فشل الحكومة التي صنعها جون كيري يجب أن يكون واضحاً للجميع الآن! (مترجم)
فشل الحكومة التي صنعها جون كيري يجب أن يكون واضحاً للجميع الآن! (مترجم)

الخبر:   قتل 10 أشخاص من القوات المسلحة الأفغانية وأصيب 9 آخرون في مقاطعة هلمند الشرقية بأفغانستان نتيجة لضربة جوية شنتها القوات الخارجية. وقد وقع الحادث في منطقة دي آدم خان في مقاطعة غريشك في ولاية هلمند مساء الأحد. وفي هجوم جوي آخر للقوات الجوية الأمريكية على نقطة تفتيش في مقاطعة هلمند أسفر عن مصرع 16 جنديا أفغانيا. وكان اثنان من قادة الجيش من بين الضحايا. ووقع الحادث أيضا في نفس المنطقة التي كانت القوات الأمريكية تدرب القوات الأفغانية فيها. بيد أن وزارة الدفاع الأفغانية أعلنت مسؤوليتها عن ذلك.

0:00 0:00
Speed:
October 08, 2017

فشل الحكومة التي صنعها جون كيري يجب أن يكون واضحاً للجميع الآن! (مترجم)

فشل الحكومة التي صنعها جون كيري يجب أن يكون واضحاً للجميع الآن!

(مترجم)

الخبر:

قتل 10 أشخاص من القوات المسلحة الأفغانية وأصيب 9 آخرون في مقاطعة هلمند الشرقية بأفغانستان نتيجة لضربة جوية شنتها القوات الخارجية. وقد وقع الحادث في منطقة دي آدم خان في مقاطعة غريشك في ولاية هلمند مساء الأحد. وفي هجوم جوي آخر للقوات الجوية الأمريكية على نقطة تفتيش في مقاطعة هلمند أسفر عن مصرع 16 جنديا أفغانيا. وكان اثنان من قادة الجيش من بين الضحايا. ووقع الحادث أيضا في نفس المنطقة التي كانت القوات الأمريكية تدرب القوات الأفغانية فيها. بيد أن وزارة الدفاع الأفغانية أعلنت مسؤوليتها عن ذلك.

التعليق:

إن ما تسمى بحكومة الوحدة الوطنية لأشرف غاني وعبد الله عبد الله التي أنشأها جون كيري قد دامت ثلاث سنوات. وامتناناً لجون كيري الذي منحهم هذه الصلاحيات، وقعوا في غضون الـ48 ساعة الأولى اتفاق الأمن الثنائي. وبعد توقيع الاتفاقية الأمنية اتبعت أمريكا سياسة الاستعمار والاحتلال التي حولت أفغانستان حرفياً إلى قاعدة عسكرية أمريكية، فضلاً عن مشروع أمريكا الحربي.

وللحفاظ على حكمهم، حمل هؤلاء القادة المزيفون جميع الجرائم التي ارتكبتها قوات أمريكا وقوات حلف شمال الأطلسي على أكتافهم. على سبيل المثال، حملوا مسؤولية ضربات الطائرات بدون طيار الأمريكية على مستشفى منظمة أطباء بلا حدود في قندوز مما أدى إلى مقتل عشرات الأطباء والمرضى، وذلك قبل إصدار أي بيان رسمي من قبل الاحتلال الأمريكي. وقبل بضعة أشهر، أسقطت القوات الأمريكية الشرسة أفضل قنبلة تملكها في منطقة أشين في مقاطعة نينغهارهار، ولكن مجدداً أعطى هؤلاء الحكام الخائنون انطباعاً للشعب كما لو أنه تم إسقاطها بالتنسيق المسبق والموافقة. وعلاوة على ذلك، ادعت حكومة الوحدة الوطنية أيضا أن من قام بالقصف هو الجيش الوطني الأفغاني في مقاطعة لوغار، وأنهم أيضاَ من قصفوا المدنيين في مقاطعة نينغارهار، وأنهم من نفذ الهجوم الحالي على قوات الأمن في منطقة غريشك بمقاطعة هلمند.

في دولة ضعيفة بالفعل مثل أفغانستان فإن وجود مثل هؤلاء الحكام الخائنين هو ما تأمله أمريكا والناتو. ويرجع ذلك إلى تبعيتهم المخزية وعبوديتهم المطلقة لها لكونها منحت طائرات الهليكوبتر لقوات الأمن الأفغانية لمواصلة البربرية نيابة عنها والضغط على المعارضة المسلحة لإجبارهم على القدوم إلى طاولة المفاوضات، حسب سياسة ترامب الجديدة. ولتبرئة أمريكا يتحمل النظام في أفغانستان المسؤولية حتى عن الجرائم التي ارتكبتها قواتها وقوات الناتو، وهو أمر مقلق أكثر من قصف قوات الاحتلال. ومن الجدير بالذكر هنا أنه وفقاً للتقرير الذي نشره المسؤولون الأمريكيون فإن أمريكا أسقطت في آب/أغسطس وحده أكثر من 2000 قنبلة في أفغانستان.

بالإضافة إلى كل ذلك، فقد أسقطت القوات الأمريكية منشورات قبل أكثر من شهر بقليل باستخدام طائرات الهليكوبتر في مقاطعة باروان، حيث صوروا أنفسهم بالأسود وحركة طالبان بالكلاب. لم يكتفوا بوضع كلمة على ظهر الكلب وطبعها بشكل منشور. وإنما في هذه المنشور طلبوا من الناس تحرير أنفسهم من "الكلاب الإرهابية" ومساعدة قوات التحالف حتى يجدوا هؤلاء "الإرهابيين" والقضاء عليهم من أجل جعل حياتهم وحياة أسرهم آمنة. وطلبوا أيضا من الناس إبلاغهم بأماكن بوجود طالبان باستخدام رقم الهاتف المكتوب على المنشور.

من المتوقع أن حكومة جون كيري الدمية اختارت أن تبقى صامتة على هذه المسألة الخطيرة المتعلقة برموز الإسلام، حتى يخرج الجمهور للشوارع وينظم احتجاجات ومظاهرات ضخمة. ومن أجل نزع فتيل الوضع فقد أصدرت حكومة عدم الوحدة الوطنية بياناً ضعيفاً دعت فيه إلى إجراء تحقيق، والذي لن تهمنا نتيجته أبدا.

وبسبب سياسات جون كيري فإن الحكومة اضطرت الشباب الذي هو عماد أي دولة إلى الفرار من البلاد. وليس ذلك فحسب، بل إن الحكومة تحرض باستمرار على الكراهية الطائفية والعرقية والقبلية في جميع قطاعات المجتمع. فقد كانوا جميعهم مسلحين وعلى وشك أن يقاتل بعضهم بعضاً. وبمساعدة السفارات الغربية كان أشرف غاني ورفاقه ينفذون بعنف سياسات الغرب في مهاجمة النساء المسلمات وتغيير المناهج التعليمية وتغيير ما تبقى من القواعد والأحكام الإسلامية من خلال مشاريع مختلفة أدت إلى الفاحشة والجرائم والقتل وغيرها على نطاق واسع.

أمريكا من جهة أخرى تعزز قواعدها تحت ذريعة الحرب ضد تنظيم الدولة، وقد أعلنت سياستها في استخدام أفغانستان كقاعدة لاستراتيجيتها في جنوب آسيا. ومن ثم فإن أمريكا من أجل تحقيق أهدافها الاستراتيجية في المنطقة أعلنت أفغانستان كجزء من مشروع جنوب آسيا، الأمر الذي سيدفع أفغانستان إلى ساحة المعركة لتخوض حروباً بالوكالة بين مختلف اللاعبين الإقليميين.

وختاماً، فإن فشل حكومة الانقسام الذليلة وحقيقة قيام قوات الاحتلال بقتلنا وإهانة ديننا وحربهم ضد الإسلام والمسلمين تحت ستار "الإرهاب والتطرف"، والأهم من ذلك تحمل الحكومة الدمية مسؤولية الجرائم التي ارتكبتها قوات أمريكا وقوات الناتو يجب أن يكون الآن واضحاً تماماً للجميع.

وفي الواقع، فإن هذه النخبة الحاكمة الذليلة والمذمومة ليس لديها شجاعة لمواجهة الأمة وللرد على قضاياها واهتماماتها. وبالتالي، من الضروري للمسلمين والأمة المجاهدة في أفغانستان أن يتعاونوا مع بقية الأمة لإقامة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة وأن يأخذوا موقفاً ثابتاً ضد أفكار الكفر بجميع أشكالها ومظاهرها، لأن الخليفة وحده القادر على الدفاع عنا نحن أمة محمد r وديننا وقيمنا وشرفنا ومواردنا وكل قطرة من دمنا. «إِنَّمَا الإِمَامُ جُنَّةٌ يُقَاتَلُ مِنْ وَرَائِهِ وَيُتَّقَى بِهِ».

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سيف الله مستنير

رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية أفغانستان

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon