الخبر: نشرت سي إن إن نصا لرسالة اعتذار للمصورة المجرية بيترا لازلو التي قامت بعرقلة لاجئين هاربين من الشرطة قالت فيها إنها لا تصدق ما الذي صدر عنها.. وذلك بعد الضجة الكبيرة التي حدثت والانتقادات الواسعة على إقدامها على مثل هذا التصرف، وهذا ما قالته في نص الرسالة: "أعتذر بشدة عما حصل في هذه الحادثة، لقد احتجت بعض الوقت لأستجمع شجاعتي وأكتب هذه الرسالة، بصراحة أنا مصدومة عما صدر مني وعن الذي فعلته.. كنت أصور بكاميراتي عندما تدفق صوبي مئات اللاجئين عندما تجاوزوا حاجز الشرطة، شعرت بالخوف من العدد الكبير المتوجه نحوي وانطلق جسدي بانفعال، ومع الكاميرا التي حملتها بيدي لم يكن باستطاعتي رؤية من يأتي نحوي، كل ما خطر ببالي كان بأنهم سيهاجمونني وأنه كان يتوجب علي الدفاع عن نفسي.. كان من الصعب أن أتخذ قراراً سليماً وسط الرعب الذي شهدته باندفاعهم نحوي، لم أكن قادرة على اتخاذ قرارٍ سليم، ولهذا أنا أشعر بالأسف الشديد، وكوالدة أشعر بالأسى لأن القدر دفع طفلاً صوبي لم أكن قادرة على رؤية ذلك بتلك اللحظة، شعرت بالرعب، وعندما رأيت ما بدوت عليه بمقاطع الفيديو التي صورتني شعرت بأن تلك المرأة ليست أنا، أشعر بالأسف من كل قلبي لما فعلته وأتحمل كامل المسؤولية لتبعات هذا التصرف، لست مصورة تكره الأطفال أو عنصرية أو منعدمة الإحساس، لا أستحق أن تتم مطاردتي سياسياً كما لو كنت ساحرة شريرة أو أن أتلقى التحذيرات القاسية والتي تهدد حياتي ببعض الأحيان، أنا امرأة عادية، والدة لطفل يافع، والتي خسرت وظيفتها بسبب قرار سيئ اتخذته في حالة من الرعب.. أنا آسفة للغاية." التعليق: لا حاجة للتعليق كثيرا على هذا التصور "الهمجي" من "الأم" المصورة التي رأت في أب يحمل طفله "تهديدا" و"رعبا" جعلها تركله ليقع هو وابنه على الأرض، وتضرب غيره من الأطفال والنساء والرجال الذين لا حول لهم ولا قوة يهربون من المجهول إلى المجهول. فأسف هذه "الأم المصورة" ليس سوى محاولة للملمة الأضرار خاصة وأنها تنتمي لحزب مجري متطرف وتعمل في محطة تلفزيونية تابعة له... فهي إذا صورة مصغرة لواقع كبير خلفها... أقول لا حاجة لمزيد تعليق حول حيثيات هذا العمل الأرعن البعيد كل البعد عن الحرفية المدعاة. وهنا مربط الفرس، فمنظر المصورة وهي تركل وتضرب وتسقط اللاجئين جعلتني أفكر في الفرق بينها وبين من يسمون بالإعلاميين بل وآلات الإعلام التي تشغلهم حول العالم... فهل أصحاب هذه المهنة هم حقا نزيهون وحرفيون محايدون... ينقلون الخبر كما هو للقارئ أو المشاهد، أم أنهم بعيدون كل البعد عن ذلك؟ إذا كان أحدهم قد استطاع تصوير ركلات تلك المصورة وفضحها فإن "ركلات" الإعلاميين من صحفيين ومقدمي برامج ومعدي تقارير إخبارية... هؤلاء ـ في الأغلب الأعم ـ يوجهون ركلاتهم بل قل "طعناتهم" كل يوم لعقل المشاهد أو القارئ أو السامع من خلال تزييف الحقائق أو لي أعناقها أو تقديم بعضها على بعض بعيدا عن شيء اسمه "حرفية" و"حيادية" و"شفافية"، قد يظن ظان أن هذا ينطبق ربما على الإعلاميين في القنوات الرسمية التابعة للأنظمة أو لأزلام الأنظمة في بلاد المسلمين مثل إعلاميي مصر الذين ضربوا المثل في وضاعتهم وسوقيتهم... ولكني لا أقصد هؤلاء الفاضحين لأنفسهم جهارا نهارا... بل أقصد الآخرين أيضا. قد يعتبر البعض هذا مبالغة، ولكن أقول إن الواقع الإعلامي عالميا ومحليا في بلاد المسلمين هو أقوى دليل على ذلك، دون الخوض في تفاصيل الآلات الإعلامية عالميا ومحليا وملّاكها والمسيرين لها والسياسات المرسومة لها ... الخ، فهذا لم يعد سرا يخفى. في ألمانيا مثلا لا حصرا طالت حملات التشويه لهؤلاء "الغرباء" الذين صوروا أنهم وحوش كاسرة تريد تخريب البلاد، وأكل قوت القوم، والعيش على حساب دافعي الضرائب في البلاد... علاوة على كون أغلبهم مسلمين طبعا... فتبارزت وسائل الإعلام في النيل منهم وترسيخ الكراهية لهم سنوات طويلة... ثم فجأة تنقلب الآية ويصبح مئات الآلاف موضع ترحيب "إعلاميا أيضا" ويتم إخراج أرشيف "الحب" و"التسامح" و"الترحيب" من الدرج... هذا غربيا... أما في بلاد المسلمين فإن الإعلاميين ـ في الأغلب الأعم ـ يؤدون دورا مشبوها إن لم يكن شريكا في الإجرام بحق المسلمين وشعوبهم. حتى معايير "الحرفية الصحفية" و"الحياد في نقل الخبر" الخادعة باتت حبرا على ورق لا غير. قد يُعذر شيئا ما مقدم نشرة الأخبار الذي يجلس ببذلته الأنيقة على كرسي وثير في ستوديو الأخبار وقد طلى وجهه بالمساحيق .... ولكن كيف يعذر المراسل على الأرض الذي يفترض أن ينقل الحقائق كما هي... وكيف يعذر المحاور النحرير الذي يفترض أن يكشف المستور بأسئلته؟... وكيف يعذر معد التقارير والتحقيقات الصحفية الذي يفترض أنه يلخص الحقيقة كما هي للمشاهد؟... وما بال "الرأي الآخر" الذي يغيب أصحابه عن قصد وتعمد؟ الأمثلة التي تظهر مقدار التشويه كثيرة لا تحصى ولست بصدد سردها هنا حتى لا تكون هي موضع الأخذ والرد... ولعلي أختم بسؤال موجه إلى هؤلاء الإعلاميين سواء أكانوا من أبناء المسلمين أم من غيرهم... هل "إنجازاتكم" الإعلامية تقدم خيرا لأمتكم المكلومة أم هي من جنس "ركلات" بيترا لازلو المجرية الحاقدة؟ كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحريرالمهندس حسام الدين مصطفى
خبر وتعليق المصورة المجرية... وركلات الإعلاميين
More from Habari na Maoni
Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha
Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha
(Imetafsiriwa)
Habari:
Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).
Maoni:
Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.
Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.
Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.
Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.
Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.
Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.
Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)
Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir
Muhammad Amin Yildirim
Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki
Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki
Habari:
Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.
Maoni:
Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.
Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.
Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!
Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!
Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!
Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.
Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.
Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir
Dkt. Muhammad Jaber
Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon