أوزبيكستان على مفترق طرق الاستراتيجيات الجيوسياسية
أوزبيكستان على مفترق طرق الاستراتيجيات الجيوسياسية

  الخبر: في 27 تشرين الثاني/نوفمبر 2022 وصل إلى أوزبيكستان وفد برئاسة رئيس مجلس الدوما (البرلمان) للاتحاد الروسي فياتشيسلاف فولودين. وفي الأول من كانون الأول/ديسمبر وصل رئيس الوزراء الروسي ميخائيل ميشوستين إلى سمرقند. (سبوتنيك نيوز ومواقع إخبارية أخرى).

0:00 0:00
Speed:
December 11, 2022

أوزبيكستان على مفترق طرق الاستراتيجيات الجيوسياسية

أوزبيكستان على مفترق طرق الاستراتيجيات الجيوسياسية

الخبر:

في 27 تشرين الثاني/نوفمبر 2022 وصل إلى أوزبيكستان وفد برئاسة رئيس مجلس الدوما (البرلمان) للاتحاد الروسي فياتشيسلاف فولودين. وفي الأول من كانون الأول/ديسمبر وصل رئيس الوزراء الروسي ميخائيل ميشوستين إلى سمرقند. (سبوتنيك نيوز ومواقع إخبارية أخرى).

التعليق:

أصبحت آسيا الوسطى بما في ذلك أوزبيكستان هدفاً للتوسع بالنسبة لروسيا وأمريكا والصين وأوروبا نظراً لموقعها الجغرافي الاستراتيجي وقاعدة مواردها الغنية. كما هو معروف لا تزال روسيا تنظر إلى آسيا الوسطى على أنها مزرعتها الخاصة؛ لذلك فهي قلقة كون هذه المنطقة أصبحت هدف توسع للآخرين وخاصة أمريكا، فتحاول إبقاء هذه المنطقة في براثنها. هذا هو الهدف من زيارة رئيس الدوما الروسي فولودين ورئيس وزراء روسيا ميشوستين إلى أوزبيكستان واقتراح الرئيس بوتين في 29 تشرين الثاني/نوفمبر إنشاء تحالف ثلاثي بين روسيا وكازاخستان وأوزبيكستان. وقد حذر رئيس مجلس الدوما الروسي فياتشيسلاف فولودين أوزبيكستان من عواقب العلاقات الاستراتيجية مع أمريكا مشيراً إلى أنها قد تسببت في مشاكل اقتصادية في أوروبا. وفي 9 تشرين الثاني/نوفمبر صرحت المتحدثة باسم وزارة الخارجية الروسية ماريا زاخاروفا بأن: "روسيا تراقب عن كثب الزيارات المتزايدة لممثلي الولايات المتحدة إلى دول آسيا الوسطى. نحن نسجل محاولات الولايات المتحدة الأمريكية المستمرة لترسيخ وجودها في آسيا الوسطى". وكما هو معروف قام وفد برئاسة مساعد وزير الخارجية الأمريكي دونالد لو بزيارة أوزبيكستان وقرغيزستان وطاجيكستان وكازاخستان يومي 23 و27 أيار/مايو من هذا العام. وفي 26 آب/أغسطس وصل عضوا الكونغرس الأمريكي ترينت كيلي ودارين لحوده إلى أوزبيكستان - وهما ممثلا التجمع حول أوزبيكستان (جماعات الضغط) - لوضع خط سياسي واحد. ووصف موقع إزفستيا الروسي ذلك بأنه محاولة أمريكية لطرد روسيا والصين من المنطقة. وفي 17 تشرين الأول/أكتوبر التقى نائب رئيس الوزراء وزير الاستثمار والتجارة الخارجية لأوزبيكستان جمشيد خوجاييف مع وزير التجارة الأمريكي ماريسو لاغو وناقش الوضع الحالي للعلاقات التجارية والاقتصادية بين البلدين وآفاق تنميتها. من المؤكد أن أمريكا تفعل كل هذا وفقاً لاستراتيجيتها لآسيا الوسطى للفترة 2019-2025.

وفي 17 تشرين الثاني/نوفمبر انعقد الاجتماع الثامن عشر لوزراء خارجية دول آسيا الوسطى مع الممثل الأعلى للاتحاد الأوروبي جوزيف بوريل في سمرقند. كما شارك فيه وزير خارجية أوزبيكستان فلاديمير نوروف. وناقش الاجتماع الأنشطة التجارية والاقتصادية والاستثمارية والنقل والأمن والوضع في أفغانستان وأوكرانيا وقضايا أخرى.

كما أن توسع الصين في آسيا الوسطى وخاصة في أوزبيكستان آخذ في الازدياد. فوفقاً للجنة الإحصائية لجمهورية أوزبيكستان جاءت الصين مرة أخرى في المقدمة من حيث التجارة مع أوزبيكستان. وتتزايد أيضاً مشاركة الصين في الزراعة في أوزبيكستان كل عام. ووفقاً لموقع Gazeta.uz في 19 أيار/مايو تجاوزت ديون أوزبيكستان للصين 4 مليارات دولار. وباختصار يتزايد خطر وقوع هذه المنطقة في براثن الصين. وقال الرئيس الصيني السابق ماو تسي تونغ ذات مرة إن الحدود بين الصين والاتحاد السوفيتي يجب أن تمر في طشقند!

بطبيعة الحال فإن هذه التوسعات ستثير قلق روسيا بالتأكيد. لهذا السبب أرسلت روسيا رئيس مجلس الدوما فولودين ورئيس الوزراء ميشوستين إلى أوزبيكستان. ووفقاً لموقع Vesti.RU استثمرت روسيا في قطاع الطاقة وحده في أوزبيكستان 12 مليار دولار. وقد حطم حجم الدورة التجارية بين أوزبيكستان وروسيا - رقما قياسيا، وهو الآن يقترب من 7 مليار دولار. كما أن صناعة الغاز في أوزبيكستان بيد شركة غازبروم الروسية، ولهذا يبقى الشعب الأوزبيكي بدون غاز في الشتاء القارس رغم وجوده في بلادهم، لأن روسيا تستخدم الغاز كأداة للضغط السياسي!

والخلاصة: إن الصراع الجيوسياسي للكفار المستعمرين مستمر في آسيا الوسطى وخاصة في أوزبيكستان. وإنه لأمر محزن للغاية أن بلادنا أصبحت لقمة سائغة للمستعمرين الجشعين الكافرين. ولا همّ عند حكام أوزبيكستان إلا إرضاء أسيادهم المستعمرين والاحتفاظ بعروشهم! لذلك على مسلمي أوزبيكستان وخاصة السياسيين والمثقفين والمدونين أن يدقوا ناقوس الخطر. والطريقة الوحيدة للتحرر من براثن دول الكفر الاستعمارية هي استئناف الحياة الإسلامية بإقامة دولة الخلافة الراشدة، فهي جنة كما قال رسول الله ﷺ، وهي لا تحمي المسلمين فحسب بل تحمي البشرية جمعاء وتخرجهم من ظلمات الرأسمالية إلى نور الإسلام. لهذا السبب يدعو حزب التحرير المسلمين باستمرار لإقامة دولة الخلافة على منهاج النبوة، ويجب على المسلمين أن يستجيبوا لهذه الدعوة.

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

إسلام أبو خليل – أوزبيكستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon