في يوم عرفة نستذكر وحدة المسلمين وعزتهم
في يوم عرفة نستذكر وحدة المسلمين وعزتهم

وقوف الحجيج على جبل عرفة (23/09/2015).

0:00 0:00
Speed:
September 24, 2015

في يوم عرفة نستذكر وحدة المسلمين وعزتهم

في يوم عرفة نستذكر وحدة المسلمين وعزتهم

الخبر:

وقوف الحجيج على جبل عرفة (23/09/2015).

التعليق:

لَبَّيْكَ اللَّهُمَّ لَبَّيْكَ، لَبَّيْكَ لاَ شَرِيكَ لَكَ لَبَّيْكَ، إِنَّ الْحَمْدَ وَالنِّعْمَةَ لَكَ وَالْمُلْكَ، لاَ شَرِيكَ لَكَ..

في يوم عرفة نستذكر وحدة المسلمين وعزتهم ومقياس تفاضلهم؛ «لَا فَضْلَ لِعَرَبِيٍّ عَلَى أَعْجَمِيٍّ، وَلَا لِعَجَمِيٍّ عَلَى عَرَبِيٍّ، وَلَا لِأَحْمَرَ عَلَى أَسْوَدَ، وَلَا أَسْوَدَ عَلَى أَحْمَرَ إِلَّا بِالتَّقْوَى، إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِنْدَ اللَّهِ أَتْقَاكُمْ»..

في يوم عرفة نستذكر يوماً خطب فيه رسول الله مبلّغاً ومودّعاً: أيُّها النَّاسُ، اسمعوا قولي، فإنِّي لا أدري لعلِّي لا ألقاكم بعدَ عامي هذا، بِهذا الموقِفِ أبدًا: «أيُّها النَّاسُ، إنَّ دماءَكم وأموالَكم عليْكُم حرامٌ، إلى أن تلقَوا ربَّكم كحُرمةِ يومِكم هذا، وَكحُرمةِ شَهرِكم هذا».

نستذكر ذلك ونحن نرى كيف استبيحت دماء المسلمين اليوم، وأعراضهم وأموالهم، نستذكر ذلك ونحن نرى حكامنا يلقون حمم الموت على المسلمين في الشام واليمن والعراق فيجمعون بين انتهاك حرمة دماء المسلمين وأموالهم وبين انتهاك حرمة الأشهر الحرم فيقترفون ما لم يقترفه رؤوس الجاهلية الذين كانوا يراعون حرمة الأشهر الحرم، أما حكامنا اليوم فلا يراعون ولا يرعوون ولا يخجلون..

«وإنَّ كلَّ ربًا موضوعٌ، ولكن لَكم رؤوسُ أموالِكم، لا تظلِمونَ ولا تُظلَمونَ قضى اللَّهُ أنَّهُ لا ربًا»

نستذكر ذلك، ونحن نرى كيف ملأ حكامُنا أرض الحرمين الشريفين وكافة بلاد المسلمين بالبنوك الربوية دون أي حياء..

«إنَّ الشَّيطانَ قد يئِسَ أن يعبدَ في أرضِكم، ولَكنَّهُ قد رضِيَ أن يطاعَ فيما سوى ذلِكَ مِمَّا تحقِّرونَ من أعمالِكم»

نستذكر ذلك ونحن نرى كيف اتخذ حكامُنا الأمريكان والإنجليز أربابا من دون الله، حيث أحلوا لهم ما حرم الله وحرموا عليهم ما أحل، وليس أدل على ذلك من مشاركتهم قتل المسلمين وامتناعهم عن نصرة المسلمين وحماية مقدساتهم وتحليلهم الربا واتخاذهم الكفار أولياء من دون الله، والأمثلة كثيرة، وتلك عبادتهم لهم، ومع ذلك يحتقر كثيرٌ من مشايخنا وعلمائنا في هذه البلاد أفعال حكامِهم تلك ولا تغلي دماؤهم على تلك الانتهاكات وعلى تلك العبادة، فلا يهبّون لإنكار المنكر، بل يرضون ويتابعون..

«وقد ترَكتُ فيكم ما إنِ اعتصمتُم بِهِ فلن تضلُّوا أبدًا كتابَ اللَّهِ وسنَّةَ نبيِّهِ»

نستذكر ذلك ونحن نرى كيف يعتصمُ حكامُنا بالكفار ويسيرون تحت أقدام ركابهم، بل ويطلبون منهم حماية المسلمين في الشام والقدس وحماية الأقصى، عِوضاً عن أن يعتصموا بكتاب الله وسنته وينصروا الله ويستنصروه..

«أيُّها النَّاسُ، اسمعوا قولي واعقِلوهُ تعلمُنَّ أنَّ كلَّ مسلمٍ أخٌ للمسلِمِ، وأنَّ المسلمينَ إخوَةٌ»

نستذكر ذلك ونحن نرى كيف فرق حكامُنا بين المسلمين ومزّقوهم وصنّفوهم، فهذا عربي وهذا أعجمي، هذا سعودي وهذا مصري وهذا سوري ...، هذا مواطن وهذا مقيم، بل هذا مواطن أصيل وهذا مواطن مجنّس، ولا حول ولا قوة إلا بالله..

في يوم عرفة نستذكر أعواماً كان المسلمون يحجون فيها من كل بلاد الإسلام لا تحدّهم حدود ولا توقفهم حواجز ولا يمنعهم جواز سفر ولا يُطلب منهم تصريح، أرضهم واحدة وبلادهم واحدة ودولتهم واحدة وإمامهم واحد، أمّةٌ واحدة حكماً وواقعاً، تماما مثلما أن دينهم واحد وقبلتهم واحدة.. نستذكر ذلك ونحن نرى الصعوبة المتناهية في نوال المسلمين الحج، والتفتّت الذي تفتّتته بلاد المسلمين بفعل حكامها..

في يوم عرفة نستذكر يوما كان أمير حج المسلمين يقف على جبل عرفة بينما أمير جهادهم يحاصر بيت المقدس تمهيدا لفتحها ولضم أقصاها ثالث الحرمين إلى شقيقيه حرمي مكة والمدينة.. نستذكر ذلك ونحن نرى جيوشَ الصهاينة تحاصر المسجد الأقصى في حجنا هذا وتقتحمه وتسعى لتقسيمه أو هدمه، وحكام المسلمين يجتهدون بصد كل من يحاول أن يستنصر للأقصى ولو بكلمة..

في يوم عرفة نستذكر حاكما للمسلمين كان يتولى إمارة حجهم عاما وإمارة جهادهم عاما، فلا نعجب أن يخاطب ملك الروم بكلب الروم وأن يقود فتح مدينة هرقل، ولا نعجب أن يخاطب الغيوم أن أمطري حيث شئت فإن خراجك راجع إليّ، ولا نعجب أن تصبح الدولة الإسلامية في عهده منارةً في تاريخ العلم والعلماء.. نستذكر ذلك ونحن نرى ذلّ حكامِنا وهوانَهم واستخذاءَهم لملوك الكفار وقادتِهم، فلا نعجب أبداً لما وصل إليه حالُنا وحالُ بلادنا..

وفي يوم عرفة يكفينا أن نستذكر يوماً قال اللهُ فيه: ﴿الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا﴾ فننظر ليومنا هذا فنرى كيف مزّق حكامُنا أحكامَ الدين ففصلوا الدين عن الدولة وحكموا بأهوائهم وأهواء أسيادهم، وأعرضوا عن دين الله الذي أكمله وارتضاه..

في يوم عرفة نستذكر ذلك كله، فيتقطّع القلبُ ألماً وحزناً عندما نقارن حالَ المسلمين في حج اليوم، بما كان وما يجب أن يكون..

إلا أن هذا الألم والحزن يستحيلُ تفاؤلاً وأملاً عندما نستذكر وعود الله وبشارات رسوله لهذه الأمة بالسنا والرفعة والعزّ والنصر والتمكين والاستخلاف، وعندما نرى هذه الجموع المباركة موحَدّةً ملبيّةً في عرفة لا يجمعها إلا تلبية نداء الله، وعندما نرى اجتماعَ ذلك مع جهاد المجاهدين في الشام رافعين راية رسول الله، ومع رباط المرابطين في الأقصى مفتدينَه بدمائهم.. فنستبشر بأيام كأيام حج المسلمين وجهادهم في تاريخهم المجيد، نستبشر بخلافة راشدة على منهاج النبوة تضم الأقصى إلى الحرمين، وتحرر البلاد والعباد وتقود الحج والجهاد، فتعيدنا كما كنا خيرَ أمة أخرجت للناس بحقّ..

في يوم خير الدعاء، يومِ عرفة، نسأل الله حجاً قريباً وعيداً قريباً ويومَ عرفة قريباً في ظل خلافةٍ راشدة على منهاج النبوة تعيدنا للدين الكامل، وتطبّق علينا ما أمر به رسولُ الله في خطبة الوداع، وكلّ أحكام الدين، وتعيدنا لعهود عزّة كعهود أبي بكر وعمر وعثمان وعلي وابن عبد العزيز وهارون، فتحيل الذكريات واقعاً معاشاً...

في يوم عرفة نهنئ المسلمين بعيد الحج ونبشرهم بخلافة راشدة على منهاج النبوة بدأت أشعةُ شمسِها بالإشراق، وندعوهم للّحاق بركب العاملين لها قبل أن يفوتهم الأجر بقيامها، والله الهادي إلى سواء السبيل وهو سبحانه الوليّ والنصير والمجيب..

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

محمد بن إبراهيم - بلاد الحرمين الشريفين

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon