حذار من الروايات المضللة التي تحجب الإرهابيين الحقيقيين داخل أزمة الروهينجا! (مترجم)
حذار من الروايات المضللة التي تحجب الإرهابيين الحقيقيين داخل أزمة الروهينجا! (مترجم)

الخبر:   في الآونة الأخيرة، وضعت بعض الروايات المضللة بشأن أزمة الروهينجا التي حاولت إلقاء اللوم على ما يسمى بالجماعة (الإرهابية) الإسلامية، أي الجماعة المسلحة الناشئة المعروفة باسم جيش إنقاذ روهينجا أراكان (أرسا). ويعزى في ذلك السبب في أن رئيس الشرطة الإندونيسية الجنرال تيتو كارانافان كان قد قدم لنظيره الميانماري تعاونا في مجال حقوق الإنسان والتدريب على مكافحة (الإرهاب) خلال الدورة الـ37 لرابطة دول جنوب شرق آسيا (الآسيان) في سنغافورة خلال الفترة ما بين 12-14 أيلول/سبتمبر لبحث الأزمة الإنسانية في ولاية راخين الميانمارية.

0:00 0:00
Speed:
September 19, 2017

حذار من الروايات المضللة التي تحجب الإرهابيين الحقيقيين داخل أزمة الروهينجا! (مترجم)

حذار من الروايات المضللة

التي تحجب الإرهابيين الحقيقيين داخل أزمة الروهينجا!

(مترجم)

الخبر:

في الآونة الأخيرة، وضعت بعض الروايات المضللة بشأن أزمة الروهينجا التي حاولت إلقاء اللوم على ما يسمى بالجماعة (الإرهابية) الإسلامية، أي الجماعة المسلحة الناشئة المعروفة باسم جيش إنقاذ روهينجا أراكان (أرسا). ويعزى في ذلك السبب في أن رئيس الشرطة الإندونيسية الجنرال تيتو كارانافان كان قد قدم لنظيره الميانماري تعاونا في مجال حقوق الإنسان والتدريب على مكافحة (الإرهاب) خلال الدورة الـ37 لرابطة دول جنوب شرق آسيا (الآسيان) في سنغافورة خلال الفترة ما بين 12-14 أيلول/سبتمبر لبحث الأزمة الإنسانية في ولاية راخين الميانمارية.

كما حاول آخرون التحذير من شبكة (إرهابية)، كما قال وزير الدفاع الماليزي في خطابه أن أنصار تنظيم الدولة الإسلامية يسعون إلى استغلال اضطهاد مسلمي الروهينجا. وحذر الوزير الماليزي داتوك سري هشام الدين من أن تنظيم الدولة الإسلامية يسعى إلى إقامة موطئ قدم أكبر في المنطقة. ومن الممكن استخدام الأزمة الحالية لتجنيد أفراد من الروهينجا الذين تُركوا "ضعفاء دون خيار". (نيو ستريتس تايم 2017/9/12).

وأوضح بيتر ممفورد رئيس جنوب شرق آسيا في الاستشارات السياسية لمجموعة أوراسيا، أن المتشددين في إندونيسيا والتي تعد موطن إقامة أكبر عدد من المسلمين في العالم، يستخدمون أزمة ميانمار للتأثير والقيام بدور في التوترات الدينية المحلية. وأن ذات الجماعات الإسلامية السياسية التي نظمت مظاهرات حاشدة ضد حاكم جاكرتا السابق باسوكي تشاجا بورناما في وقت سابق من العام الحالي، تقوم حاليا بمسيرات مؤيدة للروهينجا وذلك مع احتجاجات 7 أيلول/سبتمبر والتي تدعو فيها إلى الجهاد ضد البوذيين في ميانمار. وكما قال ممفورد في أخبار - سي إن بي سي - فإن هنالك مخاوف من أن الوضع في ولاية راخين "سيجذب المزيد من (المتطرفين) الإسلاميين من أماكن أخرى في جنوب شرق آسيا وما وراءها لدعم قضيتهم".

التعليق:

لقد أظهرت الروايات المضللة الأخيرة اللوم على ردود فعل الأمة وكما أظهرت الجماعات الإسلامية المسلحة الذعر إزاء ردود فعل هذه الأمة وعدم الوضوح في تاريخ وجذور الصراع في أراكان. ومن الواضح أنه أخفى الإرهابي الحقيقي لأزمة الروهينجا. من هو الإرهابي؟

من الواضح أن ميانمار هي الإرهاب الحقيقي وأنها هي دولة إرهابية استولت على أرض أراكان الإسلامية الغنية، بالتعاون مع القوات البوذية الراديكالية والدعم الصامت الذي قدمته أونغ سان سو كيي داخل البلاد والتآمر مع الصين وكيان يهود في الخارج. إضافة الى علاقاتها مع الشركات الرأسمالية، كل ذلك من أجل نهب ثروة ولاية راخين. نعم، ميانمار والتشكيلة الكاملة من القوى الكامنة وراءها هي البلدان المستعمرة وهم الإرهابيون الحقيقيون.

والإرهاب الذي ترتكبه ميانمار إرهاب دستوري، وينبع من قانون الجنسية الصادر في 1982، حيث يحرم القانون حقوق التابعية لشعب الروهينجا. وكانت هذه هي الجريمة الدستورية في ميانمار التي أيدها عدوان المجلس العسكري التابع لها، وهي الجماعة البوذية الراديكالية التي تنشر رهاب الأجانب، وحاكمها الديمقراطي أونغ سان سو كيي الصماء والبكماء بما يتعلق بالإبادة الجماعية والتطهير العرقي للروهينجا.

من الغريب أنه لا يوجد أي من حكام المسلمين شجاعاً بما فيه الكفاية لتسميه ميانمار دولة إرهابية، أو لجرّها إلى محكمة العدل الدولية، ناهيك عن إرسال قوات عسكريه لمواجهتها. وفي الواقع، فإن هذا هو السبب الجذري للمشكلة. وعلى العكس من ذلك، فإن كبار الشخصيات في هذه الأنظمة يتهمون الجماعات الجهادية الدفاعية بسهولة، مثل جيش إنقاذ روهينجا أراكان (أرسا) الذي يقاتل للدفاع عن دمائهم وأرضهم وشرفهم كمسلمين، كما وربط هؤلاء القادة بين أزمة الروهينجا والمشاركة المحتملة لتنظيم الدولة.

لقد ظل النظام الاقتصادي لرابطة أمم جنوب شرق آسيا (الآسيان) صامتا لفترة طويلة؛ بسبب مبدأ عدم التدخل، الذي يمنع بلدان الرابطة من التدخل في الشؤون الداخلية. وحكام المسلمين في إندونيسيا وماليزيا عاجزون عن تقديم المساعدة باستثناء تقديم المعونات الإنسانية وتوفير مخيمات مؤقتة لإيواء اللاجئين ولكنهم أيضا يرفضون منح الجنسية الكاملة للاجئي الروهينجا. والسبب الوحيد في بقائهم على قيد الحياة هو صدق وإخلاص المسلمين في إندونيسيا وماليزيا الذين يقدمون المساعدات بحسب قدراتهم.

فما الذي يمكن توقعه من نظام الدولة القومية الذي يمنع مئات الملايين من المسلمين من مساعدة إخوتهم وأخواتهم؟ وما الذي يمكن أن نتوقعه من نظام الآسيان الذي وضع الحسابات والأعباء الاقتصادية على البشرية؟ وما الذي يمكن توقعه من نظام عالمي مزدوج المعايير ضد المسلمين؟ ما الذي يمكن أن نتوقعه من النظام العالمي الذي لا يزال يحمي نظام ميانمار المفترس؟

وبدلا من مواجهه ميانمار، يبدو من الأسهل على الأنظمة العلمانية أن تلوم غضب الأمة المسلمة. وبدلا من معارضة قيم عدم التدخل من قبل (الآسيان)، فإنه من الأسهل بالنسبة لهم دثر موجة الصحوة الإسلامية. من الأسهل عليهم تسمية المسلمين بأنهم (إرهابيون) بدلا من مواجهة مرتكب الإرهاب الحقيقي!

أيها المسلمون المخلصون، إننا بحاجة لإنهاء الأزمة بشكل فوري لمساعدة أخواتنا وإخوتنا الروهينجا، لقد آن الأوان بالنسبة لنا لنزع الثقة بهذا النوع من حكام الأنظمة العلمانية. قال تعالى: ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لا تَتَّخِذُوا بِطَانَةً مِنْ دُونِكُمْ لا يَأْلُونَكُمْ خَبَالا وَدُّوا مَا عَنِتُّمْ قَدْ بَدَتِ الْبَغْضَاءُ مِنْ أَفْوَاهِهِمْ وَمَا تُخْفِي صُدُورُهُمْ أَكْبَرُ قَدْ بَيَّنَّا لَكُمُ الآيَاتِ إِنْ كُنْتُمْ تَعْقِلُونَ﴾ [آل عمران: 118].

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

فيكا قمارة

عضو المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon