إدخال النساء للبرلمان أو الحكومة لن ينقذ المرأة العادية من مخالب الرأسمالية (مترجم)
إدخال النساء للبرلمان أو الحكومة لن ينقذ المرأة العادية من مخالب الرأسمالية (مترجم)

الخبر:   تناقش الهيئة التشريعية في كينيا حاليا مشروع قانون الشؤون الجندرية لعام 2018 الذي يقترح إدخال تعديلات على المواد 90 و97 و98 من الدستور والتي تسعى إلى تحقيق مبدأ الثلثين بين الجنسين في الجمعية الوطنية. وسيتم ذلك من خلال إنشاء مقاعد خاصة تضمن تحقيق مبدأ المساواة بين الجنسين في البرلمان خلال فترة عشرين سنة من الانتخابات العامة المقبلة. وقد تم التأكيد على أن الهدف الرئيسي لمشروع القانون هو التأكد من أن عضوية الجمعية الوطنية ومجلس الشيوخ تتفق مع مبدأ الثلثين الخاص بالنوع، المنصوص عليه في المادة 81 (ب) من الدستور.

0:00 0:00
Speed:
December 04, 2018

إدخال النساء للبرلمان أو الحكومة لن ينقذ المرأة العادية من مخالب الرأسمالية (مترجم)

إدخال النساء للبرلمان أو الحكومة لن ينقذ المرأة العادية من مخالب الرأسمالية

(مترجم)

الخبر:

تناقش الهيئة التشريعية في كينيا حاليا مشروع قانون الشؤون الجندرية لعام 2018 الذي يقترح إدخال تعديلات على المواد 90 و97 و98 من الدستور والتي تسعى إلى تحقيق مبدأ الثلثين بين الجنسين في الجمعية الوطنية. وسيتم ذلك من خلال إنشاء مقاعد خاصة تضمن تحقيق مبدأ المساواة بين الجنسين في البرلمان خلال فترة عشرين سنة من الانتخابات العامة المقبلة. وقد تم التأكيد على أن الهدف الرئيسي لمشروع القانون هو التأكد من أن عضوية الجمعية الوطنية ومجلس الشيوخ تتفق مع مبدأ الثلثين الخاص بالنوع، المنصوص عليه في المادة 81 (ب) من الدستور.

التعليق:

ناقشت وزارة شؤون المرأة والنساء الناشطات بأن مشروع القانون الذي يُطلق عليه "قانون العمل الإيجابي" لتحقيق "التوازن بين الجنسين" هو أداة مهمة في حل مشكلة عدم المساواة بين الجنسين، وبالتالي فهو شديد الأهمية في منح كلا الجنسين مجالا متكافئاً، كما أنه يستطيع المنافسة على السير قدما نحو المساواة. كما يزعم مقترحو مشروع القانون بأن مشروع القانون لا يتعلق بالمرأة فحسب، وإنما بتشجيع تمثيل الفئات المهمشة مثل المعاقين والشباب والعرقيات الصغيرة أيضا.

تُبرز كلمة "الجندر" الواردة في مشروع القانون الفكر الرأسمالي الخاطئ والضحل في حل المسائل القائمة على منظور الجندرية. إن مفهوم "التكافؤ بين الجنسين" هو بناء غربي يولد من التجربة الغربية التي تعاني فيها النساء من الاضطهاد في ظل النظام الرأسمالي الفاسد والجشع. ومن خلال برنامج الأمم المتحدة للتنمية، وضع الرأسماليون مع نسويات مؤشرا يعرف باسم مقياس تمكين المرأة (الجندر) (GEM) والذي صمم لقياس مدى عدم المساواة بين الجنسين في البلدان في جميع أنحاء العالم، استنادا إلى تقديرات الدخل الاقتصادي النسبي، والمشاركة في الأعمال ذات الأجور العالية في القوة الاقتصادية، والوصول إلى المناصب المهنية والبرلمانية. يهدف هذا الفكر الرأسمالي المنحاز إلى صرف الانتباه عن الدور المهيمن الذي لعبته الرأسمالية في تهميش مجتمعها لعقود. النظام الذي تسبب في عدم مساواة فاحشة في توزيع الثروات والاقتصاديات المعطلة وسمح للدول الاستعمارية الغربية بمحاكاة الرؤساء الفاسدين الذين يخدمون مصالحهم الاقتصادية - وكل ذلك تسبب في إفقار ملايين النساء وأدى إلى تدهور التعليم والرعاية الصحية والإسكان.

إن الحجة القائلة بأن إشغال عدد أكبر من النساء لمراكز معينة هو تمكين لهن على الصعيدين الاقتصادي والسياسي على حد سواء ليست سوى مغالطة. إن جيران كينيا من أوغندا ورواندا وتنزانيا لديهم تمثيل نسائي أكبر للنساء في برلماناتهم، ومع ذلك فإن حياة النساء العاديات في تلك البلدان بائسة. الحقيقة هي أن القيادة السياسية في ظل الديمقراطية هي مجرد طموح خاطئ وليست أبدا محل ثقة في تقديم عناية بالمصالح العامة. كينيا مثلها مثل أي نظام ديمقراطي آخر، يتم التحكم فيها في السياسة بشكل كامل من الأثرياء وأصحاب النفوذ الذين يستخدمون نفوذهم السياسي لضمان تماشي جميع الأمور السياسية مع مصالحهم. والأمر الأكثر إثارة للسخرية هو أن مقدمي مشروع القانون والمدافعين عنه ينضمون إلى زملائهم النواب في محاولاتهم الجشعة لنيل امتيازات ضخمة في مقابل "أداء أفضل"، على الرغم من كونهم من أفضل من تلقوا أجورا عالية كمشرعين في جميع أنحاء العالم. وتشمل المزايا منزلا دون إيجار، ومركبة حكومية، وتأمينا طبيا شاملا، وميزات سفر، ورفعا لدائرة أعداد الناخبين.

إن مبدأ الإسلام يحمل نموذجا فريدا من نوعه كنظام (الخلافة) ما يضمن الكرامة والعدالة والازدهار ليس للنساء فحسب بل للبشرية جمعاء. وطوال فترة تطبيق حكم الإسلام، ضُمنت الحقوق الاجتماعية والاقتصادية والسياسية للمرأة بشكل كامل. ومع عودة الخلافة في القريب العاجل إن شاء الله، ستُشجع النساء ليكُن عضوات في الأحزاب السياسية، وعلى التصويت لمن يحكمهن، وعلى الترشح ليتم انتخابهن ممثلات عن الهيئة الاستشارية (مجلس الأمة). وهذا من شأنه أن يمكّنهن من رفع أية شكاوى لديهن فيما يتعلق بأي من المسؤولين في مجال الحكم إلى محكمة المظالم. ستكون دولةً يكون فيها الصوت السياسي للمرأة له معنى حقيقي ووزن حقيقي لا مجرد خطاب نظري خاوٍ لا معنى له.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

شعبان معلم

الممثل الإعلامي لحزب التحرير في كينيا

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon