جواب سؤال: التوافق السعودي الإيراني
April 04, 2023

جواب سؤال: التوافق السعودي الإيراني

Al Raya sahafa

2023-04-05

جريدة الراية:

جواب سؤال

التوافق السعودي الإيراني

السؤال:

صدر بيان سعودي إيراني صيني مشترك يوم 2023/3/10 حول التوصل إلى اتفاق استئناف العلاقات بين السعودية وإيران وفتح السفارات خلال شهرين. ولتأكيد الاتفاق وجه الملك السعودي يوم 2023/3/19 دعوة للرئيس الإيراني لزيارة السعودية. وقد جرت المباحثات باستضافة ورعاية صينية. وكان الموقف الأمريكي من الاتفاق إيجابياً مرحباً به. بينما أظهر كيان يهود انزعاجاً شديداً منه، فلماذا قامت الصين بهذا الدور ومن الذي دفعها لذلك وما مصلحتها من ذلك؟ ولماذا لم تقم أمريكا نفسها بهذا الدور وهل هو ضد مصالحها أو أنه جرى لحسابها؟ ولماذا كل هذا الانزعاج من كيان يهود تجاه الاتفاق؟ وجزاكم الله خيرا.

الجواب:

لكي يتضح الجواب على التساؤلات أعلاه نستعرض الأمور التالية:

1- نشرت وكالة الأنباء السعودية (واس) يوم 2023/3/10 البيان المشترك الذي تم التوصل إليه بين السعودية وإيران فذكرت أن "الجانبين اتفقا على استئناف العلاقات الدبلوماسية بينهما وإعادة فتح سفارتيهما وممثلياتهما خلال مدة أقصاها شهران". واتفقا على "احترام سيادة الدول وعدم التدخل في شؤونها الداخلية وتفعيل التعاون الأمني الموقع بينهما عام 2001 وعلى تفعيل الاتفاقية العامة للتعاون في مجال الاقتصاد والتجارة والاستثمار والتقنية والعلوم والثقافة والرياضة والشباب الموقعة عام 1998. وتضمن الاتفاق عقد اجتماع وزيري الخارجية السعودي والإيراني لتفعيل تلك الخطوات وترتيب تبادل السفراء ومناقشة سبل تعزيز العلاقات بينهما".

كما جاء في البيان المشترك "توجه السعودية وإيران الشكر للعراق وعُمان على استضافة المحادثات بين الطرفين في عامي 2021-2022". ولتعزيز وتوثيق الاتفاق أعلن محمد جمشيدي المساعد السياسي للرئيس الإيراني في حسابه على موقع تويتر يوم 2023/3/19 أن ("الرئيس إبراهيم رئيسي تلقى دعوة من العاهل السعودي لزيارة المملكة"... "ورحب رئيسي بالدعوة"). وقال حسين عبد اللهيان وزير الخارجية الإيراني إنه ("خلال العشرة الأيام الماضية تبادلنا الرسائل عبر سويسرا، وإحدى تلك الرسائل أعلنت استعداد إيران لحضور اجتماع لوزراء الخارجية واقترحت ثلاثة أماكن لعقد الاجتماع" وأشار إلى الطريقة التي تم فيها التوصل إلى الاتفاق، فقال "إن طهران والرياض شاركتا في خمس جولات من المحادثات في العاصمة العراقية بغداد وثلاث جولات في العاصمة العمانية مسقط. ثم اتخذ الرئيس الصيني القرار بطرح مبادرة لدفع هذه العملية إلى الأمام، والتي أسفرت عن النتيجة التي تعرفونها" وسئل عن اليمن فقال: "نعتبره شأنا يخص الشعب اليمني، بالطبع كان التركيز على السلام في المنطقة جزءا من الاتفاقيات التي أبرمت بين إيران والرياض"... وكالة تسنيم الإيرانية، 2023/3/19). ومع ذلك فقد نقلت صحيفة وول ستريت عن مسؤولين أمريكيين وسعوديين قولهم ("إن إيران وافقت على وقف شحنات السلاح السرية إلى الحوثيين بموجب الاتفاق الذي توسطت فيه الصين"... بي بي سي، 2023/3/19). وكانت وكالة أنباء إيران الرسمية (إرنا) قد ذكرت يوم 2023/3/11 أن "المصالحة ستسرع وقف إطلاق النار وتساعد في بدء حوار وطني وتشكيل حكومة وطنية شاملة في اليمن" ثم قال وزير خارجية اليمن أحمد عوض بن مبارك ("نأمل أن يشكل اتفاق السعودية وإيران مرحلة جدية من العلاقات في المنطقة تنهي تدخلات طهران في شؤون دول المنطقة". موقع وزارة الخارجية اليمنية، 2023/3/17). وبذلك يتبين أن المباحثات قد نضجت في العراق وعُمان من قبل خلال السنتين 2021-2022، لكن التوقيع لم يحدث في أي من البلدين، بل كانت بكين هي مكان التوقيع!

2- وعليه فقد جاء في البيان المشترك أيضا "جرت في الفترة من 6 إلى 10 آذار 2023 في بكين مباحثات بين وفدي السعودية وإيران وذلك استجابة لمبادرة كريمة من الرئيس الصيني شي جين بينغ بدعم الصين لتطوير علاقات حسن الجوار بين السعودية وإيران، وإن الاتفاق جرى بناء على الاتفاق بين الرئيس شي وكل من قيادتي السعودية وإيران بأن تقوم الصين باستضافة ورعاية المباحثات بين السعودية وإيران رغبة منهما في حل الخلافات بالحوار والدبلوماسية". إذ تعتبر الصين كلا من السعودية وإيران الشريك التجاري الأول لها، حيث أقامت مع كل منهما شراكة استراتيجية شاملة حيث وقعت مثل هذه الاتفاقية مع السعودية في كانون الأول 2022 ووقعت مع إيران اتفاقية تعاون تجاري واستراتيجي عام 2020 مدتها 25 عاما. ومن هنا يمكن أن يتراءى للمرء أن للصين تأثيراً على البلدين وأنه يمكنها أن تفرض عليهما الاتفاقية. لكن الأمر ليس كذلك فالصين لا يوجد لها نفوذ ولا قوى في الشرق الأوسط، وليست لديها عراقة فيها وفي الوساطات الدولية وهي تقوم لأول مرة بوساطة بين دولتين في الشرق الأوسط. ويفهم من البيان أن السعودية وإيران هما اللتان طلبتا من الصين القيام بالوساطة بينهما (رغبة منهما في حل الخلافات بالحوار والدبلوماسية) كما ورد في البيان بشكل صريح! فالمحادثات بينهما كانت قد نضجت في السنتين الماضيتين منذ نيسان 2021 حيث استضافت العراق أولى الجولات من المحادثات بينهما على عهد رئيس وزراء العراق السابق مصطفى الكاظمي التابع لأمريكا والذي كانت له علاقات جيدة مع الطرفين. ثم استضافت عُمان جولات أخرى فكان من الممكن أن يعلن عن الاتفاق إما في العراق وإما في عُمان، لكنه حدث في الصين!

3- أما لماذا حدث ذلك فيبدو أن أمريكا عن طريق المخادعة قد أعطت الدور للصين لإتمام المصالحة والإعلان عن الاتفاق بعدما نضجت المحادثات في بغداد ومسقط للأسباب التالية:

أ- لأن أمريكا لا تقيم علاقات دبلوماسية مع إيران، وكذلك لا تريد أن تظهر كأنها راضية عن إيران بل تظهر كأنها في عداء معها، ولا تريد أن تُظهر أن إيران تسير في فلكها وتخدمها في سياسات عديدة كما اعترف المسؤولون الإيرانيون.

ب- وهي تريد أن تمنّ على الصين أنها جعلتها تقوم بعمل دولي فتتوهم الأخيرة أنها ستصبح دولة كبرى عالميا، ومن ثم تخدعها أمريكا بالاستخدام في مهمات معينة كما استخدمت روسيا في موضوع سوريا وغيرها من القضايا.

ج- الإيحاء للصين بأنها إذا أرادت أن تصبح دولة مؤثرة عالميا فعليها التفاهم والتعاون معها وليس مع روسيا، وتستخدم ذلك الإغراء سلاحا ضدها إذا أرادت أن تخالف سياساتها فتحرمها من التأثير الدولي وتحاصرها كما فعلت مع روسيا.

د- إن أمريكا كانت من وراء طلب السعودية وإيران من الصين أن ترعى هذا الاتفاق وتوقيعه، وذلك حتى لا تظهر أمريكا أنها تدير هذا الاتفاق مباشرة، بل تظهر الصين وراءه، وتريد أمريكا بذلك أن تصيب بحجر واحد هدفين:

الأول: إحباط خطة يهود بالتطبيع مع السعودية ومهاجمة إيران ومن ثم إحراج أمريكا لدعم اليهود بفعل اللوبي اليهودي الأمريكي في الوقت الذي فيه أمريكا مشغولة بالحرب الروسية الأوكرانية.

الثاني: إن إظهار الصين بأنها التي ترعى هذا الاتفاق وليس أمريكا سيمنع اللوبي اليهودي من الوقوف في وجه بايدن خلال انتخابات السنة القادمة، خاصة وأن هذا الاتفاق كان صفعة قوية لكيان يهود وسبب لها إزعاجاً، وهكذا تبدو أمريكا ليست وراء هذا الاتفاق، بل الصين! وهذا لا يوجد مبرراً للوبي اليهودي بإثارة تحركات انتخابية فاعلة ضد بايدن أو على الأقل بفاعلية منخفضة.

4- أما لماذا كيان يهود منزعج من الاتفاق فلأنه أفشل ما كان يخطط له هذا الكيان، فقد كان في هذه الأثناء رئيس وزراء كيان يهود نتنياهو يزور إيطاليا ويروج للتطبيع مع السعودية فيتفاجأ بالتطبيع السعودي الإيراني، فأسقط في يده ولم يستطع حتى الآن أن يدلي بأي تصريح حول الاتفاق فكان صفعة شديدة على وجهه، وامتنعت وزارة خارجيته عن التعليق على الاتفاق... واعتبر المحللون اليهود بأن التقارب السعودي الإيراني صفعة وضربة لـ(إسرائيل) واعتبروه معيقا للتطبيع بين كيان يهود والسعودية وهو رسالة لـ(إسرائيل) أنه لا يسمح لها بتوجيه ضربة لإيران. (تناولت الصحف ووسائل الإعلام الإسرائيلية الاتفاق السعودي الإيراني، حيث اعتبرته صفعة لإسرائيل وعقبة أمام تطلعات رئيس الوزراء بنيامين نتنياهو المعلنة لتوسيع دائرة التطبيع... وسبق الإعلان الرسمي عن اتفاق - بوساطة صينية - يُمهّد لاستئناف العلاقات بين الرياض وطهران، تصريحات لنتنياهو من العاصمة الإيطالية روما كشف فيها عن عزمه مواصلة جهوده لتحقيق هدف حكومته بتطبيع العلاقات بين تل أبيب والرياض، وذلك عبر استحداث سكة الحجاز وربط حيفا والسعودية بمشروع القطار عبر الأردن... الجزيرة، 2023/3/13) وكانت حكومة نتنياهو تراهن على التطبيع مع السعودية وعلى شحن العداء ضد إيران ومواجهة إيران وتحرض على توجيه ضربة لها، وكانت أمريكا ترفض كل ذلك. وكانت زيارت المسؤولين الأمريكيين الأخيرة لكيان يهود تصب في هذه الخانة. وذلك بسبب "تمرد" حكومة نتنياهو على الإدارة الأمريكية بقيادة الديمقراطيين. وكان نتنياهو يَعُدّ التطبيع مع السعودية أكبر نجاح له ولحكومته، حيث يكون هذا التطبيع موافقة ضمنية من السعودية على ما يقوم به يهود في فلسطين وضد إيران. وقد فصلنا كل ذلك في جواب سؤال بتاريخ 2023/3/10 تحت عنوان "أهداف زيارات المسؤولين العسكريين الأمريكان رفيعي المستوى لكيان يهود".

وهكذا فإن هذا الاتفاق قد سبب إزعاجاً لنتنياهو وعدَّه أمراً سيئاً لكيانه (قال رئيس لجنة الشئون الخارجية والأمن في الكنيست يولي إد لشتاين: (إيران والسعودية اتفقتا الآن على تجديد العلاقات بينهما وهذا أمر سيئ للغاية لإسرائيل وللعالم الحر بأسره... الجزيرة، 2023/3/11). ولا شك أن نتنياهو يعلم في أعماقه أن أمريكا هي وراء هذا الاتفاق ولكنه كذلك يدرك أن كيانه لا تقوم له قائمة دون (حبل من الناس) وهذا الحبل هو أمريكا الآن ولذلك صمت! وكان يريد زيارة واشنطن لبحث هذه الأمور ومع ذلك قوبل بالرفض! وأفادت التقارير بأن نتنياهو يمارس هذه الضغوط على خلفية مقاطعة الرئيس الأمريكي بايدن له، ورفض دعوته حتى الآن إلى زيارة البيت الأبيض، وكذلك رفض طلبات نتنياهو المتكررة بزيارة واشنطن والتي قوبلت بالرفض دائما. (وأن بنيامين نتنياهو يعمل منذ أسابيع على ترتيب زيارة إلى واشنطن، لكي يحل ضيفاً على البيت الأبيض، إلا أن طلباته المتكررة قوبلت بالرفض... المصري اليوم، 2023/3/15)، بل إن أحد وزرائه عندما فقد أعصابه بعد تصريحات بايدن منتقداً التعديلات القضائية، فقال ذلك الوزير: "لسنا نجمة أخرى في علم الولايات المتحدة" عقَّب ديوان نتنياهو قائلاً: (أفاد ديوان رئيس الوزراء الإسرائيلي بأن بنيامين نتنياهو أوعز للوزراء في حكومته بعدم التعقيب على تصريحات الرئيس الأمريكي جو بايدن التي طالب فيها بالتخلي عن التعديلات القضائية... وأكد نتنياهو أن تحالف إسرائيل مع الولايات المتحدة راسخ لا يتزعزع. الجزيرة 2023/3/29)

وهكذا يتبين سبب انزعاج يهود من الاتفاق السعودي الإيراني ثم سبب صمت كيان يهود تجاه رفض بايدن لزيارته.

5- أما أمريكا فقد رحبت بالاتفاق. قالت المتحدثة باسم البيت الأبيض كارين جان بيير: ("نحن على دراية بالتقارير بشأن الاتفاق بين إيران والسعودية، وبشكل عام نحن نرحب بأي جهود للمساعدة في إنهاء الحرب في اليمن وتهدئة التوترات في منطقة الشرق الأوسط. وهذا هو أحد الأسباب التي دفعت الرئيس بايدن للسفر إلى المنطقة خلال الصيف الماضي لإجراء محادثات"

وأضافت "يعد خفض التصعيد والدبلوماسية جنبا إلى جنب مع الردع، وهي ركائز أساسية للسياسة التي وضعها الرئيس بايدن خلال زيارته في المنطقة في تموز الماضي. لذا فإن وقف تصعيد التوتر في الشرق الأوسط يمثل أولوية وهو يرحب بذلك"... سي إن إن الأمريكية، 2023/3/11). وقال جون كيربي منسق الاتصالات في مجلس الأمن القومي الأمريكي ("إن السعوديين أبلغوا واشنطن باتصالاتهم مع الإيرانيين لكن لم يكن للولايات المتحدة دور في الاتفاقية..." وقال "إن الناس لا يهتمون بتوسط الصين في الاتفاق خصوصا أنها وساطة في أزمة واحدة ويتماشى مع رغبة واشنطن في تهدئة الشرق الأوسط"... الخليج أونلاين، الجزيرة، 2023/3/11) وقول المسؤول الأمريكي إن أمريكا لم يكن لها دور في الاتفاقية يتناقض مع قوله إن أمريكا كانت على اتصال مع السعوديين وأن دور الصين يتماشى مع رغبة أمريكا في تهدئة الأوضاع! فأراد أن يغطي على الدور الأمريكي ولكنه كشف نفسه عندما تناقض في تصريحاته. وأكد مستشار الأمن القومي الأمريكي جيك سوليفان يوم 2023/3/14 أن (السعوديين كانوا على تواصل مستمر مع إدارة بايدن "خلال المحادثات والاتفاق مع إيران" وقال "إن واشنطن تعتبره اتفاقا إيجابيا لوقف التصعيد بالمنطقة وقد جاء بوساطة صينية لأن العلاقات الأمريكية الإيرانية ليست في وضع يسمح للأمريكيين بالتوسط لحل الخلاف"... الخليج أونلاين، 2023/3/16) وكذلك فقد نقلت قناة "العربية" السعودية يوم 2023/3/16 عن مسؤول سعودي "أن المملكة العربية السعودية أبلغت حلفاءها بما في ذلك الولايات المتحدة قبل التوقيع في بكين على الاتفاقية مع إيران"... يضاف لذلك ما نقلته الخليج أونلاين في 2023/3/17 وهي تنشر تصريحات المسؤولين الأمريكيين أن "أحاديث تدور في كواليس السياسة العراقية بأن الولايات المتحدة هي من دفعت الرياض لتسريع الاتفاق فعلا". بل إن هناك من الإيرانيين سياسيين ومطلعين وخبراء من يدرك اللعبة، فقد نقل موقع "ميدل إيست نيوز" الإيراني 2023/3/21 عن موقع "فرارو" الإيراني مقابلة أجراها الموقع مع مهدي مطهرنيا أستاذ العلوم السياسية والخبير في مجال السياسة الخارجية قوله: "إن تحركات الصين الأخيرة في إطار الوساطة بين إيران والسعودية مرتبط بمفهوم ملتقى القوى العالمية... وكمحلل لا يمكنني قبول فكرة أن الصينيين مثلا قد يتخذون خطوة فردية كهذه دون التنسيق مع الأعضاء الفعالين في ملتقى القوى العالمية بهدف خفض التصعيد بين إيران والسعودية". وهو يقصد بالأعضاء الفعالين أمريكا، إذ إنها الفعّال الأول في الساحة الدولية وهي المؤثر الرئيس في الشرق الأوسط.

وكل هذا يؤكد أن أمريكا هي التي أرادت هذا الاتفاق وأرادت أن تكون الصين هي الوسيط، وأنها وراء طلب إيران والسعودية من الصين رعاية الاتفاق والتوقيع.

6- وهكذا تتكشف دول المنطقة وتتعرى بسيرها ضمن السياسات المرسومة لها من قبل أمريكا التي تمسك بزمام الأمور فيها، فمتى طلبت من الموالين لها سواء التابعين أو الذين يسيرون في فلكها أن يتفاهموا ويحلوا الإشكاليات بينهم فإنهم يقومون بتنفيذها بالتمهيد لذلك بإجراء مفاوضات، وإذا طلبوا منهم عكس ذلك بالتنافر أو العدوان فعلوا وصنعوا له أسبابه. ولولا ذلك لما تمكنت أمريكا من أن تفعل شيئا في المنطقة. فطريق التخلص منها يأتي عن طريق إسقاط هذه الأنظمة، ومن ثم العمل على إقامة نظام يرضي الله ورسوله والمؤمنين، والذي يوحد المسلمين في دولة واحدة، ألا وهو نظام الخلافة على منهاج النبوة التي وعد الله سبحانه بها ﴿وَعَدَ اللَّهُ الَّذِينَ آمَنُوا مِنْكُمْ وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَيَسْتَخْلِفَنَّهُمْ فِي الْأَرْضِ كَمَا اسْتَخْلَفَ الَّذِينَ مِنْ قَبْلِهِمْ ﴾ وبشر بها رسول الله ﷺ «ثُمَّ تَكُونُ خِلَافَةً عَلَى مِنْهَاجِ النُّبُوَّةِ» ثُمَّ سَكَتَ. أخرجه أحمد.

العاشر من رمضان 1444هـ

2023/4/1م

المصدر: جريدة الراية

More from null

Jarida la Ar-Raya: Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Al Raya sahafa

2025-11-12

Jarida la Ar-Raya:Mada Mbalimbali za Ar-Raya – Toleo la 573

Enyi watu wa Sudan: Vita nchini Sudan na kwingineko vitaendelea kuwa kichocheo cha tamaa za kimataifa na mizozo yao kwa mipango yao mibaya, uingiliaji wao, na kuwapa pande zinazozozana silaha ili kuimiliki kikamilifu hadi lini?! Wanawake na watoto wenu wanateseka kwa zaidi ya miaka miwili kutokana na mzozo huu wa umwagaji damu ambao hautimizi chochote ila maslahi ya nchi za Magharibi na vibaraka wao katika kudhibiti hatima ya Sudan, ambayo daima imekuwa ni kitu cha kutamaniwa kwao kwa sababu ya eneo lake na utajiri wake, hivyo ni kwa maslahi yao kuipasua na kuitawanya. Na kutekwa kwa Al-Fashir na vikosi vya Rapid Support Forces ni sehemu nyingine tu ya mipango hii, ambapo Marekani inataka kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan na kukomesha ushawishi wa Uingereza humo.

===

Lengo la ziara ya Ortagus

Nchini Lebanon!

Katika mazingira ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya Lebanon na eneo hilo kwa mradi wa kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha, na jitihada za utawala wa Marekani chini ya uongozi wa Trump na timu yake za kuunganisha idadi kubwa ya watawala wa nchi za Waislamu kwenye makubaliano ya Abraham, ziara ya mjumbe wa Marekani, Morgan Ortagus, nchini Lebanon na nchi haramu ya Kiyahudi inakuja ikiwa na shinikizo, vitisho, na masharti ya kisiasa, kiusalama na kiuchumi kwa Lebanon, ikijua kwamba ziara hii imefanyika sambamba na ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Mkurugenzi wa Ujasusi wa Misri, ambayo inaonekana kuelekea mwelekeo uleule.

Kuhusiana na ziara hizi, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Ofisi ya Habari ya Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Lebanon ilisisitiza mambo yafuatayo:

Kwanza: Uingiliaji wa Marekani na wafuasi wake katika nchi za Waislamu ni kuhudumia maslahi ya Marekani na nchi haramu ya Kiyahudi, sio kuhudumia maslahi yetu, haswa kwani Marekani ndiye msaidizi mkuu wa nchi haramu ya Kiyahudi katika siasa, uchumi, fedha, silaha, na vyombo vya habari, waziwazi.

Pili: Ziara ya mjumbe sio ziara ya upande wowote kama wengine wanavyoweza kufikiria! Badala yake, inakuja katika muktadha wa sera ya wazi ya Marekani katika eneo hilo ambayo inasaidia nchi haramu ya Kiyahudi na inachangia kuiwezesha kijeshi na kisiasa, na kile ambacho mjumbe wa Marekani anatoa ni kulazimisha utawala, kuimarisha utegemezi, na kupunguza uhuru, na ni aina ya kujisalimisha na kujinyenyekeza kwa Wayahudi, na hili ndilo Mungu anawakataza watu wa Uislamu.

Tatu: Kukubali maagizo haya na kusaini makubaliano yoyote ambayo yanaimarisha udhibiti wa kigeni ni usaliti kwa Mungu, Mtume Wake, na Umma, na kwa kila mtu ambaye alipigana au kujitolea ili kuiondoa nchi hii haramu kutoka Lebanon na Palestina.

Nne: Kushughulika na nchi haramu ya Kiyahudi kwa idadi kubwa ya watu wa Lebanon, Waislamu na wasio Waislamu, ni uhalifu katika dhana ya kisheria, na hata katika sheria chanya ambayo mamlaka ya Lebanon inahukumu kwayo, au sheria ya kibinadamu kwa ujumla, haswa baada ya nchi hiyo haramu kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza, ambayo haitasita kufanya kama hayo huko Lebanon na nchi zingine za Waislamu.

Tano: Kampeni na mashambulizi ya Marekani dhidi ya eneo hilo hayatapita, na Marekani haitafanikiwa katika jitihada zake za kuunda eneo hilo kama inavyotaka, na ikiwa ina mradi wake kwa eneo hilo, ambao unategemea ukoloni, unyanyasaji wa watu, kuwapotosha Waislamu, na hata kuwatoa kwenye dini yao kwa kuita (Dini ya Abraham), basi Waislamu, kwa upande mwingine, wana mradi wao ulioahidiwa kuonyeshwa na Mungu Mwenyezi; mradi wa Khilafah ya pili kwa mfumo wa Utume, ambao umekaribia sana, kwa idhini ya Mungu Mwenyezi, na mradi huu ndio utachora upya eneo hilo, na hata ulimwengu mzima, kwa mara nyingine tena, kama inavyothibitishwa na maneno ya Mtume ﷺ: «Hakika Mwenyezi Mungu aliniandalia ardhi, nikaona mashariki yake na magharibi yake, na hakika ufalme wa umma wangu utafikia kile nilichoandaliwa kutoka kwake» Imesimuliwa na Muslim, na nchi haramu ya Kiyahudi itaangamizwa kama Mtume ﷺ alivyobashiri katika hadithi yake: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua...» Imekubaliwa.

Hatimaye, Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Lebanon inaendelea kuunga mkono kukabiliana na kampeni ya Marekani na mashambulizi yake ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha kwa Lebanon na eneo hilo, na hakuna chochote kitakachoizuia kufanya hivyo, na tunaionya mamlaka ya Lebanon dhidi ya kufuata njia ya kurejesha uhusiano wa kawaida na kujisalimisha! Na tunawasihi kujilinda kwa watu wao ili kukabiliana na hilo, na wasicheze na jambo hilo kwa kisingizio cha mipaka au ujenzi mpya na ushawishi wa mfumo wa kimataifa, ﴿Na Mwenyezi Mungu ni Mshindi juu ya jambo lake, lakini watu wengi hawajui﴾.

===

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan

Unakutana na idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad

Ujumbe kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan, siku ya Jumatatu, Novemba 3, 2025, ulizuru idadi ya viongozi wa mji wa Al-Abyad, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini. Ujumbe huo ulikuwa chini ya uongozi wa Mwalimu Al-Nadhir Muhammad Hussein Abu Minhaj, mjumbe wa Baraza la Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Sudan, akifuatana na Mhandisi Banqa Hamid, na Mwalimu Muhammad Saeed Boukeh, wajumbe wa Hizb ut-Tahrir.

Ambapo ujumbe huo ulikutana na kila mmoja wa:

Mwalimu Khalid Hussein - Mkuu wa Chama cha Muungano wa Kidemokrasia, tawi la Jalaa Al-Azhari.

Dkt. Abdullah Youssef Abu Seil - Mwanasheria na mhadhiri wa sheria katika vyuo vikuu.

Sheikh Abdul Rahim Jouda - kutoka kundi la Ansar al-Sunna.

Bw. Ahmed Muhammad - Mwandishi wa Shirika la Habari la Suna.

Mikutano hiyo ilizungumzia mada ya sasa; kuanguka kwa Al-Fashir na uhalifu uliokuwa umeambatana nayo uliofanywa na wanamgambo dhidi ya watu wa jiji hilo, na kuachwa na viongozi wa jeshi, ambao hawakutimiza wajibu wao kwa watu wa Al-Fashir na kuondoa kuzingirwa kwao, na wana uwezo wa kufanya hivyo katika kipindi chote cha kuzingirwa, na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi yao zaidi ya mashambulizi 266.

Kisha ujumbe huo uliwakabidhi nakala ya broshua ya Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Sudan yenye kichwa: "Kuanguka kwa Al-Fashir kunafungua njia kwa mpango wa Marekani wa kutenganisha mkoa wa Darfur na kuimarisha ushawishi wake nchini Sudan, hadi lini tutakuwa kichocheo cha mzozo wa kimataifa?!". Majibu yao yalikuwa ya kipekee na waliomba mikutano hii iendelee.

===

Mazoezi ya "Phoenix Express 2025"

Sura kutoka sura za Tunisia kujisalimisha kwa utawala wa Marekani

Maandalizi ya Tunisia ya kuandaa toleo jipya la zoezi la majini la pande nyingi la "Phoenix Express 2025" yanakuja wakati wa mwezi wa Novemba, ambalo ni zoezi ambalo Kamandi ya Marekani ya Afrika imeanza kuandaa kila mwaka baada ya utawala wa Tunisia kuhusisha nchi kwa kusaini na Marekani, tarehe 2020/09/30, makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi, ambayo Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, alielezea kama ramani ya barabara itakayoendelea kwa miaka kumi.

Katika suala hili, taarifa kwa vyombo vya habari kutoka Hizb ut-Tahrir/ Wilaya ya Tunisia ilikumbusha kwamba chama hicho kilibainisha wakati wa kusainiwa kwa makubaliano haya hatari kwamba jambo hilo linazidi makubaliano ya jadi, kwani Marekani inachora mradi mkubwa ambao unahitaji kukamilika kwa miaka 10 kamili, na kwamba ramani ya barabara, kulingana na madai ya Marekani, inahusiana na ufuatiliaji wa mipaka, ulinzi wa bandari, kupambana na mawazo ya itikadi kali, na kukabiliana na Urusi na China, na hii inamaanisha kwa dharau zote, kupunguza uhuru wa Tunisia, badala yake ni uangalizi wa moja kwa moja juu ya nchi yetu.

Taarifa hiyo ilisisitiza kwamba Hizb ut-Tahrir katika Wilaya ya Tunisia, licha ya unyanyasaji, kukamatwa, na kesi za kijeshi ambazo vijana wetu wanakumbana nazo kwa sababu ya kusema ukweli, inathibitisha tena wito wake wa kuvunja makubaliano haya ya kikoloni yaliyolaaniwa ambayo yanalenga kuivuta nchi na nchi zote za Maghrib ya Kiislamu na kuzinyenyekeza kwa sera mbaya za Marekani, na pia ilirudia wito wake kwa watu wa nguvu na ulinzi huko Tunisia na nchi zingine za Waislamu kuwa waangalifu juu ya kile ambacho maadui wa Umma wanawafanyia njama na kuwavuta kwacho, na kwamba wajibu wa kisheria unahitaji wao kuunga mkono dini yao na kukabiliana na adui ambaye anavizia nchi yao na Umma wao, na kuinua neno la Mungu kwa kuunga mkono wale wanaofanya kazi ya kutekeleza sheria zake na kuanzisha dola yake, Dola ya Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume ulioahidiwa hivi karibuni kwa idhini ya Mungu.

===

Dharau ya Marekani kwa raia wake

Inawaacha wanawake na watoto wakiwa na njaa

Mpango wa Msaada wa Lishe ya Ziada (SNAP) ni mpango wa shirikisho ambao husaidia watu binafsi na familia zenye kipato cha chini na wenye ulemavu kupata faida za kielektroniki zinazotumiwa kununua chakula na vinywaji, isipokuwa pombe, na mimea ya kulima chakula chao wenyewe. Ripoti zinaonyesha kuwa Wamarekani milioni 42 wanategemea faida za (SNAP) kulisha wao wenyewe na familia zao. 54% ya watu wazima wanaopokea faida za chakula ni wanawake, na wengi wao ni mama wasio na waume, na 39% yao ni watoto, ambayo inamaanisha kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watano anategemea faida hizi kuhakikisha kuwa hawapati njaa. Kufungwa kwa shirikisho pia kumesababisha baadhi ya majimbo kutafuta njia zingine za kufadhili mipango ya chakula ya bure na iliyopunguzwa katika maeneo yao ya elimu, ili watoto wanaotegemea chakula wakati wa siku ya shule wasilazimike kuishi bila chakula. Kama matokeo, maduka mengi ya chakula yaliyoenea kote nchini yanachapisha picha za rafu tupu, na kuwaomba watu kutoa chakula na kadi za zawadi za maduka ya mboga ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya chakula.

Kuhusu hilo, Idara ya Wanawake katika Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Tunapaswa kuuliza ni jinsi gani nchi tajiri zaidi ulimwenguni inaweza kupuuza ukweli kwamba mamilioni ya raia wake walio hatarini zaidi hawapati chakula cha kutosha? Unaweza kujiuliza Amerika inatumia pesa zake wapi, hata wakati wa kufungwa? Vema, badala ya kuhakikisha kuwa Wamarekani wanapata chakula cha kutosha, wanatuma mabilioni ya dola kwa nchi haramu ya Kiyahudi kuwaua Wapalestina. Ni mtawala ambaye anaona kuwa kujenga ukumbi wa sherehe za kifahari ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, wakati manaibu wengine wanaona uwekezaji wao wa kibinafsi unachukuliwa kuwa muhimu kuliko ustawi wa watu ambao wanapaswa kuwawakilisha! Kama unavyoona, Amerika ya kibepari haijawahi kujali kutunza masuala ya raia wake, badala yake ilikuwa inajali tu kutoa msaada wa kijeshi na kifedha kwa wale wanaowanyima watoto kote ulimwenguni haki yao ya usalama, chakula, makazi, na elimu, ambazo ni mahitaji ya msingi. Kwa hivyo, inawaacha watoto huko Amerika pia wakiteseka na njaa na ukosefu wa usalama, na wanakosa elimu sahihi na huduma ya afya.

===

«Muislamu yeyote yule ni haramu kwa Muislamu mwenzake; damu yake, mali yake, na heshima yake»

Kwa kila Muislamu, kwa kila afisa na askari, kwa kila mtu anayemiliki silaha: Hakika Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tufikiri kwayo, na ametulazimisha kuitumia matumizi sahihi, kwa hivyo mtu asitende au kufanya kazi yoyote au kutamka neno lolote kabla ya kujua hukumu yake ya kisheria, na kujua hukumu ya kisheria kunahitaji kuelewa hali halisi ambayo hukumu ya kisheria inataka kuletwa, kwa hivyo lazima Muislamu awe na ufahamu wa kisiasa, ili aweze kufahamu mambo kama yalivyo, na asifuate mipango ya makafiri wakoloni ambao hawatutakii mema sisi wala Uislamu, na wanafanya bidii kwa kila wawezalo kwa nguvu, hila na akili kutupasua vipande vipande na kuudhibiti nchi yetu na kunyakua rasilimali zetu na utajiri wetu, kwa hivyo Muislamu anawezaje kukubali kuwa chombo mikononi mwa makafiri hao wakoloni, au mtendaji wa maagizo ya vibaraka wao?! Je, anatamani kitu kidogo cha starehe za dunia hii zinazopita na anapoteza Akhera yake na anakuwa miongoni mwa watu wa Motoni milele humo, amelaaniwa na kufukuzwa kutoka kwa rehema za Mungu? Je, Muislamu anakubali kumridhisha mtu yeyote yule miongoni mwa wanadamu viumbe dhaifu huku anamkasirisha Mungu Mwenyezi ambaye mikononi mwake iko dunia na Akhera?!

Hakika Hizb ut-Tahrir inawasihi kuinua kiwango cha ufahamu wa kisiasa, kuzingatia hukumu za Mungu Mwenyezi, na kufanya kazi nayo ili kuhukumu kwa yale ambayo Mungu ameyateremsha, ili kuwaondoa mikono ya makafiri wakoloni na vibaraka wao, na kushindwa mipango yao katika nchi yetu.

===

Ninyi ndio mnaowaweka Waislamu katika njaa

Ewe Masoud Pezeshkian!

Chini ya kichwa hiki, Ofisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari: Iran imetangaza kufilisika kwa benki kubwa zaidi ya kibinafsi nchini humo, ambayo ni benki ya (Ayandeh), na benki hii ina matawi 270 nchini Iran, baada ya madeni kuongezeka hadi dola bilioni tano, na cha kushangaza ni kukosoa kwa rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, kushindwa kwa utawala, akisema: "Tuna mafuta na gesi, lakini tuna njaa"!

Taarifa hiyo ilisisitiza: Mwenye dhamana ya kushindwa huko kwa utawala ambako rais wa Iran anazungumzia ni rais mwenyewe, kwa nini watu wa Iran wana njaa - Ewe Masoud Pezeshkian - na mna mafuta, gesi, na utajiri mwingine na madini? Je, siyo matokeo ya sera zenu za kijinga? Je, siyo kwa sababu ya umbali wenu kutoka kwa kuhukumu kwa Uislamu? Na vivyo hivyo, inasemwa kwa nchi zingine za Waislamu, watawala wajinga ndani yake wanapoteza utajiri mwingi wa Umma, na wanawezesha makafiri wakoloni kupata utajiri huo, na wananyima Umma utajiri huo, kisha mmoja wao anakuja kuhalalisha sababu ya njaa kwa kusema kwamba ni kushindwa kwa utawala!

Hatimaye, taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliwahutubia Waislamu: Ujinga wa watawala hawa ambao wanachukua masuala yenu umeonekana kwa kila mwenye macho na ufahamu, na hawafai kuchukua masuala hayo, umefika wakati wa kuwazuia, kwani hii ndiyo hukumu ya mjinga; kumzuia kutumia pesa na kumdhibiti, na mumpatie Bay'ah Khalifa mmoja anayewahukumu kwa sheria ya Mungu Mwenyezi, na afute mfumo wa riba katika nchi yenu ili Mola wenu akuridhieni na Mtume Wake ﷺ, na arejeshe utajiri wenu ulionyaganywa, na arejeshe heshima yenu na fahari yenu, na hapa kuna Hizb ut-Tahrir, mwanzilishi ambaye watu wake hawasemi uongo, anawasihi kufanya kazi nayo ili kuanzisha Khilafah Rashidah ya Pili kwa mfumo wa Utume.

 </