في الحرب الروسية الأوكرانية: يجب أن تقف أفريقيا على الحياد
في الحرب الروسية الأوكرانية: يجب أن تقف أفريقيا على الحياد

الخبر:   يبدو أن الحرب الدائرة بين روسيا وأوكرانيا تقسم أفريقيا مثل أي حزب يجب أن تدعمه أفريقيا ولماذا؟ قرر العديد من القادة الأفارقة البقاء على الحياد بينما أظهر القليل منهم موقفهم علانية. وعلى الرغم من مواقف الدول، أدان الاتحاد الأفريقي غزو موسكو ودعا إلى "وقف فوري لإطلاق النار". وحث ماكي سال رئيس السنغال الذي يرأس الاتحاد الأفريقي ورئيس مفوضية الاتحاد الأفريقي موسى فقي محمد، روسيا على احترام القانون الدولي وسيادة أوكرانيا.

0:00 0:00
Speed:
April 18, 2022

في الحرب الروسية الأوكرانية: يجب أن تقف أفريقيا على الحياد

في الحرب الروسية الأوكرانية: يجب أن تقف أفريقيا على الحياد

(مترجم)

الخبر:

يبدو أن الحرب الدائرة بين روسيا وأوكرانيا تقسم أفريقيا مثل أي حزب يجب أن تدعمه أفريقيا ولماذا؟ قرر العديد من القادة الأفارقة البقاء على الحياد بينما أظهر القليل منهم موقفهم علانية. وعلى الرغم من مواقف الدول، أدان الاتحاد الأفريقي غزو موسكو ودعا إلى "وقف فوري لإطلاق النار". وحث ماكي سال رئيس السنغال الذي يرأس الاتحاد الأفريقي ورئيس مفوضية الاتحاد الأفريقي موسى فقي محمد، روسيا على احترام القانون الدولي وسيادة أوكرانيا.

التعليق:

إذا نظرنا إلى جانبي الصراع، أي روسيا وأوكرانيا المدعومين من الدول الأوروبية وأمريكا، فمن الواضح أن أياً منهما لا يستحق الدعم.

الحرب الحقيقية هنا هي بين روسيا من جانب وأوروبا وغالبا أمريكا على الجانب الآخر، مع استخدام أوروبا وأمريكا لأوكرانيا ككبش فداء.

لذلك إذا كان نقاشنا الرئيسي سيكون حول الفاعلين الحقيقيين في هذه الحرب مثل روسيا وأوروبا وأمريكا، فيجب أخذ زوايا النقاش التالية بعين الاعتبار، حتى نحلل أي جزء من الصراع أو أي موقف يجب أن تتخذه أفريقيا بشأن هذه الحرب المستمرة:

الدول الأوروبية التي تدعم أوكرانيا للحد من التأثير الروسي عليها لا قيمة لها. إنهم منافقون لهم تاريخ طويل في الاستعمار والوحشية وإراقة دماء الأفارقة.

لقد تسببت في نزوح جماعي لـ100 مليون شخص وموت 12.5 مليون شخص في أفريقيا خلال فترة العبودية التي سبقت الاستعمار. وخلال قرون تجارة الرقيق عبر المحيط الأطلسي، تم انتزاع ما يقدر بنحو 100 مليون أفريقي من أوطانهم. (الدكتورة شيلا س. ووكر: وجوه وأصوات الشتات الأفريقي، الولايات المتحدة الأمريكية، 2008). بحلول الوقت الذي قُدِّر فيه عدد سكان أفريقيا بنحو 62.207.000 نسمة في عام 1500 وفي عام 1900 حوالي 140.755.000 نسمة.

بعد العبودية، استعمرت الدول الأوروبية أفريقيا فعلياً. وضعت مخططات العمل الجبري والضرائب، وقوانين تقييد ملكية الأراضي، ثم الاستغلال الهائل للموارد في وقت لاحق ما ساهم في تخلف أفريقيا وأخذ التنمية الرأسمالية الأوروبية إلى مستويات غير مسبوقة.

عندما جاء استقلال العلم، واصلت كل من أوروبا وأمريكا السعي من أجل إعادة تقسيم أفريقيا والحفاظ على نفوذها في شكل استعمار جديد.

لقد ابتليت أفريقيا بالعديد من الانقلابات والحروب الأهلية التي نتجت عن صراع أوروبا وأمريكا، كل منها بهدف تثبيت عملائه في السلطة.

من خلال الاستعمار الجديد، خلقت أمريكا وأوروبا متلازمة التبعية في أفريقيا من خلال المؤسسات المالية مثل صندوق النقد الدولي والبنك الدولي وكذلك اختلال التوازن التجاري من خلال سياسات السوق الحرة. أمريكا وأوروبا تستخدمان المساعدات والصفقات التجارية الوهمية "كمحليات" للتجارة غير المواتية بين أفريقيا وبينهم.

بالنسبة لروسيا، صحيح أنها لم تشارك في الاستعمار المباشر لأفريقيا، لكنها انتشرت خلال الحقبة السوفيتية وفرضت مبدأها الشيوعي الذي تسبب في الكثير من الفوضى وإراقة الدماء.

كانت هناك عدة حروب بالوكالة خلال حقبة الحرب الباردة بين الاتحاد السوفيتي والولايات المتحدة مثل حرب أوجادين في الصومال 1977-1978 والحرب الأهلية الأنغولية 1975-2002 بهدف توسيع مجالات نفوذهم التي أوقعت أفريقيا ضحية من خلال العنف والقتل وزعزعة كبيرة للاستقرار.

في الوقت الحالي، أعادت روسيا إحياء الاهتمام بأفريقيا ليس مدفوعاً بنشر المبدأ بعد فشل مبدئها ضد الرأسمالية، والآن هي للاستغلال الاقتصادي لأنها احتضنت الرأسمالية أيضاً.

وتشكل صفقات التسلح الروسي مع الدول الأفريقية والتجارة في المعدات العسكرية أكثر من 50 في المائة من تجارة روسيا مع أفريقيا. خلال قمة سوتشي لعام 2019، هيمنت المعدات العسكرية على المَعارض. تعمل الشركات المرتبطة بالكرملين مثل Gazprom وAlrosa وRosatom وRosneft في صفقات التعدين والطاقة في أنغولا والجزائر وغانا وجمهورية الكونغو الديمقراطية وموزمبيق وناميبيا وجنوب أفريقيا وزيمبابوي،...إلخ. بلغت التجارة بين أفريقيا وروسيا 17.4 مليار دولار أمريكي في 2017.

لذلك، فإن حلفاء أوكرانيا أوروبا وأمريكا في جانب وروسيا في كلا الكتلتين الأخريين يعملان بأجندة استغلالية لأفريقيا.

إن الإدانة الغربية للغزو الروسي لأوكرانيا نفاق ويجب على أفريقيا ألا تدعم أحداً.

النفاق الغربي الواضح الآخر يتعلق بالتمييز ضد اللاجئين. بصرف النظر عن حقيقة أن روسيا وأوروبا وأمريكا قد خلقت العديد من الحروب وتتمتع بوجود حروب وصراعات لا نهاية لها في أفريقيا، فقد مارسوا التمييز الوحشي للاجئين من أفريقيا بطريقة مماثلة من الشرق الأوسط. أفادت التقارير أنه خلال الربع الأول من عام 2021، كان أكثر من نصف الوافدين إلى إيطاليا من تونس هم في الغالب من دول جنوب الصحراء الأفريقية وتوفي ما لا يقل عن 453 مهاجراً أثناء محاولتهم الوصول إلى أوروبا من شمال أفريقيا، بعد رفضهم، والمضايقات والمصاعب الشديدة التي يواجهونها في دخولهم أوروبا.

على الأمة الإسلامية في أفريقيا أن تدرك أن أوروبا وأمريكا وروسيا وأوكرانيا متورطة في إراقة دماء إخواننا وأخواتنا المسلمين بأيديهم. الحرب الأخيرة على سبيل المثال، هي الغزو الذي قادته الولايات المتحدة للعراق في عام 2003، والذي قتل فيه أكثر من 1.2 مليون، والذي شاركت فيه أمريكا وأوروبا وتحديداً أوكرانيا، وخدم أكثر من 5000 جندي أوكراني في العراق. كما قاموا بغزو أفغانستان في عام 2001 ما أسفر عن مقتل أكثر من نصف مليون شخص، وسمحت أوكرانيا باستخدام مجالها الجوي وقواعدها الجوية للولايات المتحدة وحلفائها، ونشرت قوات أيضاً. كما أن روسيا ليست أفضل من ذلك أيضاً، فقد قتلت ملايين المسلمين خلال عصر الاشتراكية الفاشلة. شهدت جميع البلاد الإسلامية في الاتحاد السوفيتي السابق عمليات قتل جماعية وتعذيب وإغلاق مساجد،... إلخ. قتلت روسيا الكثيرين في أفغانستان وما زالت تمارس مذابح في سوريا وليبيا وغيرها، ناهيك عن سجن المسلمين لدعوتهم إلى الإسلام.

لذلك، بالنسبة للمسلمين أينما كانوا، فإن دعم روسيا يشبه دعم أوكرانيا وأوروبا وأمريكا. لأن كلا الفريقين قتلة لإخوتنا وأخواتنا.

إن المنافسة الدولية الحالية بين الرأسماليين مثل أمريكا وأوروبا وروسيا والصين على موارد أفريقيا النفطية والمعدنية الهائلة تبرز في حاجة ماسة لعودة الخلافة الراشدة لإنقاذ القارة ورفعها ليكون لها صوت مستقل وقرار في القضايا الدولية.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

سعيد بيتوموا

عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في تنزانيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon