الخبر: تناقلت وسائل الإعلام خارج اليمن وصحيفة اليمن اليوم اليومية الوحيدة الصادرة حالياً في اليمن - بعد اختفاء مثيلاتها جراء انقطاع الكهرباء لأيام وشح المشتقات النفطية - يوم الخميس 22 أيار/مايو الجاري في عددها 1044 خبراً بعنوان "28 مايو الجاري موعداً لإجراء مؤتمر جنيف" جاء فيه "أعلن الأمين العام للأمم المتحدة بان كي مون رسميا عن عقد اجتماع في جنيف في 28 مايو الجاري، برئاسته، لإجراء مشاورات بين مختلف الأطراف المعنية بالأزمة اليمنية. وقال المبعوث الخاص لليمن إسماعيل ولد شيخ خلال مؤتمر صحفي عقده أمس مع نائب الأمين العام للجامعة العربية أحمد بن حلي: "لقد دعونا كل الأطراف اليمنية لهذا الاجتماع، ولدينا إشارات إيجابية منها بالحضور، الفترة الراهنة تتطلب إجراء مشاورات لعقد هذا المؤتمر نظرا لقصر الفترة الزمنية التي تفصلنا عنه، فلا يوجد لدينا رفاهية الوقت نظرا لصعوبة الأوضاع في اليمن". وقال إسماعيل ولد الشيخ، مبعوث الأمين العام للأمم المتحدة إلى اليمن، إنه التقى جماعة أنصار الله (الحوثيين)، ولديه ضمانات بأنهم سيحضرون اجتماعات جنيف لحل الأزمة اليمنية (لم يحدد موعده بعد). وأضاف: "قمت بزيارة صنعاء والتقيت بممثلين عن الحوثيين وحتى الآن لدي ضمانات على مشاركتهم في الحوار". وأكد ولد شيخ أحمد أنه كلما تم الإسراع بالتوصل لحلول للأزمة اليمنية كلما كان ذلك أفضل، نظرا للمعاناة الكبيرة التي يواجهها الشعب اليمني، مشيرا إلى مشاركته وبن حلي في أعمال مؤتمر الرياض الأخير لإنقاذ اليمن، معتبرا أن هذا المؤتمر شكل خطوة مهمة لترسيخ شرعية المؤسسات اليمنية المنتخبة". التعليق: إن الإعلان عن مؤتمر جنيف للمفاوضات بين الأطراف السياسية في اليمن يوم 2015/05/20م هو أول نقطة يسجلها المبعوث الأممي الثاني إلى اليمن إسماعيل ولد الشيخ لصالح الحوثيين، وصفعة لمؤتمر الرياض الذي انتهت أعماله في اليوم نفسه الذي أعلن فيه عن مؤتمر جنيف. فقد كان إسماعيل ولد الشيخ في محاولته الوصول إلى صنعاء يوم 2015/04/28م "لولا تدمير طائرات التحالف مدرج مطار صنعاء لمنع وصوله" يريد نسف مؤتمر الرياض الذي أعلن يوم 2015/05/17م موعداً لعقده باستباقه بعقد مؤتمر جنيف في 2015/05/13م. ومن ناحية ثانية مع أن إسماعيل ولد الشيخ قال "لقد دعونا كل الأطراف اليمنية لهذا الاجتماع" إلا أن رياض يس المكلف بأعمال وزير الخارجية قال "لم نبلغ عن مؤتمر جنيف حول اليمن وقد لا نشارك فيه". يأتي مؤتمر جنيف هذا لقلب نظرة الرأي العام عن الحوثيين كمعتدى عليهم يتعرضون يومياً لغارات طائرات التحالف بعد اعتداءاتهم التي انطلقت من صعدة وجاوزت عمران وصنعاء لتصل إلى عدن وأبين وشبوة لمحاربة القاعدة والتكفيريين وتنظيم الدولة!! واتخاذ الآية ﴿أُذِنَ لِلَّذِينَ يُقَاتَلُونَ بِأَنَّهُمْ ظُلِمُوا وَإِنَّ اللَّهَ عَلَى نَصْرِهِمْ لَقَدِيرٌ﴾ شعاراً لاعتداءاتهم، هذه الآية التي نزلت على الرسول عليه الصلاة والسلام وهو في طريق هجرته لإقامة دولة الإسلام الأولى في المدينة المنورة تأذن له وللمسلمين بالقتال بعد أن كانوا ممنوعين منه في مكة المكرمة، لا الاستمرار فيه. وفي أول رد فعل على إعلان الأمم المتحدة عن عقد مؤتمر جنيف في 2015/05/28م طالب عبد الملك الحوثي في خطاب متلفز له في اليوم نفسه بـ "وقف العدوان " لحضور جماعته المؤتمر. كما يجعل مؤتمر جنيف الحوثيين غير معنيين ببنود مؤتمر الرياض السبعة الذي طالبهم فيها باستعادة مؤسسات الدولة منهم واستعادة الأسلحة التي استولوا عليها وإخراج ميليشياتهم من كل المدن حيث قال عبد الملك الحوثي أن مؤتمر الرياض "لا يخص سوى العدو وعملائه"، مما يعني أنه سوف يذهب إلى مؤتمر جنيف للمفاوضات لاكتساب شرعية حكم اليمن وقواته تسفك الدماء وتخوض حرباً في مأرب وتعز وعدن وشبوة وأبين والجوف. الجدير بالذكر أن المبعوث الأممي إسماعيل ولد الشيخ التقى في زيارته لصنعاء في 2015/05/14م مع طرف واحد وهم "الحوثيون واللجنة العامة لحزب صالح" فقط ثم خرج يقول للناس بأنه تم الاتفاق على نقل المفاوضات إلى جنيف، وأن الحوثي وصالح رفضا حضور مؤتمر الرياض وهما المرحبان بمؤتمر جنيف، لأن صالح وحزبه يشاكسون الحوثي بعدم إخلاء الساحة له ليحكم اليمن وحده. مؤتمرا الرياض وجنيف للمفاوضات بين الحوثيين وصالح الملتصق بهم من جهة وبقية الأطراف السياسية في اليمن من جهة ثانية يدل على أن هناك مسارين للسياسة في اليمن، الأول يرسمه الإنجليز أصحاب النفوذ السياسي في اليمن طوال الفترة الماضية، الذين عملوا بفريقين هما هادي وحكومته وصالح وحزب المؤتمر الشعبي تدعمهم أنظمة الخليج وهم الداعون لمؤتمر الرياض، ولا يستطيع عملاء أمريكا "سلمان بن عبد العزيز وابنه محمد وابن أخيه محمد بن نايف" مخالفتهم علناً في هذا الأمر. والمسار الثاني يرسمه الأمريكان العاملون على إخراج نفوذ الإنجليز السياسي من اليمن وإحلال نفوذهم محله عن طريق إيصال الحوثيين للحكم عن طريق الحروب الست الماضية ثم بالمبعوث الأممي الأول جمال بن عمر الذي وصل اليمن في شهر نيسان/أبريل 2011م لتنفيذ "المبادرة الخليجية" فأبدلها بتمكين الحوثي من الحكم بدءاً بلقائين مع عبد الملك الحوثي في صعدة وإدخال جماعته مؤتمر الحوار في 2013/03/18م وإفساح الطريق لهم للوصول إلى صنعاء في 2014/09/21م وإبرامه لهم اتفاق السلم والشراكة، بعد تحييد الجيش والأمن من اعتراضهم بتخويفهم من الحرب الأهلية، وها هي اليوم تأتي بالمبعوث الأممي الثاني لاستكمال مخططها من حيث انتهى جمال بن عمر، وهي الداعية لمؤتمر جنيف. يعد الإعلان عن مؤتمر جنيف في 2015/05/28م أول نقطة يسجلها المبعوث الأممي الثاني إلى اليمن إسماعيل ولد الشيخ لصالح الحوثيين، لننتظر كيف وكم من النقاط سيحاول تسجيلها لصالحهم! وهل سيقف الناس في اليمن "أحزاباً وجماعات وأفراداً" ينظرون لأمريكا وهي تحل محل بريطانيا في اليمن ليخضعوا لنفوذها وهيمنتها على ثرواتهم بعد أن كانوا كذلك للإنجليز عقودا، أم أنه سيكون لهم رأي وفعل آخر بعد أن انكشفت لهم مخططات دول الغرب الاستعمارية في الصراع على اليمن والتناوب عليه ويفشلونها لتكون العزة للإسلام وحده واستئناف الحياة الإسلامية بإقامة دولة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة في جميع مناحي الحياة؟ جاء في مسند أحمد أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: «تكون النبوة فيكم ما شاء الله أن تكون، ثم يرفعها الله إذا شاء أن يرفعها، ثم تكون خلافة على منهاج النبوة فتكون ما شاء الله أن تكون، ثم يرفعها الله إذا شاء أن يرفعها، ثم تكون ملكًا عاضًا فيكون ما شاء الله أن يكون، ثم يرفعها إذا شاء الله أن يرفعها، ثم تكون ملكًا جبرية فتكون ما شاء الله أن تكون، ثم يرفعها الله إذا شاء أن يرفعها، ثم تكون خلافة على منهاج النبوة، ثم سكت». كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحريرالمهندس: شفيق خميس
خبر وتعليق المبعوث الأممي الثاني إلى اليمن كالأول يعمل لصالح الحوثيين
More from Habari na Maoni
Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha
Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha
(Imetafsiriwa)
Habari:
Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).
Maoni:
Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.
Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.
Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.
Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.
Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.
Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.
Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)
Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir
Muhammad Amin Yildirim
Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki
Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki
Habari:
Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.
Maoni:
Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.
Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.
Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!
Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!
Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!
Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.
Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.
Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir
Dkt. Muhammad Jaber
Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon