"حساب المواطن" محاولة لاستغفال أبناء بلاد الحرمين
"حساب المواطن" محاولة لاستغفال أبناء بلاد الحرمين

الخبر:   "حساب المواطن" يوضح الفرق بين الأهلية والاستحقاق وآلية الاعتراض والشكوى (وكالة الأنباء السعودية 2018/01/22)

0:00 0:00
Speed:
January 24, 2018

"حساب المواطن" محاولة لاستغفال أبناء بلاد الحرمين

"حساب المواطن" محاولة لاستغفال أبناء بلاد الحرمين

الخبر:

"حساب المواطن" يوضح الفرق بين الأهلية والاستحقاق وآلية الاعتراض والشكوى (وكالة الأنباء السعودية 2018/01/22)

التعليق:

كعادة الأنظمة الرأسمالية، فعندما تصدر قانونا جائرا لا يرعى شؤون العباد ولا يراعي مصالحهم وتبدأ معالم الغضب والضرر تظهر عليهم، تسارع هذه الأنظمة لإصدار قوانين ترقيعية في محاولة منها للالتفاف على ذلك ورتق الخلل، ولكن أنى ذلك والقوانين من وضع البشر؟! فالترقيع نفسه سيبقى دائما بحاجة إلى ترقيع ما لم يتم تغييره كاملا بنظام من رب البشر..

هذا عينه هو ما تفعله الحكومة السعودية، فبعد أن تبنت السياسة الرأسمالية المطلقة في الحكم والاقتصاد، بل الرأسمالية بأبشع صورها "رأسمالية ترامب الجشعة"، وبدأت نتيجة لذلك معالم الغضب والتململ تظهر بين أبناء البلاد، بدأت تحاول ترقيع ما سنّته من قوانين جائرة، ولكن الترقيعات تكون بحاجة لترقيعات أخرى كما أسلفنا.. ومن أمثلة ذلك (حساب المواطن)، فبعد أن بدأت الحكومة برفع الأسعار وفرض الضرائب بشكل أنهك أهلَ هذه البلاد المنهكين أصلا، حاولت استغفالهم بما أسمته (حساب المواطن)، وهو برنامج للتعويض النقدي عن هذا الارتفاع المتصاعد، ولكن ملامح الاستغفال سرعان ما بدأت تتكشف مع بداية تطبيق هذا البرنامج، فعدا عن التعقيدات التي وُضعت للحصول على هذا الدعم أو التعويض والتي تتجلى في الخبر المذكور، حيث هناك شروط أهلية وشروط استحقاق ولا بد من فهم الفرق بينهما وانطباقهما، كما أن هناك شروطا حتى للشكوى أو الاعتراض عدا عن التسجيل والطلب! عدا عن ذلك ولو اجتزت كل الشروط والمواصفات لاستحقاق الدعم بنجاح، فإن متوسط الدعم للأسر حسب الإعلان الرسمي 835 ريالا للأسرة (الاقتصادية 2017/12/21) أو 188.68 ريالا للمستفيد (صحيفة مكة 2017/12/21)، وهو مبلغ لا يذكر مقارنة بالارتفاع الحاد الحاصل على الأرض، بل لا يكاد يكفي لتعويض الفرق في سعر البنزين وحده والذي ارتفع أكثر من ثلاثة أضعاف خلال عامين، فالذي كان يملأ مركبته بحوالي 30 ريالا حتى نهاية عام 2015 أصبح بحاجة إلى حوالي 90 ريالا لملئها في الوقت الحالي أي بفارق 60 ريالا، أي أنه يحتاج إلى مبلغ الـ180 ريالا كلها إذا ملأها 3 مرات في الشهر الواحد، وسيدفع فوقها من جيبه إن احتاج أن يملأها مرة رابعة، وهذه حسبة سريعة لفرق البنزين وحده ومقارنته مع مبلغ تعويض (حساب المواطن)، فماذا عن تعويض التضاعف الهائل في تكاليف الماء والكهرباء ومستلزمات الحياة كلها بما فيها المستلزمات الأساسية، والتي يزعم (حساب المواطن) أن هدفه تعويضها؟! حيث جاء في تعريفه على صفحته الرسمية "يكون الدعم المقدم هو لتخفيف الآثار الاقتصادية على الأسر، الناتجة عن تعديل أسعار منتجات الطاقة والمياه، وتطبيق ضريبة القيمة المضافة على مجموعة الأغذية والمشروبات، وتطبيق المقابل المالي على الوافدين"، فأين هو هذا التخفيف في ظل هذه الأرقام! وعلاوة على ذلك فإن العديد من الأسر لم تتمكن من الحصول على هذا الدعم أصلا لعدم استيفائهم الشروط، ومن هذه الشروط أن لا تقيم خارج البلاد لأكثر من 90 يوما كما ذكر خبرنا هذا! كما أن الدعم لا يشمل من تزيد رواتبهم عن 20160 ريالا شهريا (العربية 2017/10/31)، هكذا بغض النظر عن عدد الأفراد الذين يعيلونهم!.. إضافةً إلى ذلك كله فإن الكثير من أبناء البلاد لم يسجلوا أصلا في البرنامج وذلك لعدم ثقتهم بالحكومة وظنا منهم أن هذا التسجيل ليس إلا وسيلة تجسسية لمعرفة مستوى مدخولاتهم، ومن يدري ربما يكون مقدمة لضريبة دخل مستقبلية...

إن الحديث عن تفاصيل هذا النظام (حساب المواطن) مقارنة بالارتفاع الهائل للأسعار وبما يتم فرضه من ضرائب ورسوم قد يحتاج إلى صفحات عديدة، ولكننا نكتفي بهذه الإشارة التي توضح مدى الجوْر الذي وصل له حال حكومة هذه البلاد، وتسلطها على جيوب الناس وسطوها على أموالهم، بدل أن تؤمن هي لهم احتياجاتهم، ولبيان الفجوة الهائلة بين الحكومة والشعب كغيرها من حكومات الدول العربية، مما يؤشر إلى أن زمن التلاحم المزعوم بين أبناء البلاد وحكومتهم قد ولى، بعد أن كشرت الحكومة عن أنيابها، وأصبح نهبها لأبناء البلاد وخروجها عن شرع الله علنيا صارخا دون اهتمام بمشاعر الناس أو ردود أفعالهم..

وبعد، فهذه هي السياسة التي تريدها الحكومة السعودية لبلاد الحرمين، وأما الإسلام فيريد دولة تؤمن هي الحاجات الأساسية وكل ما يمكنها تأمينه من حاجات كمالية لكافة رعاياها دون شروط ودون تمييز بين رعاياها، دولة تراعي توزيع الملكيات العامة كما أمر الله، دولة يضمن نظامها الذي شرعه الله عدم الحاجة لفرض ضرائب ولكنها لو اضطرت تحت وطأة أزمة اقتصادية مؤقتة لفرض الضرائب فستفرضها لمرة واحدة على أغنياء المسلمين فقط وعلى بعض الأمور التي أوجبها الله على المسلمين وليس على كل شيء ولا على كل فرد ولا بشكل دائم، دولة تمنع الغش والاحتكار والفساد والغبن الفاحش وغيرها مما يسهل على الناس حياتهم ويخفض عليهم الأسعار.. وما هذه إلا أمثلة بسيطة والقائمة تطول، ﴿لِمِثْلِ هَٰذَا فَلْيَعْمَلِ الْعَامِلُونَ﴾..

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

محمد بن إبراهيم – بلاد الحرمين الشريفين

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon