غاز البحر الأسود ملك لعامة الناس ويجب أن يستخدم وفقا لأوامر الإسلام
غاز البحر الأسود ملك لعامة الناس ويجب أن يستخدم وفقا لأوامر الإسلام

الخبر:   نُقل غاز البحر الأسود، الذي تم اكتشافه في حقل غاز ساكاريا وهو أحد أهم مشاريع الطاقة في تاريخ تركيا، إلى الشاطئ لأول مرة في معمل معالجة الغاز الطبيعي فيليوس. تم إنتاج الغاز الطبيعي في المرحلة الأولى من المشروع، والذي يعمل فيه أكثر من 8 آلاف فرد على الأرض و2000 في البحر، بمشاركة الرئيس التركي رجب طيب أردوغان. وقال أردوغان، في خطابه في حفل تكليف غاز البحر الأسود، إنه مع هذا المشروع، لم يتم تقليل الاعتماد الأجنبي للبلاد على الغاز الطبيعي بشكل كبير فحسب، بل تحولت منطقة فيليوس وزونجولداك أيضاً إلى قاعدة طاقة تقنية ولوجستية مهمة. (أخبار تي آر تي، 2023/04/20)

0:00 0:00
Speed:
May 11, 2023

غاز البحر الأسود ملك لعامة الناس ويجب أن يستخدم وفقا لأوامر الإسلام

غاز البحر الأسود ملك لعامة الناس ويجب أن يستخدم وفقا لأوامر الإسلام

(مترجم)

الخبر:

نُقل غاز البحر الأسود، الذي تم اكتشافه في حقل غاز ساكاريا وهو أحد أهم مشاريع الطاقة في تاريخ تركيا، إلى الشاطئ لأول مرة في معمل معالجة الغاز الطبيعي فيليوس. تم إنتاج الغاز الطبيعي في المرحلة الأولى من المشروع، والذي يعمل فيه أكثر من 8 آلاف فرد على الأرض و2000 في البحر، بمشاركة الرئيس التركي رجب طيب أردوغان. وقال أردوغان، في خطابه في حفل تكليف غاز البحر الأسود، إنه مع هذا المشروع، لم يتم تقليل الاعتماد الأجنبي للبلاد على الغاز الطبيعي بشكل كبير فحسب، بل تحولت منطقة فيليوس وزونجولداك أيضاً إلى قاعدة طاقة تقنية ولوجستية مهمة. (أخبار تي آر تي، 2023/04/20)

التعليق:

إن نعم الله على بلاد الأمة الإسلامية لا تعد ولا تحصى. يعتبر غاز البحر الأسود المكتشف في حقل غاز ساكاريا أحد هذه الثروات. لذلك، نظراً لكونها منتجعاً إسلامياً، فإن اكتشاف هذه الثروات مهم وقيِّم جداً، بغض النظر عما إذا كان على أراضي تركيا أو في البحر أو على اليابسة. لأن الطاقة تعني القوة والثروة. كما ذكر وزير الخارجية الأمريكي الأسبق هنري كيسنجر في خطابه قائلا "إذا كنت تتحكم في النفط فأنت تتحكم في الأمم. وإذا كنت تتحكم في الغذاء فأنت تتحكم في الناس"... إن موارد الطاقة هي ثروات مهمة للغاية تجعل الدول التي لديها طاقة أعلى من الدول الأخرى، وخاصة تلك المعادية.

كما يجب التأكيد على أنه إنجاز مهم حققته تركيا في 3 سنوات، بينما جعلت شركات الطاقة الكبرى في العالم احتياطيات الغاز المكتشفة قابلة للاستخدام فقط في 5-6 سنوات. من الضروري مشاركة هذا النجاح مع عامة الناس بطريقة شفافة ومفهومة. وبهذه الطريقة، يتم منع أي نوع من التلاعب.

قضية أخرى هي ما إذا كانت كمية الاحتياطيات المكتشفة ستكون كافية لتلبية احتياجات تركيا من الغاز. فقد أعلن في وقت سابق أن كمية الغاز التي اكتشفتها السلطات الحكومية وصلت إجمالاً إلى 710 مليار متر مكعب. مرة أخرى، وفقاً لتصريحات السلطات، سيتم استخراج 10 ملايين متر مكعب من الغاز يومياً و3.5 مليار متر مكعب سنوياً من احتياطي البحر الأسود. وبالنظر إلى أن هذا المعدل سيزداد بمقدار 3-4 مرات مع الآبار المحفورة حديثاً، فهذا يعني استخراج 15 مليار متر مكعب من الغاز سنوياً.

يبلغ استهلاك تركيا من الغاز حوالي 60 مليار متر مكعب سنوياً. وفقاً لبيانات هيئة الإشراف على سوق الطاقة، فقد استوردت تركيا ما يقرب من 58.704 مليار متر مكعب من الغاز الطبيعي في عام 2021. منها 44.87 في المائة مأخوذة من روسيا، في حين تم أخذ الكمية المتبقية من إيران وأذربيجان والجزائر. بالطريقة نفسها، ووفقاً لبيانات هيئة الإشراف على سوق الطاقة، استهلكت تركيا 59 مليار متر مكعب من الغاز الطبيعي في عام 2021. وفقاً لهذا الحساب، عندما يصل غاز البحر الأسود إلى طاقته الكاملة، فإنه يمكنه تلبية 25٪ فقط من احتياجاتنا السنوية. بالطبع، إنه أفضل بكثير من عدم وجود أي شيء على الإطلاق. لكن في هذه الحالة، القول بأن غاز البحر الأسود سيتم تصديره إلى الدول الرائدة لا يعني شيئاً سوى صنع الشعبوية قبل الانتخابات.

على الرغم من أننا نقول "عمل جيد" في شأن غاز البحر الأسود، إلا أن هذه الأرقام تظهر أننا بحاجة إلى العمل من أجل اكتشافات غاز جديدة. لأنه من الضروري تقليل واردات الطاقة من أجل الحصول على الاستقلال السياسي والاقتصادي.

والأهم من كل ذلك أن يكون لديك مبدأ يستخدم ثروة الأمة بشكل صحيح وفعال. ولا شك أن هذا المبدأ هو الإسلام. نحن في تركيا وفي البلاد الإسلامية الأخرى، لا يمكننا حماية ثرواتنا وتطويرها إلا من خلال تطبيق النظام الإسلامي. فالدولة الإسلامية هي القادرة على استعادة كل ثرواتنا، القديمة والجديدة، التي سرقها الكفار المستعمرون.

بحسب العقيدة الإسلامية، فإن موارد الطاقة هي الثروة التي ملكيتها تعود لعامة الناس. لا يجوز أبداً تحويل ملكية هذه الثروات إلى الشركات الرأسمالية والشركات الأجنبية العالمية لتشاركنا فيها. لأن الحق في استخدام هذه الثروات هو ملك لعامة الناس. ويجب أن تكون هذه الثروات مجانية ليس فقط في وقت الانتخابات، ولكن في جميع الأوقات. وليس للمسؤولين الحق في الاستحواذ عليها، قال رسول الله ﷺ: «الْمُسْلِمُونَ شُرَكَاءُ فِي ثَلَاثٍ فِي الْكَلَأِ وَالْمَاءِ وَالنَّارِ». رواه أبو داود

لذلك، فإن مهمة الحكام ليست هي إنتاج الثروات التي تعود ملكيتها لعامة الناس في المواد الانتخابية، ولكن استخدامها بالطريقة التي يأمر بها الإسلام، لمحاولة استخراج احتياطيات جديدة حتى تتم تلبية جميع احتياجات الناس جميعا.

بالإضافة إلى ذلك، يجب تسريع جهود البحث ليس في البحر الأسود فحسب، ولكن في البحر الأبيض المتوسط أيضاً. من حقنا التاريخي أن نمتلك كمية كبيرة من احتياطيات النفط والغاز الطبيعي المؤكَّدة الوجود في البحر الأبيض المتوسط. من أجل تجنب التوترات السياسية مع دول المنطقة، يجب استئناف أنشطة الاستكشاف المتباطئة ويجب تنفيذ أنشطة التنقيب عن النفط والغاز الطبيعي في المياه الدولية على الجرف القاري لكل من تركيا وقبرص. كما يجب تسريع أنشطة التنقيب عن النفط والغاز الطبيعي. في هذه المرحلة، الشيء الوحيد الذي يجب أخذه بعين الاعتبار هو مصلحة الأمة الإسلامية، وليس مصالح أمريكا أو أوروبا.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

محمد أمين يلديرم

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon