Jarida la Al-Raya: Kupenya kwa Wayahudi ndani ya Taasisi ya Kijeshi ya Misri
September 09, 2025

Jarida la Al-Raya: Kupenya kwa Wayahudi ndani ya Taasisi ya Kijeshi ya Misri

Al Raya sahafa

2025-09-10

Jarida la Al-Raya: Kupenya kwa Wayahudi ndani ya Taasisi ya Kijeshi ya Misri

Tangu utawala wa Misri uliposaini mkataba wa Camp David mwaka 1979, taasisi ya kijeshi ya Misri iliingia katika mkondo wa utegemezi na kupenya, jambo ambalo liliifanya iwe mbali na itikadi yake ya asili iliyoanzishwa kwa misingi ya kulinda taifa na kutetea mipaka yake dhidi ya maadui zake wa kweli, na miongoni mwao ni Wayahudi waliokwapua Palestina. Taasisi hii imebadilika polepole kuwa chombo kilichofungwa, kinachotii masharti ya adui, na hata kushiriki katika kumlinda na kumwezesha, kupitia makubaliano ya kijeshi, kiusalama, kiuchumi na ushauri, ambayo yameunda mfumo kamili wa ushawishi wa Wayahudi ndani ya jeshi na serikali.

Kituo kikuu kilikuwa katika mkataba wa Camp David ambao ulieleza kugawanywa kwa Sinai katika kanda za kijeshi, ambazo idadi ya askari na aina ya silaha zingebainishwa, chini ya usimamizi wa kimataifa. Hivyo, Sinai iliondolewa uwepo wowote wa kijeshi wa kweli wenye uwezo wa kukabiliana na adui msaliti anayevizia, na vikosi vya kimataifa vikawa jicho lililo wazi kwa manufaa ya taifa haramu na Marekani. Mkataba huu ulibadilisha mipaka ya mashariki ya Misri kuwa mstari salama wa mbele kwa taifa la Kiyahudi, baada ya kuwa chanzo cha tishio la kudumu kwake, na huu ndio msingi wa kupenya.

Jambo hilo halikuishia kwenye mipaka ya mkataba, bali Marekani, mshirika mkuu wa taifa la Kiyahudi, iliimarisha kupenya huku kupitia misaada ya kijeshi yenye masharti. Kila mwaka, jeshi la Misri hupokea takriban dola bilioni 1.3 za vifaa, lakini kwa sharti kwamba halitamiliki silaha yoyote itakayovunja uwiano na Wayahudi, na kwamba litaendelea kuhitaji vipuri, mafunzo na usaidizi wa usafirishaji kutoka Marekani. Mpango huu umeifanya jeshi kuwa mateka wa Marekani, na hivyo kuifichua kwa Wayahudi. Itikadi yake ya kijeshi imerekebishwa kupitia mazoezi ya pamoja kama vile "Bright Star" ili ugaidi, kwa maana yake ya kimagharibi, yaani Uislamu katika uhalisia wake, uwe adui, sio Wayahudi au taifa lao haramu, na huu ndio mabadiliko makubwa ya kimkakati katika dhamiri ya jeshi ambalo hapo awali lilielezewa kama "jeshi la taifa na ngao yake".

Baada ya muda, njia za mawasiliano ya moja kwa moja zilifunguliwa kati ya ujasusi wa Misri na Mossad, kwa kisingizio cha "uratibu wa kiusalama" huko Sinai na Gaza. Vyombo vya habari vya Magharibi, ikiwa ni pamoja na New York Times, vimekiri kwamba ndege za taifa haramu zilitekeleza mamia ya mashambulizi ndani ya Sinai kwa idhini kamili na uratibu wa Misri, kati ya 2015 na 2018. Hiyo ni kusema kwamba jeshi la Misri halitetei tena ardhi yake tu, bali limeanza kuruhusu Wayahudi kutumia anga ya Misri dhidi ya wale wanaowaita "magaidi", ambao kwa kweli ni Waislamu wanaokataa utawala wa Magharibi na uwepo wa taifa haramu.

Jeshi la Misri, kupitia jukumu lake la kiuchumi, limeingia katika ushirikiano wa wazi au usio wa moja kwa moja na kampuni zinazohusiana na taifa la Kiyahudi, hasa katika sekta ya nishati na gesi. Mnamo mwaka 2018, Misri ilitia saini makubaliano na kampuni za taifa la Kiyahudi kusafirisha gesi hadi vituo vya kusindika maji vya Misri na kuisafirisha tena, jambo ambalo vyombo vya habari vya Kiyahudi vilielezea kama "makubaliano ya karne" ambayo yaliipa taifa la Kiyahudi njia ya kimkakati ya kuuza gesi yake. Jeshi halikuwa mbali na hilo, kwani kampuni zake ziliingiliana na shughuli za usindikaji na usafirishaji, ambayo ina maana kwamba taasisi ya kijeshi ambayo inatakiwa kulinda mali ya taifa, imekuwa mshirika katika kuwawezesha Wayahudi wanyang'anyi kupata mali hiyo.

Jambo hatari zaidi katika hatua hii ni kufunguliwa kwa faili la ubinafsishaji wa kampuni za jeshi lenyewe, kama vile Wataniya Petroleum, Safi, Sayilo Foods, na Shell Out. Misri imeajiri ofisi za ushauri za kimataifa kusimamia mchakato wa upangaji upya na utoaji, kama vile PwC na nyinginezo, na kampuni hizi zina ofisi zinazofanya kazi ndani ya taifa la Kiyahudi, zikiipa huduma za kifedha na ushauri, baadhi yake kwa serikali ya taifa hilo lenyewe. Hivyo, adui amefahamishwa kuhusu maelezo ya kifedha na kimuundo ya kampuni za jeshi, katika tukio hatari ambalo halijawahi kutokea hata kileleni mwa uvamizi halisi. Hiyo ni kusema kwamba kupenya hakuko tena katika itikadi na silaha pekee, bali kumefika katika muundo wa ndani wa kiuchumi wa taasisi ya kijeshi.

Tangu enzi ya Sadat, na kufikia Sisi, hotuba ya jeshi na vyombo vya habari rasmi zimebadilishwa na kuwa taifa dogo la Kiyahudi si adui bali ni mshirika katika kudumisha usalama. Sisi mwenyewe alisema mwaka 2016 kwamba "amani na Israel ni imara na endelevu, na kila mtu anapaswa kuimarisha uaminifu nayo." Hivyo, mipaka na Wayahudi imekuwa mstari salama zaidi wa mbele kwao, huku jeshi likielekezwa kupigana na wana wa taifa katika Sinai, Libya na Sudan, chini ya kichwa cha kupambana na ugaidi. Mapinduzi haya katika itikadi hayawezi kuelezewa isipokuwa kwa kuwepo kwa kupenya kamili kwa akili ya kijeshi ya Misri.

Kupenya kwa Wayahudi ndani ya taasisi ya kijeshi ya Misri haikuwa bahati mbaya, wala sio mahusiano ya muda tu, bali ni matunda ya sera iliyopangwa ambayo ilianza na mikataba ya kujisalimisha, na kukamilishwa na utegemezi wa kijeshi kwa Marekani, uratibu wa kiusalama na ujasusi, kupenya kwa kiuchumi, na kuishia na ubinafsishaji wa kampuni za jeshi kupitia washauri ambao wana mizizi katika taifa la Kiyahudi. Na haya yote hayabadilishi tu asili ya jeshi, bali yanabadilisha nafasi ya Misri katika mlinganyo wa taifa.

Enyi watu wa Kinana: Hakika kile ambacho kimefanyika na kinachofanyika cha kukabidhi ardhi kwa adui kupitia mikataba, na kutoa maamuzi ya kijeshi na kiuchumi kwa Marekani, na kufungua milango ya uratibu wa kiusalama na Wayahudi, na kuwawezesha kufahamu utajiri wa Waislamu na siri za taasisi zao kupitia kampuni zao za ushauri, yote hayo ni mambo ambayo sheria imeyaharamisha kufanya na kuyaendesha, bali imeyafanya kuwa usaliti kwa Mwenyezi Mungu, Mtume wake na waumini. Mwenyezi Mungu ametuamrisha tuweke tayari nguvu za kukabiliana na maadui zetu, na tusifanye urafiki nao au kuwapa siri, na tulinde mali ya taifa na amana yake, tusiipe adui mkaazi, wala tusimwezeshe kuwatawala Waislamu. Na kile kinachoendelea leo ni kile ambacho Mwenyezi Mungu amekataza na kuonya dhidi yake. Sera hizi zote zimeharamishwa na Uislamu, bali ni miongoni mwa aina kubwa zaidi za uzembe na usaliti; kwa sababu zinamana na kuachana na wajibu wa jihadi, kumwezesha adui, na kumsaidia kusalia katika ardhi ya Waislamu, wakati kanuni ni kwamba anapaswa kupigwa vita mpaka ardhi itakaswe kutokana na uchafu wake.

Kutoka hapa, ilikuwa ni wajibu wenu, enyi watu wa Misri, wananchi na jeshi, kutambua hatari ya kile kinachokusudiwa kwa jeshi lenu na nchi yenu, na kusimama pamoja katika kukabiliana na kupenya huku. Kinachotakiwa kwenu sio kukaa kimya au kujisalimisha, bali kupaza sauti zenu juu na kufanya kazi ya kuangusha mikataba hii batili ambayo imemfanya adui awe salama na imewaweka chini ya vikwazo, na kurejesha jeshi kwenye itikadi yake ya asili ya Kiislamu, kwamba kupigana na Wayahudi ni faradhi sio hiari, mpaka ukombozi kamili wa Palestina, na ukombozi wa uamuzi wa kisiasa, kijeshi na kiuchumi kutoka kwa utegemezi kwa Marekani na Magharibi, na kufunga milango yote ya ushawishi wa kigeni na kampuni zinazohusiana na adui, na kurejesha rasilimali za taifa kwenye mamlaka yake sahihi.

Enyi watu wa Kinana: Hakika Uislamu unakutaka isimame mbele ya jeshi lako ili kulirejesha kwenye nafasi yake ya kweli: jeshi la taifa ambalo linapigana katika njia ya Mwenyezi Mungu, sio jeshi linaloendeshwa na maamuzi ya adui au maslahi yake. Na jueni kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amewabashiria mwisho wa mzozo na Wayahudi, akisema: «MTAWAPIGA VITA WAYAHUDI NA MTAWAUA, HATA JIWE LISEME: EWE MUISLAMU, HUYU NI MUYAHUDI NYUMA YANGU, NJOO UMUE» (Imesimuliwa na Muslim).

Hii ndiyo bishara yenu, na hii ndiyo njia yenu, na hii ndiyo faradhi yenu, basi msigeukie meza za unyonge wala ahadi za makafiri. Hakika njia ya heshima ni moja: kuinuka kwa misingi ya Uislamu, ili muanzishe mamlaka yenu huru, na mlirejeshe jeshi lenu liwe upanga mbele ya adui na sio ukuta wa kumlinda.

Imeandikwa na: Ustadhi Said Fadl

 Mjumbe wa Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Misri

Chanzo: Jarida la Al-Raya

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </