فهم التجديف في ضوء القانون الوضعي
فهم التجديف في ضوء القانون الوضعي

الخبر:أصبح المحاضر السابق البالغ من العمر 33 عاما في جامعة بهاء الدين زكريا آخر من حكم عليه بالإعدام بتهمة التجديف في باكستان. وكان قد تم القبض على جنيد حفيظ في 2013 بسبب تعليقات "الكفر" المزعومة على فيسبوك. (the diplomat)

0:00 0:00
Speed:
December 27, 2019

فهم التجديف في ضوء القانون الوضعي

فهم التجديف في ضوء القانون الوضعي
(مترجم)


الخبر:


أصبح المحاضر السابق البالغ من العمر 33 عاما في جامعة بهاء الدين زكريا آخر من حكم عليه بالإعدام بتهمة التجديف في باكستان. وكان قد تم القبض على جنيد حفيظ في 2013 بسبب تعليقات "الكفر" المزعومة على فيسبوك. (the diplomat)


التعليق:


لقد جاء هذا القرار في وقت يجري فيه بالفعل التدقيق في النظام القضائي الباكستاني بشأن قراره الذي اتخذ مؤخرا ضد الجنرال برويز مشرف والإشعار الذي أصدره من تلقاء نفسه ضد تمديد القائد العام للجيش قمر جاويد باجوا. ولم تفشل السلطة القضائية في باكستان في توفير العدالة للأشخاص الضعفاء فحسب، بل إنها أعطت أيضا فوائد للأغنياء والأقوياء. وما يحتاج الناس إلى فهمه هو تسليط الضوء على هذه الحالات المنعزلة وإجراء مناقشات بشأن حالات قليلة، أو حتى حالة واحدة فقط، فإن عاماً واحداً لن يغير النظام القضائي. إن المناقشات الساخنة حول ما إذا كان جنيد حفيظ أو مشعل خان قد ارتكبوا الكفر أم لا لن تحقق العدالة لأي منهم. هذه هي المحاكم نفسها التي أرجأت العدالة للكثير من الأبرياء. بالنسبة لهؤلاء القضاة، فإنهم يتجاهلون دماء الأطفال الأبرياء في جامع حفصة ويحترمون دستور باكستان أكثر من الأجساد المتفحمة لهؤلاء الأطفال. هل هناك قاض شجاع بما فيه الكفاية للحكم على مشرف لبيعه عافية صديقي، وقتل أكبر بوجتي أو جلب هذه الحرب البائسة إلى باكستان التي دمرت الكثير من المنازل وقتلت الكثير من الناس؟ الإجابة لا. فما الذي يُعَدّ أكثر أهمية من الجيش؟ لنجرب الدستور.


دائما ما كان القليل من (التوابل) في القانون الباكستاني في صورة الشريعة الإسلامية قبيحة بالنسبة لليبراليين، ويتم سحب هذه القضايا لتسليط الضوء على وحشية الشريعة. ويصور المتهمون على أنهم ضحايا، والحل المقترح هو إلغاء القانون. وهذا في حد ذاته يقول بأنه لا أحد يجرؤ على القول إن الكفر هو جزء من حرية التعبير، ولكن عليهم أن يخرجوا بقصص تتعلق ببراءة المتهمين. ويمكن تدريب القضاة المنتدبين ولكن مهمتهم هي الارتفاع في الرتبة والمركز. وهم جزء من النظام المجتمعي كالسياسيين والبيروقراطيين وضباط الجيش. لإعطاء القليل من الفهم لوظيفتهم: يبلغ الحد الأقصى للراتب الإجمالي للموظف في الفئة الأولى-22، وهو أعلى درجة في الوظائف الحكومية الباكستانية، حوالي 300 ألف روبية في الشهر، تشمل المرتبات الأساسية والبدلات وغيرها من المزايا والامتيازات. وتبلغ هذه النسبة حوالي 18 ضعف متوسط الدخل الشهري لـ16400 فرد في باكستان على افتراض أن نصيب الفرد من الناتج المحلي الإجمالي هو 1640 دولارا. ويقال إن مجموع المرتب الشهري لقاض من قضاة المحكمة العليا، بما في ذلك المرتبات الأساسية والبدلات والمزايا والامتيازات، يتراوح بين 80 و100 ضعف المتوسط الشهري للدخل في باكستان. وعلى سبيل المقارنة، فإن المرتب السنوي لقاض في المحكمة العليا الأمريكية يبلغ 244 ألف دولار أمريكي، وهو ما يمثل أربعة أمثال الناتج المحلي الإجمالي للفرد في أمريكا الذي يبلغ 60 ألف دولار.


إن النظام القضائي في الإسلام جزء من نظام كامل، ولا يمكن تنفيذ جزء منعزل من ذلك النظام وتجاهل البعض الآخر. ولتطبيق هذا كله نحن بحاجة إلى الخلافة، طريقة الحكم التي ستفهم النظام القضائي وتطبقه بالفعل وفقا للشريعة الإسلامية. القضاة لن يكونوا مهرجين ودمى بل علماء حقيقيين يخشون الله، وهم الذين سيتعاملون مع مثل هذه الأمور. والأحكام لن تكون عرضة للبيع ولن تتم الإشادة بالمجرمين على أنهم أبطال.


قال رسول الله e: «الْمُسْلِمُ أَخُو الْمُسْلِمِ، لاَ يَظْلِمُهُ وَلاَ يُسْلِمُهُ، وَمَنْ كَانَ فِي حَاجَةِ أَخِيهِ كَانَ اللَّهُ فِي حَاجَتِهِ، وَمَنْ فَرَّجَ عَنْ مُسْلِمٍ كُرْبَةً فَرَّجَ اللَّهُ عَنْهُ كُرْبَةً مِنْ كُرُبَاتِ يَوْمِ الْقِيَامَةِ، وَمَنْ سَتَرَ مُسْلِماً سَتَرَهُ اللَّهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ».


كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
إخلاق جيهان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon