. (راديو أزاتليك – تركمانستان – 2022/02/18م)

0:00 0:00
Speed:
February 26, 2022

انتخابات ديمقراطية في ظل أنظمة الكفر أم البيعة لخليفة في ظل دولة الخلافة؟

انتخابات ديمقراطية في ظل أنظمة الكفر أم البيعة لخليفة في ظل دولة الخلافة؟

الخبر:

ستجرى انتخابات رئاسية مبكرة يوم 12 آذار/مارس، بقرار من رئيس تركمانستان قربانغولي بيردي محمدوف في المجلس الوطني لمجلس الشعب. وفي هذا السياق انطلقت دعاية سيردار بيردي محمدوف، نجل الرئيس قربانغولي بيردي محمدوف، المرشح لرئاسة الجمهورية، في مكاتب تركمانستان في إقليمي البلقان وليباب. (راديو أزاتليك – تركمانستان – 2022/02/18م)

التعليق:

بيردي محمدوف، الذي أصبح رئيساً بالنيابة بعد وفاة نيازوف في 21 كانون الأول/ديسمبر 2006، انتخب رئيساً في شباط/فبراير 2007. وفقاً للمراقبين الدوليين، يدير بيردي محمدوف أحد أكثر الأنظمة قمعاً وانغلاقاً في العالم اليوم. في واقع الأمر فإنه يمنع الوصول إلى الإنترنت على أعلى مستوى من أجل عزل الناس عن الأخبار العالمية، ومنع تواصلهم مع بعضهم بعضاً ومنع انتقاد النظام. في الواقع وصلت هذه الممارسة إلى الحد الذي تقوم به الحكومة بجمع أطباق الأقمار الصناعية! ومن أكبر ضغوط هذا النظام أنه لا يسمح باستخدام تعبيرات دينية وسياسية بديلة، ويعاقب بشدة كل من ينتقد النظام. لهذا السبب تعد تركمانستان واحدة من الدول التي يوجد بها أكبر عدد من السجناء السياسيين بين الجمهوريات التركية. بيردي محمدوف الذي أراد ضمان استمرار كل هذه الضغوط ومنع أي انتفاضة أو رد فعل ضد النظام وضع أقاربه وزملاءه في أهم مؤسسات النظام. لهذا السبب يستخدم عنوان "الجبل الخلفي" والذي يعني الحامي.

لكل هذه الأسباب أصبح الشعب المسلم في تركمانستان متردداً في النطق بكلمة واحدة ضد النظام ناهيك عن انتقاده. لكن شعب تركمانستان، خاصة بعد ثورات الربيع العربي كسر قيود الخوف وبدأ يرفع أصواته ضد نظام الدكتاتور بيردي محمدوف ويعبر عن عدم رغبته في أنظمة ديكتاتورية بعد الآن. حتى أثناء انتفاضة كازاخستان، بدأ شعب تركمانستان في دعوة حساباتهم على وسائل التواصل لإظهار دعمهم لإخوانهم المسلمين هناك. علاوة على ذلك بدأوا دعاية مكثفة على وسائل التواصل مفادها أن شعب تركمانستان يجب أن ينهض أيضاً من أجل الإطاحة بهذا النظام الديكتاتوري. ومع ذلك عندما أدرك النظام الدكتاتوري ذلك، تدخل في جميع حسابات وسائل التواصل وحاول منعها. حتى أثناء انتفاضة كازاخستان كان النظام الديكتاتوري الذي كان يخشى خروج الناس إلى الشوارع والتظاهر ضده يريد بث الخوف في قلوب الناس من خلال اعتقال بعض النشطاء المعارضين للنظام سواء في روسيا أو تركيا. في الواقع قام بيردي محمدوف الذي شعر بغضب شعب تركمانستان، خاصة بعد الانتفاضات في كازاخستان بإبلاغ مجلس الشعب للمجلس الوطني بشكل مفاجئ بقرار الانتخابات المبكرة من أجل استغلال هذه المشاعر لدى الشعب ومنعهم من التحول إلى تغيير حقيقي صحيح. وأشار إلى "السماح للشباب في إدارة الدولة" كسبب لإجراء انتخابات مبكرة. بالطبع على الرغم من أن النظام الدكتاتوري استخدم تعبيراً عاماً "الشباب" إلا أنه كان يقصد ابنه سيردار، لأنه أظهره كمرشح رئاسي في الانتخابات. وهكذا بحجة الانتخابات يريد أن يسلم السلطة إلى ابنه لقمع غضب الشعب على النظام ولاستمرار ديكتاتوريته. ومع ذلك لم يعد الشعب المسلم في تركمانستان في موقف يخشى النظام ويفقد الوعي ويخضع لكل أوامره كما ظن بيردي محمدوف. لأنه من بين الناس بدأ الأشخاص اليقظون الذين فهموا تزوير انتخاب بيردي محمدوف في نشر حساباتهم على مواقع التواصل مفادها "لا نريد أن يغادر بيردي محمدوف، ولكن جميع أقاربه، بمن فيهم ابنه، وأن تتخلص البلاد منهم".

يا أهل تركمانستان: بالطبع من الرائع أنكم تعارضون النظام الديكتاتوري وتريدونه أن يتغير. ولكن الطريقة للقيام بذلك ليست بانتخابات ديمقراطية واستبدال الدكتاتور بيردي محمدوف وعائلته وجلب أسرة أخرى. وإنما السبيل للقيام بذلك هو إعادة دولة الخلافة بشكل عاجل والتي مرت 101 عام هجري على هدمها. فالخلافة وحدها هي التي ستقضي على القوى الاستعمارية مصاصي الدماء الذين يطاردون العالم وامتداداتهم الحكام العملاء في البلدان الإسلامية، وهي التي تحل مشاكل الأمة الإسلامية حسب كتاب الله وسنة رسوله ﷺ. لذا لا تنخدعوا بهراء الانتخابات الديمقراطية التي تستخدمها الأنظمة الكافرة كستار للتغطية على خيانتها وقمعها وظلمها، بل أظهروا كل سعيكم وجهودكم لبيعة الخليفة الذي يعاملكم بما يرضي ربكم. إذن هل هي انتخابات ديمقراطية في ظل أنظمة الكفر أم البيعة لخليفة في ظل دولة الخلافة؟ قال الله تعالى: ﴿وَاذْكُرُواْ إِذْ جَعَلَكُمْ خُلَفَاء مِن بَعْدِ عَادٍ وَبَوَّأَكُمْ فِي الأَرْضِ تَتَّخِذُونَ مِن سُهُولِهَا قُصُورًا وَتَنْحِتُونَ الْجِبَالَ بُيُوتًا فَاذْكُرُواْ آلاء اللّهِ وَلاَ تَعْثَوْا فِي الأَرْضِ مُفْسِدِينَ﴾ [الأعراف: 74].

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

رمضان أبو فرقان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon