Jarida la Ar-Raya: Ni moja ya mambo makuu ndege za Kiyahudi kuvuka anga za tawala kisha kushambulia Iran na kurejea salama bila kuzuiwa na tawala hizi hata kwa risasi moja!
June 24, 2025

Jarida la Ar-Raya: Ni moja ya mambo makuu ndege za Kiyahudi kuvuka anga za tawala kisha kushambulia Iran na kurejea salama bila kuzuiwa na tawala hizi hata kwa risasi moja!

Al Raya sahafa

2025-06-25

Jarida la Ar-Raya:

Ni moja ya mambo makuu ndege za Kiyahudi kuvuka anga za tawala

kisha kushambulia Iran na kurejea salama bila kuzuiwa na tawala hizi hata kwa risasi moja!

Trump alitaja katika chapisho kwenye jukwaa la Truth Social: [Iran na Israel lazima zifikie makubaliano na zitafikia kama vile nilivyofanya India na Pakistan kufikia makubaliano.. Akaendelea: Vile vile kutakuwa na amani hivi karibuni kati ya Israel na Iran, kuna simu na mikutano mingi inayoendelea sasa. Sky News, 2025/6/15]. Msemaji wa jeshi la shirika la Kiyahudi kupitia jukwaa la "X" alisema siku ya Jumapili [kwamba Israel imetoa onyo kwa Wairani wanaoishi karibu na mitambo ya nyuklia nchini Iran kuacha nyumba zao... Wakati msemaji wa kijeshi wa Israel alisema kuwa jeshi lilishambulia kituo cha nyuklia katika jiji la Isfahan katikati mwa Iran, na Iran imeanza tangu alfajiri ya Jumapili kuzindua makundi mapya ya makombora kuelekea malengo ndani ya Israel ambayo yalisababisha vifo na makumi ya majeruhi, na pia yalisababisha uharibifu mkubwa kwa nyumba na majengo, kwa upande mwingine, Tehran ilishambuliwa na Israel. Al Jazeera, 2025/6/15]

Shirika la Kiyahudi lilitangaza Jumamosi 2025/6/14 [kuuawa kwa wanasayansi na wataalamu 9 katika mpango wa nyuklia wa Iran wakati wa mashambulizi yake nchini, na hivyo kuongeza idadi ya vifo vilivyotangazwa hapo awali, ambao ni: Ali Bakhoui Karimi, Mansour Askari, Saeed Borji, ambao ni wataalamu katika mechanics, fizikia na uhandisi wa vifaa mtawalia, katika mashambulizi, Ijumaa, kulingana na jeshi.. Hii ilikuja katika tangazo lililothibitishwa na shirika la habari la Tasnim la Iran.. Shirika la Kiyahudi lilikuwa limeanzisha (shambulio lisilo la kawaida dhidi ya Iran alfajiri ya Ijumaa 2025/6/13 likilenga moyo wa mpango wa nyuklia wa Iran na viongozi wakuu wa kijeshi.. Wakati Iran ilithibitisha kuwa ilizindua mamia ya makombora jioni ya Ijumaa kama mwanzo wa majibu yake kwa Israel.. CNN, 2025/6/14)]

Baada ya shambulio la Wayahudi moja kwa moja, Rais wa Marekani Donald Trump alisema Ijumaa 2025/6/13: [Kwamba shambulio la Israel dhidi ya Iran ni bora, akihimiza kufikia makubaliano juu ya mpango wake wa nyuklia.. Akijibu swali kwa mtandao wa ABC: Je, kuna jukumu la Amerika katika shambulio dhidi ya Iran? Alisema "Sihitaji kujibu hilo". Alisema kwenye jukwaa la Truth Social "..Iran lazima ifikie makubaliano kabla hakuna chochote kilichobaki, na kuhifadhi kile kilichojulikana kama ufalme wa Iran.." Aliongeza kuwa alikuwa ameonya Tehran kwamba "Marekani inatengeneza silaha bora na hatari zaidi duniani, na kwa tofauti kubwa, na kwamba Israel inamiliki nyingi, na zaidi zitafika hivi karibuni, na wanajua jinsi ya kuzitumia". Katika matamshi kama hayo, Trump alisema: "Leo ni siku ya 61, na niliwaambia kile wanapaswa kufanya, lakini hawakuweza kufanya hivyo na sasa wana nafasi ya pili". Al Jazeera 2025/6/13]

Kwa kutafakari matukio haya, yafuatayo yanabainika:

1- Ni wazi kutoka kwa matukio haya kwamba Wayahudi hawakushambulia Iran isipokuwa kwa msukumo kutoka kwa Amerika ya Trump, matamshi yake yanasema hivyo bila kuficha.. Na hili ni jambo la uhakika na linalotarajiwa, Wayahudi hawana nguvu peke yao wala hawastahili kupigana, na Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Mwenye kushinda, amesema kweli ﴿HAWATAKUDHURU ISIPOKUWA UDHALILIFU, NA WAKIKUPIGANA WATAKUGEUZIA MIGONGO, KISHA HAWATANUSURIWA * WAMEPIGIWA UDHALILI POPOTE WAWAPATAPO ISIPOKUWA KWA AHADI KUTOKA KWA MUNGU NA AHADI KUTOKA KWA WATU NA WAMESTAHILI GADHABU KUTOKA KWA MUNGU NA WAMEPIGIWA UMASKINI﴾, na hivyo ndivyo walivyo tangu enzi zao za kwanza wamekata ahadi ya Mwenyezi Mungu baada ya enzi ya manabii wao.. Na ndivyo walivyo katika enzi ya kisasa, Uingereza iliwakumbatia tangu Vita vya Kwanza vya Dunia, kisha wakahamia kwenye mikono ya Amerika baada ya Vita vya Pili vya Dunia.. Na vita vyao vyote vinasema hivyo, ni kwa ahadi kutoka kwa watu.. Na uungaji mkono wa Trump kwao katika shambulio lao dhidi ya Iran ni wazi kutoka kwa matamshi ya Trump hapo juu kwa kila mtu aliye na moyo au alitupa sikio na yeye ni shahidi.

2- Kisha kubwa kuliko dada yake na mbaya zaidi ni kwamba ndege za Wayahudi zimevuka anga za tawala zinazotawala katika nchi za Waislamu zinazozunguka shirika la Kiyahudi, na kuharibu na kuua nchini Iran kisha kurejea katika ardhi iliyokaliwa kwa usalama na amani na hakuna risasi iliyorushwa kwa ndege hizi kutoka kwa watawala walio karibu nayo katika nchi za Sham na Iraq na Misri na Uturuki na kutoka kila mahali.. Na hivyo walifanya shambulio na uchokozi kwa usalama katika kwenda na kurudi, na watawala katika nchi za Waislamu wanaangalia kinachoendelea bila kusonga, na wamesahau au wamejifanya wamesahau matokeo ya uhalifu wao wa ukimya ﴿WATAPATWA NA UDHALILI KWA MUNGU NA ADHABU KALI KWA YALE WALIYOKUWA WAKIFANYA HILA﴾.. Ni moja ya mambo makuu ndege za Kiyahudi kuvuka anga za watawala vibaraka na kutekeleza shambulio lao na kurejea bila kuzuiwa na mtawala yeyote kati ya hao!

3- Kisha kila mwenye akili anafahamu kuwa njia bora ya kujilinda dhidi ya Wayahudi ni kushambulia, na Wayahudi walikuwa wanatishia Iran tangu zamani, hasa katika siku za hivi karibuni, bali Trump alikuwa anadokeza, bali anasema kwamba Wayahudi watashambulia mitambo ya atomiki ya nyuklia nchini Iran, na pamoja na hayo Iran haikufanya majibu ya kushambulia kuelekea Wayahudi kujilinda na Iran na kuepuka vitisho hivyo kutoka kwa Amerika na Wayahudi, na hii ndiyo ajabu kubwa!! Na Iran ilibaki kimya mpaka mitambo yake iliposhambuliwa na wanasayansi wake wakauawa kisha ikaanza kujibu.. Na pamoja na haya yote na yale ya mashambulizi mfululizo, Trump bado anasema (kutakuwa na amani hivi karibuni kati ya Israel na Iran na kuna simu na mikutano mingi inayoendelea sasa. Sky News, 2025/6/15)! Na tunaonya kwamba vita hivi visisababishe amani yoyote na shirika la Kiyahudi, bali kama alivyoema Mwenyezi Mungu: ﴿BASI UKIWASHINDA VITANI, WATAWANYE KWAO WALIYO NYUMA YAO.

4- Ama kinacho unguza moyo ni watawala wa Rowaibidha katika nchi za Waislamu, hasa wale wanaozunguka shirika la Kiyahudi lililoanzishwa kwa ukaliaji wa Palestina, wako karibu nao, vipi hawaoni ndege za Wayahudi zinazopita anga zao juu ya vichwa vyao zinashambulia nchi za Waislamu na kurejea kwa usalama na utulivu bila kurushiwa risasi?! Bali ni kama wao ni upande wowote wanaangalia kinachoendelea, na ni kama wako katika nchi ya Waq Waq, na sio katika nchi za Waislamu! Watawala hawa wameharibu kile walichomo, na sio ajabu kwao hilo, wao ni watiifu kwa nchi za kikafiri za kikoloni, hasa Amerika.. Wanasema kile inachosema na wanafanya kile inachotaka.. Wanatafsiri kukaa chini na wanaheshimu mipaka, na wamesahau au wamejifanya wamesahau kwamba nchi za Waislamu ni moja, iwe iko mwisho wa ardhi au karibu nayo! Na usalama wa waumini ni moja, na vita vyao ni moja, haifai kuwatenganisha madhehebu zao maadamu ni Waislamu, basi wao ni umma mmoja: ﴿HII NDIO UMMA YENU, UMMA MMOJA, NA MIMI NDIMI MOLA WENU, BASI NIABUDUNI﴾ vipi ndege za adui zinapita juu ya anga za watawala katika nchi za Waislamu na kushambulia nchi nyingine ya Kiislamu na wao wako kimya?! Na bora zaidi kati yao ni yule anayeangalia ndege za adui katika kwenda na kurudi kana kwamba yuko upande wowote au yuko karibu zaidi na Wayahudi! Kisha pamoja na kwamba watawala hawa wanasikia kwa tamko kutoka kwa Trump na sio kwa dokezo kwamba shirika la Kiyahudi linapigana kwa ahadi ya Amerika na msaada wake na kwa amri yake na kwa silaha zake, na pamoja na hayo hakuna hata mmoja wao anayethubutu kukata uhusiano na Amerika kama kiwango cha chini ﴿ALAA NI UOVU ULIOJE HUKUMU WANAYOHUKUMU﴾.

 5- Na pamoja na haya yote na yale basi hawa Rowaibidha wataondoka na dola ya Kiislamu, Khilafah Rashida, itarudi dola ya kwanza ulimwenguni inayoeneza kheri ndani yake kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, na kupigana na Wayahudi na kuondoa ukaliaji wao ni jambo litakalotokea kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, kwa hakika amesema mkweli aliyethibitishwa ﷺ katika Musnad Ahmad kutoka kwa Hudhaifa: «...Kisha patakuwepo Khilafah kwa njia ya utume» na pia ametoa Bukhari kutoka kwa Abdullah bin Omar, Mwenyezi Mungu awawie radhi, alisema: Nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ akisema: «Mtapigana na Wayahudi na mtashinda juu yao..» na pia ametoa Muslim kwa tamko kutoka kwa Ibn Omar kutoka kwa Mtume ﷺ alisema: «Hakika mtapigana na Wayahudi na hakika mtawaua..» na kutokana na hilo ardhi itang'aa kwa ushindi wa Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Mwenye kushinda, Mwenye hikima. ﴿HAKIKA KATIKA HILO LINA UKUMBUSHO KWA YULE MWENYE MOYO AU AKATUPA SIKIO NA YEYE NI SHAHIDI﴾.

Na katika hitimisho basi Hizb ut-Tahrir kiongozi ambaye watu wake hawadanganyi anakualikeni kuinusuru na kufanya kazi nayo ili kurejesha Khilafah Rashida upya ili Uislamu na watu wake wapate nguvu na ukafiri na watu wake wadhalilike na huo ndio ushindi mkuu ﴿NA SIKU HIYO WATACHAMGAMKA WAUMINI * KWA NUSURA YA MUNGU, HUNUSURU AMTAYE NA YEYE NDIO MWENYE NGUVU MWENYE KUREHEMU﴾.

Katika ishirini ya Dhul-Hijja 1446H

2025/6/16M                                                                                        Hizb ut-Tahrir

Chanzo: Jarida la Ar-Raya

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </