إقالة أكثر من 10 آلاف موظف تركي للاشتباه في صلتهم بمحاولة الانقلاب
إقالة أكثر من 10 آلاف موظف تركي للاشتباه في صلتهم بمحاولة الانقلاب

الخبر: رويترز 2016/10/30 - أقالت السلطات التركية أكثر من 10 آلاف موظف للاشتباه في صلتهم برجل الدين المقيم في الولايات المتحدة فتح الله كولن الذي تتهمه أنقرة بتدبير محاولة الانقلاب الفاشلة في تموز/يوليو. وهناك الآلاف من الأكاديميين والمدرسين والعاملين في مجال الصحة بين من أقيلوا بموجب مرسوم جديد في إطار حالة الطوارئ نشرته الجريدة الرسمية في وقت متأخر السبت. وألقت تركيا رسميا القبض على أكثر من 37 ألف شخص وأقالت أو أوقفت عن العمل 100 ألف من الموظفين والقضاة وممثلي الادعاء وأفراد الشرطة وغيرهم في حملة لم يسبق لها مثيل تقول الحكومة إنها ضرورية لاستئصال أنصار كولن من أجهزة الدولة والمناصب المهمة.

0:00 0:00
Speed:
October 31, 2016

إقالة أكثر من 10 آلاف موظف تركي للاشتباه في صلتهم بمحاولة الانقلاب

إقالة أكثر من 10 آلاف موظف تركي للاشتباه في صلتهم بمحاولة الانقلاب

الخبر:

رويترز 2016/10/30 - أقالت السلطات التركية أكثر من 10 آلاف موظف للاشتباه في صلتهم برجل الدين المقيم في الولايات المتحدة فتح الله كولن الذي تتهمه أنقرة بتدبير محاولة الانقلاب الفاشلة في تموز/يوليو.

وهناك الآلاف من الأكاديميين والمدرسين والعاملين في مجال الصحة بين من أقيلوا بموجب مرسوم جديد في إطار حالة الطوارئ نشرته الجريدة الرسمية في وقت متأخر السبت.

وألقت تركيا رسميا القبض على أكثر من 37 ألف شخص وأقالت أو أوقفت عن العمل 100 ألف من الموظفين والقضاة وممثلي الادعاء وأفراد الشرطة وغيرهم في حملة لم يسبق لها مثيل تقول الحكومة إنها ضرورية لاستئصال أنصار كولن من أجهزة الدولة والمناصب المهمة.

التعليق:

منذ فشل المحاولة الانقلابية في تموز 2016 في تركيا وإدارة أردوغان تقوم بعمليات كثيرة لتغيير وجه تركيا. إقالات وسط كبار جنرالات الجيش والشرطة وكذلك في سلك القضاء والتعليم والصحة وقطاعات أخرى في الدولة، بحيث يوحي ذلك بأن المسؤولين عن الانقلاب إنما يمثلون تياراً وليس مجرد أتباع شخص مثل فتح الله غولن رغم نفوذه. وعلى عادة الكثير من السياسيين الذين يجدون مصلحتهم في تسمية الأمور بغير مسمياتها فإن إدارة أردوغان ترفض أن تطلق وصف "الموالين للإنجليز" على الانقلابيين، وزيادةً في التضليل السياسي تلمح إلى ضلوع أمريكا في محاولة الانقلاب.

ولكن المتابع للسياسة التركية يجد أن أعمال الدولة هي على عكس ما تعلن، فمن ناحية تزداد العلاقات التركية الأمريكية قوةً، ولكنها تضعف على الجانب الأوروبي بعد محاولة الانقلاب ما يكشف عمق التضليل السياسي الذي يعمد إليه أردوغان. فمفاوضات الانضمام للاتحاد الأوروبي وإعفاء أهل تركيا من تأشيرة الدخول إلى دول الاتحاد مجمدة، واتفاقية اللاجئين على وشك أن يعلن عن دفنها، والتصريحات الصادرة عن الأوروبيين كلها لا توحي إلا بتردي العلاقات التركية الأوروبية، لأن الحقيقة أن أتباع الإنجليز، والأوروبيين من خلفهم هم من وقف خلف محاولة الانقلاب الفاشلة.

وأما العلاقات الأمريكية التركية فتشهد تحسناً كبيراً، رغم ازدراء أمريكا بكافة الطلبات التركية لتسليم فتح الله غولن. ومن ذلك أن أمريكا قد وافقت على التدخل التركي في سوريا، بل الأصح أن أردوغان قد وافق على طلب أمريكا للتدخل في سوريا، ليس لوقف هجمات المجرم الأسد على الشعب السوري، بل من أجل حشد الفصائل الموالية لتركيا في حرب جانبية وإبعادها عن الجبهة الحقيقية في حلب، وهذا التزام أمريكي في الاتفاقيات مع روسيا، والذي يسمونه فصل المعارضة المعتدلة عن "الإرهابيين"، أي أن تركيا هي من ينفذ سياسات أمريكا في سوريا، وتعلن تركيا أنها ستشارك التحالف الدولي بقيادة أمريكا في تحرير مدينة الرقة من تنظيم الدولة، على الرغم من أن أمريكا لم تسلم فتح الله غولن. بل وطلبت تركيا بشكل مستغرب المشاركة في حرب تحرير الموصل، وقد توسط وزير الدفاع الأمريكي لدى العراق لقبول المشاركة التركية، وأعلن أن بغداد رفضت هذه المشاركة، وبغض النظر عما يكمن وراء السياسة الأمريكية في الخلاف التركي العراقي، إلا أن العلاقات التركية مع أمريكا تسير على أحسن ما يرام. فهل يصدق عاقل بأن أمريكا هي من وقفت خلف محاولة الانقلاب في تركيا؟

يجمع المسلمون في تركيا وخارجها بأن وجود العلمانيين الكماليين في الدولة في تركيا هو شر كبير، والآن يجري التخلص من هذا الشر، أي يجري تبديل وجه تركيا، ولكن ليس باتجاه الإسلام! فلماذا يكون تبديل وجه تركيا بوضعها أكثر وأكثر على المقطورة الأمريكية، وتنفيذ سياساتها في العراق وسوريا. إن التغيير الذي يرحب به المسلمون هو أن تصير تركيا دولة ترعى شؤونها على أساس الإسلام، وبدل أن تقترب تركيا بعد محاولة الانقلاب من هذا المسار الإسلامي الصحيح، نجد قادتها يوغلون أكثر فأكثر في خدمة الأهداف الأمريكية! وإذا كان لبريطانيا وأوروبا شيء من النفوذ قبل الانقلاب، وقد تمثل ذلك بمحاولة الانقلاب أملاً في زيادة نفوذ الإنجليز في تركيا عن طريق دحر العسكر لأردوغان وجماعته الموالين لأمريكا، فإن الفراغ الناتج عن دحر أتباع الإنجليز في تركيا تملؤه أمريكا مع الأسف الشديد، ولا علاقة له بالمسار الإسلامي، فدولة أردوغان التي تحاول أن ترتدي عباءة الإسلام زوراً وبهتاناً تقوم بقتل المسلمين في سوريا، بدل محاربتها للأسد، وتقوم بإثارة الفتن والاقتتال الداخلي بدل تجميع الفصائل ودفعها على طريق النصر ضد النظام السوري وحلفائه، وبدل تعزيز جبهات الثوار الحقيقية ضد النظام وإمدادها بالسلاح الفعال، وهي قادرة على ذلك، تقوم بنقل الثوار الموالين لها من تلك المناطق إلى جبهات الاقتتال الداخلي المحرم، بل وتقوم بتسهيل اختراق الأمريكيين لسوريا عن طريق القوات الخاصة الأمريكية التي أدخلها أردوغان خلال عملية درع الفرات إلى شمال سوريا، ولكن الثوار حتى المحسوبين على تركيا قد وجهوا له صفعة بعدم قبول وجود تلك القوات الأمريكية بينهم.

وفي العراق يحاول أردوغان التدليس باعتبار نفسه راعياً وحامياً لأهل السنة في العراق ضد المخططات الطائفية التي تقف إيران خلفها، ولأنه يقوم بذلك بأوامر أمريكية حتى تكتمل صورة الصراع الطائفي بإبراز رعاته إيران وتركيا والسعودية على الجانبين المفتعلين السني والشيعي، فإنها أي تركيا تحتفظ بأفضل العلاقات وفي كل الجوانب مع إيران، وتعتبر تركيا ممراً حيوياً لإيران.

لذلك فإن المسلمين ينظرون باستياء كبير لهذا التبديل لوجه تركيا ووضعها بشكل أكثر مطاوعة في خدمة أمريكا ومشاريعها السياسية خاصة في سوريا والعراق، بدل خدمة المسلمين وقضاياهم.

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير

عصام البخاري

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon