ارتفاع البنوك الغذائية وإهدار الطعام
ارتفاع البنوك الغذائية وإهدار الطعام

هنالك ما لا يقل عن 2000 بنك للطعام يعمل في بريطانيا، حيث يقوم بإعطاء الطرود الغذائية الطارئة بشكل أسبوعي للناس المحتاجة، وفقاً للبحث الذي يسلط ضوءاً جديداً على النمو السريع للمؤن الغذائية الخيرية في بريطانيا التقشفية. (صحيفة إنديبندت 30 أيار/ مايو 2017)

0:00 0:00
Speed:
June 02, 2017

ارتفاع البنوك الغذائية وإهدار الطعام

ارتفاع البنوك الغذائية وإهدار الطعام

(مترجم)

الخبر:

هنالك ما لا يقل عن 2000 بنك للطعام يعمل في بريطانيا، حيث يقوم بإعطاء الطرود الغذائية الطارئة بشكل أسبوعي للناس المحتاجة، وفقاً للبحث الذي يسلط ضوءاً جديداً على النمو السريع للمؤن الغذائية الخيرية في بريطانيا التقشفية. (صحيفة إنديبندت 30 أيار/ مايو 2017)

التعليق:

يسلط تقرير في صحيفة "إنديبندت" الضوء على نمو بنوك الطعام في جميع أنحاء بريطانيا، مع المزيد والمزيد من العائلات التي تواجه صعوبة مع خفض وتقليص العديد من الخدمات والفوائد. هذا من ناحية، أما من ناحية أخرى، فوفقاً لصحيفة "إنديبندت" فقد ذكرت في وقت سابق من هذا الشهر، أن النفايات الغذائية آخذة في الارتفاع أيضاً.

كما شهد إنتاج الغذاء ارتفاعاً بسبب أساليب الزراعة الجديدة، فمن المثير للقلق معرفة أن الفواكه والخضار التي هي صالحة للأكل تماماً تترك لتتعفن في الحقول أو في نهاية المطاف في مدافن القمامة.

"إنه ببساطة أمر سخيف وغير معقول أن أكثر من ثمانية ملايين شخص في بريطانيا يعيشون في فقر غذائي، ومع ذلك فهنالك كميات كبيرة من الطعام الجيد تماماً تذهب إلى النفايات"، هذا ما قاله ليندساي بوزويل وهو الرئيس التنفيذي لجمعية فارشير (وهي أكبر جمعية خيرية لإعادة التوزيع في بريطانيا). وأضاف: "ينص هرم النفايات الغذائية على أن أي طعام يؤكل بأمان من قبل البشر يجب عدم التفريط به، ولكن هذا ببساطة لا يحدث".

كما وأثنى التقرير أيضاً على الأسواق التجارية حيث إنه وفي خلال السنوات الثلاث الماضية قد تضاعفت كمية الغذاء الفائض والذي يرسل لإطعام المحتاجين. على الرغم من أن هذه الكمية الكبيرة من الطعام لا يزال يتم التخلص منها.

وفي كانون الثاني/يناير 2017، أفادت صحيفة "إنديبندت" أن متوسط قيمة الغذاء الذي يهدر من قبل أسرة في بريطانيا يعادل 470 جنيهاً إسترلينياً. وبصورة صادمة ومروعة، يذهب 13 مليار جنيه إسترليني من الطعام كل عام إلى سلة المهملات، بينما في الحقيقة يكون صالحاً للأكل.

فبينما بعض الناس غير قادرين على إطعام أنفسهم، يجري في الوقت ذاته إهدار الطعام من قبل كل من المتاجر والأسر. إنه أمر غير معقول، ولكن هذه هي حقيقة الرأسمالية. إن انسياب الرأسمالية والذي يقول بأن الثروة تنتقل ممن "يملكون" إلى من "لا يملكون" هو مغالطة كبيرة.

يرتفع الإنتاج الكبير للسلع لتلبية الشهية النهمة مع عدم المساءلة أو تحقيق الاحتياجات والرغبات بشكل أكبر مما هو حق وثابت. ومع ازدياد الزراعة واستخدام الأراضي والأسمدة ومبيدات الآفات التي تؤجل خراب وفساد الأطعمة، ومع ذلك يتم إهدار الطعام.

إن وجهة نظر الإسلام بسيطة جداً وذات فعالية أكبر، حيث يدار الاقتصاد بهدف التوزيع، ولجميع الرعايا الحق في الغذاء الأساسي دون تمييز. إنه من المستحيل إنقاذ الناس من خلال الأعمال الخيرية وكرم أصحاب الأسواق التجارية الذين يتبرعون بالطعام. حيث يبدو أن الأشخاص المحتاجين يتزايد عددهم على الرغم من زيادة البنوك الغذائية وتجار الأسواق التجارية الذين يتبرعون بالطعام للمحتاجين.

إن حل هذه المشكلة يتطلب إجراء إصلاح كامل للنظام الذي يسمح بهذه الممارسات ولا يخلق لدى الأفراد شعوراً بالمساءلة عند إنتاج الطعام أو إهداره. إن الطعام والماء وجميع نعم الله سبحانه وتعالى لا يجوز إهدارها بتاتاً. والتطبيق الصحيح للإسلام هو فقط من سيعلم الرعية والمزارعين تحمل المسؤولية. وهو أيضاً سيدفع الحكومة إلى تبني سياسات تحول دون إذلال عامة الناس وضعفهم. إن السياسات العامة للرأسمالية هي التي تؤدي إلى الفقر، بينما كان هنالك في السابق الازدهار والتطور، إنه النظام نفسه الذي جلب الدمار والفساد للعالم الإسلامي والدول النامية، حيث يتم إنتاج الغذاء لتلبية احتياجات عدد قليل من الناس، بينما الغالبية غير قادرة على توفير احتياجاتها الأساسية.

ليس هنالك مكان آمن من براثن الرأسمالية الفاسدة التي تجر إلى البؤس والفقر والجوع، في حين يتم إلقاء الطعام الجيد للتعفن والتحلل!

لقد حذرنا الله سبحانه وتعالى في سورة طه، حيث قال: ﴿وَمَنْ أَعْرَضَ عَن ذِكْرِى فَإِنَّ لَهُ مَعِيشَةً ضَنكاً﴾.

إن العالم أجمع بحاجة للإنقاذ من خلال إقامة دولة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة. هذه الدولة التي تضمن الرخاء للجميع، كما ستزرع وستعظم احترام نعمة الله سبحانه وتعالى.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

نادية رحمان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon