جريدة الراية:  جواب سؤال  المستجدات السياسية في إندونيسيا
November 19, 2024

جريدة الراية: جواب سؤال المستجدات السياسية في إندونيسيا

Al Raya sahafa

2024-11-20

جريدة الراية:  جواب سؤال

المستجدات السياسية في إندونيسيا

السؤال: أدى الجنرال السابق برابوو سوبيانتو (73 عاما) في 2024/10/20 اليمين الدستورية رئيسا جديدا لإندونيسيا أمام البرلمان، وذلك بعد الانتخابات الرئاسية التي جرت في شباط/فبراير الماضي وإعلان فوزه في2024/3/20 ولم تتأخر أمريكا في تهنئته.. فبعث وزير خارجيتها بلينكن تهنئته، وقال ("تنظر واشنطن إلى تعاون وثيق مع برابوو".. الجزيرة، 2024/3/20)، وكذلك سارع لزيارة الصين في 2024/4/1 حتى قبل تنصيبه! أي وهو رئيس منتخب لم يتسلم صلاحياته حينها، وعقد لقاء مع رئيسها شي وقال: ("إنه يدعم بصورة كاملة تطوير علاقات أوثق بين إندونيسيا والصين، ويرغب في مواصلة سياسة الصداقة التي انتهجها الرئيس جوكو مع الصين"... رويترز، 2024/4/1).

والسؤال الآن: هل لهذه التهنئة المتسارعة من أمريكا.. والزيارة المتسارعة للصين.. هل لهما دلالة على العلاقة الإندونيسية مع أمريكا وكذلك مع الصين؟ وبعبارة أخرى هل سيجري تغيير في سياسة إندونيسيا بالنسبة لأمريكا؟ وكيف ستسير سياستها تجاه الصين؟ ثم ما هي سياستها تجاه عدوان يهود على غزة؟

الجواب: حتى يتضح الجواب نستعرض الأمور التالية:

أولاً: السياسة الأمريكية وإندونيسيا:

1- بدأت أمريكا بالعمل على أن تحل محل الاستعمار الهولندي بعدما تحررت منه إندونيسيا عام 1949، وذلك عن طريق تقديم المساعدات والقروض، ولكن إندونيسيا رفضت ذلك، لأنها أدركت أنها وسيلة للهيمنة وبسط النفوذ، فلا تريد أن تتخلص من استعمار هولندا لتدخل تحت استعمار أمريكا بشكل آخر، فمارست أمريكا عليها الضغوطات وأثارت لها القلاقل والاضطرابات، ومن ثم خضع رئيسها أحمد سوكارنو، فقبل المساعدات والقروض الأمريكية عام 1958، وبدأت أمريكا تنفذ إلى البلاد وتبحث عن المزيد من العملاء، فتمكنت من كسب عملاء جدد في الجيش على رأسهم محمد سوهارتو الذي قام بانقلاب عسكري عام 1966 على أحمد سوكارنو. وقد عملت أمريكا على تقوية نفوذه بمساعدته للقضاء على الشيوعيين، ومن ثم ساعدته لتخليص تيمور الشرقية من المستعمرين البرتغاليين عام 1975. ولكنها عندما أرادت أن تفصل تيمور الشرقية عن إندونيسيا ماطل سوهارتو بتنفيذ مطلبها. فأثارت له أمريكا المشاكل الاقتصادية، وقد لعبت أدواتها المالية كصندوق النقد الدولي والبنك الدولي دورا مهما في جعل الأوضاع تتأزم ومن ثم تندلع الاحتجاجات الطلابية وأعمال شغب حتى اضطرت سوهارتو إلى أن يعلن استقالته عام 1998. فرمت به أمريكا بواد سحيق كما ترمي بأي عميل يتأخر في تنفيذ مشاريعها أو عندما تنتهي صلاحياته!

2- ومن بعد سوهارتو تولى نائبه يوسف حبيبي رئاسة البلاد لمدة عام ونيف بين عامي 1998 و1999، وقد لبى طلبات أمريكا بالموافقة على إجراء استفتاء حق تقرير المصير لتيمور الشرقية تمهيدا لانفصالها عن البلاد، وتعهد بعدم المطالبة بها، ووضع نظام الانتخابات تحت مسمى التحول الديمقراطي. ومن ثم تولى عبد الرحمن وحيد الحكم لنحو سنتين بين عامي 1999 و2001 وقد أقاله البرلمان بتهم الفساد. وعين مكانه ميغاواتي سوكارنو ابنة أحمد سوكارنو أول رئيس لإندونيسيا وشغلت منصب الرئاسة بين عامي 2001 و2004، وتم في عهدها إعلان فصل تيمور الشرقية عن إندونيسيا عام 2002 لترتكب الخيانة كمن سبقها!

3- وقد جرت انتخابات رئاسية مباشرة في البلاد حسب التعديلات الجديدة ويتولى الرئيس فترتين على الأكثر إذا أعيد انتخابه كل واحدة تستمر 5 سنوات، فانتخب يودويونو من عام 2004 إلى عام 2014. وفي تلك السنة جرت انتخابات رئاسية فاز فيها جوكو ويدودو، ومن ثم جرى انتخابه للمرة الثانية عام 2019 وانتهت ولايته في شهر تشرين الأول 2024. فقد حرص ويدودو على استمرار تبعية النظام الإندونيسي لأمريكا، وفي زيارته الأخيرة لأمريكا ولقائه رئيسها جو بايدن يوم 2023/11/13 اتفق معه على تعزيز الشراكة الاستراتيجية وتعزيز مركزية رابطة دول جنوب شرق آسيا واختصارها "آسيان"، حيث تحاول أمريكا السيطرة على القرار في هذه الرابطة التي فيها دول عديدة ليست كلها تحت هيمنتها، فتعمل على استخدام إندونيسيا لتحقيق هذا الغرض حتى تتمكن من استخدامها للوقوف في وجه الصين أو التأثير عليها، وذلك لمنعها من فرض هيمنتها على منطقة بحر الصين الجنوبي. وقد أشار وزير خارجية أمريكا بلينكن عندما بعث تهنئة بمناسبة استقلال إندونيسيا يوم 2024/8/17 فقال "في خطوة تاريخية جديدة في علاقاتنا التاريخية، عمل الرئيس جوكو ويدودو والرئيس الأمريكي جو بايدن على رفع مستوى العلاقات بين الولايات المتحدة وإندونيسيا إلى شراكة استراتيجية شاملة في تشرين الثاني/نوفمبر الماضي" (اليوم السابع 2024/8/17)

4- وقد أعلن عن فوز برابوو سوبيانتو "وهو صهر الرئيس السابق محمد سوهارتو" ونائبه جبران ابن الرئيس المنتهية ولايته جوكو ويدودوفي الجولة الأولى من الانتخابات التي جرت يوم 2024/2/14 بنسبة 58,58%. علما أن جبران لا يحق له الترشح لنائب الرئيس لكون عمره 36 عاما، حيث تمنع القوانين ترشح الأشخاص للمناصب العليا مثل الرئيس ونائبه دون عمر 40 عاما. ولكن رئيس السلطة القضائية الإندونيسية وهو صهر الرئيس ويدودو أجرى تعديلا قبل الانتخابات سمح بموجبه لمن دون الأربعين الترشح لمثل هذه المناصب. وكان الرئيس ويدودو نفسه يفكر في كيفية تمديد ولايته إلا أنه لم يتمكن من ذلك فعقد صفقة مع برابوو لتأييده بأن يجعل ابنه جبران نائبا للرئيس. ولقد دعمت الدولة بشكل ظاهر وبكل أجهزتها ابتداء بالرئيس ويدودو إلى الجيش والمخابرات والشرطة انتخاب برابوو، ولم تعترض أمريكا على ذلك كعادتها في مثل هذه الحالات. ويذكر أن زملاءه الضباط في الجيش كانوا يلقبونه بفتى أمريكا، وقد تدرب هناك، في فورت بينينغ بولاية جورجيا الأمريكية، وفي فورت براغ بولاية كارولينا الشمالية الأمريكية. ولم تتأخر أمريكا في المباركة بفوزه عندما أعلن رسميا عن فوزه يوم 2024/3/20. فبعث وزير خارجيتها بلينكن تهنئته، وقال "تنظر واشنطن إلى تعاون وثيق مع برابوو" (الجزيرة 2024/3/20)ما يؤكد ولاءه لها وتعزيز هذا الولاء!

5- وأعلن عن تعيين برابوو رسميا وعن أدائه اليمين الدستوري ومن ثم تشكيله حكومة جديدة يوم 2024/10/20. وبقي خلال الفترة الانتقالية من فوزه في الانتخابات حتى تنصيبه رئيساً أي نحو سبعة أشهر يشغل منصبه السابق كوزير للدفاع في عهد سلفه ويديدو.. وقد أجرت أمريكا خلال هذه الفترة مناورات ضخمة مع إندونيسيا في منطقة سيداوارغو بجزيرة جاوة التي تقع ضمن بحر الصين الجنوبي، يوم 2024/8/26 استمرت مدة أسبوعين. وشاركت فيها اليابان وتايلاند وبريطانيا وسنغافورة وفرنسا وكندا ونيوزلندا. وكذلك قام بالعديد من الزيارات الخارجية ومنها إلى أمريكا حيث التقى وزير دفاعها أوستن في البنتاغون. وقالت السفيرة الأمريكية لدى إندونيسيا كمالا شيرين الخضير ("إن علاقة بلادها مع الرئيس الإندونيسي الجديد تمتد إلى سنوات حتى قبل أن يتقلد منصبه وزيرا للدفاع عام 2019"... الجزيرة 2024/10/20)، أي أثناء ما كان ضابطا في الجيش حيث تدرب في قواعدها وعلى يد ضباطها، وأثناء توليه قيادة الجيش على عهد سوهارتو.. وكذلك نشر موقع VOI - Voice of Indonesia في 2024/10/29 أي بعد تنصيب برابوو بأيام:

(بحث وزير الدفاع الإندونيسي، شفري شمس الدين، والسفيرة الأمريكية لدى إندونيسيا، كامالا شيرين لخضر، فرص التعاون الدفاعي بين البلدين، بما في ذلك الأمن البحري. فقد صرح رئيس مكتب العلاقات العامة بالأمانة العامة لوزارة الدفاع الإندونيسية، العميد إدوين أدريان سومانتا، يوم الاثنين، أن السفيرة الأمريكية أعربت إلى وزير الدفاع الإندونيسي عن رغبة الولايات المتحدة في زيادة التعاون في مجال الأمن البحري. في اجتماع بمكتب وزارة الدفاع الإندونيسية، أعربت أيضا السفيرة الأمريكية عن رغبة بلادها في مواصلة مناورات درع سوبر جارودا التي تقام حاليا بشكل روتيني مرة واحدة سنويا في إندونيسيا. وفي الاجتماع، شكر شفري السفيرة كمالا على زيارتها وأعرب عن التزام إندونيسيا بتعزيز الشراكة التي تم تأسيسها بين البلدين).

وبتدبر ما سبق يتبين أن الرئيس الإندونيسي الجديد برابوو منذ إعلان فوزه في الانتخابات في 2024/3/20 وحتى تنصيبه في 2024/10/20، وأيضاً بعد ذلك.. هو يسير على نهج من سبقوه، بل ازداد التصاقاً بأمريكا، وأن نفوذها ما زال هو المستحكم في إندونيسيا!!

ثانياً: سياسة الصين مع إندونيسيا:

1- قام برابوو بزيارة للصين يوم 2024/4/1 كرئيس منتخب وإن لم يتسلم صلاحياته حينها، وعقد لقاء مع رئيسها شي وقال: "إنه يدعم بصورة كاملة تطوير علاقات أوثق بين إندونيسيا والصين، ويرغب في مواصلة سياسة الصداقة التي انتهجها الرئيس جوكو مع الصين" بينما قال شي: "إن بكين تنظر إلى علاقاتها مع إندونيسيا من منطلق استراتيجي وطويل الأجل، وتستعد لتعميق التعاون الاستراتيجي الشامل"... رويترز، 2024/4/1). علما أن للصين نشاطاً اقتصادياً كبيراً في إندونيسيا على مستوى العلاقات التجارية وعلى مستوى الاستثمار، والدولتان عضوان في منظمة آسيان.. وهذا يتطلب التعامل بينهما بحيث لا تقف إندونيسيا في موقف المعادي للصين وهي تحتفظ بتبعيتها للسياسة الأمريكية كما بيناه أعلاه.

2- نشرت الجريدة الكويتية على موقعها في 2024/11/9: (الرئيس الصيني شي جين بينغ والرئيس الإندونيسي برابو سوبيانتو يتصافحان خلال حفل التوقيع في قاعة الشعب الكبرى في بكين في أول محطة خارجية له، منذ أن تولى منصبه قبل ثلاثة أسابيع، التقى الرئيس الإندونيسي برابو سوبيانتو نظيره الصيني شي جينبينغ في بكين، وتعهد بالحفاظ على علاقات وثيقة مع الصين، الشريك التجاري الأول لإندونيسيا، وواحدة من أهم المستثمرين الأجانب فيها. وقال سوبيانتو، الجنرال السابق البالغ 73 عاماً، خلال لقاء شي، "تنظر إندونيسيا إلى الصين، ليس فقط كقوة عظمى، لكن كحضارة عظيمة"، مضيفاً أن الدولتين لديهما علاقات وثيقة منذ قرون"، "وبالتالي أعتقد أنه من الطبيعي فحسب الآن في الوضع الحالي، الجيوسياسي والجغرافي الاقتصادي، أن تصبح إندونيسيا والصين شريكتين وثيقتين جداً في الكثير جدا من المجالات". وتعهد شي بدعم إدارة سوبيانتو وشكره لزيارته الصين أولاً، قائلاً إنه يؤمن بأن "إندونيسيا ستلتزم بمسار تنمية مستقل، وستواصل إحراز إنجازات جديدة في رحلة تحقيق الرخاء الوطني والتجديد الوطني، وستلعب دورا مهما على الصعيدين الإقليمي والدولي". وتعد الصين وإندونيسيا حليفين اقتصاديين رئيسيين، لكن البلدين دخلا في مشادات كلامية بشأن الأحقية بالسيادة في بحر الصين الجنوبي، ومن المقرر أن يتوجه سوبيانتو بعد بكين إلى واشنطن، تلبية لدعوة من الرئيس الأمريكي جو بايدن، في إطار جولة دولية تشمل أيضاً البيرو والبرازيل وبريطانيا...).

وبتدبر ذلك يتبين أن العلاقة بين إندونيسيا والصين لا تتجاوز النواحي التجارية التي لا تؤثر في النفوذ السياسي لأمريكا في إندونيسيا.. فالنواحي التجارية هي الأساس فإذا انتقلت إلى النفوذ والسيادة وبحر الصين الجنوبي دخلا في مشادات!

ثالثاً: سياسة إندونيسيا تجاه قضايا المسلمين

1- إنه من المعلوم أن إندونيسيا بلد إسلامي عريق، إذ بدأ أهلها يدخلون في الإسلام منذ القرن الأول الهجري، فتعداده البشري يقترب من 300 مليون نسمة، أكثريتهم مسلمون تصل نسبتهم إلى 90%، ومساحته كبيرة تصل إلى أكثر من 1,9 مليون كم2، وهو غني بثرواته ومواده الخام، فلديه إمكانية أن يصبح دولة كبرى إذا وضع مشروع الدستور الإسلامي محل التطبيق فيه وتولت حكمه قيادة إسلامية سياسية واعية.

2- وأما سياسة الرئيس الجديد الخارجية تجاه قضايا المسلمين، فإنها على شاكلة سلفه يتبنى وجهة النظر الأمريكية. فقد صرح برابوو يوم 2024/6/1 في كلمة خلال قمة حوار شانغريلا أكبر منتدى أمني في آسيا والذي يعقد في سنغافورة فقال: ("إن مقترح الرئيس الأمريكي جو بايدن ذي المراحل الثلاث بخصوص وقف إطلاق النار في غزة خطوة في الاتجاه الصحيح" وأضاف: "عندما تقضي الحاجة وعندما تطلب الأمم المتحدة ذلك، نحن على استعداد للمشاركة بقوات حفظ سلام كبيرة للحفاظ على وقف إطلاق النار ومراقبته، وكذلك توفير الحماية والأمن لجميع الأطراف وجميع الجوانب" ودعا "إلى حل عادل للوضع في فلسطين" وقال "وهذا يعني أن الحقوق في الوجود ليست لإسرائيل فحسب، بل يعني أيضا حقوق الشعب الفلسطيني في أن يكون له وطنه ودولته وأن يعيش في سلام"... رويترز، 2024/6/1). علما أن الواجب عليه أن يقوم وينصر أهل غزة فيرسل قوات وأسلحة كافية لردع العدو المتوحش الذي يمعن فيهم بالقتل، خاصة وأن هذا العدو يتقصد الأطفال والنساء والرجال العزل والأهداف المدنية من منازل ومدارس ومستشفيات.وكل مساعدة إندونيسيا لأهل غزة هي بناء المستشفى الإندونيسي، وقد دمره كيان يهود عدو الإسلام والمسلمين الذي تدعمه أمريكا وترسل له من وراء البحار الأسلحة الفتاكة والمعدات والمساعدات بدون توقف.. ومع كل هذا فإن الرئيس الجديد برابوو يعزز علاقاته بأمريكا أكثر ويلتصق بها أكثر ويلبي مطالبها بسبب علاقاته القديمة معها ودعمها له.

رابعاً: وبهذه العقليات السياسية التي تتولى الحكم في إندونيسيا وتوالي أمريكا، تضيع الفرصة على البلاد لأن تصبح دولة كبرى فيما لو تولت الحكم فيها قيادات سياسية إسلامية واعية مخلصة تطبق الدستور الإسلامي المنبثق من عقيدة أهل البلاد ودينهم الإسلام الحنيف، ومن ثم تعمل على توحيد البلاد الإسلامية وخاصة المجاورة لها كماليزيا لتكون نقطة ارتكاز لدولة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة. ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ﴾.

التاسع من جمادى الأولى 1446هـ

الموافق 2024/11/11م

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </