حملة التشويه ضد حزب التحرير التي يقودها نظام حسينة  لن تؤخر سقوطها ولن تعيق دعوة الخلافة
حملة التشويه ضد حزب التحرير التي يقودها نظام حسينة  لن تؤخر سقوطها ولن تعيق دعوة الخلافة

الخبر: توفي في مركز الشرطة (غلام فهيم) وهو شاب في الـ 19 من عمره، بعد أيام فقط من اتهامه واثنين آخرين بمحاولة خنق مدرس رياضيات هندوسي حتى الموت. وقد قتل ستة يشتبه بهم بما يسمى "المتشددين الإسلاميين"، بمن فيهم (فهيم)، بالرصاص أثناء احتجازهم لدى الشرطة منذ بدء المداهمات ردا على موجة من العنف ضد مدونين ملحدين، وأكاديميين ليبراليين، ونشطاء في المطالبة بحقوق المثليين، وعمال الإغاثة الأجانب، وأعضاء الأقليات الدينية. وقالت الشرطة إن فهيم كان يشتبه في كونه عضوا في حزب التحرير. ووفقا لروايتهم، أن فهيم أثناء التحقيق في السجن، كشف مكان وجود مخبأ حزب التحرير واقتادته الشرطة لمداهمة الموقع، حيث وقع إطلاق النار. وادعت الشرطة زوراً وبهتاناً بأن نشطاء حزب التحرير فتحوا النار في محاولة لانتزاع فهيم من بين أيديهم، مما اضطر الشرطة للانتقام وألقي القبض على فهيم في تبادل لإطلاق النار. وذكرت وسائل الإعلام المحلية أن فهيم كان مكبل اليدين، وكان قد أصيب برصاصة في الجانب الأيسر من صدره عندما تم إحضاره إلى المستشفى بعد تبادل إطلاق النار يوم السبت. وشكك نشطاء حقوق الإنسان في حوادث الوفيات في حجز الشرطة، بالقول إن المشتبه بهم قتلوا بالرصاص "بدم بارد" أثناء جلسات التحقيق التي قام بها الضباط. (المصدر: الجزيرة دوت كوم)

0:00 0:00
Speed:
June 25, 2016

حملة التشويه ضد حزب التحرير التي يقودها نظام حسينة لن تؤخر سقوطها ولن تعيق دعوة الخلافة

حملة التشويه ضد حزب التحرير التي يقودها نظام حسينة

لن تؤخر سقوطها ولن تعيق دعوة الخلافة

الخبر:

توفي في مركز الشرطة (غلام فهيم) وهو شاب في الـ 19 من عمره، بعد أيام فقط من اتهامه واثنين آخرين بمحاولة خنق مدرس رياضيات هندوسي حتى الموت. وقد قتل ستة يشتبه بهم بما يسمى "المتشددين الإسلاميين"، بمن فيهم (فهيم)، بالرصاص أثناء احتجازهم لدى الشرطة منذ بدء المداهمات ردا على موجة من العنف ضد مدونين ملحدين، وأكاديميين ليبراليين، ونشطاء في المطالبة بحقوق المثليين، وعمال الإغاثة الأجانب، وأعضاء الأقليات الدينية. وقالت الشرطة إن فهيم كان يشتبه في كونه عضوا في حزب التحرير. ووفقا لروايتهم، أن فهيم أثناء التحقيق في السجن، كشف مكان وجود مخبأ حزب التحرير واقتادته الشرطة لمداهمة الموقع، حيث وقع إطلاق النار. وادعت الشرطة زوراً وبهتاناً بأن نشطاء حزب التحرير فتحوا النار في محاولة لانتزاع فهيم من بين أيديهم، مما اضطر الشرطة للانتقام وألقي القبض على فهيم في تبادل لإطلاق النار. وذكرت وسائل الإعلام المحلية أن فهيم كان مكبل اليدين، وكان قد أصيب برصاصة في الجانب الأيسر من صدره عندما تم إحضاره إلى المستشفى بعد تبادل إطلاق النار يوم السبت. وشكك نشطاء حقوق الإنسان في حوادث الوفيات في حجز الشرطة، بالقول إن المشتبه بهم قتلوا بالرصاص "بدم بارد" أثناء جلسات التحقيق التي قام بها الضباط. (المصدر: الجزيرة دوت كوم)

التعليق:

في الآونة الأخيرة، اكتسب قتل المسلمين خارج نطاق القضاء في بنغلاديش زخما غير مسبوق. ففي غضون 24 ساعة فقط قتل شخصان في تبادل لإطلاق النار. فقد اشتبه بشريفول أكا شكيب بتورطه في قتل الكاتب الملحد (أفيجيت روي) وقتل سبعة آخرين بعد مقتل غلام فيض الله فهيم. وقد قتل 14 شخصاً هذا الشهر فقط فيما يسمى الاشتباكات المسلحة، دون القيام بأي تحقيق مسبق أو محاكمة. ومن المثير للاهتمام، أنه بعد كل قتل باسم "الاشتباكات المسلحة" تقدم الشرطة البنغالية رواية محددة جدا ومتكررة، حيث يتم أخذ (إرهابي) مشتبه به مكبل اليدين إلى ما يسمى غارة إرهابية من قبل الشرطة وبعد ذلك يوجد مقتولاً بالرصاص وسط تبادل لإطلاق النار. إن أي شخص عاقل يدرك بوضوح أن هذه المداهمات المزعومة تعرضها الشرطة فقط لإزالة الأدلة التي قد تسبب المشاكل للحكومة. وإنه من الواضح من السيناريو الإجمالي أنه ليس لدى الحكومة أية نية صادقة لمعرفة الجناة الحقيقيين وراء هذه الاغتيالات السرية الوحشية. فوكالات إنفاذ القانون لم تلق القبض على قاتل واحد حتى اليوم. وبدلا من ذلك، فشلوا في حماية حياة أحد المشتبه بهم المهم جدا والذي ألقي القبض عليه من قبل المدنيين. وقد أثيرت أسئلة أيضا حول لم لا يرتدي أيٌّ من المشتبه بهم سترة واقية من الرصاص أو خوذة عندما كانت الشرطة تقودهم إلى ما يسمى مداهمات الشرطة ولم تم قتل هذه المصادر المهمة (المشتبه بهم).

وعلاوة على ذلك، فمن المعروف جيدا أن القتل السري هو تكتيك شائع جدا يستخدمه الرأسماليون الغربيون لخلق عدم الاستقرار السياسي وبيئة من الخوف في بلاد المسلمين. فمن خلال وكالاتهم السرية، أنشأت الحكومة الأمريكية حالة من الفوضى وعدم الاستقرار السياسي في باكستان، بما في ذلك العديد من البلاد الإسلامية الأخرى. ولكن حكومة الشيخة حسينة هي الأقل انزعاجاً لفضح مؤامرات ساداتها الغربيين البشعة ضد المسلمين في بنغلادش. وبدلا من ذلك، فهي مشغولة بتحقيق مكاسب سياسية من هذه الفوضى من خلال إلقاء اللوم على متطرفين إسلاميين لا وجود لهم. ولهذا السبب يقوم نظام حسينة بمساعدة من بعض وسائل الإعلام الكاذبة بمحاولة ضعيفة لتشويه صورة الحزب الإسلامي السياسي حزب التحرير من خلال ربط (فيض الله فهيم) بالحزب. وفي الواقع، يعلم نظام حسينة الفاسد والخانع أن أيامه قد باتت معدودة، وعلى الرغم من وضع قيود غير قانونية على حزب التحرير في عام 2009 والاعتقالات المستمرة وتعذيب أعضائه، بما في ذلك الاعتقال الوقح لأعضائه من النساء الشريفات، فإنه فشل في وقف الدعوة للنهضة الإسلامية في بنغلاديش. يعلم هذا النظام المفلس فكريا أيضاً أنه غير قادر على تحدي الأفكار الإسلامية الصحيحة التي تعطي حياة لقلوب المسلمين في بنغلادش. وبالتالي، فقد لجأ إلى حملة تشويه ضد الحزب من خلال التشهير والدعاية الكاذبة. ولكن، إنه لمن المعلوم جيدا أن حزب التحرير هو حزب إسلامي سياسي يعمل لإقامة دولة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة الوشيكة فإنه يتبع الطريقة الوحيدة للنبي محمد ﷺ. وعلى الرغم من مواجهته للتعذيب الوحشي والاضطهاد منذ إنشائه، إلا أن الحزب لم يشارك أبدا في أعمال العنف ولم ينحرف قط عن مسار الكفاح السياسي الفكري.

ينبغي على الشيخة حسينة ونظامها الفاسد أن يعلموا أن أساليبهم القذرة لن تنجح في إعاقة الدعوة إلى الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة في بنغلاديش، كما أنها لن توقف سقوطها. إن هذه الدولة البارزة ستقوم قريباً بإذن الله تعالى، والتي من خلالها سوف يعم السلام، وسوف تضمن حياة كل فرد من أفراد رعيتها مسلمين كانوا أم غير مسلمين في بنغلاديش من خلال تدمير المؤامرة الإمبريالية البشعة.

﴿يُرِيدُونَ لِيُطْفِؤُوا نُورَ اللَّهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَاللَّهُ مُتِمُّ نُورِهِ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

فهميدة بنت ودود

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon