بريكس ومنظمة عدم الانحياز – ما أشبه الليلة بالبارحة
بريكس ومنظمة عدم الانحياز – ما أشبه الليلة بالبارحة

الخبر:   انعقدت في جوهانسبرغ عاصمة جنوب أفريقيا يوم الثلاثاء الثاني والعشرين من شهر آب 2023 قمة منظمة بريكس والتي تضم دول البرازيل وروسيا والهند والصين وجنوب أفريقيا لمناقشة قضية مواجهة النظام المالي العالمي الذي تسيطر عليه الولايات المتحدة.

0:00 0:00
Speed:
August 26, 2023

بريكس ومنظمة عدم الانحياز – ما أشبه الليلة بالبارحة

بريكس ومنظمة عدم الانحياز – ما أشبه الليلة بالبارحة

الخبر:

انعقدت في جوهانسبرغ عاصمة جنوب أفريقيا يوم الثلاثاء الثاني والعشرين من شهر آب 2023 قمة منظمة بريكس والتي تضم دول البرازيل وروسيا والهند والصين وجنوب أفريقيا لمناقشة قضية مواجهة النظام المالي العالمي الذي تسيطر عليه الولايات المتحدة.

التعليق:

الرئيس الصيني شي جين بنغ قال "يشهد العالم اليوم تغيرات تاريخية ليس لها مثيل، تعتمد في خط سيرها على خياراتنا الآن". أما رئيس البرازيل دي سيلفا لولا فيما يبدو أنه تحجيم للتوقعات المرجوة من القمة قال: "لا نريد أن نكون بديلا عن الدول السبع أو العشرين الصناعية الكبرى (G7, G8) أو الولايات المتحدة. ولكننا نسعى لتنظيم دولنا". أما الرئيس الروسي فقد ركز في كلمته التي ألقاها من موسكو على ضرورة التقليل من الاعتماد على الدولار في التجارة البينية لدول مجموعة بريكس. وذلك للضرر البالغ الذي لحق بروسيا جراء العقوبات المفروضة على التجارة معها بسبب غزوها أوكرانيا. أما رئيس جنوب أفريقيا فقد بين أن القمة لن تتناول مسألة إصدار عملة خاصة بمجموعة بريكس على غرار اليورو لدول الاتحاد الأوروبي. أما رد فعل أمريكا فقد جاء على لسان جاك سوليفان مستشار الأمن القومي الذي قال "إن هذه الدول تحمل وجهات نظر مختلفة حول القضايا الملحة ولا تشكل تحديا للولايات المتحدة". ولا شك أنه يشير إلى وجود قضايا حدود صعبة بين الصين والهند، وأن مصلحة البرازيل وجنوب أفريقيا والهند تدور بشكل قوي مع أمريكا، وأن الصين تسعى بكل جدية لكيلا تكون هدفا سياسيا أو تجاريا لأمريكا، وحتى روسيا فإنها لن تستغني عن دور أمريكا في إنهاء الحرب مع أوكرانيا بطريقة مشرفة لها.

فهذه المجموعة رفعت شعار التحدي للنظام العالمي البائس الذي تتربع أمريكا على عرشه، وأذاقت العالم صنوف العذاب والفقر والحروب الظالمة واحدة تلو الأخرى منذ إنشاء هذا النظام. وهي نفسها تعلم أنها عاجزة عن تحديه بشكل جدي وجذري ينقذ البشرية من عواقبه. وهي تدرك أن التحدي الحقيقي يؤدي إلى صدام قد يصل إلى حرب عالمية مدمرة. فالنظام العالمي الحالي جاء نتيجة للحرب العالمية الثانية التي ذهب ضحيتها أكثر من 70 مليون نسمة. وأن هيمنة أمريكا على هذا النظام قد كلفت العالم حربا باردة لمدة 40 عاما أذاقت البشرية خلالها صنوف الهوان والذل والتشريد والهيمنة. إضافة الى حروب دموية في كوريا وفيتنام والشرق الأوسط وأفريقيا، وانقلابات وحروب داخلية طاحنة كان آخرها في سوريا التي ذهب ضحيتها أكثر من 12 مليون نسمة ما بين قتل وسجن وتشريد وتهجير دائم.

ولا يستبعد أن أمريكا نفسها تشجع وجود مثل هذه المجموعة لينصرف نظر الشعوب والدول إلى آمال وهمية بدلا من التفكير الجدي في إيجاد نظام عالمي يتبنى وجهة نظر في الحياة تقوم على أساس قوي غير الأساس الذي بني عليه النظام الحالي الذي يعتمد فصل الدين عن الحياة والحريات المطلقة وما نتج عنها من نظام رأسمالي جشع، ونظام ديمقراطي كاذب وظالم. وقد اعتمدت أمريكا على مثل هذا الأسلوب في السابق حين شجعت قيام منظمة دول عدم الانحياز التي أنشئت تحت شعار الابتعاد عن الهيمنة والاستعمار وتسلط حلف الناتو الذي تقوده أمريكا وحلف وارسو الذي قاده الاتحاد السوفيتي. وقد شارك أشهر عملاء أمريكا جمال عبد الناصر في إنشاء تلك المنظومة التي استطاعت على مدار الحرب الباردة أن تصرف نظر الشعوب والدول عن الخطر الحقيقي للنظام العالمي آنذاك والبحث عن بديل ينقذ العالم من شرور أمريكا والاتحاد السوفيتي آنئذٍ.

والحقيقة التي لا يماري فيها أحد، أن العالم اليوم ومنذ أكثر من 100 عام يعاني صنوف العذاب والهوان والتشريد والقتل والفقر جراء تحكم النظام الرأسمالي. وقد ذهب ضحية سيطرة هذا النظام أكثر من 200 مليون ما بين قتل وتشريد، وعانى أكثر من ملياري شخص من الفقر والجوع والمرض. وتم نهب وسلب ثروات شعوب العالم في أفريقيا وآسيا بشكل لا مثيل له في تاريخ البشرية. وفرض هذا النظام على معظم دول العالم أنظمة حكم عسكرية وجعل من حكام الشعوب سجانين سجنوا شعوبهم وجعلوهم يقومون بأعمال شاقة لصالح أرباب النظام العالمي.

إن الخلاص من آفات هذا النظام لم يعد خيارا للبشرية. وأعمال التضليل وإبعاد الناس عن الطريق السوي المفضي للخلاص والتحرر التام لم تعد خافية على ذوي الألباب، الذين يذكرون الله دائما ويتفكرون بشكل مستنير، مستعينين بهدي من الله عز وجل، مستنيرين بطريق وهدي رسول الله ﷺ. وهذا الطريق للتحرر والخلاص لا تقوى عليه أوروبا ولا تستطيع السير به، ولا روسيا ولا الصين، ولا أي دولة أو مجموعة من الدول الحالية. فجميعها تتبنى الأنظمة والأفكار والأساليب نفسها التي يقوم عليها النظام الحالي، بفارق أنها ليست هي التي تتربع على العرش.

ولا يملك الحل الصحيح والطريق القويم إلا من آمن بالله حق الإيمان، وأدرك أنه لا عدل إلا بشرعه، ولا حياة مستقرة إلا بالنظام الذي أنزله على نبيه وجعله فرضا على المسلمين لينعموا به أولا، ثم ليقدموه لباقي البشر لينعموا به حتى ولو لم يؤمنوا به.

﴿الر كِتَابٌ أَنزَلْنَاهُ إِلَيْكَ لِتُخْرِجَ النَّاسَ مِنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ بِإِذْنِ رَبِّهِمْ إِلَى صِرَاطِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. محمد جيلاني

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon