جريدة الراية:  جواب سؤال  الانتخابات الباكستانية
February 27, 2024

جريدة الراية: جواب سؤال الانتخابات الباكستانية

Al Raya sahafa

2024-02-28

جريدة الراية: 

جواب سؤال

الانتخابات الباكستانية

السؤال: (قال مسؤول حزبي بارز إن أكبر حزبين في باكستان "الرابطة والشعب" سيجتمعان يوم الاثنين للتفاوض حول تشكيل حكومة ائتلافية بعد انتخابات غير حاسمة وسط عدم استقرار سياسي واقتصادي في البلاد.. ومحادثات يوم الاثنين هي الجولة الخامسة من مفاوضات تشكيل الحكومة الائتلافية... رويترز 2024/2/19) وكانت الانتخابات الباكستانية قد أقيمت يوم 2024/2/8 بعد تأجيل.. فهل تعني اجتماعات يوم الاثنين المذكور استبعاد الموالين لحركة إنصاف من الحكم؟ وهل اتهامات التزوير والتلاعب بالانتخابات حقيقية؟ وإلى أين تسير الأمور بعد الانتخابات في باكستان؟

الجواب: جرت الانتخابات في باكستان بعد أن تم تأجيلها لشهور، (وأظهرت النتائج النهائية التي أعلنت اليوم الأحد فوز المستقلين بـ101 مقعد، في حين حصل حزب الرابطة الإسلامية الباكستانية-جناح نواز (رئيس الوزراء السابق نواز شريف) على 75 مقعدا، وفاز حزب الشعب الذي يقوده بيلاوال بوتو زرداري بـ54 مقعدا، والحركة القومية المتحدة على 17 مقعدا. الجزيرة نت، 2024/2/11)، وكان يراد لهذه الانتخابات أن تقود البلاد نحو الاستقرار السياسي بعد فترة عصيبة من الفوضى أعقبت سحب ثقة البرلمان عن حكومة عمران خان والإطاحة به في 2022/4/9، ومن ثم تولي شهباز شريف (شقيق نواز شريف) لرئاسة الوزراء في باكستان عن حزب الرابطة الإسلامية-جناح نواز، وبعد ذلك اشتعلت احتجاجات عاصفة في البلاد.. أما إلى أين تسير الأمور بعد الانتخابات في باكستان فلا بد من استعراض الأمور التالية:

1- باكستان هي واحدة من أهم البلدان الإسلامية، فالزخم السكاني (250 مليون نسمة) يجعلها خزاناً بشرياً كبيراً لتحريك العجلة الاقتصادية أو توفير القوة البشرية للجيش، فباكستان واحدة من الدول الفريدة في العالم ذات القوة البشرية والعسكرية والموقع الاستراتيجي.

2- تعتبر باكستان اليوم واحدة من البلدان الفقيرة في العالم، وذلك رغم توفر السهول الزراعية الخصبة والمياه، ورغم القدرات الصناعية فيها، ورغم القوة البشرية القادرة على تحريك أكبر اقتصادات العالم، وذلك يعود للسياسات الفاشلة التي تدفع بها أمريكا، فالفساد المالي والإداري وتفشي داء الاعتماد على الغير كالصين أو أمريكا يعيق أي محاولة للتقدم الاقتصادي، وقد عانت البلاد من كارثة الفيضانات عام 2022 التي دمرت الأراضي الزراعية ووقفت الدولة عاجزةً عن تقديم أي حلول ذات قيمة. وبجانب الفشل الاقتصادي فإن الفشل التام وفي كل المجالات هو السمة الأبرز للحكم في باكستان عبر عقود.

3- تفجرت في باكستان الروح الجهادية الإسلامية بشكل أرعب العالم، وكان ذلك على وقع قضية كشمير وكذلك على وقع الاحتلال السوفييتي لأفغانستان ومن بعده الاحتلال الأمريكي، وقد كشفت الأحداث الكثيرة عبر عقود عن روح قتالية صلبة ضاربةً جذورها في أعماق العقيدة الإسلامية لدى الشعب الباكستاني، فكانت الحركات الإسلامية الجهادية المتعددة لتحرير كشمير وأفغانستان، وكانت الدعوات لنصرة المسلمين في جميع أنحاء العالم، وتجذرت في باكستان حركات ما يسميه الغرب بالإسلام السياسي وأشهرها الدعوة التي تجذرت لإقامة الخلافة، ولكل ذلك فإن تفجر الإسلام في باكستان قد جعلها بالإضافة إلى جارتها أفغانستان مركزاً ثانياً للثقل السياسي الإسلامي بعد الشرق الأوسط.

4- يعتبر الجيش الباكستاني قوة عسكرية عملاقة مدججة بأسلحة فتاكة وبقدرات نووية يحسب لها حساب، وبسبب التاريخ الطويل للصراع مع الهند فإن أمريكا تدفع بالجيش الباكستاني نحو الحرب الأهلية داخل باكستان، وتدفعه للصدام والاشتباك مع حركة طالبان التي عادت للحكم عام 2021 في أفغانستان، بل وصارت تدفعه كذلك نحو الحدود الإيرانية، كل ذلك من أجل تمكين الهند من المشاركة في استراتيجية أمريكا لوقف صعود الصين وإشغال الصين باحتمالات الحرب مع الهند. وكانت أمريكا قبل هذا وذاك قد نجحت في جعل باكستان ممراً لها إلى أفغانستان أثناء احتلاله 2001-2021، لكن وعلى الرغم من كل ذلك إلا أن عين أمريكا لا تغفل للحظة عن المخاطر الاستراتيجية لقوة الجيش الباكستاني، لذلك سمى الرئيس الأمريكي بايدن باكستان بأنها ("واحدة من أخطر الدول في العالم"... يورو نيوز عربي، 2022/10/15)، كل ذلك على الرغم من عمالة القيادة العسكرية والسياسية في باكستان وسهولة استجابتها للسياسات الأمريكية.

5- ومما يزيد من أهمية باكستان أن الصين، وهي المنافس الدولي الأبرز لأمريكا، تنظر للباكستان نظرةً خاصة، فهي تناصر باكستان ضد الهند، وتزود باكستان بالأسلحة، وتستثمر في باكستان عشرات مليارات الدولارات على شكل قروض وبعض المنح لدعم البنية التحتية والطرق والموانئ والصناعات، وعلى الرغم من أن أمريكا تمتلك زمام الحكم والنفوذ في باكستان إلا أنها تنظر بعين الريبة لهذه الجهود والاستثمارات الصينية في باكستان.

6- وبهذه الحقائق فإن أول ما يجب وعيه أثناء النظر في الأحداث السياسية في باكستان أن رأس الكفر أمريكا كانت تركز في باكستان على جيشها وقيادتها العسكرية بوصفه مربط الفرس في الهيمنة والنفوذ داخل باكستان، ومن المشاهد الكبيرة للسيطرة الأمريكية على الجيش وقيادته العسكرية في باكستان إبعاد البلاد عن الصراع والحرب مع الهند رغم استمرار الاستفزازات الهندية في كشمير، بل وزيادة وتيرتها، ومن تلك المشاهد توجه الجيش الباكستاني للحرب الأهلية وإشعاله للحرب شمال غرب باكستان للقضاء على المجاهدين الذين كانوا يؤازرون إخوانهم في أفغانستان أثناء الاحتلال الأمريكي لأفغانستان، ومن تلك المشاهد الاشتباكات التي تحدث بين الفينة والأخرى مع أفغانستان، يضاف إلى تلك المشاهد أن الغزو الأمريكي لأفغانستان كان كله يعبر من البوابة الباكستانية، لذلك فإن السيطرة الأمريكية على القيادة العسكرية في باكستان هو ما يجعل باكستان دولةً عميلةً لأمريكا.

7- والجيش الباكستاني يسيطر على البلاد بشكل كامل، وكان يتدخل في الحياة السياسية والحزبية في البلاد وعندما تخرج الأمور عن السيطرة كان يتدخل بانقلاب عسكري ويطيح بالحكام.. فبعد أن كان يتقلب على حكم البلاد حزبان سياسيان، هما حزب الرابطة الإسلامية وحزب الشعب الباكستاني، وكان ينظر للأول باعتباره حزباً يمينياً فيما ينظر للثاني كحزب يساري، والأول يتمتع بدعم واسع في إقليم البنجاب فيما يتمتع الثاني بالدعم الواسع في إقليم السند، وبسبب فشل الحزبين عبر التاريخ وانغماس كافة القيادات من كلا الحزبين في الفساد وصيرورة قيادتهما من الملاك الإقطاعيين في باكستان، ومع ذلك فإن الجيش وأمام هذا الفشل المزمن والامتعاض الكبير داخل باكستان والذي يدفع بالناس باتجاه حركات الإسلام السياسي قد رأى أن يغير المعادلة، فجاء بعمران خان، وهو قائد لحزب غير كبير وقتها (حركة إنصاف) وأعلى صوته ضد الفساد على وقع الاتهامات الكبيرة والمحاكم التي نصبت لرئيس الوزراء السابق وزعيم الرابطة الإسلامية نواز شريف حتى فازت حركة إنصاف بالأصوات البرلمانية وصار عمران خان رئيساً للوزراء سنة 2018.

8- وفي تلك الفترة كانت المحاكم الباكستانية تلاحق الحاكم السابق نواز شريف بتهم الفساد، والذي كان استقال من منصبه في حزيران 2017 إثر إدانة المحكمة العليا إياه بتهم فساد متعلقة بالتهرب الضريبي والحكم بعدم أهليته للبقاء في منصبه، وحُكم عليه في تموز 2018 بالسجن لمدة 10 سنوات بتهم الفساد، (اتهم رئيس الوزراء الباكستاني السابق نواز شريف قائد الجيش قمر جاويد باجوا بالإطاحة بحكومته، والضغط على السلطة القضائية، وتنصيب الحكومة الحالية بقيادة عمران خان في انتخابات عام 2018. رويترز، 2020/10/17)، ولكل ذلك فإن الإطاحة بنواز شريف ومحاكمته وإقامة الانتخابات وهو خلف القضبان في باكستان كانت بقرار من الجيش، وكان الإتيان بعمران خان بعيداً عن الحزبين التقليديين في باكستان بقرار من الجيش أيضاً.

9- لقد سُمح لنواز شريف الذي يقضي عقوبة السجن بالسفر لبريطانيا لأغراض صحية، وكان ذلك باتفاق معه على أن يعود بعد علاجه لباكستان لاستكمال فترة العقوبة.. لكن الجيش وعندما أطاح بعمران خان (وقد بينا ذلك في جواب سؤال عن "أمريكا واستبدال عملائها في باكستان" بتاريخ الخامس من شوال 1443هـ-2022/05/05م)، قد أخذ يزيل كافة العقبات أمام عودة نواز شريف، فبعد الإطاحة بعمران خان عام 2022 تم تعيين شقيق شريف (شهباز شريف) رئيساً مؤقتاً للوزراء لحين إجراء الانتخابات. هذا بالإضافة إلى إصدار محكمة إسلام أباد قراراً بالإفراج عن نواز شريف بكفالة قبل وصوله إلى البلاد، وأصدر البرلمان قانوناً في حزيران 2023 يحدد 5 سنوات كحد أقصى لعدم أهلية عضو بالبرلمان للترشح بعد أن كان مدى الحياة بما يتيح لنواز شريف العودة للبلاد وترشيح نفسه، وهكذا عاد نواز شريف من الخارج ومثل أمام المحكمة تمهيداً لتبرئته من التهم الموجهة ضده والتنافس في الانتخابات (إندبندنت عربية، 2023/10/27) وهذا ما كان! فأصبح نواز شريف سياسياً "نظيفاً" من جديد وقد ترشح للانتخابات مع حزبه "الرابطة الإسلامية" في وقت يقود فيه أخوه شهباز الحكومة المؤقتة المشرفة على الانتخابات، (وحصل شريف على دعم الجيش عند عودته إلى باكستان في أكتوبر (تشرين الأول) الماضي، بعد أربع سنوات في المنفى بلندن. إندبندنت عربية، 2024/2/10) ووفق المصدر نفسه، (من جانب آخر، يعتقد أن نواز شريف عاد للدولة بعد عقد "صفقة" مع المؤسسة العسكرية لإعادته إلى منصب رئيس الوزراء للمرة الرابعة. ويتهم حزبا "الإنصاف" و"الشعب" بأن الاستقبال الرسمي الذي تلقاه شريف عند عودته دليل على وجود تفاهم بينه وبين المؤسسة العسكرية).

10- هذا عن نواز شريف.. أما عمران خان فهو يقبع اليوم في السجن وقد حكم عليه بتهم متعددة.. وبسبب ذلك منع من الترشح للانتخابات ومنع حزبه "حركة إنصاف" من خوض الانتخابات كحزب سياسي. وبهذا يتضح كيف تنقلب الموازين السياسية في باكستان، فإن عمران خان اليوم (2024) قد انقلبت عليه موازين الجيش وأصبح في الموقع ذاته الذي كان به نواز شريف سنة 2018، وأما نواز شريف فقد عاد إلى الصدارة بعد أن أزيلت من أمامه كافة العقبات كما بينّا، وبهذا كله يتبين كيف تتلاعب قيادة الجيش الباكستاني بالانتخابات البرلمانية وكيف تتلاعب بتلك الأحزاب السياسية التي تنشد رضاه من أجل نيل الحكم. وهذا ليس خفياً، فقائد الجيش سجن نواز شريف وجاء بعمران خان.. ثم سجن عمران خان وأعاد نواز شريف! وهكذا يتم التلاعب بأشباه السياسيين من زعماء الأحزاب وفق رغبات أمريكا من أجل كرسي حكم قوائمه معوجة! ثم إذا انتهى دوره ألقي به جانباً أو خلف قضبان السجون!

11- إن قيادة الجيش هي التي تتحكم في الدولة ومن ثم في الانتخابات بطرق عديدة، وقد تم الاعتراف بقطع الاتصالات والإنترنت عن بعض المناطق، وقالت الدولة إن ذلك بغرض منع الفوضى والاضطرابات في يوم الانتخابات! وكذلك تحتكر الدولة مسألة تحديد الدوائر الانتخابية بناءً على إحصائها لعدد السكان، ومن هذا الباب تستطيع زيادة الدوائر أو إنقاصها لصالح أحزاب محددة لها في تلك الدوائر ثقل انتخابي! وقد أجّلت الانتخابات من آب 2023 وحتى شباط 2024 بحجة إعادة ترسيم الدوائر الانتخابية بناءً على آخر إحصائية لعدد السكان.. وبهذه المعاني فإن زعماء الأحزاب الذين يتناوبون على الحكم كلهم ملزمون بالتبعية لأمريكا وبخدمتها، ومن يخرج عن هذا الخط الأمريكي أو يجتهد في ذلك أو يناوش الجيش تدبر له المؤامرات كما رأينا وتنصب له محاكم الفساد حتى يصل إلى خلف القضبان، لذلك فكل هذه الأحزاب تعمل تحت مظلة القيادة العسكرية للجيش، وهي قيادة عميلة لأمريكا، وقد تتنافس هذه الأحزاب تنافساً محلياً فيما بينها ليختار الجيش من بينها الأنسب للمرحلة...

12- ثم إن قيادة الجيش تسمح بالأخذ والرد في نتائج الانتخابات لإظهار أنها بعيدة عن التحكم في النتائج! فقد (أعلن نواز شريف وعمران خان، رئيسا الوزراء السابقان في باكستان، الجمعة الفوز بالانتخابات العامة. إندبندنت عربية، 2024/2/10)،

فحركة إنصاف تعتبر أن حصول المرشحين المستقلين على 101 صوت، والغالبية العظمى من هؤلاء هم من أتباعها، وهو أكبر عدد من الأصوات تحصل عليها كتلة ما، يؤهلها كحزب لتقود عملية تشكيل الحكومة، ولكن حزب الرابطة الإسلامية بقيادة نواز شريف والحاصل على 75 مقعداً في البرلمان يقول بأنه ككتلة هو الفائز في الانتخابات، وهو ما يشير إليه تصريح قائد الجيش حين طلب من كافة الأحزاب السياسية "ذات الكتل السياسية" النضج والوحدة في مواجهة الفوضى، بمعنى أن حركة إنصاف-حزب عمران خان ورغم العدد الأكبر للمقاعد البرلمانية التي حصلت عليها إلا أنها من ناحية رسمية مقاعد لمستقلين وليست لكتلة سياسية، فتبقى كتلة نواز شريف هي صاحبة الحق "قانوناً" بقيادة عملية تشكيل الحكومة عن طريق الائتلاف مع أحزاب أخرى.

13- وعلى الرغم من اعتراف بعض المسئولين بحدوث "تزوير في الانتخابات": [إسلام أباد - اعترف لياقت علي تشاثا مفوض حكومي في مدينة روالبندي (جنوب شرق إسلام آباد) بالتزوير بنتائج الانتخابات التي جرت تحت إشرافه في مدينة روالبندي.. وأضاف "لقد جعلنا المرشحين المستقلين الذين حصلوا على ما بين 70 ألف إلى 80 ألف صوت يخسرون من خلال وضع أوراق تصويت مزورة". وفي رسالة مكتوبة بخط اليد، قال تشاثا إنه سيستقيل من منصبه لأنه متورط بشدة في "جريمة خطيرة وهي تزوير الانتخابات العامة عام 2024".. وردا على ادعاءات تشاثا، قالت لجنة الانتخابات الباكستانية إنها "ترفض بشدة الاتهامات الموجهة ضدها أو ضد رئيسها".. وأضافت "لكن لجنة الانتخابات ستجري تحقيقا في الأمر في أقرب وقت ممكن".. الجزيرة، 2024/2/10].. على الرغم من ذلك إلا أن قائد الجيش بعد أن أخرج نواز شريف من السجن وسمح له بالترشح على رأس حزبه يبدو أنه يهيئ الساحة له في رئاسة الوزراء (قال مسؤول حزبي بارز إن أكبر حزبين في باكستان "الرابطة والشعب" سيجتمعان يوم الاثنين للتفاوض حول تشكيل حكومة ائتلافية بعد انتخابات غير حاسمة وسط عدم استقرار سياسي واقتصادي في البلاد.. ومحادثات يوم الاثنين هي الجولة الخامسة من مفاوضات تشكيل الحكومة الائتلافية.. وتجري مفاوضات حاليا لإقناع حزب الشعب بالانضمام للحكومة وتولي مناصب وزارية ضمن عدة مقترحات لتقاسم السلطة بين الحزبين.. وقد تواجه الحكومة الجديدة أيضا المزيد من التوتر السياسي، إذ يشكل أعضاء البرلمان من المستقلين المدعومين من رئيس الوزراء الأسبق والمسجون حاليا عمران خان أكبر مجموعة في المجلس التشريعي. رويترز، 2024/2/19)، فقيادة الجيش تجعل من تريده فائزاً هذا اليوم، وتجعله غداً خاسراً سجينا.. وهكذا دواليك! ﴿أَلَا سَاءَ مَا يَحْكُمُون﴾.

14- وعلى وقع هذا التلاعب العميق بالحكم في باكستان من قبل القيادة العسكرية العميلة لأمريكا حيث يوجد المناخ للفوضى السياسية والتي يمكن أن تستمر وتضرب باستقرار البلاد.. كل ذلك يمكن أن يكون دافعاً قوياً للمخلصين في الجيش وفي باكستان عموماً للنهوض ووضع حد لتبعية البلاد لأمريكا.. ومن ثم إقامة حكم الله، الخلافة الراشدة، وعد الله سبحانه ﴿وَعَدَ اللهُ الَّذِينَ آمَنُوا مِنْكُمْ وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَيَسْتَخْلِفَنَّهُمْ فِي الْأَرْضِ كَمَا اسْتَخْلَفَ الَّذِينَ مِنْ قَبْلِهِمْ﴾ وبشرى رسوله ﷺ بعد الملك الجبري الذي نحن فيه: (...فَقَالَ حُذَيْفَةُ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ﷺ: «..ثُمَّ تَكُونُ مُلْكاً جَبْرِيَّةً فَتَكُونُ مَا شَاءَ اللهُ أَنْ تَكُونَ ثُمَّ يَرْفَعُهَا إِذَا شَاءَ أَنْ يَرْفَعَهَا ثُمَّ تَكُونُ خِلَافَةً عَلَى مِنْهَاجِ النُّبُوَّةِ ثُمَّ سَكَتَ» أخرجه أحمد). حيث ينتظر إقامة هذا الفرض العظيم القاصي والداني من أبناء الأمة الإسلامية.. خاصة وأن باكستان أنشئت على أساس الإسلام منذ إنشائها فعامة أهلها وجيشها يحبون الإسلام والمسلمين، وارتباط حكامها وقيادة جيشها بأمريكا أهون عند الله من أن يغيروا حب الأمة لإسلامها، وهكذا فالعاقبة للمتقين إذا صدقوا وعملوا وجدوا واجتهدوا ونصروا الله، فالله ناصرهم ﴿وَسَيَعْلَمُ الَّذِينَ ظَلَمُوا أَيَّ مُنْقَلَبٍ يَنْقَلِبُونَ﴾.

العاشر من شعبان 1445هـ

2024/2/20م

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </