في بلاد الحرمين حكام فاسدون وبطانة مفسدة
في بلاد الحرمين حكام فاسدون وبطانة مفسدة

الخبر: - "الثامنة" يناقش 3 وزارات في الوضع المالي السعودي (الحلقة الكاملة من موقع قناة إم بي سي 2016/10/19م) - "الشريان" يستبعد الإعلان عن مسرب مقاطع من حلقة البرنامج مع وزير الخدمة المدنية ووزير المالية (صحيفة صدى الإلكترونية 2016/10/19م)

0:00 0:00
Speed:
October 24, 2016

في بلاد الحرمين حكام فاسدون وبطانة مفسدة

في بلاد الحرمين حكام فاسدون وبطانة مفسدة

الخبر:

- "الثامنة" يناقش 3 وزارات في الوضع المالي السعودي (الحلقة الكاملة من موقع قناة إم بي سي 2016/10/19م)

- "الشريان" يستبعد الإعلان عن مسرب مقاطع من حلقة البرنامج مع وزير الخدمة المدنية ووزير المالية (صحيفة صدى الإلكترونية 2016/10/19م)

- خالد العرج والعساف لبرنامج الثامنة: حال البترول سبب تحجيم الإنفاق (صحيفة المواطن الإلكترونية 2016/10/19م)

- الشريان لـ"العساف": "لماذا ما تحسبتم يوم وفرة النفط لهذا الظرف بدلا من المساس بالبدلات؟" والأخير يرد "إن الكثير من الإجراءات التي اتخذت مؤخرا، كانت مطلوبة بغض النظر عن التغيير في أسعار النفط، مبينا أن الانخفاض الكبير والسريع في أسعار النفط أدى إلى الحاجة لتسريع اتخاذ هذه القرارات (موقع أخبار24، 2016/10/19م)

- لتويجري: لولا القرارات الاقتصادية الأخيرة لأفلست السعودية خلال 4 سنوات (موقع سي ان بي سي2016/10/20م)

- "ساعة العرج" تستفز 1.2 مليون موظف حكومي... وسعوديون يترحمون على القصيبي - حيث استفزهم قوله إن "الدراسات أظهرت ان إنتاجية الموظف السعودي في القطاع الحكومي لا تزيد على ساعة عمل واحدة فقط في اليوم". (جريدة الحياة 2016/10/20م)

- "إنتاجية الموظف" و"إفلاس السعودية" يشعلان الجدل في المملكة (موقع إرم نيوز2016/10/20م)

التعليق:

بعيدا عن موضوع التسريبات لحلقة البرنامج وما جاء بعدها من استبعاد مقدمه داوود الشريان من الإعلان عن مسرب المقاطع، إلا أن ما يهم الآن أن البرنامج قد أذيع، فبعد مضي شهر تقريبا منذ صدور قرارات تخفيض الإنفاق على الرواتب والبدلات للموظفين الحكوميين والتي صدرت في 2016/09/27م، جاءت مقابلة الشريان في برنامج الثامنة على قناة إم بي سي كأول مجموعة تعليقات وتوضيحات من طرف الحكومة، وكما أن القرارات وقت صدورها من مجلس الوزراء أحدثت ضجة وبلبلة بين أوساط الشعب، فقد كانت تصريحات الشخصيات الثلاثة (وزير المالية إبراهيم العساف ووزير الخدمة المدنية خالد العرج ونائب وزير الاقتصاد والتخطيط محمد التويجري) مستفزة لمختلف أوساط المجتمع في بلاد الحرمين، وقد كانت تلك التصريحات تركز على ما يمكن تقسيمه إلى ثلاثة محاور.

المحور الأول كان يركز على تحميل الأخطاء على سياسات الماضي رغم أن العائلة الحاكمة هي نفسها آل سعود، ووزير المالية إبراهيم العساف على سبيل المثال هو نفسه في نفس المنصب منذ ما يزيد عن عشرين سنة، وكان هذا المحور في المقابلة يهدف إلى إعطاء "رؤية 2030" في عهد "سلمان الحزم" صورة المنقذ وتسليط الضوء عليها أكثر وأكثر، رغم أن ويلات "سلمان الحزم" ما زالت تنزل على رؤوس المسلمين في بلاد الحرمين وفي خارجها في مختلف مناطق العالم.

أما المحور الثاني فهو محاولة تحميل الشعب في بلاد الحرمين مسؤولية الأخطاء الكارثية التي تسير عليها العائلة الحاكمة في بلاد الحرمين، وذلك مثلما صرح به وزير الخدمة المدنية خالد العرج من موضوع تدني إنتاجية الموظف الحكومي إلى ساعة واحدة في اليوم، في محاولة منه لتسليط الضوء على أخطاء المواطن وتجاهل السياسات والقوانين الاقتصادية الخاطئة التي يضعها الحكام.

وجاء المحور الثالث - وهو الكذبة الكبرى في المقابلة - بهدف زيادة التركيز على الأسباب غير الحقيقية للمشكلة، وتوجيه الأنظار نحو أحد الأسباب وإهمال البقية، فقد جاء في المقابلة أن انخفاض أسعار النفط هي السبب في جميع السياسات الحالية وتجاهل الوزراء بل وحتى تعمدوا تجاهل أي سبب آخر مثل حجم الإنفاق العسكري في حرب اليمن وسوريا والمبالغ الخرافية التي تنفقها وزارة الدفاع على صفقات التسليح حتى أصبحت السعودية في مصافي الدول ولسنوات عدة في حجم الإنفاق العسكري على مستوى العالم، والتي لا يعلم حقيقتها أحد ولا يتم الإفصاح عنها أبدا، ومثل الدعومات التي تتلقاها حكومة السيسي في مصر والتي وصلت إلى عشرات المليارات، ومثل المبالغ الضخمة التي يصرفها أفراد العائلة الحاكمة والتي جاءت صحيفة النيويورك تايمز الأمريكية على ذكر شيء منها في موضوع شراء محمد بن سلمان ليخت من تاجر الفودكا الروسي يوري شيفلور بقيمة 550 مليون دولار (صحيفة النيويورك تايمز 2016/10/16م)، وحتى في موضوع النفط نفسه فلم يأت الوزراء الثلاثة على ذكر حقيقة الإنتاج وحقيقة الآبار التي يملكها أفراد في العائلة الحاكمة لحساباتهم الشخصية، وكل ذلك جاء لزيادة الكذب والتضليل وخداع الناس.

إن هؤلاء الوزراء في جميع تصريحاتهم وأعمالهم لم يكونوا يوما واقفين في صفوف شعوبهم ضد أخطاء الحكام وتصرفاتهم رغم فداحتها، بل هم في جميع ذلك داعمين مؤيدين ومطيعين بل حتى تراهم مجتهدين فيما يوكل إليهم من مهام، فكانوا بذلك منسلخين عن واقع أمتهم، معاونين للظالمين في ظلمهم وفسادهم، يسألهم الحكام عن المشورات والحلول فتراهم يهرولون قبل الحكام حيناً ومعهم حيناً آخر إلى أسيادهم في الغرب ليجدوا عندهم النصيحة والحل، وذلك مثلما جاء على لسان وزير المالية إبراهيم العساف - خريج أمريكا - من صيغة يحسبها مفخرة كونه كان قبل أسبوع من المقابلة في أمريكا وأن الرئيس الأمريكي أوباما مدح السياسات المتعلقة بالإنفاق في السعودية في خطبته أمام البنك والصندوق الدوليين.

لقد نسي هؤلاء الوزراء أو تناسوا أنهم ينتمون إلى خير أمة أخرجت للناس كما أنهم تجاهلوا أن شعب بلاد الحرمين هم أحفاد الصحابة الذين واصلوا الليل بالنهار لحمل الدعوة الإسلامية وكانوا حجر أساس لبناء دولة إسلامية وصلت حضارتها إلى مختلف بلدان المعمورة، وهم إن صح ما ذكره الوزير خالد العرج من أن إنتاجية الموظف الحكومي هي ساعة واحدة فهم كذلك بسبب السياسات الخاطئة من طرف الحكام، وإلا فإن هؤلاء الوزراء يكذبون على الناس ويضللونهم.

إن على هؤلاء الوزراء ومن شاكلهم في معاونة الظالمين أن يعلموا أنهم أداة رخيصة يقوم الحكام الظالمون باستخدامهم لصد الناس عن قرارات الحاكم وأفعاله، وأنهم في ذلك يقفون موقف صف الدفاع الأول في مواجهة الشعوب المظلومة، وأن الفرق بينهم وبين حكامهم أنهم قد يتعرضون للمحاسبة من طرف حكامهم على أخطائهم فيرمون ويؤتى بغيرهم ويبقى الحكام في مناصبهم من غير مساءلة أو محاسبة أو تغيير، وأوضح مثال على ذلك في بلاد الحرمين ما يحدث في وزارة الصحة منذ أربع سنوات والتي تعاقب عليها سبعة وزراء منذ 1435هـ وحتى الآن، حتى صار معلوماً بين أوساط الشعب أنها مقبرة الوزراء.

إن مما نسمعهم في دعاء خطب صلاة الجمعة في مختلف المساجد من بلاد الحرمين وذلك في الخطب التي يتم اعتمادها من أجهزة الرقابة في الدولة أن يدعو الخطيب فيقول: (اللهم وفق ولي أمرنا وارزقه البطانة الصالحة الناصحة...) فهلا أعاد هؤلاء الخطباء التفكير في حقيقة هذا الدعاء؟ وهل المشكلة فعلا في هذه البطانة الفاسدة فقط أم إن الحاكم وبطانته وجهان لعملة واحدة؟ كما أن التساؤل يجب أن يرتقي ليصل إلى أس الداء وأساسه، فهل هذه السياسات مبنية على أساس الإسلام أم هي مبنية على أساس التوجيهات الرأسمالية والتي تبتعد بالشعوب عن الإسلام شيئاً فشيئاً؟.

إن حلول مشاكل المسلمين في مختلف بلاد المسلمين لا تكون إلا بسياسات وأحكام إسلامية فقط، وتكون منبثقة عن عقيدة لا إله إلا الله محمد رسول الله، وتقوم بحملها دولة إسلامية تجمع شمل المسلمين وتوحدهم تحت راية واحدة وخليفة واحد في دولة الخلافة على منهاج النبوة كما وعد بها رسولنا الكريم محمد e.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

ماجد الصالح – بلاد الحرمين الشريفين

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon