جريدة الراية:  جواب سؤال  ما وراء تمرد قائد قوات فاغنر الروسية
July 04, 2023

جريدة الراية: جواب سؤال ما وراء تمرد قائد قوات فاغنر الروسية

Al Raya sahafa

2023-07-05

جريدة الراية:

جواب سؤال

ما وراء تمرد قائد قوات فاغنر الروسية

السؤال:

أعلن قائد قوات فاغنر الروسية يوم 2023/6/24 تمرده على القوات الروسية وطالب وزير الدفاع ورئيس الأركان بالاجتماع به وقد شن عليهما هجوما قاسيا، وبدأت قواته تزحف نحو موسكو. وقام الرئيس الروسي بوتين بإلقاء كلمة قصيرة حول الموضوع واعتبر ذلك خيانة وطعنا في الظهر. وفي اليوم نفسه توقف التمرد بوساطة رئيس بيلاروسيا والاتفاق على ذهاب قائد قوات فاغنر إلى هناك.. وقد فاجأ الغرب اندلاع التمرد وتوقفه بسرعة. فلماذا جرى هذا التمرد؟ وما تبعاته على روسيا؟ وهل هناك دور غربي أو أمريكي وراء هذا التمرد؟ والمعذرة عن الإطالة، وجزاك الله خيرا...

الجواب:

لكي يتضح الجواب نستعرض الأمور التالية:

1- مجموعة فاغنر هي شركة روسية أمنية شبه حكومية تأسست عام 2014 يقودها الملياردير يفغيني بريغوجين الذي يعرف بطباخ الرئيس الروسي بوتين والمقرب منه لأنه كان لديه مطعم يُعِدّ الطعام للرئيس. تتعاقد الشركة مع وزارة الدفاع الروسية وتدرب عناصرها في معسكراتها وتتزود منها بالسلاح أيضا، وتنفذ للدولة الروسية مهمات عسكرية وأمنية قذرة وأعمالاً اقتصادية. فهي تشبه شركة بلاك ووتر الأمريكية سيئة الذكر التي لعبت دورا قذراً بجانب القوات الأمريكية في سنواتها الأولى لاحتلال العراق، فهي خارج المحاسبة والملاحقة القانونية تنظم عمليات قتل واغتيال واعتقال وتعذيب بدون مساءلة وملاحقة قانونية، لأن مهماتها وأعمالها في الأصل في خارج روسيا وليس في داخلها، ولكن استعانت بها الدولة الروسية في حربها التي تشنها في أوكرانيا. قال بوتين خلال اجتماع متلفز مع سلطات إنفاذ القانون يوم 2023/6/27 "دفعت الدولة لمجموعة فاغنر 68,262 مليار روبل (حوالي مليار دولار) كرواتب للمقاتلين ومكافآت تحفيزية بين شهر أيار 2022 وأيار 2023 فقط". ولهذا شعر قائد المجموعة بأنه قوي ويستطيع أن يفعل ما يشاء إذ يملك المال والسلاح ويقود عشرات الآلاف من العناصر، ويلقى شعبية لدى الروس، فأصبح ذا قوة ويمكنه أن يبتز النظام أو يهدده. ويظهر أنه قد أصابه الغرور بأنه قادر على أن يصل إلى مناصب عليا.. خاصة وأن قوات فاغنر منتشرة في أكثر من دولة في سوريا وليبيا ومالي وأفريقيا الوسطى.

2- ذاع صيت مجموعة فاغنر عندما تدخلت في الحرب التي تشنها روسيا في أوكرانيا، وخاصة في معركة باخموت التي استمرت أشهراً ولم تحسمها إلا قوات فاغنر كما ذُكر. وأصبح اسم قائدها يفغيني بريغوجين يتردد في الأنباء كثيراً، خاصة وهو ينتقد وزير الدفاع ورئيس الأركان الروسيين بعدم مد قواته بالعتاد خلال المعارك التي كانت تخوضها في أوكرانيا وخاصة في باخموت، فتطاول عليهما كثيرا حتى اتهمهما بالخيانة وطالب بإقالتهما من منصبيهما، واتهم الجيش بالمسؤولية عن مقتل عشرات الآلاف من الروس في أوكرانيا وتسليم الأراضي للعدو. ويستعمل موقع تلغرام في إطلاق تصريحاته واتهاماته. وفي الوقت نفسه انتقد الحرب التي تشنها روسيا على أوكرانيا. فقبل يوم من تمرده أي يوم 2023/6/23 أدلى بتصريحات على موقع تلغرام قال فيها ("إن وزير الدفاع الروسي أراد أن يحصل على رتبة مارشال وقلادة بطل روسيا، لذا دفع باتجاه غزو أوكرانيا" وقال "غير صحيح أن أوكرانيا كانت تخطط مع الناتو قبل الحرب لمهاجمة روسيا. وإن وزارة الدفاع خدعت الرئيس بوتين والروس بالترويج أن أوكرانيا تحالفت مع الناتو لمهاجمة روسيا" وقال "إن القوات الروسية تتراجع في شرق أوكرانيا وجنوبها في أعقاب الهجوم المضاد الذي تشنه أوكرانيا ضدها").

3- أعلن قائد فاغنر صباح يوم السبت 2023/6/24 أنه دخل المقر العام لقيادة الجيش في مدينة روستوف الروسية الذي يشكل مركزاً أساسيا للهجوم الروسي على أوكرانيا وسيطر على مواقع عسكرية من ضمنها المطار.. ثم قال على موقع تلغرام: ("إننا في المقر العام إنها الساعة 7,30 (4,30 بتوقيت غرينتش)" وقال "إن المواقع العسكرية في روستوف تحت السيطرة بما فيها المطار" وقال "إن مساحات كبيرة من الأراضي التي احتلت في أوكرانيا تمت خسارتها وإن الكثير من الجنود قتلوا " وجدد اتهامه للجيش الروسي بعدم قول الحقيقة بشأن الوضع على الجبهة وقال "إن الجيش يخسر إلى ألف رجل يوميا" بين قتلى وجرحى ومفقودين بالإضافة إلى أولئك الذين يرفضون القتال. وقال: "إن رئيس الأركان العامة الروسي فاليري غيراسيموف هرب من هنا عندما اكتشف أننا نقترب من المبنى.." وقال "أرادوا تفكيك قوات فاغنر". وأعلن أن قواته دخلت مدينة روستوف الحدودية مع أوكرانيا ومن ثم توجهت نحو مدينة فورونيج ومن ثم نحو مدينة ليبتسيك التي تبعد نحو 510 كم عن العاصمة الروسية موسكو حتى وصلت إلى نقطة قريبة منها بنحو 200 كلم").. ومع ذلك فقد حاول أن يتجنب اتهام بوتين صراحة كخط رجعة له، فقال يوم 2023/6/26 على موقع تلغرام ("إنه لم يستهدف الرئيس بوتين وليس لديه رغبة في الإطاحة بالنظام عندما أعلن أن قواته سوف تسير نحو موسكو. إن المجموعة كانت تسير لمنع تسريح فاغنر ودمجه في وزارة الدفاع وإنه أمر قواته بالعودة لتجنب إراقة الدماء").

4- ولكن محاولته تجنب اتهام بوتين فشلت، فقد هدد الرئيس الروسي بضرب التمرد بعد حصوله بساعات فقال من خلال التلفزيون الروسي يوم 2023/6/24: ("إن التمرد المسلح لمجموعة فاغنر العسكرية الخاصة خيانة، وإن أي شخص يحمل السلاح ضد الجيش الروسي سيعاقب.. إن الأجهزة الأمنية تلقت أوامر بإعلان حالة مكافحة الإرهاب.. المعركة التي تخوضها روسيا تتطلب منا الوحدة للتصدي للمخططات الخارجية.. تواصلت الليلة الماضية مع جميع القادة العسكريين في كل المحاور، وردودنا على هذا التهديد ستكون صارمة وقاسية. وإن ما حدث غدر وطعنة في الظهر. هناك من تم جرهم لمغامرة إجرامية عبر التمرد في وقت تخوض روسيا حربا ضد النازية.. إن أي اضطرابات داخلية تشكل تهديدا قاتلا للدولة وهي بمثابة صفعة للشعب الروسي" واتهم قائد فاغنر بأن "لديه طموحات شخصية"). وكان رد رئيس فاغنر ("إن بوتين كان مخطئا للغاية عندما وصفهم بالخيانة" ونسب له قوله "إن بوتين اختار الطريق الخطأ وقريبا سيكون لروسيا رئيس جديد"... تلغرام 2023/6/24)

5- وهنا تفاقمت الأمور خاصة وظروف الحرب في أوكرانيا بالغة الصعوبة بالنسبة لروسيا وهي ترهقها وتستنزف قواها المادية والبشرية ولم تحرز تقدما يذكر، بل لا تستطيع التقدم، فهي في حالة دفاع عن مواقعها، بل في حالة تراجع عن بعض المواقع، ويأتي هذا التمرد فيكون بالنسبة لروسيا أمراً قاتلاً وخاصة للرئيس بوتين الذي وقع في مأزق الحرب التي ستقرر مصيره ومصير بلاده. وفي هذه المرحلة الحرجة حرك الرئيس الروسي نظيره البيلاروسي ليقوم بالوساطة ليوقف التمرد ويحل المشكلة سلميا. فقال بيان الرئاسة البيلاروسية أن ("الرئيس لوكاشينكو أبلغ رئيس روسيا بالتفصيل عن نتائج المفاوضات مع قيادة مجموعة فاغنر، وإن بوتين شكره على العمل الذي قام به"). وتم تقديم مقترح لحل الأزمة يشمل منح ضمانات أمنية لرئيس فاغنر. إذ إن المحادثات تمت بالتنسيق مع الرئيس بوتين. فقام المتحدث باسم الكرملين دميتري بيسكوف وكشف أبرز النقاط في الاتفاق بين الرئيسين بوتين ولوكاشينكو وهي أن ("بعض مقاتلي فاغنر ممن رفضوا من البداية الانخراط في حملة بريغوجين ستتاح أمامهم إمكانية الانضمام لصفوف القوات المسلحة الروسية والتعاقد مع وزارة الدفاع.. لن يخضع هؤلاء لأي ملاحقة قانونية.. عودة قوات شركة فاغنر إلى معسكراتها.. الذي لا يرغب في العودة إلى المقار والمعسكرات يوقع اتفاقيات مع وزارة الدفاع الروسية.. إغلاق القضية الجنائية بحق بريغوجين وسيغادر إلى بيلاروسيا"... روسيا اليوم 2023/6/25). وهكذا تمكن بوتين من معالجة أمر التمرد فوفر لروسيا وله كثيرا من الخسائر والمصادمات.

6- ويبدو أن قائد فاغنر كان يسير في خطوات ارتجالية رسمها لنفسه، فإذا نجح في الوصول إلى موسكو، ولقي تأييدا ولم تتمكن الدولة من ضربه والقضاء عليه فسوف يتطلع إلى إزاحة بوتين والحلول محله. ويظهر أنه لم يملك الشجاعة في مواصلة سيره وخشي من فشله، وأن تهديدات بوتين قد بلغته عن طريق بيلاروسيا بجانب إغراءات بوتين بالعفو عنه وتركه يذهب إلى بيلاروسيا، وكأنه فضل السلامة على المخاطرة. فقال قائد فاغنر عقب الاتفاق المذكور المعلن في 2023/6/25، قال على موقع تلغرام: ("إن قواته ستعود إلى معسكراتها حقنا للدماء.. نحن سعداء للغاية لأننا تمكنا حتى الآن تجنب إراقة الدماء. لقد انطلقنا في 23 حزيران في مسيرة من أجل العدالة. وفي يوم واحد وصلنا إلى بعد 200 كلم من موسكو").

7- وهكذا تفادى بوتين الأزمة حتى ولو مؤقتاً فقال على تلفزيون بلاده يوم 2023/6/26 ("تمكنا من تفادي كارثة في روسيا من خلال إحباط تمرد فاغنر. نثمن دور بيلاروسيا في التوصل لتسوية سلمية لأزمة تمرد فاغنر.. إن منظمي التمرد المسلح في روسيا خانوا وطنهم، والأحداث الأخيرة أظهرت أن أي ابتزاز مصيره الفشل.." وجدد "عرضه على مقاتلي فاغنر بالالتحاق بالجيش ومن أراد أن يذهب لبيلاروسيا فله ذلك". وقال "الغرب وكييف أرادوا اندلاع حرب أهلية في روسيا، والأجهزة الأمنية حافظت على القَسم للحفاظ على روسيا") فمعنى ذلك أن التمرد قد هدد الدولة الروسية وأحدث هزّة في النظام وفي سمعة الرئيس بوتين وسطوته، وأثّر على مكانة روسيا الدولية فقد أظهر هذا التمرد أن وضعها الداخلي قلق وغير مستقر.

8- أما بالنسبة للمواقف الغربية فيظهر أنهم قد تفاجأوا بالتمرد وبسرعة توقفه وكانوا يريدون أن يستمر، ولذلك كلهم وجّهوا جل اهتماماتهم نحو ما يجري في روسيا وبدأت الاتصالات والمكالمات الهاتفية بين المسؤولين في هذه الدول، لأن مثل هذا التمرد كان سيؤثر في مجرى الحرب في أوكرانيا ويقلب الأمور رأساً على عقب بالنسبة لروسيا وربما يتحقق للغرب ما يريد. فكشفت أمريكا عن موقفها مما حدث، فقال رئيسها بايدن ("إنه لا علاقة للغرب بتمرد مجموعة فاغنر في روسيا، وإن الأحداث في روسيا جزء من الصراع على السلطة" وقال "إنه وجه فريق الأمن القومي بمتابعة التطورات في روسيا عن كثب" وقال وزير خارجيتها بلينكن "لم نشهد بعد الفصل الأخير من هذا التمرد، لكن وجود أحد ما في الداخل يتحدى سلطة بوتين ويشكك بشكل مباشر في الأسباب التي من أجلها أطلق هذا الهجوم على أوكرانيا هو أمر وقعه قوي جداً. رغم حل النزاع بالسرعة التي بدأ بها تقريباً إلا أنه بمثابة ضربة لقيادة بوتين. إن الأزمة الحالية في روسيا تثير تساؤلات كبرى وتظهر وجود تصدعات حقيقية"... سي بي إس الأمريكية، ورويترز 2023/6/26) وقال المتحدث باسم الخارجية الأمريكية ماثيو ميلر: ("إن تمرد قوات فاغنر المسلحة شأن روسي داخلي ولم نشارك فيه.. كان لدينا قنوات اتصال مع الروس "من خلال السفيرة الأمريكية في موسكو" يوم السبت خلال تمرد قوات فاغنر. وإنه لأمر جديد أن نرى يفغيني بريغوجين يشكك مباشرة في المسوغ المنطقي لهذه الحرب ويعلن أن خوض الحرب استند أساساً على كذبة"... الوئام السعودية ورويترز 2023/6/26) وأصدر وزراء خارجية الاتحاد الأوروبي ("إن التمرد الذي تم إحباطه في روسيا في مطلع الأسبوع أظهر أن حرب موسكو في أوكرانيا تسبب عدم استقرار داخلي وتقوض قوتها العسكرية" وقال منسق السياسة الخارجية الاتحاد الأوروبي جوزيب بوريل "إن نقاط الضعف تظهر على النظام السياسي "في روسيا" والقوة العسكرية تتصدع"... الوئام السعودية 2023/6/26).. وقال الأمين العام لحلف الناتو ينس ستولتنبرغ: ("إن الأحداث التي شهدتها روسيا شأن داخلي" وقال "لا نرى أي مؤشر على أن روسيا تستعد لاستخدام أسلحة نووية" (سكاي نيوز 2023/6/26).

9- وهكذا فقد أكد الأمريكان والغربيون أنه ليست لديهم أية علاقة بالتمرد. ومع هذه التأكيدات إلا أنهم وخاصة


الأمريكان لا يستبعد أنهم شجعوا قائد فاغنر على القيام بمثل ذلك بوسيلة أو بأخرى، وإلا فمن الصعب أن يقوم بمثل هذا العمل وهو يملك مليشيات قوامها مكون من أصحاب سوابق جنائية! فهو أشبه بالرئيس الروسي الأول بعد انهيار الاتحاد السوفياتي يلتسن الذي لقي تشجيعاً وتوجيهاً من الأمريكان في الوصول إلى الحكم وإسقاط الاتحاد السوفياتي وقد كشف ذلك لاحقا. وفي هذه الحالة أيضاً، فقد نشرت واشنطن بوست يوم 2023/5/15 أن قائد فاغنر التقى بمسؤولين أوكرانيين في إحدى الدول الأفريقية واستعد أن يعطي معلومات لكييف عن القوات الروسية المسلحة مقابل انسحاب القوات الأوكرانية من أمامه في باخموت. وقالت إنها استندت إلى وثائق استخباراتية أمريكية مسربة ومسؤولين أمريكيين وأوكرانيين لم تذكر اسمهم. ولكنه على حسابه في موقع تلغرام نفى ذلك نفيا قاطعا واعتبرها مضحكة. وقال الناطق الرسمي باسم الكرملين دميتري بيسكوف "إن المعلومات التي نشرتها واشنطن بوست أخبار مضللة" (فرانس برس 2023/5/16). ولكن رغم نفيه ونفي الكرملين تلك المعلومات إلا أن انتقاداته للعملية العسكرية الروسية وتهجمه على وزير الدفاع واتهامه بتضليل الرئيس بوتين، وهو يعلم أن قرار شن الحرب على أوكرانيا ليس قرار وزارة الدفاع وإنما هو قرار الرئيس بوتين نفسه، وظهر ذلك في الاجتماع الذي جمع فيه بوتين كافة أركان حكمه قبل يومين من الحرب في يوم 2022/2/22 ونشر مباشرة على قناة روسيا اليوم، فقرار الحرب هو قرار الرئيس بوتين وليس وزير الدفاع، فانتقادات قائد فاغنر على قرار الحرب وجعله قرار وزارة الدفاع وهو يعلم أنه ليس قرارها وإنما قرار الرئيس، هذه الانتقادات مقصود منها تجنب انتقاد الرئيس والهجوم عليه خوفا من الانتقام منه، خاصة وهو يعلن أنه غير مؤمن بالحرب وأنها غير صحيحة.. وذلك مما يرضي الغرب وخاصة الأمريكان. فلا يستبعد أنهم اتصلوا به عن طريق الأوكرانيين أو بوجودهم وشجعوه على القيام بذلك، ولكن عندما رأى تهديدات بوتين كأنه تراجع فلم يثق بنفسه، وفضل النجاة برأسه والعيش في المنفى في بيلاروسيا.

10- يُعدّ هذا التمرد أكبر تحد لبوتين منذ تسلمه السلطة عام 1999. ولا يستبعد أن يشجع غيره على التمرد، فقائد مليشيا أكثر قواته من أصحاب الجنايات، وهو على رأسهم، استطاع أن يهز هيبة بوتين وسطوته! فهذا يُظهر أن بوتين شخص أضعف مما يتصور وأنه في مأزق، وقد آثر التسوية مع متمرد! فهذه الحادثة وجهت صفعة على وجهه وهزت الثقة في قيادته وفي دولته.. وهكذا هي الدول الكافرة المستعمرة، شرقها وغربها، لا تُرى قائمة إلا لعدم وجود من يهزها.. فلعل التاريخ يعيد نفسه، وتشرق الأرض بالخلافة من جديد، فتقضي على الفرس والروم الجدد، فروسيا والغرب تآمروا على المسلمين قديما وحديثا فكل منهما شر لا يقل شره عن الآخر في حربهم على الإسلام وأهله. والله سيحبط عملهم ويبتلي بعضهم ببعض وينصر دينه ليخلص البشرية من شرّهم. ﴿إِنَّا لَنَنْصُرُ رُسُلَنَا وَالَّذِينَ آمَنُوا فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَيَوْمَ يَقُومُ الْأَشْهَادُ﴾.

الثالث عشر من ذي الحجة 1444هـ

2023/7/1م

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </