اتهام شركة فرنسية بالتواطؤ في أعمال تعذيب في قضية بيع معدات مراقبة لمصر
اتهام شركة فرنسية بالتواطؤ في أعمال تعذيب في قضية بيع معدات مراقبة لمصر

اتّهم القضاء الفرنسي شركة نيكسا تكنولوجي الفرنسية، التي اتهمت سابقا ببيع معدات مراقبة للنظام المصري كانت ستمكنه من تعقب معارضين، في تشرين الأول/أكتوبر "بالتواطؤ في أعمال تعذيب وإخفاء قسري" كما كشف الأحد مصدر مطّلع على القضية لوكالة الأنباء الفرنسية. وكان تحقيق قضائي فتح في عام 2017، بعد شكوى قدمتها الفيدرالية الدولية لحقوق الإنسان ورابطة حقوق الإنسان بدعم من مركز القاهرة لدراسات حقوق الإنسان، واستندت المنظمات إلى تحقيق لمجلة تيليراما كشف عن بيع "نظام تنصت بقيمة عشرة ملايين يورو لمكافحة - رسميا - الإخوان المسلمين"، المعارضة في مصر، في آذار/مارس 2014.  

0:00 0:00
Speed:
November 30, 2021

اتهام شركة فرنسية بالتواطؤ في أعمال تعذيب في قضية بيع معدات مراقبة لمصر

اتهام شركة فرنسية بالتواطؤ في أعمال تعذيب في قضية بيع معدات مراقبة لمصر

الخبر:

اتّهم القضاء الفرنسي شركة نيكسا تكنولوجي الفرنسية، التي اتهمت سابقا ببيع معدات مراقبة للنظام المصري كانت ستمكنه من تعقب معارضين، في تشرين الأول/أكتوبر "بالتواطؤ في أعمال تعذيب وإخفاء قسري" كما كشف الأحد مصدر مطّلع على القضية لوكالة الأنباء الفرنسية. وكان تحقيق قضائي فتح في عام 2017، بعد شكوى قدمتها الفيدرالية الدولية لحقوق الإنسان ورابطة حقوق الإنسان بدعم من مركز القاهرة لدراسات حقوق الإنسان، واستندت المنظمات إلى تحقيق لمجلة تيليراما كشف عن بيع "نظام تنصت بقيمة عشرة ملايين يورو لمكافحة - رسميا - الإخوان المسلمين"، المعارضة في مصر، في آذار/مارس 2014.

ويتيح هذا البرنامج المسمى سيريبرو إمكان تعقب الاتصالات الإلكترونية لهدف ما في الوقت الفعلي من عنوان بريد إلكتروني أو رقم هاتف على سبيل المثال. واتهمت المنظمات غير الحكومية هذا البرنامج بأنه خدم موجة القمع ضد معارضي الرئيس المصري عبد الفتاح السيسي، التي أسفرت حسب مركز القاهرة لدراسات حقوق الإنسان عن "أكثر من 40 ألف معتقل سياسي في مصر". (نقلا عن موقع الجزيرة مباشر الإلكتروني)

التعليق:

إن هذا الخبر وغيره لا يزيدنا إلا قناعة بما قلناه وكررناه مرارا وتكرارا أن الغرب الكافر هو العدو الأول لأمة الإسلام، وهو الذي يكاد يموت غيظا وكمدا من الإسلام الذي ينتشر في العالم كله بشكل يذهل العقول، وتهوي إليه قلوب أناس من بلاد الغرب نفسه بعد أن لمسوا الحق في أحكامه وأحسوا دفأه ورقي أفكاره، بعد أن أدركوا أن عماد الفكر الغربي من حرية وديمقراطية وتعددية وحقوق إنسان ما هي إلا سراب بقيعة يحسبه الظمآن ماء، وما هي إلا كذب صراح، ولذلك فإن الغرب سيبقى يحاربنا ويدعم مَن يحاربنا حتى يردنا عن ديننا إن استطاع إلى ذلك سبيلا، لأنه يدرك تمام الإدراك أن المسلمين جادون في العمل للتحرر من قبضته والاستقلال عنه سياسيا واقتصاديا وثقافيا، وإن حضارته ستصبح أثرا بعد عين عندما يمكن الله للمسلمين ويستخلفهم في الأرض، ومعلوم أن حكام المسلمين العملاء الذين يتحكمون برقاب المسلمين ويفتنونهم عن دينهم ما وصلوا إلى سدة الحكم إلا بدعم من دول الغرب الكافر، فيمدونهم بالمال والسلاح والدعم السياسي والعسكري ليحافظوا على مصالح الغرب، وفي مقدمتها محاربة الإسلام والمسلمين، وقد عبر دونالد ترامب بوضوح عن دعم الولايات المتحدة لعملائها وأنها هي من تحميهم وتمنع سقوطهم عندما اتصل بملك السعودية وقال له إنك لن تبقى على عرشك أسبوعين دون الدعم الأمريكي، وهذا الكلام لا ينطبق فقط على رويبضة السعودية بل ينطبق على كافة حكام الضرر والضرار، فبدون الدعم الأمريكي والأوروبي سيكون سقوطهم أقرب من رد الطرف.

أما قيام القضاء الفرنسي باتهام شركة نيكسا تكنولوجي الفرنسية "بالتواطؤ في أعمال تعذيب وإخفاء قسري" وهي الشركة نفسها التي اتهمت سابقا ببيع معدات مراقبة لفرعون مصر ليقوم بالتجسس على المسلمين ومن ثم رميهم في السجون، فهو ذر للرماد في العيون، والسؤال الذي نوجهه للقضاء الفرنسي هو: هل تم هذا البيع وهذا التواطؤ بعلم من الحكومة الفرنسية أم بدون علمها؟ والأقرب إلى المنطق أنه تم بعلم الحكومة، فهلا قام القضاء الفرنسي بتجريم الحكومة ومساءلتها؟ وهل يجهل القضاء الفرنسي دعم ماكرون العلني لفرعون مصر وكيف استقبله استقبال الأبطال في الثاني عشر من شهر تشرين الثاني/نوفمبر الماضي في الإليزيه؟

إن الدول الغربية ينطبق عليها المثل القائل "يقتلون القتيل ويمشون في جنازته"، فطوال العقود الماضية وهم يقدمون الدعم للطغاة والفراعنة المجرمين ثم يقومون بعد ذلك بالتمثيل على الشعوب ويتظاهرون بالوقوف إلى جانبها، فكلهم وقف مع بشار الأسد ودعمه ومنع سقوطه، ومنهم من زوده بالسلاح ليقتل ويبطش ويدمر، فإذا فعل ذلك ذرفوا دموع التماسيح وعاهدوا الشعب أن بشار لن ينجو من العقاب! ألا فليعلم الغرب وأذنابه أن هذا التمثيل لم يعد ينطلي على أحد، وأن المسلمين يدركون أن هؤلاء الحكام ما هم إلا عبيد وخدم للغرب يأتمرون بأمره وأنه هو الذي يخطط ويدبر وهم ينفذون، فنسأل الله سبحانه أن يهيئ لأمة الإسلام أمر رشد وخليفة راشدا يقطع أيادي الغرب التي تعبث في بلاد المسلمين وجعلتها ساحة لحروبهم وجعلت المسلمين وقود هذه الحروب.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

محمد أبو هشام

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon