بريطانيا تجمع فصائلها في الجنوب رداً على فرض أمريكا الحوثيين نداً مساوياً لحكومة رشاد العليمي
بريطانيا تجمع فصائلها في الجنوب رداً على فرض أمريكا الحوثيين نداً مساوياً لحكومة رشاد العليمي

الخبر:   المجلس الانتقالي الجنوبي يعيد تشكيل قياداته ويؤكد سعيه لانفصال الجنوب (وكالات، 8 آيار/مايو 2023م)

0:00 0:00
Speed:
May 12, 2023

بريطانيا تجمع فصائلها في الجنوب رداً على فرض أمريكا الحوثيين نداً مساوياً لحكومة رشاد العليمي

بريطانيا تجمع فصائلها في الجنوب

رداً على فرض أمريكا الحوثيين نداً مساوياً لحكومة رشاد العليمي

الخبر:

المجلس الانتقالي الجنوبي يعيد تشكيل قياداته ويؤكد سعيه لانفصال الجنوب (وكالات، 8 آيار/مايو 2023م)

التعليق:

كانت السعودية الشهر الماضي قد أعلنت عن نتائج تفاهماتها المباشرة مع الحوثيين، وكانت قد أرسلت وفدا إلى صنعاء وأخذت موافقة الحوثيين على مسودة الاتفاق مع حكومة رشاد العليمي، الذي جمعته السعودية مع باقي أعضاء المجلس الرئاسي في الرياض، إلا أن تلك التجمعات والوفود لم تسفر عن شيء، وكانت تسريبات إعلامية نقلت أن الاتفاق ينص على رفع الحصار وفتح المنافذ والمطارات ودفع المرتبات للحوثيين مقابل توقيع اتفاق سلام مع الحكومة اليمنية، ما يعني أن الاتفاق جاء لتلبية مطالب الحوثيين والاعتراف بهم نداً مساوياً للحكومة اليمنية وترحيل قضية انفصال الجنوب إلى محادثات الشكل النهائي للدولة. وهذا على ما يبدو لم يرضِ الأطراف التابعة للإنجليز (وهي حكومة العليمي، والمجلس الانتقالي الجنوبي) لذلك لم تسفر المحاولة الأمريكية عن شيء ملموس رغم الزخم السعودي لتلك المحاولة ومباركة إيران لها، إلا أن الجانب الإنجليزي لم يوافق عليها رغم الضغوط السعودية على رشاد العليمي ومجلسه ومحاولة المبعوث الأممي في الضغط على الحكومة اليمنية بقبول المسودة السعودية إذ دعا الحكومة "إلى تقديم تنازلات" للوصول إلى اتفاق، لهذا لجأ الإنجليز إلى تجميع الفصائل الجنوبية التي كانت في وقت سابق مناوئة للمجلس الانتقالي الجنوبي، وجمعتهم اليوم في عدن للإعلان عن انضمامهم إلى المجلس الانتقالي الجنوبي في محاولة لتوسيع قاعدته الجماهيرية، لتجد السعودية صعوبة في الضغط على رشاد العليمي لتوقيع اتفاق سلام مع الحوثيين، بينما القاعدة الجماهيرية الجنوبية لا توافق على ذلك، وقد ظهر ذلك لافتاً في البيان الذي أعلنه المجلس الانتقالي الجنوبي عقب مشاوراته وضمه لمعظم الجنوبية، إذ جاء فيه "... نشدد على تمثيل الجنوب وقضيته في التسوية الأممية، ويكون في إطار مستقل تكون قضية الجنوب أولوية في الحل وفق "مفاوضات ندية ثنائية شمال وجنوب" والتفاوض يكون في دولة خارجية" وهذا يعني رغبة الإنجليز في أن يدخل الحوثيون مفاوضات السلام النهائي ضد مكونين هما الحكومة الشرعية والمجلس الانتقالي الجنوبي، وبهذا يضمنون سيطرة أكبر على النفوذ والثروة في البلاد.

يا أهل اليمن: إن حكومة العليمي غير جادة في وقف الحرب ونزيف الدم في البلاد وهي متمسكة بخدمة أسيادها الإنجليز الذين لا يرغبون في التخلي عن عدن التي استعمروها لأكثر من قرن من الزمان وعندما غادروها شكلياً حرصوا على إيجاد حكومات وأحزاب تابعة لهم لحماية مصالحهم فيها، وها هي بريطانيا تستخدمهم اليوم كما تستخدم محميتها الإمارات في تنفيذ مخططاتها في عدن.

إن الحوثيين لا يملكون مشروعاً خاصاً بهم كما يدعون "المسيرة القرآنية" بل هم أبعد ما يكونون عن القرآن الذي يشدد على حرمة دماء المسلمين، وهم يسفكونها ليل نهار، ويشدد على عدم الولاء لأعداء الأمة وهم يستندون على الاعتراف الأممي والسند الأمريكي لهم - رغم الشعارات الخاوية من معناها - ويشدد القرآن على حتمية الحكم بما أنزل الله، بينما لم يحكم الحوثيون طوال ثماني سنوات حكمهم إلا بنظام الهالك علي عبد الله صالح نفسه، أي نظام جمهوري ونظام اقتصادي رأسمالي وحكم طائفي يقتل أو يسجن كل من يخالفه.

يا أهل الجنوب: إن المجلس الانتقالي لا يعمل جدياً لانفصال الجنوب وإلا كانت الفرصة مواتية له منذ سنين وهو يسيطر على عاصمة الجنوب والمحافظات الجنوبية ولم يعلن دولته المزعومة، إنه جاء من عباءة الدولة اليمنية نفسها كما قال ذلك القيادي في الحراك الجنوبي فادي باعوم، والذي انضم اليوم إلى المجلس الانتقالي ذاته الذي كان يهاجمه! إن المجلس الانتقالي أنشأته الإمارات محمية بريطانيا كي يكون له مقعد في التفاوض على الحل النهائي مع الحوثيين، كي يضمن الإنجليز حصةً أكبر في ثرواتكم، فقد حكمت تلك القيادات الجنوبية الجنوب ردهاً طويلا من الزمن ولم يرَ أهل الجنوب منها إلا الحروب والدم والدمار ولا زالوا يتقاتلون فيما بينهم إلى اليوم ولم يوجهوا بندقيتهم إلى الحوثيين أو "الشماليين" كما يزعمون بل إنهم رحبوا بعدو "الجنوب" طارق صالح في عدن واحتضنوه وفتحوا له المعسكرات لأن الإنجليز يعدون له ولابن عمه أحمد علي عبد الله صالح دورا في مستقبل البلاد، فهل أنتم واعون؟!

يا أهل اليمن: إن الحل يقتضي أولا الانفضاض عن تلك القيادات الخائنة العميلة جميعها في الشمال وفي الجنوب فهي لا تعمل لمصلحة البلاد وأهل البلاد بل تعمل من أجل مصالح أسيادها مقابل فتات يتساقط إليهم من مؤيديهم، ثم إنهم جميعهم لا يحملون راية الإسلام والحكم بما أنزل الله ووقف سفك الدماء والحفاظ على الدين والعرض والثروة، بل ينكلون بأهل اليمن أيما تنكيل، حتى أذلوا الناس وهجروهم إلى خارج البلاد أو إلى مخيمات اللاجئين.

يا أهل اليمن: إن الفرصة مواتيةً أمامكم اليوم لنصرة العاملين لإعادة الحكم بما أنزل الله في خلافة راشدة على منهاج النبوة، كان ﷺ قد بشّر بعودتها في هذا الزمان «ثُمَّ تَكُونُ خِلَافَةً عَلَى مِنْهَاجِ النُّبُوَّةِ» رواه أحمد.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. عبد الله باذيب – ولاية اليمن

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon