فلسطين، وإلى ما ستؤول إليه أحداثها!
فلسطين، وإلى ما ستؤول إليه أحداثها!

الخبر: لقي اثنان من المغتصبين اليهود مصرعهم في بلدة حوارة في نابلس يوم 2023/2/26، ردا على عملية نابلس التي نفذها جيش يهود في نابلس وأدت إلى استشهاد 11 شخصا وجرح أكثر من 100 شخص يوم 2023/2/22. فقام المغتصبون اليهود بالتعدي على بلدة حوارة، فهاجم المئات منهم البلدة على مدى 3 ساعات وتعدوا على أهلها ومنازلهم وأملاكهم بحماية جيش العدو. فقتلوا شخصا وجرحوا المئات وحرقوا العديد من المنازل والمحلات التجارية والسيارات كما قاموا بالتعدي على قرية بورين فحرقوا بعض المنازل وسرقوا أغناما.

0:00 0:00
Speed:
March 03, 2023

فلسطين، وإلى ما ستؤول إليه أحداثها!

فلسطين، وإلى ما ستؤول إليه أحداثها!

الخبر:

لقي اثنان من المغتصبين اليهود مصرعهم في بلدة حوارة في نابلس يوم 2023/2/26، ردا على عملية نابلس التي نفذها جيش يهود في نابلس وأدت إلى استشهاد 11 شخصا وجرح أكثر من 100 شخص يوم 2023/2/22. فقام المغتصبون اليهود بالتعدي على بلدة حوارة، فهاجم المئات منهم البلدة على مدى 3 ساعات وتعدوا على أهلها ومنازلهم وأملاكهم بحماية جيش العدو. فقتلوا شخصا وجرحوا المئات وحرقوا العديد من المنازل والمحلات التجارية والسيارات كما قاموا بالتعدي على قرية بورين فحرقوا بعض المنازل وسرقوا أغناما.

التعليق:

لقد تصاعدت هجمات يهود الغاصبين لفلسطين على أهلها بعد تطبيع العديد من الأنظمة مع كيانهم منذ عام 2020، إذ طبعت الإمارات والبحرين والمغرب والسودان حيث وقع اتفاقية تفاهم للتطبيع عام 2021.

علما أن النظام المصري قد اعترف بكيان يهود عام 1979 وطبع معه العلاقات بعدما وقع اتفاقية كامب ديفيد، وكذلك السلطة الفلسطينية وقعت اتفاقية أوسلو عام 1993 وأصبحت خادمة لكيان يهود وحارسة له تحت مسمى التنسيق الأمني، والنظام الأردني وقع اتفاقية وادي عربة عام 1994 وهو يلعب دور المنطقة العازلة بين الأمة وكيان يهود. وقام النظام التركي برئاسة أردوغان بالتطبيع مع كيان يهود بعد تخفيض التمثيل الدبلوماسي حيث إنه لم يقطع علاقاته معه منذ أن اعترفت تركيا به عام 1949. وقد استقبل أردوغان العام الماضي رئيس كيان يهود استقبال الأبطال. علما أن أذربيجان التي تسير وراء أردوغان قد زادت من وتيرة التطبيع في الفترة الأخيرة وهي تعترف بكيان يهود منذ عام 1992. وكذلك دول آسيا الوسطى تقيم علاقات مع كيان يهود منذ بداية التسعينات من القرن الماضي. وتشاد أعادت علاقاتها مع كيان يهود عام 2018 بعدما كانت مقطوعة منذ عام 1973، وقد قام رئيسها المؤقت محمد إدريس ديبي بزيارة كيان يهود يوم 2023/2/1 وكان والده المقتول الرئيس السابق لتشاد قد قام بزيارة كيان يهود عام 2021.

كل ذلك شجع يهود الغاصبين على مواصلة تعدياتهم على أهل فلسطين، وعلموا أنه لا يوجد في المنطقة كيان يهددهم أو يهز العصا في وجوههم حيث إنهم قوم جبناء يطلبون الطعن والنزال إذا خلوا بأرض غاب عنها الشجعان، بل الكيانات التي لم تطبع رسميا إما أنها مطبعة ضمنيا كقطر وعُمان وتونس والسعودية وإندونيسيا، وإما أنها تعترف بكيان يهود ضمنيا عندما تقول بحل الدولتين كباقي الدول العربية وإيران والباكستان وماليزيا.

فلا يوجد لدى يهود خوف من كل هذه الأنظمة في البلاد الإسلامية صاحبة القضية. بجانب الدعم الأمريكي غير المحدود والدعم الأوروبي. كل ذلك يطمئن يهود أنهم سيفلتون من العقاب مهما ارتكبوا من مجازر في حق أهل فلسطين. وأكثر ما يصدر عنهم تنديد أو استنكار لا يقدم ولا يؤخر!

إن يهود يتمادون في غيهم، وهم لا يعلمون أنهم يقصّرون أعمارهم بالمعنى المجازي، أي يعجلون في نشوء قوة عظمى للمسلمين ترعبهم وتنسيهم وساوس الشيطان. إذ إن أعمالهم تفضحهم وتكشف وجههم الحقيقي أنهم قوم بهت ولا يرقبون في مؤمن إلاّ ولا ذمة، وقد خفروا ذمة الله بعدما كانوا في أمان المسلمين مئات السنين، فكفروا بأنعم الله فسوف يذيقهم الله لباس الخوف والجوع، وقد علوا في الأرض وأظهروا فيها الفساد ودنسوا المسجد الأقصى، فسيبعث الله عليهم عبادا له أولي بأس شديد فيقطعون دابرهم وقبلهم.

إن تصرفات يهود وعربداتهم وغطرستهم نذير شؤم للمطبعين وللساكتين على كل ذلك، ستقوم الأمة وتزلزل كياناتهم وتسقطهم وتحاكمهم وتجازيهم ما يستحقون، عدا خزيهم في الآخرة ولعذاب الله أشد وأنكى. فقد توهموا أنهم بالتطبيع سيغرون يهود بالكف عن عربداتهم وتعدياتهم ويقبلون بحل الدولتين ويحصل السلام الموهوم، فيرتاحون على عروشهم فيأمنون ثورة الأمة عليهم. ولكن يهود أنفسهم خيبوا آمالهم فسبب ذلك لهم الخزي والعار بصورة أشد أمام أمتهم.

عندما قام يهود بالهجوم على مخيم جنين ودمروه عام 2002 ودافع مجموعة أبطال عن المخيم فاستشهد نحو 58 حسب الأمم المتحدة أو نحو 500 حسب السلطة الفلسطينية، وقتل من يهود نحو 23 جنديا حسب الروايات الرسمية أو نحو 55 حسب شهود العيان. يومها ذكر أهالي المخيم أن ما أصابنا لا يذكر أمام ما أصاب تركيا في زلزال عام 1999 حيث أحدث دمارا كبيرا وخلف نحو 17 ألف ضحية على الأقل. نعم مهما أصاب أهل فلسطين فلن يصيبهم إلا بقدر ما أصاب آخرين في كوارث طبيعية كالزلزال الذي أصاب تركيا مؤخرا فأودى بحياة نحو 45 ألفاً حتى الآن وأكثر من 6 آلاف في سوريا، عدا الدمار في الممتلكات وتضرر نحو 25 مليون إنسان. وكذلك زلزال وتسونامي إندونيسيا عام 2004 الذي راح ضحيته نحو 227 ألفا، وزلزال هايتي عام 2010 أكثر من 230 ألفا وغير ذلك من البلاد التي أصابتها كوارث طبيعية وأودت بحياة الكثيرين وخسائر مادية، وكما حصل في أمريكا من أعاصير وفيضانات وحرائق راح ضحيتها الآلاف وبلغت خسائرها خلال عام 2022 نحو 260 مليار دولار.

ولهذا فعلى أهل فلسطين الصبر والثبات، فإن يوم النصر قد اقترب، فإن الأمة كلها تغلي وستنقضّ على حكامها العملاء المتخاذلين قريبا بإذن الله وتسقطهم وتدوسهم تحت أقدامها وتقيم خلافتها الموعودة بوعد الله والمبشرة ببشرى رسول الله ﷺ: «ثُمَّ تَكُونُ خِلَافَةٌ عَلَى مِنْهَاجِ النُّبُوَّةِ».

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أسعد منصور

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon