جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 435
March 21, 2023

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 435

Al Raya sahafa

2023-03-22

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 435

إننا في أسرة جريدة الراية إذ نبارك للأمة الإسلامية شهر رمضان المبارك، شهر العمل والجد والاجتهاد، شهر العبادة والصبر والجهاد، والتنافس في الخيرات، حيث تُضاعف الأجور والحسنات؛ فإننا نسأله سبحانه وتعالى أن يتقبل منها الصيام والقيام، وأن يكون رمضان هذا فاتحة خير وبركة، ومقدمة نصر بإقامة الخلافة على منهاج النبوة، فتستظل الأمة براية العقاب، راية لا إله إلا الله محمد رسول الله، وتعود كما كانت أمة كريمة، قوية بربها، عزيزة بدينها ﴿وَيَوْمَئِذٍ يَفْرَحُ الْمُؤْمِنُونَ * بِنَصْرِ اللَّهِ﴾.

===

قيس سعيّد

وإعادة تدوير بشار

نشر موقع (النشرة، الجمعة، 18 شعبان 1444هـ، 10/3/2023م) خبراً قال فيه: "شدد الرئيس التونسي قيس سعيّد، على أنّه "لا مبرر لعدم وجود سفير تونسي في دمشق، وأيضاً بالنسبة لسوريا، ولن نقبل بتقسيم سوريا".

الراية: إزاء تصريح رئيس تونس قيس سعيد هذا نشر المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية سوريا على موقعه الإلكتروني تعقيبا كان مفاده: يثبت حكام المسلمين دائما أنهم نواطير للغرب الكافر المستعمر في بلادنا وخدمه في محاربة الإسلام والمسلمين وفي منع عودة الأمة إلى دينها الحق، وأنهم مجرد دمىً تحركها الدول الكبرى وتستخدمها لتنفيذ مصالحها ومشاريعها الاستعمارية.

وفيما يتعلق بثورة الشام فالجميع يعرف أنه ومنذ بدايتها والدول العربية كانت مجرد أدوات بيد أمريكا تستخدمها للقضاء على هذه الثورة المباركة وإجهاضها، إلا أن مخططاتها باءت بالفشل وانكشف دور هذه الدول واحترق ولم يعد يصلح لمتابعة ملف ثورة الشام.

والآن أمريكا تحاول من جديد استخدام ورقة الدول العربية والجامعة العربية لمحاولة تدوير نظام المجرم بشار وإعادة العلاقات معه تمهيداً للتطبيع الكامل معه، في مساندة لدور تركيا أردوغان المتآمر على ثورة الشام لإجهاضها.

فسارع العملاء حكام العرب لمحاولة تدوير طاغية الشام ونظامه المهترئ نظام بشار المجرم. وها هو رئيس تونس قيس سعيد يسعى جاهداً للتطبيع مع نظام أسد حاذيا حذو أقرانه في الخيانة ومقتفيا أثر نظرائه في الخيانة، حكام الخليج والأردن وتركيا والعراق، الذين سبقوه في هذه الجريمة النكراء. ويقول إنه لم يعد هناك مبرر لعدم وجود السفراء بين البلدين من أجل إعادة العلاقات والتطبيع مع نظام أسد المجرم.

وهذا كله يثبت تآمر هؤلاء الحكام وأنظمتهم على ثورة الشام المباركة، من خلال إعادة توطيد العلاقات والتطبيع مع هذا النظام المجرم، فهم جميعا غارقون بالخيانة والتبعية لأسيادهم في الغرب الكافر المستعمر، ويشكلون رأس الحربة في البطش بأبناء الأمة الصادقين وتحركاتهم المخلصة للانعتاق من ربقة الغرب المستعمر وفي مقدمتهم أمريكا.

وليس غريبا تصريح رأس النظام في تونس قيس سعيد: "لن نسمح بتقسيم الأراضي السورية"، متغافلا عن الحدود المصطنعة التي أقامها الغرب الكافر وحلفاؤه، فهم من قسم البلاد وشرد أهلها ودمرها، وهم من انتهك المقدسات والحرمات، ثم وبعد ذلك كله يأتي بعض الرويبضات من حكام المسلمين ليتكلموا بأمر أهل الشام وثورتهم، ويحاولون التفاوض عنهم وكأنهم أصحاب التضحيات والدماء، ويضعون أنفسهم في صف طاغية الشام ويساندونه بكل ما يستطيعون للقضاء على هذه الثورة المباركة.

إن أهل الشام بإذن الله لن يضرهم من خذلهم وتآمر عليهم، فالشام هي أرض الجهاد والرباط وعقر دار الإسلام كما أخبرنا النبي ﷺ، وبإذن الله فإن أهل الشام بعد كل هذه السنين لم تعد تنطلي عليهم هذه المكائد والمؤامرات، وبهمة الصادقين من أبناء هذه الأمة ستستعيد الثورة سلطانها وقرارها المسلوب، وسنمضي جميعاً معتصمين بحبل الله المتين نحو إسقاط النظام المجرم بدستوره العلماني وبكافة أركانه ورموزه، وإقامة حكم الإسلام على أنقاضه، في ظل الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة، وما ذلك على الله بعزيز، قال تعالى: ﴿وَقَدْ مَكَرُوا مَكْرَهُمْ وَعِندَ اللَّهِ مَكْرُهُمْ وَإِن كَانَ مَكْرُهُمْ لِتَزُولَ مِنْهُ الْجِبَال﴾.

===

افتتاح صفحة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير باللغة الفرنسية

يسر المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير الإعلان عن افتتاح صفحته باللغة الفرنسية، لتكون نافذة للشعوب الناطقة باللغة الفرنسية، ليتسنى لهم الاطلاع من خلالها على المواد الإعلامية، التي تغطي الجهود المبذولة في مشروع إقامة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة، جاء هذا في بيان صحفي لمدير المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير المهندس صلاح الدين عضاضة بمناسبة افتتاح هذه الصفحة، والذي أضاف: ويأتي هذا الافتتاح المبارك إن شاء الله، ضمن الجهود المستمرة التي يبذلها حزب التحرير وشبابه من أجل توسعة أعمال التفاعل مع الشعوب للوصول إلى أكبر قدر ممكن من جماهير الأمة الإسلامية حيثما وجدت...

وختم المهندس عضاضة بيانه بقوله: ولأجل ذلك ندعو جميع الإعلاميين الصادقين في سعيهم لأن تعود الخلافة على منهاج النبوة، ونخص في هذا المقام الإعلاميين الناطقين باللغة الفرنسية، للاطلاع على المواد المنشورة في صفحة اللغة الفرنسية للمكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير، سائلين الله أن يلهمهم خير أمرهم وأن يستقوا منها ما يردف العمل من أجل إعادة الخلافة من جديد.

رابط الصفحة: https://www.hizb-ut-tahrir.info/fr/

===

الهجرة غير الشرعية

أم الدوافع العنصرية؟

تحت هذا العنوان قال بيان صحفي أصدره القسم النسائي في المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير: في حادث مأساوي يُضاف للمآسي الكثيرة التي تشهدها الأمة، غرق قارب يحمل مهاجرين انطلقوا من تركيا إلى إيطاليا أملاً في حياة آمنة كريمة، لكن الموت كان أسبق إليهم فغرق أكثر من 65 شخصاً منهم قرابة 12 بين أطفال ورضع من أصل 200 شخص. ردود الفعل على الحادث تظهر عظم المأساة التي حلّت بالأمة قبل 102 عام، في مثل هذه الأيام. فمنذ هدم دولتنا، الخلافة الإسلامية، بتنا كالأيتام على موائد اللئام، أرواحنا ودماؤنا وأعراضنا بلا قيمة، أراضينا مستباحة لعدونا يهاجمنا في عقر دارنا ولا إمام جُنّة نقاتل من ورائه ونتقي به، تضيق بنا بلادنا فلا أمن ولا رعاية ولا كرامة ولا حتى أدنى مستوى من العيش الكريم، يفر المسلم بنفسه وأهله آملاً أن يجد بلداً يعيش فيه بكرامة، لكن بلا جدوى، فأنت مسلم من العالم الثالث، إذاً فأنت محكوم عليك أن تُنبذ حياً وميتاً، لا يتحرك لرعايتك أحد في حياتك كما لا يُهرع لنجدتك في الحوادث أحد، ولا يأسف لموتك آسف!

وأضاف البيان: العالم الذي يغرقنا بشعارات الحرية وحقوق الإنسان ويجبر حكام المسلمين على توقيع اتفاقيات عالمية ومواثيق لحقوق الطفل والمرأة ويرهنها مقابل ذلك بالديون للبنك الدولي عبر القروض الربوية، هذا العالم المنافق حين غرق هذا القارب الذي يحمل مستضعفين يطلبون العدل والحرية؛ تسابق حيتانه لتبرير تقاعسهم، وتنافسوا في إلقاء التهم على صغار السمك في بحر الإجرام كي يخرجوا هم أبرياء من دم العائلات التي ماتت غرقا.

وختم البيان بالقول: فهل كان النظام الدولي سيكتفي بالتصريحات لو كان المهاجرون أوكرانيين؟! هل كانوا سيكتفون بالمراقبة وإلقاء التهم عبر البيانات الصحفية لتجميل صورتهم وتغطية الدماء التي تلطخ أياديهم؟!

===

مخابرات هيئة تحرير الشام

تختطف أحد شباب حزب التحرير في إدلب

وفقا لنشرة أخبار السبت 2023/3/18م من إذاعة حزب التحرير في ولاية سوريا، أفاد رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية سوريا الأستاذ أحمد حاج عبد الوهاب: بأن مخابرات هيئة تحرير الشام قامت باختطاف الشاب أسامة اليوسف أحد شباب حزب التحرير، وأحد أبناء خان شيخون في مدينة إدلب؛ واعتبر الأستاذ عبد الوهاب: أن هذا الاعتقال يأتي في سياق سياسة التغول والقمع والتسلط التي تنتهجها الهيئة، والتي لم يسلم منها فصيل ولا حزب ولا بلدة ولا صحفي مستقل. وذكّر الأستاذ عبد الوهاب: أنه لا يزال الشاب علي دلو مختطفاً في سجون مخابرات هيئة تحرير الشام منذ شهور. وأضاف: إننا في ذكرى ثورة الشام، نؤكد أن هذا التسلط والظلم لم يرهب حملة الدعوة ولن يرهبهم بإذن الله عز وجل عن القيام بواجبهم، بل سيزيدهم عزيمة وثباتا حتى يأذن الله بالنصر والتمكين. وأن ليل الظلم زائل لا محالة، وسيشرق نور الإسلام من جديد ليملأ الأرض قسطا وعدلا كما ملئت ظلما وجورا، وسيعلم الذين ظلموا أي منقلب ينقلبون.

===

بين سياسات أمريكا واللعب بأدواتها

تسفك دماء المسلمين وتضيع قضاياهم المصيرية

نشر موقع (الجزيرة نت، السبت، 26 شعبان 1444هـ، 2023/3/18م) خبرا قال فيه: "أكد وزير الخارجية المصري سامح شكري ونظيره التركي مولود جاويش أوغلو، اليوم السبت، سعي بلديهما إلى تطبيع العلاقات بينهما، وبدء مرحلة جديدة من التعاون.

وقال شكري، خلال مؤتمر صحفي مشترك مع جاويش أوغلو بالقاهرة، إن بلاده تعمل من أجل تطبيع العلاقات مع تركيا وبدء مرحلة جديدة من التعاون المشترك...

من جهته، أكد جاويش أوغلو أن بلاده ستعمل على إعادة تبادل السفراء مع مصر خلال الفترة المقبلة، مشيرا إلى وجود إرادة سياسية جادة من أجل تطوير العلاقات".

الراية: إن التقارب بين النظامين التركي والمصري من ناحية، والنظامين التركي والسعودي من ناحية أخرى ليس لأن حكام تلك البلاد عادوا لرشدهم، أو أنهم فكروا بمصالح شعوبهم. بل لأن الذي فرقهم هو نفسه الذي يجمعهم الآن، وهو أمريكا ومصالحها. فرئيس أمريكا بايدن يرى أن الانفتاح على إيران والعودة إلى الاتفاق النووي، وأن إنهاء المشاحنات بين عملاء بلاده في تركيا ومصر والسعودية قد يوجد نوعاً من التوازن في المنطقة. كما أن إدارة بايدن تحاول تقليل الاشتغال بالشرق الأوسط كي تتفرغ للشرق الأقصى حيث جعلت احتواء الصين أولوية لها. والجدير بالذكر هو أن أمريكا هي التي طلبت من الدول المقاطعة لقطر إنهاء تلك المقاطعة، مع أنها هي التي كانت وراءها؛ لأنها تريد إنهاء أزمات المنطقة أو تبريدها كي تتفرغ للصين. وقد فعّلت أمريكا دور تركيا أردوغان بشكل لافت مؤخرا، ولم يتردد أردوغان عن تقديم الخدمات لها في سوريا والعراق وليبيا وأذربيجان والصومال والآن في أفغانستان بالتنسيق مع روسيا، وربما في اليمن. وطالما أن حكامنا هم تبع للغرب الكافر المستعمر فإن بلادنا ستبقى مسرحا لمشاريعه وسنبقى كرة يتقاذفها كيف يشاء.

===

نفاق المجتمع الدولي يجعل بوتين مجرما في أوكرانيا

وحمامة سلام في سوريا!

نشر موقع (فرانس 24، الجمعة، 25 شعبان 1444هـ، 2023/3/17م) خبراً جاء فيه: "كشف بيان صادر عن المحكمة الجنائية الدولية الجمعة إصدار مذكرة توقيف بحق الرئيس الروسي فلاديمير بوتين لـ"مسؤوليته في جرائم حرب" ارتكبت في أوكرانيا منذ بدايتها في شباط/فبراير 2022.

وحسب البيان فإن الدائرة التمهيدية الثانية في المحكمة الجنائية الدولية أصدرت مذكرات توقيف بحق شخصين في إطار الوضع في أوكرانيا هما فلاديمير فلاديميروفيتش بوتين وماريا أليكسييفنا لفوفا-بيلوفا، المفوضة الرئاسية لحقوق الطفل في روسيا.

الراية: بحسب نشرة أخبار يوم السبت 2023/3/18م من إذاعة حزب التحرير في ولاية سوريا فقد علق عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية سوريا الأستاذ ناصر شيخ عبد الحي على هذا الخبر بقوله: بوتين في أوكرانيا "مجرم حرب"، وهو في سوريا "حمامة سلام" و"مكافح للإرهاب"! وتابع الأستاذ عبد الحي في ما نشره على قناته الرسمية في تلغرام بالقول: مجتمع دولي منافق حاقد على الإسلام وثورة الشام، مذكرا: أن طائرات روسيا بدأت بصب حممها على أهل الشام في اليوم التالي للقاء رئيس أمريكا الأسبق باراك أوباما ببوتين في روسيا عام 2015م!

===

الوعد الذي نعمل من أجله

هو وعد من الله تعالى

إن تحقيق الوعد لا يتطلب منّا إﻻ إيماناً بالله وبكل ما أخبرنا به في كتابه، وعملاً صالحاً يتوافق مع ما وعدنا به، فنحن نصدّق قوله تعالى: ﴿وَنُرِيدُ أَن نَّمُنَّ عَلَى الَّذِينَ اسْتُضْعِفُوا فِي الْأَرْضِ وَنَجْعَلَهُمْ أَئِمَّةً وَنَجْعَلَهُمُ الْوَارِثِينَ * وَنُمَكِّنَ لَهُمْ فِي الْأَرْضِ وَنُرِي فِرْعَوْنَ وَهَامَانَ وَجُنُودَهُمَا مِنْهُم مَّا كَانُوا يَحْذَرُونَ﴾، ونصدّق قول رسوله الكريم ﷺ: «لَيَبْلُغَنَّ هَذَا الْأَمْرُ مَا بَلَغَ اللَّيْلُ وَالنَّهَارُ، وَلَا يَتْرُكُ اللَّهُ بَيْتَ مَدَرٍ وَلَا وَبَرٍ إِلَّا أَدْخَلَهُ اللَّهُ هَذَا الدِّينَ، بِعِزِّ عَزِيزٍ أَوْ بِذُلِّ ذَلِيلٍ؛ عِزّاً يُعِزُّ اللَّهُ بِهِ الْإِسْلَامَ، وَذُلّاً يُذِلُّ اللَّهُ بِهِ الْكُفْرَ»، ويقول ﷺ: «ثُمَّ تَكُونُ خِلَافَةً عَلَى مِنْهَاجِ النُّبُوَّةِ» هذه الأدلة وغيرها الكثير ذكرت وعد الله لنا بالتمكين، وكم من الحضارات والأمم التي حاربت الحق أزالها الله ودمر عروش حكامها، ومكن للمستضعفين واستخلفهم في الأرض، فأين عاد وإرم ذات العماد؟ وأين ثمود الذين جابوا الصخر بالواد؟ وأين فرعون وهامان؟ وأين السلاطين التي كانت تجوب الأرض طوﻻً وعرضاً؟ ألم يهلكهم الله ويمكن للمستضعفين في الأرض من بعدهم؟

ومن هي أمريكا والغرب أمام تلك الشعوب والأمم؟! بإذن الله ما هي إلا برهة من الزمن وسترانا الدنيا بأسرها نصول ونجول في بلادهم وديارهم لنقتص من كل من آذى المسلمين، وسترى البشرية جمعاء راية العزة والرحمة ترفرف خفاقة فوق عواصمهم بعد أن نخضعها لحكم الإسلام.

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </