جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 452
July 18, 2023

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 452

Al Raya sahafa

2023-07-19

جريدة الراية: متفرقات الراية – العدد 452

إننا في جريدة الراية إذ نتقدم من أمتنا الإسلامية بأحر التهاني والتبريكات بمناسبة دخول العام الهجري الجديد، سائلين الله أن يجعله فاتحة خير عليها؛ فإننا أيضا نذكرها بواقعها المأساوي الذي تعيشه وقد تكالب عليها الأعداء من كل حدَب وصوب، وتداعت عليها الأمم كما تداعى الأكلة إلى قصعتها، وتآمر عليها حكامها العملاء الخائنون، فنطالبها بأن تعمل معنا لإسقاط حكام الضرار وإقامة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة، فتعود سيرتها الأولى خير أمة أخرجت للناس.

===

السلطة وكيان يهود

في عداوة أهل فلسطين سواء!

ذكرت قناة الجزيرة، تحت عنوان "اتفاق بين (إسرائيل) والسلطة الفلسطينية على وقف العمليات العسكرية في جنين" نقلا عن القناة 14 العبرية المحسوبة على اليمين، قولها إن حكومة بنيامين نتنياهو أصدرت تعليماتها للجيش وجهاز المخابرات "الشاباك" بتجميد العمليات العسكرية في منطقة جنين بالضفة الغربية المحتلة، وقالت إن ذلك جاء بعد حوار جرى في الآونة الأخيرة بين كيان يهود والسلطة الفلسطينية، تم الاتفاق خلاله على تجميد كيان يهود عملياته العسكرية في أقرب وقت، وأضافت تلك القناة أنه تم الاتفاق على أن تقتصر عمليات كيان يهود على من تسميهم "القنبلة الموقوتة"، وذلك من أجل منح أجهزة الأمن الفلسطينية فرصة لاستعادة سيطرتها التي فقدتها على منطقة جنين.

من جهته عقب المكتب الإعلامي لحزب التحرير في الأرض المباركة فلسطين على هذا الخبر بتعليق صحفي نشره على مواقعه مفاده: أن الأخبار مثلها مثل الأحداث لا تزال تؤكد أن موقف السلطة الفلسطينية في العلاقة بين كيان يهود وأهل فلسطين لا يتمثل فقط في عجزها الذي تتستر خلفه، وإن كان مخزيا، وانعدام حضورها أو جدواها في الدفاع عن أهل فلسطين، بل ويتمثل كذلك في انخراطها في ما يحاك أو يمارس ضدهم مما يقوم به الكيان الغاصب، بحيث إن ما تسكت عنه السلطة يفضحه كيان يهود، وبحيث إن قمم العقبة وشرم الشيخ، وما ترتب عليها من خطط أمنية ومن زيارات الجنرالات الأمريكان وما رشح منها من قرارات وخطط لتصفيات بؤر المجاهدين في جنين ونابلس وغيرهما، كانت السلطة حاضرة فيها وطرفا من أطرافها، وإن مما يدعم هذه الحقائق ما بات يذكر صباحا ومساء على لسان قادة يهود من أقوال عن دعمهم السلطة حتى لا تنهار، وعن أهمية السلطة لكيانهم المسخ ومصلحتهم فيها، وتقاريرهم التي تتكلم عن الضرورات والمتطلبات لتمكين السلطة وترميم نفوذها المهترئ، بحيث يبدو الأمر في حقيقته وكأن ما حصل في جنين في الفترة الماضية عمليات لغرض مزدوج.

وأضاف التعليق الصحفي: إن ما جاء في الخبر المذكور أعلاه يؤكد السياق السابق، حيث إن الاتفاق على الوقف أو التجميد مع إبقاء استهداف المجاهدين أو ما أسموه بـ"القنابل الموقوتة" ليشير إلى أن العلاقة هي شراكة في إدارة التصفية والحرب على أهل فلسطين، أو أقله الإقرار والرضا والسكوت، والحاصل أن مشروع السلطة منذ اتفاق أوسلو قبل عشرات السنين لم يتطور إلا ليكون تكميليا لمشروع كيان يهود البغيض، وفي الوقت الذي ينتهك فيه أهل فلسطين ويقتلون، يستمر التمدد والانتفاخ السرطاني لكيان يهود، بالغطرسة والاستيطان، وكأنه ليس للسلطة دور أو وظيفة سوى إحكام القبضة على أهل فلسطين، وغل أيديهم، بحيث لا تخلي بينهم وبين عدوهم لمناجزته، ولكنها بالمقابل تخلي بين عدوهم وبينهم ليمارس إجرامه عليهم.

وتابع التعليق: إن أهل فلسطين، وقد بات ما يسمى بـ"المشروع الوطني" للسلطة الفلسطينية خادما للمشروع المشؤوم المسمى بكيان يهود، لا خلاص لهم إلا بإرجاع قضيتهم لحضن أمتهم واستنصار جيوشها للتحرك للإطاحة بعروش حكام المسلمين العملاء الخائنين وإقامة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة، التي تنخرط فيها الأمة وجيوشها وقواها الحية لاجتثاث كيان يهود الغاصب وكل ما يرتبط به.

===

الله أكبر من يهود وأمريكا

ومن العملاء حكام المسلمين

الله أكبر من يهود وإفسادهم وعدوانهم... الله أكبر من أمريكا وغطرستها... الله أكبر من حكام المسلمين العملاء وتخاذلهم وخيانتهم.

الله أكبر... في الأيام المباركة تسفك دماؤنا وتدمر بيوتنا، وحكام الخزي والعار يطلقون تصريحات الشجب والاستنكار.

الله أكبر... متى تتحرك حمية الرجال في جيوش المسلمين فنرى جحافلهم تكبر في باحات المسجد الأقصى؟!

الله أكبر... أليس جيش مصر قادراً في ساعة من نهار على استئصال كيان يهود من جذوره؟! أليس جيش الأردن قادراً على سحق كيان يهود وإزالته من الوجود؟!... أليست جيوش تركيا وباكستان قادرة على تحرير بيت المقدس وتحقيق وعد الله وبشرى رسوله؟!

الله أكبر... أما تاقت نفوسهم للجهاد في سبيل الله والشهادة على الأرض المباركة؟!

يا أمتنا الإسلامية: إن كان أهل فلسطين هم رأس الحربة فهل ترضى الأمة الحية بأن تكسر حربتها؟! وإن كان أبطال جنين هم أبناءكم فهل تخذل الأمة أبناءها الأبطال؟! أليس الخذلان عاقبته الخذلان من الله؟! قال رسول الله ﷺ «مَا مِنَ امْرِئٍ يَخْذُلُ مُسْلِماً فِي مَوْطِنٍ يُنْتَقَصُ فِيهِ مِنْ عِرْضِهِ وَيُنْتَهَكُ فِيهِ مِنْ حُرْمَتِهِ إِلَّا خَذَلَهُ اللهُ فِي مَوْطِنٍ يُحِبُّ فِيهِ نُصْرَتَهُ وَمَا مِنْ أَحَدٍ يَنْصُرُ مُسْلِماً فِي مَوْطِنٍ يُنْتَقَصُ فِيهِ مِنْ عِرْضِهِ وَيُنْتَهَكُ فِيهِ مِنْ حُرْمَتِهِ إِلَّا نَصَرَهُ اللهُ فِي مَوْطِنٍ يُحِبُّ فِيهِ نُصْرَتَهُ» فهل تتركون أقصاكم ومسراكم، وأبناءكم وإخوانكم في الدين والعقيدة تحت قصف كيان يهود وإجرامهم وبطشهم وأنتم تنظرون؟!

===

مخابرات الجولاني تختطف أحد شباب حزب التحرير

وتضرب زوجته وابنه البالغ من العمر سنة ونصف

أكد تصريح صحفي للمكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية سوريا، أن جهاز مخابرات ما يسمى هيئة تحرير الشام أقدم الخميس 2023/7/13م، على اختطاف الشاب نور الدين الحوراني وذلك في منطقة سلقين بريف إدلب بعد أن ضربوه بشكل تشبيحي. وأضاف التصريح: لم يتوقف الأمر هنا بل ضربوا زوجته فأُغمي عليها من الضرب في الشارع، ثم ضربوا ابنه البالغ من العمر سنة ونصف السنة، في سابقة لم ترتكبها قبلهم إلا شبيحة المجرم بشار، ويأتي ذلك بعد التهجم على النساء في أريحا، واقتحام البيوت على النسوة في كللي ثم يأتي هذا الفعل ليكون حلقة من سلسلة جديدة من الأفعال القذرة التي تُمارس ضد حملة الدعوة وأهلهم. ويُعد هذا الاختطاف لنور الدين هو الثاني وذلك بعد أن تم اختطافه عام 2019 بعد اتفاق سوتشي بتسليم مناطق ريف إدلب الجنوبي والجنوبي الشرقي، حيث تم اختطافه وهو عائد من نقطة رباطه. وختم التصريح مؤكدا: إن هذه الأفعال القذرة والمدروسة التي يقوم بها جهاز المخابرات إنما تعكس حجم المؤامرة التي تنوي الهيئة تمريرها ليرضى عنها المعلم. وإن ما يُمارس اليوم على حملة الدعوة لهو أذان من الله أن ساعة النصر قد اقتربت، وأن نهاية العملاء قد أزفت وحينها سيعلم الذين ظلموا أي منقلب ينقلبون.

===

في جمعة "الفزعة للحرائر" تواصل المظاهرات الشعبية

ضد انتهاكات مخابرات هيئة تحرير الشام

وفقا لنشرة أخبار الجمعة 2023/7/14م من إذاعة حزب التحرير في ولاية سوريا فقد تواصلت يوم الجمعة، الفعاليات الشعبية المستمرة، ضد انتهاكات مخابرات هيئة تحرير الشام، وأعمالها القمعية بحق المدنيين والناشطين في ريفي حلب وإدلب. حيث خرجت بعد صلاة الجمعة مظاهرات في مدن وبلدات السحارة والباب وإعزاز وصوران وكفرة، ومخيم ريف حلب الجنوبي وذلك في جمعة أطلق عليها الناشطون (جمعة الفزعة للحرائر). في حين خرجت الخميس مظاهرات مسائية في 13 مدينة وبلدة بريفي إدلب وحلب، وطالب المتظاهرون بإطلاق المعتقلين، وفتح الجبهات، واستعادة قرار الثورة، كما أكدوا أن الاعتداء على الحرائر خط أحمر ولعب بالنار. وكانت خرجت الخميس مظاهرات للحرائر في بلدة السحارة بريف حلب وأطمة بريف إدلب، كما أصدرت حرائر بلدة دير حسان وحرائر بلدة كفرة بيانات منفصلة أكدن فيها تضامنهن مع حرائر بلدتي كللي وأريحا اللواتي تعرضن لاعتداءات من مخابرات هيئة تحرير الشام. كما أصدر مجلس شورى تجمع العوائل في دير حسان، وكذلك جمع من أهالي وثوار بلدة كفر تعال بيانات منفصلة أدانوا فيها الأفعال التشبيحية لمخابرات الهيئة وتطاولها على حرائر الثورة، في خطوات لم يسبقهم إليها إلا نظام الإجرام الأسدي.

===

إلى أهل السودان وعلماء المسلمين

إلى المخلصين في جيش السودان وقوات الدعم السريع

يا أهلنا في السودان: أما تساءلتم من المستفيد من هذه الاشتباكات الدائرة على أرضكم، ومن يؤجّج نيرانها، ولماذا؟! من وراء من ينادي بالانفصال وتمزيق السودان وجعله فريسة سهلة لأعدائه؟! ألم تتنبّهوا لتدخل الدول الاستعمارية وسفاراتها ومنظماتها وجمعياتها لتحصد من وراء ذلك المكاسب وتنفّذ أجنداتها حتى تضعف البلاد وتحكم القبضة على العباد؟!

يا علماء المسلمين: أين أنتم مما يحدث لأبنائكم وأطفالكم ونسائكم في ظل هذه الاشتباكات؟! أين أنتم والقتال بين إخوتكم مستمر وأنتم صامتون لا تنهون عن هذا المنكر ولا تبينون حرمته؟!

أيها المخلصون في الجيش السوداني وقوات الدعم السريع: أليس فيكم رجل رشيد يصحح المسار ليحمل أهله في السودان إلى بر الأمان؟! أليس فيكم من يذود عنهم ويحميهم ويرفع عاليا راية الحكم بما أنزل الله فيلتف حوله العاملون وينصره رب العالمين؟!

يا أهلنا في السودان: إننا ندعوكم للذود عن حرماتكم وأعراضكم؛ وذلك بالعمل فورا مع حزب التحرير الرائد الذي لا يكذب أهله لتحكيم شرع ربكم بإقامة دولة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة، فتفوزوا بعز الدنيا والآخرة.

===

مشكلة المرأة الحقيقية

تكمن في النظام الرأسمالي المطبق عليها

لقد توهم الغرب أن مشكلة المرأة تكمن في عدم إتاحة المساواة في فرص العمل بينها وبين الرجل، وفي حريتها المطلقة لتتاح لها الفرصة في الاستقلال عن الرجل، ما أوجد تصادماً لم يقد أبداً إلى وئام، فكان نتاج تحرر واستقلال المرأة هو دفع المجتمع إلى الضياع، ليصبح مجتمعاً مفكك الأوصال لا يجمع بين أفراده جامع، يسير دون هوادة نحو المجهول بعيداً عن الأخلاق والقيم، وأصبحت المرأة هي الإنسان الآلة؛ لا تشعر بأمن ولا سعادة بل برغبات تحقق بعيداً عن هدف قيمي يضمن حياة رحيمة سليمة لها، واستخدمت المرأة كوسيلة في وسائل إعلام يحركها وحوش هدفهم تحقيق المصالح الآنية الدنيوية دون حساب لأي هدف آخر مهما كان نبيلاً.

لا بد من تغيير الواقع الذي نعيشه تغييراً جذرياً لا أن نجعل منا أداة لتكريس امتهان النساء، وليس مقبولا رمي كل المسؤولية على عاتق الواقع المتردي والمتأزم ﴿إِنَّ اللهَ لَا يُغَيِّرُ مَا بِقَوْمٍ حَتَّى يُغَيِّرُوا مَا بِأَنْفُسِهِمْ﴾. ولا بد من العمل الجاد لإعادة سلطان الإسلام الذي يعطي المرأة قيمها الذاتية التي هي قوام حياة العزة والأنفة والكبرياء؛ بتطبيق أحكام الشرع التي تعطي الوجود الإنساني للمرأة حقه في الحياة الكريمة المتميزة.

===

سعد بن معاذ سيد الأنصار الأوائل

فمن هو سيد الأنصار اليوم؟!

أيها المخلصون في جيوش المسلمين، يا أهل نصرتنا: إنكم تعلمون أن حكامكم يريدون أن يسودوا بباطلهم ويعمهوا في طغيانهم، ويريدون لكم أن تلحقوا بركبهم وتحموا باطلهم، لكن الله تعالى يريدكم أن تنزعوا الحكم منهم وتسلّموه للعاملين لإقامة الخلافة على منهاج النبوة. إن هؤلاء الحكام يعلمون أن منكم الذين يعتزّون بدينهم، ومن يسخط عليهم بسبب مواقفهم المخزية، وأن بينكم من تهتز مشاعره لما تتجرعه الأمة من أعدائها، ويتألم لآلامها؛ لذلك يَحذَرونكم ويبعدونكم ويراقبونكم ويسرحونكم وينقلونكم ويستجوبونكم، ويقدّمون الضابط المجرم الخسيس ويبعدون المستقيم النبيل؛ ليشلّوا أيديكم عن التغيير، والله تعالى يريد أن تطيحوا بهم وتريحوا الأمة من شرورهم، يريدكم الله حُماةً لهذا الدين، فلات ساعة تردد ولات ساعة احتيار، بل ساعة انتصاف للأمة وانتصار للدين.

ولقد توطأت السبل لكم حتى بات مطلب الأمة تغيير الحكام، وتوطأت السبل لكم حتى بات أخشى ما يخشاه الحكام نقمة الناس عليهم، وتوطأت السبل حتى كسرت شوكة المحتلين الأمريكيين والأوروبيين ويهود على صخرة المجاهدين، لقد توطأت السبل وتنتظر سالكها بحق، فقدموا نصركم لله، فإن بشرى رسول الله بإقامة الخلافة الراشدة تنتظركم، فكونوا أنصارها، كونوا سعد الأمة، فإنه موجود بينكم فليتقدم، فالأمة متشوقة لتراه فيكم، لتراه يأخذ الحكم بالحق ليسلمه بأمانة لحزب التحرير لإقامة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة.

===

هل بعد خسارة المسلمين بهدم خلافتهم من خسارة؟!

ولما كانت عقيدة المسلمين في الاستخلاف هي إفراد العبودية لله وحده لا شريك له والتي تقتضي الطاعة لأمر الله بإقامة أحكام الإسلام وتنفيذها والتي أنيطت بالأمة ونائبها وهو الخليفة من أجل جعل الحياة وفق مراد الله وإلا فهي معرضة للضياع والاندثار لا سمح الله، لذلك نرى أن الكفار قد أدركوا هذا الخطر على وجودهم وحياتهم فتصدوا لهذه الدعوة منذ اليوم الأول وبشتى الوسائل لإنهاء دعوتهم ثم مقاتلتهم لإسقاط دولتهم ﴿وَلاَ يَزَالُونَ يُقَاتِلُونَكُمْ حَتَّىَ يَرُدُّوكُمْ عَن دِينِكُمْ إِنِ اسْتَطَاعُواْ﴾، فقد أقام الرسول الكريم صلى الله عليه وآله وسلم الدولة في المدينة المنورة وبين في وثيقة المدينة أن المسلمين أمة واحدة من دون الناس، فقامت هذه الأمة بحمل الإسلام بقوة فهماً وتطبيقا، فامتدت في مشارق الأرض ومغاربها، وعندها أدرك الغرب الكافر أن إسقاط هذه الدولة لا يتم إلا بإسقاط أحكامها، وإسقاط أحكامها بإسقاط خليفتها، فلا بد من إضعافها، وإضعافها بإضعاف تفكيرها وفهم عقيدتها، وهذا ما رأيناه؛ فإن هدم الخلافة سبقه ضعف الأمة الإسلامية فكريا بـ200 عام، ورغم قوة السلطان عبد الحميد الثاني رحمه الله الفردية ومحاولته الوقوف أمام هذا السقوط لكنها أسقطت عام 1924م فبدأ الانهيار في الأمة الإسلامية يزداد فكريا وسلوكيا، فتمزقت دولتها وانتهكت مقدساتها ونهبت خيراتها وتسلط عليها عدوها وتداعت عليها الأمم وأصبحت في وضع لا تحسد عليه، وأصبحنا تابعين أذلاء متفرقين بعد أن كنا سادة كراماً، فهل بعد هذه الخسارة خسارة؟!

===

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </