هبوط سعر اليورو مقابل الدولار
هبوط سعر اليورو مقابل الدولار

الخبر:   أوردت وكالات الأنباء خبر هبوط سعر صرف اليورو مقابل الدولار إلى أدنى مستوى له بحيث أصبح اليورو يساوي 1 دولار بعد أن كان سعر الصرف 1.25 دولار لكل يورو.

0:00 0:00
Speed:
July 23, 2022

هبوط سعر اليورو مقابل الدولار

هبوط سعر اليورو مقابل الدولار

الخبر:

أوردت وكالات الأنباء خبر هبوط سعر صرف اليورو مقابل الدولار إلى أدنى مستوى له بحيث أصبح اليورو يساوي 1 دولار بعد أن كان سعر الصرف 1.25 دولار لكل يورو.

التعليق:

لا شك أن هبوط سعر اليورو مقابل عملات أخرى أهمها الدولار هو نتيجة طبيعية للتضخم المالي الذي أصاب أوروبا وأمريكا ودولا أخرى. وجاء هذا التضخم جراء ضخ هائل للنقد من بنك الاحتياط المركزي في أمريكا وبنك أوروبا المركزي، خاصة أثناء جائحة كورونا، والتي توقفت فيه عجلة الإنتاج وتباطأ الاقتصاد المحلي والعالمي بشكل كبير. فكان الحل الأمثل لهذه الدول هو الاستمرار في ضخ النقد بكميات كبيرة زادت عن 20 تريليون دولار في أمريكا خلال الفترة من بداية 2020 وحتى نهاية 2021. ما يعني أن أمريكا قد أنتجت خلال سنتين ما يعادل 80% من مجموع الدولارات التي أنتجتها منذ بداية طباعة الدولارات في أمريكا.

وقد تبعت أوروبا خطوات أمريكا فأنتجت كميات هائلة من اليورو دون أن يكون لها غطاء اقتصادي أو غيره. وقد أدى تصرف أمريكا وأوروبا هذا إلى حدوث تضخم بمقدار زاد عن 8.5% في أوروبا وعن 9% في أمريكا. وقد صاحب هذا التضخم زيادة في أسعار الحاجات الأساسية والضرورية للناس كالغذاء والدواء والطاقة والسكن والمواصلات البرية والجوية وأسعار الشحن.

والمدقق في مسألة التضخم هذه يجد أنها تعود لسببين اثنين تم بموجبها إطلاق العنان لعملية إصدار النقود بكميات هائلة لعلاج أزمة طارئة وتوفيرها بكميات كبيرة لتغطية الآثار الناجمة عن ضعف الإنتاج أو تأثر خطوط التزويد بالبضائع أو الخدمات.

أما السبب الأول فهو تحرير النقد من أي رابط مستقل ذي قيمة ذاتية بحيث تستند قيمة النقد وكميته إلى هذا الرابط. وقد كان النقد في العالم كله خاصة الدولار والعملات الصعبة الأخرى تستند إلى الذهب بصفته معدناً له خصائص ذاتية تجعل منه صالحا ليكون مقياسا للنقود التي تصدرها الدول. إلا أن الربط بين النقد والذهب قد تخلصت منه أمريكا أولا في سنة 1971 حيث ألغت العمل بأحد بنود معاهدة بريتون وودز والقاضي بتقييد إنتاج الدولار بنسبة 35 دولاراً لكل أونصة ذهب، ومن ثم جعل باقي العملات العالمية تستند في سعر الصرف المتبادل إلى هذه القيمة. ولما ألغيت هذه الاتفاقية الخاصة بسعر صرف الدولار مقابل الذهب، أصبحت عملية إصدار النقود خاصة الدولار غير مقيدة بما لدى الدولة من ذهب قل أو كثر.

أما السبب الثاني فقد جاء من خلال فك الارتباط بين الدولار في أمريكا ومن ثم العملات الأخرى كاليورو في أوروبا وبين الإنتاج الاقتصادي، والذي قضى بالسماح للنقد أن تزداد كميته وضخه في السوق دون أن يرادفه نمو في الاقتصاد ومنتوجاته. ما يعني أن الدولة قد تنتج تريليون دولار أو يورو دون أن يصاحب ذلك إنتاج سلع وخدمات بقيمة تريليون دولار. وقد ظهر هذا جليا إبان جائحة كورونا حيث توقفت عجلة الإنتاج بشكل كبير في أمريكا وأوروبا ودول أخرى، إلا أن عجلة إنتاج النقود استمرت في ضخ مئات المليارات وكثير من التريليونات على مستوى العالم.

من هنا كان لفك الارتباط بين النقد في أي دولة وبين الذهب من جهة وبين النقد والنمو الاقتصادي من جهة أخرى، الأثر في وجود كميات هائلة من النقود في السوق تزيد بمرات عما هو متوفر فيه من سلع وخدمات. ما يؤدي إلى ارتفاع الأسعار بشكل كبير من أجل المساعدة على التخلص من الزيادة المفرطة في كمية النقود المتوفرة في السوق. وحين لا تتمكن الدولة أو مجموعة الدول كالاتحاد الأوروبي من تصريف ما لديها من أموال نقدية، فإن قيمة عملتها لا بد أن تهبط. فإذا لم تهبط قيمة العملات الأخرى كالدولار مثلا بنفس نسبة هبوط اليورو، فإن سعر صرف اليورو مقابل الدولار سوف يقل. وهذا بالضبط ما حصل في الآونة الأخيرة حين وصل سعر صرف اليورو إلى دولار واحد بعد أن كان يزيد عن 1.25 دولار. وهذا لا يعني أن الدولار حاله أحسن من حال اليورو، حيث إن الدولار فقد جزءا كبيرا من قيمته الشرائية دون أن يفقد الكثير من قيمة صرفه أمام العملات الأخرى.

والحاصل أنه ما دام النقد سواء أكان اليورو أو الدولار أو الين أو الوان ليس له مرجع ثابت ليتم إنتاجه مقابله كالذهب، ولم يكن هناك تنسيق دقيق بين المنتوجات الاقتصادية وكمية النقود التي يتم إصدارها، فإنه لا محالة ولا مفر من حصول التضخم المالي والذي يؤدي إلى اضطراب في عجلة الإنتاج، واقتصاد السوق بشكل عام.

والحقيقة التي لا بد من إدراكها هي أن العالم وتحت قيادة أو هيمنة أمريكا قد قطع شوطا كبيرا في عمليات إصدار النقد دون روابط وثيقة، ما يجعل عودته مستحيلة لنظام الذهب ولجعل النقد متماهيا مع الإنتاج الاقتصادي الحقيقي. وسوف تبقى مسائل التضخم المالي، وارتفاع الأسعار وضعف الإنتاج عبارة عن قنابل موقوتة تتفجر في الدول بين الحين والآخر، وتزداد قوة هذا الانفجار سنة وراء سنة.

ولا يوجد مخرج للعالم من آفات التضخم وارتفاع الأسعار وضعف الإنتاج إلا مخرجا واحدا يتمثل في وجود دولة مبدئية يكون فيها ربط النقد بالذهب أمرا متعلقا بالمبدأ وما ينبثق عنه من أحكام، وكذلك الربط بين النمو الاقتصادي وإصدار النقد، بحيث لا يتم إصدار نقود إن لم يكن هناك بضاعة كافية لاستهلاك هذه النقود، أي مواءمة النمو الاقتصادي والنمو المالي وإصدار النقد. وما هذه الدولة المبدئية إلا دولة الخلافة على منهاج النبوة القائمة قريبا بإذن الله.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

د. محمد جيلاني

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon