هل بقي شك في تآمر أردوغان على أهل سوريا؟!
هل بقي شك في تآمر أردوغان على أهل سوريا؟!

قال الرئيس التركي رجب طيب أردوغان يوم 24/9/2015: "إنه من الممكن أن تتم العملية الانتقالية بدون بشار أسد كما يمكن أن تحصل هذه العملية معه". وجاء هذا التصريح بعدما صرح وزير خارجية أمريكا جون كيري ببقاء الأسد في المرحلة الانتقالية بل إنه لا يوجد تاريخ محدد لذهاب الأسد والأمر قابل للتفاوض. كما قامت الدول الأوروبية بالتصريح في هذا الاتجاه.

0:00 0:00
Speed:
September 27, 2015

هل بقي شك في تآمر أردوغان على أهل سوريا؟!

هل بقي شك في تآمر أردوغان على أهل سوريا؟!

الخبر:

قال الرئيس التركي رجب طيب أردوغان يوم 24/9/2015: "إنه من الممكن أن تتم العملية الانتقالية بدون بشار أسد كما يمكن أن تحصل هذه العملية معه". وجاء هذا التصريح بعدما صرح وزير خارجية أمريكا جون كيري ببقاء الأسد في المرحلة الانتقالية بل إنه لا يوجد تاريخ محدد لذهاب الأسد والأمر قابل للتفاوض. كما قامت الدول الأوروبية بالتصريح في هذا الاتجاه.

التعليق:

بعدما كان يقول أردوغان على مدى أربع سنين أن على بشار أسد أن يرحل ويصفه بأنه قاتل وإلى غير ذلك من الأوصاف، يأتي اليوم ليلحق بقاطرة المتآمرين على سوريا الذين أطلقوا على أنفسهم أصدقاء سوريا وهم أعداؤها حقا، ولكن يظهرون بشكل أصدقاء ماكرين ليخادعوا أهل سوريا. ولولا وعي أهل سوريا لتمكن أولئك الأصدقاء الأعداء من أول يوم من خداعهم، فهم يمكرون وإن من مكرهم لتزول منه الجبال. فيأتون أهل سوريا كما أتى إبليس آدم بصورة الصديق والناصح الأمين ليغريه بالأكل من الشجرة التي نهاه الله عن الاقتراب منها وقد حذره الله من إبليس ومكره، فبقي إبليس يسول لآدم ويوسوس له ليعمل على خداعه بشتى الأساليب إلى أن تمكن من إغوائه ليخرجه من الجنة.

إن أمريكا وحلفاءها وأولياءها كتركيا أردوغان وآل سعود وقطر وغيرهم كلهم كإبليس يأتون أهل سوريا المسلمين من بين أيديهم ومن خلفهم وعن أيمانهم وعن شمائلهم ليقعدوا لهم على صراط ربهم المستقيم ليخدعوهم ويغروهم بغرور بالقبول بالنظام العلماني والتخلي عن مشروع الثورة وهو إعادة حكم الإسلام إلى سوريا متمثلا بالخلافة الراشدة على منهاج النبوة. فأولئك الذين أطلقوا على أنفسهم الأصدقاء كانوا ولا زالوا أخطر على أهل سوريا من الذين أعلنوا العداء كروسيا وإيران وحزبها في لبنان. فهؤلاء الأعداء مكشوفون ويحاربون بشكل علني ولكن الذين أطلقوا على أنفسهم أصدقاء سوريا يحاربون أهلها بأساليب خفية خبيثة.

فقد منعوا عن أهل سوريا السلاح بذريعة ألا تقع في أيدي الإرهابيين، مع العلم أن تعريفهم للإرهاب أو الإرهابي بأنه الذي يرفض الهيمنة الأمريكية والغربية ولا يقبل بوجود كيان يهود ويطالب بعودة الإسلام إلى الحكم ولا يقبل بالقيم الديمقراطية والنظم الغربية. وبذلك أصبح كل أهل سوريا المسلمين إرهابيين!!

عمل أعداء سوريا المتخفون بصورة أصدقاء سوريا بزعامة أمريكا في البداية على تسويق بشار أسد، فقالت وزيرة خارجية أمريكا السابقة هيلاري كلينتون إن بشار أسد سيقوم بإصلاحات، وعقبها ردد أردوغان مثل ذلك، لأنه كان يصف بشار أسد بأنه أخوه وصديقه وأرسل وزير خارجيته السابق داود أوغلو إليه. وحركت أمريكا الجامعة العربية وأرسلت الدّابي على رأس بعثة مراقبين عرب. فعندما سقطت الجامعة العربية عقدوا مؤتمر جنيف1 وخرج بمقرراته للمحافظة على النظام فلم تقدر على تطبيقها حتى الآن لأن أهل سوريا رفضوها فأفشلوها، وأرسلت كوفي عنان ففشل وفشلت مبادرته، ومن ثم أرسلت الأخضر الإبراهيمي عميلها صاحب المهمات الأمريكية الخداعية ففشل. وعقدت جنيف2 فلم يخرج بشيء سوى تهيئة الائتلاف السوري الذي أسسته أمريكا للتفاوض مع نظام بشار أسد، ولكن أهل سوريا لم يعتبروا هذا الائتلاف ممثلا لهم بأي بحال من الأحوال وأدركوا أنه صنيعة أمريكا، وقد أدخلت أمريكا إيران وحزبها في لبنان ومالكي العراق والتنظيمات الكردية العميلة وسمحت لروسيا بأن تمد عميلها بشار أسد بكافة المعدات والسلاح.

وأخيرا أرسلت أمريكا عميلها دي ميستورا على صورة مبعوث للأمم المتحدة وطرحت مبادرته ليصرح بشكل علني بأن الأسد جزء من الحل ويجب على المعارضة أن تقبل به في المرحلة الانتقالية فقامت أمريكا على لسان وزير خارجيتها كيري ليؤكد ذلك. فتبعتها الدول الأوروبية خوفا من أن تعزل وفي محاولة لفرض نفسها لتشركها أمريكا في المفاوضات. ومن ثم انطلق أردوغان حليف أمريكا ليعلن هو الآخر عن إمكانية بقاء الطاغية بشار أسد في المرحلة الانتقالية.

فهل بقي شك لدى أي عاقل من أن أردوغان حليف قوي لأمريكا وصديق خفي لبشار أسد على شاكلة أمريكا وليس عدوا له، وهو الذي خذل أهل سوريا عندما قال لن نسمح بحماة ثانية وقد ارتكب النظام في كل مدينة وبلدة وقرية حماة ثانية وثالثة ورابعة وما زال مستمرا بارتكاب الجرائم، وقد أعطت أمريكا الضوء الأخضر لروسيا بالتدخل مباشرة بجانبها في محاربة هذه الثورة الإسلامية بذريعة محاربة تنظيم الدولة الإسلامية والإرهاب، وأشركت تركيا أردوغان فيها بعدما فتح لها قاعدة إنجرليك لتنطلق الطائرات من مكان قريب من سوريا.

نقول لشعب سوريا المسلم الأبي أن يحذر تركيا أردوغان قبل إيران وحزبها في لبنان، وأن يحذر أمريكا قبل روسيا، وأن يحذر الذين يطلقون على أنفسهم أصدقاء الشعب السوري قبل الذين يعلنون عداءهم له. ونذكّر هذا الشعب المبارك بقول الله تعالى لعباده الصادقين: ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ اصْبِرُواْ وَصَابِرُواْ وَرَابِطُواْ وَاتَّقُواْ اللّهَ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ﴾. وبقوله تعالى: ﴿قَالُواْ أُوذِينَا مِن قَبْلِ أَن تَأْتِينَا وَمِن بَعْدِ مَا جِئْتَنَا قَالَ عَسَى رَبُّكُمْ أَن يُهْلِكَ عَدُوَّكُمْ وَيَسْتَخْلِفَكُمْ فِي الأَرْضِ فَيَنظُرَ كَيْفَ تَعْمَلُونَ﴾.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

أسعد منصور

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon