جريدة الراية:  متفرقات الراية – العدد 443
May 16, 2023

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 443

Al Raya sahafa

2023-05-17

جريدة الراية:  متفرقات الراية – العدد 443

يا جيوش المسلمين: أنتم القادرون على حماية أهل غزة وكل فلسطين من عدوان يهود، وأنتم القادرون على تحرير مسرى رسول الله ﷺ. وإن أهلكم في الأرض المباركة يستنصرونكم لحمايتهم والذود عنهم؛ لأنكم القادرون على ذلك، فهل أنتم مجيبون؟! هل أنتم ملبون؟! ﴿قَاتِلُوهُمْ يُعَذِّبْهُمُ اللهُ بِأَيْدِيكُمْ وَيُخْزِهِمْ وَيَنصُرْكُمْ عَلَيْهِمْ وَيَشْفِ صُدُورَ قَوْمٍ مُّؤْمِنِينَ * وَيُذْهِبْ غَيْظَ قُلُوبِهِمْ وَيَتُوبُ اللهُ عَلَى مَن يَشَاء وَاللهُ عَلِيمٌ حَكِيمٌ﴾.

===

الحوثيون يواصلون اعتقالاتهم

لشباب حزب التحرير

اعتقلت سلطات الحوثيين يوم السبت 16 شوال 1444هـ، الموافق 2023/5/6م عضو حزب التحرير المهندس شفيق خميس من أمام منزله في العاصمة صنعاء، بدون أي تهمة سوى انتمائه إلى حزب التحرير الذي يعمل لاستئناف الحياة الإسلامية بعد غيابها من واقع حياة المسلمين، فقد أصبح المسلمون اليوم شذر مذر، وتسلط عليهم حكام عملاء للغرب فساموهم سوء العذاب وطبقوا عليهم الأنظمة العلمانية.

وأفاد بيان صحفي صادر عن المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية اليمن أن: سلطات الحوثيين تعلن بذلك استمرارها في الحرب على الدعوة الإسلامية وحملتها من شباب الحزب، حيث سبق اختطاف الأخ عبد الله القاضي في 27 رمضان 1444هـ الموافق 2023/4/18م ولا يزالان معتقليْن لديهم حتى اللحظة. لقد أصبحنا في واقع يكرم فيه العملاء وأعداء الأمة الإسلامية وشذاذ الفكر والسلوك ويسجن فيه الأخيار!

وأضاف البيان: إن حزب التحرير معروف غير مجهول فقد تأسس سنة 1372هـ - 1953م في القدس على يد الشيخ تقي الدين النبهاني رحمه الله وكان أميره الأول، وأميره الحالي هو العالم الجليل عطاء بن خليل أبو الرشتة. إن غاية الحزب هي استئناف الحياة الإسلامية، بإقامة دولة الخلافة على منهاج النبوة، حتى يعود الحكم بما أنزل الله، وطريقة السير في حمل الدعوة هي أحكام شرعية، مأخوذة من طريقة سير الرسول ﷺ في حمله الدعوة لأنه واجب الاتباع، فالحزب لا يتبنى العمل المادي في طريقة سيره، وهو يهدف إلى إنهاض الأمة النهضة الصحيحة، بالفكر المستنير، ويسعى إلى أن يعيدها إلى سابق عزّها ومجدها، بحيث تنتزع زمام المبادرة من الدول والأمم والشعوب، وتعود الدولة الأولى في العالم، كما كانت في السابق، تسوسه وفق أحكام الإسلام. وقد سطر الحزب منهجه وتصوره للدولة في كتب نفيسة وهو يعرضها للأمة ليل نهار مباشرة وموجودة على مواقعه في الإنترنت.

وتابع البيان: لقد كان شباب حزب التحرير والحوثيون في سجن واحد أيام حكم الهالك علي صالح، واليوم يمارس الحوثيون الظلم نفسه الذي مارسه الحكام السابقون! ومصير كل طاغية ظالم خزي في الدنيا والآخرة. فعلى سلطات الحوثيين الذين يدّعون بأنهم مسيرة قرآنية قطع دابر أنظمة وقوانين الكفر من البلاد وليس اعتقال شباب حزب التحرير!

وختم البيان: إننا نؤكد أننا جزء لا يتجزأ من هذه الأمة العظيمة، نعمل في هذا البلد وفي أكثر من 40 بلداً حول العالم، وإن الاعتقالات والسجون والمضايقات لن تثنينا عن المضي قدماً في كشف خطط المستعمرين في بلاد المسلمين بما فيها أرض اليمن، ونحن مستمرون في طريقنا لتحقيق الغاية وفضح جميع الحكّام القائمين على هذه الأنظمة طالما لا يحكمون بشرع الله وإن تغنوا به، ومكافحتهم ببيان بُعْدهم عن تطبيق الشرع، وتقصيرهم في رعاية شؤون النّاس، وسيظل الحزب الرائد الذي لا يكذب أهله، والحارس الأمين على الإسلام، لذلك فإننا ندعو المخلصين للعمل معنا لنحظى بعز الدنيا ونعيم الآخرة، قال تعالى: ﴿وَعَدَ اللهُ الَّذِينَ آمَنُوا مِنْكُمْ وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَيَسْتَخْلِفَنَّهُمْ فِي الأَرْضِ كَمَا اسْتَخْلَفَ الَّذِينَ مِنْ قَبْلِهِمْ وَلَيُمَكِّنَنَّ لَهُمْ دِينَهُمُ الَّذِي ارْتَضَى لَهُمْ وَلَيُبَدِّلَنَّهُمْ مِنْ بَعْدِ خَوْفِهِمْ أَمْناً يَعْبُدُونَنِي لا يُشْرِكُونَ بِي شَيْئاً وَمَنْ كَفَرَ بَعْدَ ذَلِكَ فَأُولَئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ﴾.

===

هيئة تحرير الشام تواصل تغولها على شباب حزب التحرير

والفعاليات الشعبية الرافضة لممارساتها متواصلة

أفاد تصريح صحفي للمكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية سوريا، بقيام مخابرات هيئة تحرير الشام يوم الجمعة الماضي، باختطاف الشابين سامر عيد وإبراهيم أبو دجانة وكلاهما من مدينة أريحا، وذلك خلال عودتهما من مدينة إدلب، وكذلك اختطاف المهندس رضوان الخولي السبت؛ أثناء مداهمة منزله في مدينة إدلب. يُذكر أنه ليست هذه هي المرة الأولى التي يتم فيها خطف ثلاثتهم، فسامر عيد اختطفته مخابرات الهيئة مرتين وتُعتبر هذه الثالثة، وكذلك يُعد هذا هو الاختطاف الثاني لإبراهيم أبو دجانة ورضوان الخولي وهو من مهجري الغوطة الذين رفضوا مصالحة نظام أسد. وختم التصريح بالقول: إن هذه الأفعال وغيرها لن تُثني بإذن الله حملة الدعوة عن متابعة سيرهم في قول الحق والأمر بالمعروف والنهي عن المنكر، وعن الوقوف بوجه المؤامرات التي يُسعى لتمريرها على أهل الثورة. ولقد ظهرت حقيقة مخابرات الهيئة، وأصبح واجبا على المجاهدين الصادقين من أبنائنا وإخوتنا التمايز عنها، حتى لا ينالهم وزر هذا الظلم والبغي، فإن يوم الحساب قريب والظلم ظلمات يوم القيامة.

من ناحية أخرى شهدت مدن وبلدات متفرقة في الشمال المحرر مظاهرات رافضة لعمليات الاعتقال التي نفذتها هيئة تحرير الشام في إدلب مؤخراً، ولتطبيع الدول مع نظام الإجرام. وخرج المتظاهرون عقب صلاة الجمعة، إلى الشوارع والساحات في مدن إعزاز وكفرة وصوران والأتارب ودارة عزة وبابكة والسحارة بريف حلب وأحد مساجد إدلب المدينة وبلدات كفر تخاريم وكللي وعرب سعيد ومخيمات أطمة في ريف إدلب. وتداولت صفحات محلية وناشطون تسجيلات مصورة للمظاهرات التي شهدتها البلدات والقرى، حملت مطالب الإفراج عن المعتقلين في سجون تحرير الشام، ورفض سياسة الاعتقالات التعسفية التي تنفذها، بالتزامن مع حملة تطبيع خارجية لإعادة الشرعية للنظام المجرم.

===

حزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين

يعقد لقاءً حول خطورة اتفاقية وقانون حماية الطفل!

عقد حزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين في مدينة الخليل لقاء مهما حول اتفاقية حماية الطفل التي وقعت عليها السلطة وتم نشر اللائحة التنفيذية لها في الجريدة الرسمية تمهيدا لمواءمة القوانين وإصدارها وفق الاتفاقية. وكان اللقاء بحضور حشد من الوجهاء والأكاديميين والمحامين والمعلمين والأطباء والمهندسين والسياسيين والنقابات والمؤسسات وشخصيات مؤثرة في البلد وبمشاركة لافتة من النساء في مجالات علمية وتربوية متنوعة.

وقد استعرض الدكتور إبراهيم التميمي، عضو المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين، واقع هذه الاتفاقية وأبرز البنود التي فيها وأن الغاية من هذه الاتفاقية ليست حماية الأطفال وإنما تدمير الأسرة وسرقة الأبناء ونشر الشذوذ والإلحاد وإلغاء دور الأب والأم في التربية وإنشاء الشخصية الإسلامية وتحويلهم إلى مقدمي خدمات، وجعل المدارس بيئة للمواد الجنسية والاختلاط مع نشر وتوفير وسائل منع الحمل وذلك لتشجيع الطلاب على الزنا وتشجيع الفتيات على ذلك بتأمين عمليات الإجهاض الآمنة في حال حصول الحمل.

وبين التميمي كيف أن هذه الاتفاقية تتصادم مع الأحكام الشرعية ولا تقيم وزنا لأي قيم في المجتمع وأنها تعترف فقط بالقوانين والاتفاقيات الدولية كمرجعية في تعريف الطفل ومصلحته الفضلى والجهة المسؤولة عنه وكيف أن الجمعيات المسؤولة عن تفعيل هذه الاتفاقية بدأت تمارس أعمالها القذرة في الأرض المباركة وأنها كاذبة في ادعائها الحرص على الأطفال.

وتم عرض فيديوهات تظهر مدى إجرام الغرب ومؤسساته النسوية والأسرية بحق أطفال المسلمين في السويد وألمانيا وغيرهما من الدول حيث تسلطت عليهم وانتزعتهم من أسرهم بسطوة القانون وتحت ذرائع ساقطة بل مخزية في بعض الأحيان ووضعتهم في ملاجئ قذرة أو سلمتهم للشواذ.

وقد ألقت إحدى النساء كلمة حول ضرورة التصدي لهذا الخطر الذي لا يختلف اثنان من العقلاء على خطورته وفساده بكل المقاييس الفكرية والشرعية بل وحتى مقاييس الذوق الإنساني السليم، وبينت أن نساء الأرض المباركة يستصرخن الرجال الرجال أن يقفوا وقفة ترضي الله ورسوله في وجه هذه الاتفاقية وأن يدقوا ناقوس الخطر أمام هذا الإعصار الذي يجتاح بيوتنا ويشتت شملنا ويدمر مفهوم العائلة والأسرة والعلاقات بين أبنائها خاصة بعد توقيع السلطة على هذه الاتفاقية.

وقد تفاعل الحضور الكريم مع الطرح وأجمعوا على ضرورة التصدي لهذا الخطر، وأنه يجب على الجميع من أحزاب وتنظيمات ومؤسسات وعامة الناس والعشائر العمل بكل الطرق والأساليب الممكنة لوقف تطبيق هذه الاتفاقية الخبيثة والخطرة وجعل السلطة تتراجع عن تنفيذها، وأن السكوت على هذا الأمر فيه ضياع للمجتمع والأسرة والقيم.

===

الجيش اللبناني يعتقل سبعة لاجئين

ويسلمهم لمخابرات نظام أسد

وفقا لنشرة أخبار السبت 2023/5/13م من إذاعة حزب التحرير في ولاية سوريا، لم يمض يوم على حملة الجيش اللبناني التي اعتقل فيها نحو 200 لاجئ سوري بينهم عائلات بأكملها ونساء وأطفال بهدف ترحيلهم إلى سوريا، حتى كشفت وسائل إعلام عربية أن الأمن اللبناني قام أيضاً باعتقال وتسليم سبعة لاجئين لمخابرات نظام أسد بينهم عنصر منشق عن الجيش. وبحسب صحيفة القدس العربي فقد جرى تسليم المعتقلين عبر معبر المصنع على الحدود السورية اللبنانية، مضيفة أن اثنين منهم تم اعتقالهما في مطار بيروت أثناء محاولتهما السفر للخارج بعد أن تمكنا من استصدار جواز سفر لهما عقب دخولهما لبنان بشكل غير نظامي. وبينت الصحيفة وفق شهود أن حملة الاعتقالات تواصلت في منطقة البقاع الغربي، كما أنها تمت دون مراعاة حرمة المنازل وفي وقت متأخر من ساعات الليل، حيث هدف خلالها الجيش لتوقيف السوريين غير المسجّلين لدى مفوضية اللاجئين والذين لا يمتلكون إقامات.

===

المزج بين الإسلام والديمقراطية

كالمزج بين الشَّهد والخمر!

إن أية محاولة لمزج الديمقراطية بالإسلام هي محاولة فاشلة ولن تنجح أبداً، فالديمقراطية ليست التشارك في آلية الانتخابات كما يزعم هؤلاء، بل هي نظام حكم وخضوع لغير الله، ومحاولة المزج بين الإسلام والديمقراطية هي محاولة سطحية كمحاولة مزج الخمر بالعصير!

أما اعتبارهم الشورى كأنها النظير للديمقراطية، فهذه قفزة فوق ذلك المفهوم الإسلامي ومدّه خارج حدوده المصورة فقط في بيان رأي للخليفة حول مسألة عملية لا حول قضية تشريعية، وأي تشبيه للشورى بالديمقراطية هو حصر خاطئ للديمقراطية في مجرد التعبير عن الرأي وتناسي مفهومها الأساس بأنه "حكم الشعب للشعب بالشعب" أي تشريع بشري بنظام بشري لحكم الشعب، فالديمقراطية نظام حكم متكامل في حين إن الشورى حكم شرعي في ظل نظام الإسلام؛ الخلافة.

إذاً فكل محاولات "الإسلام المعتدل" للتجمل بالديمقراطية أثناء حالة المغازلة مع الغرب لقبول أصحابها في اللعبة الديمقراطية هو تجاوز فكري وسياسي، وقفز على معطيات العقل والشريعة معا في فهم الإسلام وفي الحكم على طبيعة الديمقراطية الغربية، وهو انتحار سياسي وفشل ذريع.

إنا لنرجو من إخواننا في الحركات الإسلامية أن ينقوا أفكارهم من حضارة الغرب ورجسها، وأن يجعلوا من استئناف الحياة الإسلامية بإقامة الخلافة الراشدة على منهاج النبوة هدفاً لها، يصلون إليه بالسير على خطا النبي ﷺ، أول من أقام دولة على أساس الإسلام، وذلك هو الفوز العظيم.

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </