March 03, 2015

خبر وتعليق على المسلمين أن يتوحدوا في مواجهة الاستخبارات المتطرفة (مترجم)


الخبر:


مقاتل "الدولة الإسلامية" الملثم والمعروف باسم "جهادي جون"، الذي تم تصويره في أشرطة فيديو قطع رؤوس رهائن غربيين، تم كشف هويته. هو "محمد أموازي"، بريطاني كويتي المولد في منتصف العشرينات من عمره، من غرب لندن، والذي كان معروفا في السابق لأجهزة المخابرات البريطانية. رفضت الشرطة البريطانية التعليق، نقلا عن التحقيقات الجارية ظهر "أموازي" لأول مرة في شريط فيديو في آب/أغسطس الماضي، فيما يبدو أنه قتل الصحفي الأمريكي "جيمس فولي". وكان يعتقد أنه في وقت لاحق تم تصويره في أشرطة فيديو تظهر قطع رؤوس كل من الصحفي الأمريكي "ستيفن سوتلوف" وموظف الإغاثة البريطانية "ديفيد هاينز"، وسائق سيارة الأجرة البريطاني "آلان هينينج" وعامل الإغاثة الأمريكي "عبد الرحمن كاسيغ". المعروف أيضا باسم بطرس. (المصدر: بي بي سي 2015/2/26)

التعليق:


منذ عام 2001 حوّلت السلطات البريطانية الأضواء بشكل ممنهج بعيدا عن سياستها الخارجية وأجهزتها الأمنية من خلال إلقاء اللوم على المسلمين فقط في ما يخص العنف في الداخل والخارج. ويُزعم أن "محمد أموازي" هو "الجهادي جون" كما يسمونه وهو ما لم يثبت. ونحن كمسلمين يجب علينا اتباع الشريعة الإسلامية في هذا الأمر، والذي يتطلب إثبات هوية شخص وأعماله بشهادة شهود، قبل إصدار الحكم عليه. كان أموازي شابا معروفا لـ"كايج" وهي منظمة مستقلة تعمل لتمكين المجتمعات المحلية المتأثرة بالحرب على الإرهاب. كان محبوبا كثيرا ومعروف أنه كان لطيفا، طيبا، وشابا تقيّا، بآداب متميزة وأخلاق إسلامية. كان أيضا متعلما، وحصل على وظيفة جيدة وكان من المقرر أن يتزوج.


رسائل البريد الإلكتروني بين أموازي ومحامي "كايج"، تثبت أنه تمت مضايقته من قبل الأجهزة الأمنية، بينما كان يعيش في بريطانيا وكذلك أثناء رحلته إلى تنزانيا، وكان الضغط والتهديد من أجل أن يعمل مُخبرا للأجهزة الاستخباراتية البريطانية. وقد أصبحت هذه التجربة مشتركة للعديد من المسلمين في بريطانيا خلال السنوات العشر الماضية. وكان أداة ضرورية لقصة "الحزام الناقل للإرهاب"، ما يجعل الإنسان يخشى على حياته، فإنه يتيح عمليات التمويه ويستخدم كأسلوب لترويج الخوف في أوساط المسلمين بغية إخضاع النشاط الإسلامي وقصد توجيهه بعيدا عن قضايا الدولة والسياسة الخارجية، نحو أشكال مقبولة من العمل الإسلامي مثل العبادات الفردية والأخلاق. ومن المعروف أن مثل هذا الضغط من أجهزة الاستخبارات قد أثرت في "مايكل اديبولاخو" مهاجم وولويش، وقد كان هذا السبب الرئيسي لاستبعاده من لائحة المتهمين بالإرهاب، بعيدا عن الأسباب المعتادة من فقر وانعدام تعليم... وغير ذلك.


منذ رحيل محمد أموزاي من بريطانيا بقي مكان وجوده مجهولا. بغض النظر عما إذا كان هو في الواقع المنفذ المفترض "الجهادي جون"، تظل الحقيقة أن أموازي والعديد من الإخوة والأخوات الآخرين تتم مضايقتهم وتهديدهم يوميا من قبل الأجهزة الأمنية. وتظهر التهديدات في مدارس أطفالهم ومتابعتهم في البقالة وبالطبع مداهمة منازلهم من دون سبب، مما يجعل حياتهم مستحيلة وتركهم بدون وسيلة قانونية لمعالجة وضعهم. في خطاب توني بلير "تغيير وظائف الهدف" سيئ السمعة قبل نحو ثماني سنوات، مكّن "الضحايا التقديرية"، مما سمح لعملاء الاستخبارات بتفسير رسائل البريد الإلكتروني والمكالمات الهاتفية كما أرادوا، لاعتبار الحضور في مظاهرات كأعمال متطرفة، وتسمية الأفكار والمبادئ الإسلامية الأساسية، مثل الجهاد في سبيل الله، الخلافة ومفهوم الأمة كأفكار متطرفة.


ثقافة الإيذاء تنتشر بشكل عميق في بريطانيا إلى درجة وجود مجتمعات بأكملها لم يعد بإمكانها الوصول إلى الإجراءات القانونية الواجبة، جراء أعمال الأجهزة الأمنية الخارجة عن القانون. كما تم منع الأفراد من السفر ووُضعوا تحت الإقامة الجبرية وواجهوا أسوأ حالات التعذيب والقتل، وفق أهواء رجال الأمن على ما يبدو.


الآن، سوف يعزز مشروع القانون الذي مرّ أخيرا حول الأمن ومكافحة الإرهاب، استراتيجية الوقاية حيث لن يسمح فقط بل سيضمن لمعلمي المدارس والأطباء والمحاضرين وموظفي المطارات وأي شخص آخر لتقييم "التطرف" حسب ما يراه، سواء أكان ذلك الرأي الشخصي لمسلم أو لباسه أو طول لحيته. وقد حدث هذا بالفعل لمجرد إشارة طالب ذي أربع عشرة سنة للعصر الذهبي للإسلام. سيثبت مشروع قانون الأمن ومكافحة الإرهاب أنه الأكثر خطورة منذ خمسينات القرن الماضي "الماكارثية" وسوف يحدث تغييرا جذريا في طبيعة الحريات بالنسبة للمسلمين، في الحرم الجامعي وحتى في المنزل.


من المرجح أن "ترفع" الاستخبارات مستويات التهديدات الوهمية من أجل الاستمرار في تشويه سمعة الإسلام وزيادة التدخل العسكري في العالم الإسلامي والخدمات المخابراتية. لكن التأثير المضاد لهذه الاستراتيجية المتكررة يغذّي دعوات مجموعات قتالية معينة للانتقام، كما هو حال تنظيم "الدولة الإسلامية" الذي لم يعرب عن رغبته في ضرب المصالح البريطانية حتى حملة قصف التحالف في سوريا والعراق.


المسلمون في الغرب، هم في بداية النهاية لمواجهة بعض ما واجهت الأمة عالميا لعقود من الزمن. حيث إن الحديث ضد الحكام العملاء والممارسات والقوانين غير الإسلامية أدى إلى تشويه السمعة والسجن والتعذيب. والواجب هو الصمود في وجه الضغوطات لتشكيل الإسلام كما يريدون، للوقوف إلى جانب المؤمنين، ولعدم تقديم التنازلات في ديننا ومعتقداتنا وممارساتنا وقيمنا، والاستمرار في الدعوة والعمل من أجل عودة النظام الوحيد القادر على تأمين الحقوق والمساواة بين البشر والعدل... الخلافة الإسلامية على منهاج النبوة.

كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
مليحة حسن

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon