دعوات للاحتجاج في بلاد الحرمين تهدف إلى إسقاط نظام آل سعود
دعوات للاحتجاج في بلاد الحرمين تهدف إلى إسقاط نظام آل سعود

الخبر:   تداول معارضون سعوديون، يتقدمهم تنظيم يدعى "ثورة بإذن الله"، دعوات إلى الاحتجاج تهدف إلى إسقاط النظام السعودي في يوم وقفة عرفة، 19 تموز/يوليو، وهو أكبر مناسبة دينية إسلامية في المملكة، وكان يتوافد إليها مئات الآلاف سنوياً لأداء فريضة الحج قبل جائحة فيروس كورونا المستجد، يذكر البيان أن الهدف من الاحتجاج هو "وقف العبث بالدين والاعتداء على شعائر الأمّة، ووضع حد لمخططات هدم هوية المجتمع"، وإطلاق سراح كل المعتقلين والمعتقلات، والتصدي لترهيب النظام وقمعه للشعب بعدما أوصل المجتمع للخوف من التعبير عن آرائه في السياسات العامة. (الإخبارية التونسية)

0:00 0:00
Speed:
July 17, 2021

دعوات للاحتجاج في بلاد الحرمين تهدف إلى إسقاط نظام آل سعود

دعوات للاحتجاج في بلاد الحرمين تهدف إلى إسقاط نظام آل سعود

الخبر:

تداول معارضون سعوديون، يتقدمهم تنظيم يدعى "ثورة بإذن الله"، دعوات إلى الاحتجاج تهدف إلى إسقاط النظام السعودي في يوم وقفة عرفة، 19 تموز/يوليو، وهو أكبر مناسبة دينية إسلامية في المملكة، وكان يتوافد إليها مئات الآلاف سنوياً لأداء فريضة الحج قبل جائحة فيروس كورونا المستجد، يذكر البيان أن الهدف من الاحتجاج هو "وقف العبث بالدين والاعتداء على شعائر الأمّة، ووضع حد لمخططات هدم هوية المجتمع"، وإطلاق سراح كل المعتقلين والمعتقلات، والتصدي لترهيب النظام وقمعه للشعب بعدما أوصل المجتمع للخوف من التعبير عن آرائه في السياسات العامة. (الإخبارية التونسية)

التعليق:

إن الأمة الإسلامية في مشارق الأرض ومغاربها تتجرع الويلات من النظام الرأسمالي القاتل والعاملين على تنفيذه في بلاد المسلمين وقد ضاقت أنفس الناس من تلك السياسات التي ينتهجها نواب الرأسمالية، فهم قد استبدلوا بنظام الإسلام (الخلافة) الذي يرعى شؤون الناس بمقتضى الأحكام الشرعية، استبدلوا به قانون الغاب وأنظمة الخراب، ينهبون ثروات الأمة ويكافئون بها أعداءها في الوقت الذي يبحث الناس فيه عن فتات يسدون به رمقهم على أبواب المنظمات، حولوهم كالأيتام على موائد اللئام!

وحكام آل سعود لا يختلفون عن بقية الحكام بل كان دورهم في ذبح الأمة الإسلامية دوراً محورياً فقد قامت دولة آل سعود على أنقاض الدولة العثمانية بدعم من الإنجليز ثم كان لهم الدور في إذكاء الحروب الطائفية بين المسلمين، يتشاركون الدور مع حكام إيران؛ الأول باسم السنة والآخر باسم الشيعة أو أهل البيت.

وفي الحقيقة أن سنة رسول الله ﷺ تبرأ من حكام آل سعود وأعمالهم القذرة، وأهل البيت عليهم السلام يبرأون إلى الله من حكام إيران العملاء.

ومهما طال الزمان فالأمة سوف تزمجر وتنقضّ على أولئك الحكام الرويبضات ولن تنفعهم أمريكا أو بريطانيا فقد شاهدوا مصير المجرمين القذافي وعلي صالح ومبارك وبن علي وقريبا نيرون الشام بشار، ولكل حاكم فيهم عبرة.

وها هي الأصوات في بلاد الحرمين تتصاعد سخطاً وغضباً على حكام آل سعود الذين خانوا الحرمين الشريفين وغدروا بأولى القبلتين، ولعل أيامهم باتت معدودة وتطهير بلاد الحرمين من رجسهم بات قاب قوسين أو أدنى بإذن الله.

ولنا كلمة ورسالة نوجهها إلى أهلنا في بلاد الحرمين:

إن ولاء سلمان وابنه محمد هو لأمريكا وقد وصلوا إلى سدة الحكم بعد قادة كان ولاؤهم لبريطانيا، ولكي يجعلوا النفوذ يخدم أمريكا عملوا على تصفية الوسط السياسي السابق الذي كان يخدم نفوذ بريطانيا إلى وسط يخدم نفوذ أمريكا.

وعلى أهلنا في الحجاز أن يعوا أن عملاء الإنجليز ساخطون على عملاء أمريكا وسوف يستغلون حراككم ويركبون الموجة إن سمحتم لهم بذلك وسيعاد إنتاج النظام المجرم ولو بوجوه جديده فاحذروهم واحذروا كل من له علاقة بحكام آل سعود سواء أكانت العلاقة سابقة أو لاحقة، وما دمتم تنوون ثورة تقتلع الظلم فاجعلوها لله ولتحكيم شرعه بإقامة دولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة.

يا أهلنا في بلاد نجد والحجاز: لقد ارتكب حكام آل سعود جريمة في حق الأمة الإسلامية وحاربوا الدولة العثمانية تعاونا مع الكفار فهدموها ومزقوا المسلمين إلى دويلات هزيلة، أفلا يكون لكم شرف إعادة الحكم بما أنزل الله بإقامة دولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة ثم بها يعود المسلمون أمة واحدة تحت راية واحدة وبقيادة خليفة واحد؟ ألا إن سلعة الله غالية فاجعلوها لله لا لرغيف خبز، إن الأرض التي يوارى فيها جثمان خير البرية حرام على أهلها أن يقبلوا بنظام لا يطبق شرعته، وإن أرضاً انطلقت منها دعوة هدى ونور بددت ظلمات الجاهلية الأولى حري بأهلها أن يكونوا هم السباقين لتبديد ظلام الجاهلية الأخرى، وإن أرضاً بدأ فيها الدين غريباً ثم عم أصقاع الدنيا حري بها أن تخرج الدين من غربته الثانية فيفلح أهلها بخير الدنيا والآخرة فكونوا أهلا لها.

وإن حزب التحرير قد أعد مشروع دستور دولة الخلافة استنبطه من كتاب الله وسنة رسوله فيه كل ما يتعلق بأجهزة الدولة من نظام حكم ونظام اقتصادي واجتماعي وغيره فلا تبحثوا عن دساتير وضعية، ما عليكم سوى اقتلاع النظام المجرم وإرساء قواعد حكم الإسلام واعلموا بأن أية حلول تأتي من الغرب لن تزيدكم إلا ظلما ودمارا، ولكم في بقية البلدان عبرة فلا تركنوا إلى الذين ظلموا واعلموا بأن الله ينصر من يستمسك بحبله ولو أجمع كل من في الأرض على حربه، والخلافة الراشدة على منهاج النبوة هي بشرى نبيكم ووعد ربكم فلا تستحوا من ذكر اسمها والهتاف بعودتها على منهاج النبوة كما كانت في عهد الخلفاء الراشدين ولعل وعد الله يتحقق على أيديكم.

قال تعالى: ﴿وَعَدَ اللَّهُ الَّذِينَ آمَنُوا مِنكُمْ وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَيَسْتَخْلِفَنَّهُم فِي الْأَرْضِ كَمَا اسْتَخْلَفَ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ وَلَيُمَكِّنَنَّ لَهُمْ دِينَهُمُ الَّذِي ارْتَضَى لَهُمْ وَلَيُبَدِّلَنَّهُم مِّن بَعْدِ خَوْفِهِمْ أَمْنًا يَعْبُدُونَنِي لَا يُشْرِكُونَ بِي شَيْئًا وَمَن كَفَرَ بَعْدَ ذَلِكَ فَأُوْلَئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. أحمد كباس – ولاية اليمن

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon