خبر وتعليق الوجه الأشد ظلمة لشعار "أنا شارلي إيبدو" هو "أنا كريج هيكس"‏ ‏(مترجم)‏
February 17, 2015

خبر وتعليق الوجه الأشد ظلمة لشعار "أنا شارلي إيبدو" هو "أنا كريج هيكس"‏ ‏(مترجم)‏


الخبر:‏


أعدم ثلاثة طلاب مسلمين، وهم ضياء بركات وزوجته يسر محمد وأختها رزان، على يد متشدد مسلح ‏يهاجم فكرة الإيمان بالله وذلك في تشابل هيل في ولاية نورث كارولينا، وقد وقع الهجوم في 10 ‏شباط/فبراير 2015، إلا أنه لم تتجرأ أية وسيلة من وسائل الإعلام على وصف ذلك القتل بأنه عمل ‏إرهابي.‏


غير أن موقع "أخبار الحزبين" على "تويتر" قام بنشر صورة وجه القاتل وعلق عليها "وجه الإرهاب ‏الأمريكي" وهي نسخة معدلة لصورة غلاف مجلة تايم في العدد الأول من تموز/يوليو لعام 2013 والتي ‏تظهر الراهب البورمي ويراهو. وقد تم إعادة نشر هذه الصورة على تويتر 534 مرة حتى الآن، ومع ذلك ‏فقد تعاملت مجلة تايم نفسها مع خبر القتل على موقعها على الإنترنت بصورة ثانوية وذلك حتى 13 ‏شباط/فبراير. كما أن غيرها من وسائل الإعلام الرئيسية نشرت الخبر، ولكنها تباطأت بشكل كبير عن ‏وسائل الإعلام (الاجتماعية) الخاصة بالمسلمين، وقد غطت الخبر من زاوية الضحايا وأسرهم، وتناست ‏موضوع الخبر الحقيقي.‏

التعليق:‏


لقد كان رد فعل المسلمين في جميع أنحاء العالم على وسائل الإعلام (الاجتماعية) قويًا ووصفوا ‏أعمال القتل هذه بأنها تنبع من كراهية الإسلام، ويجب وصفها بأنها إرهاب. وفي مقابل ذلك، كان عنوان ‏الخبر الثاني في صحيفة الجارديان في ليلة القتل "عائلة ضحايا إطلاق النار في نورث كارولينا تشجب ‏القتل بقوة وتصفها بأنها "جريمة كراهية"". وقامت صحيفة واشنطن بوست وغيرها من الصحف ‏الرئيسية بتغطية مماثلة، وقد صاحبها تعليقات من شرطة تشابل هيل تصف أن الدافع للجريمة يبدو أنه ‏خلاف حول موقف للسيارات، وأن زوجة كريج هيكس، وكذلك أحد الجيران، قد قالا بأنه لا توجد دوافع ‏عنصرية وراء هجوم هيكس. إلا أن صحيفة الغارديان نقلت أيضًا عن المدعي العام الأمريكي في الولاية، ‏ريبلي راند، قوله إن القتل "ليس جزءًا من حملة تستهدف المسلمين في ولاية كارولينا الشمالية... ويبدو ‏الحادث حتى هذه اللحظة أنه كان حادثًا معزولًا". أما مكتب التحقيقات الفيدرالي فإنه لم يبد أي اهتمام ‏بالقضية حتى بعد يومين من حدوثها، وفتح تحقيقًا موازيًا مع الشرطة المحلية ليبحث فقط في إمكانية ‏وجود صلة غير مباشرة لجرائم الكراهية بهذه القضية.‏


وبغياب أي تأكيد قانوني أو سياسي أمريكي لوجود علاقة بجرائم الكراهية، حتى ولا مجرد ذكر ‏للإرهاب، فقد تم لجم وسائل الإعلام. لقد كان تقرير صحيفة الغارديان مشابهًا للتقارير الأخرى في أسلوبه ‏حيث كان بحثه في دوافع القاتل تعكس آراء عائلات الضحايا فقط. وبعد أن قالت عائلات الضحايا إن ‏أبناءهم قد قتلوا لأنهم كانوا مسلمين، وحتى تحفظ وسائل الإعلام خط الرجعة، فقد قامت بإدراج صفحات ‏فيسبوك المتعددة التي تتحدث عن هجوم القاتل على المعتقد الديني ووازنت بين آراء العائلات المسلمة ‏والجاليات الإسلامية وبين الأصوات المعارضة. إن التغطية الإعلامية ستكون مختلفة جدًا في نواحٍ كثيرة ‏لو عُكست الأدوار وكان المسلمون هم الجناة بدل أن يكونوا ضحايا.‏
وتظهر مشاركات من كريج هيكس على فيسبوك أنه كان يحب الأسلحة ويكره المتدينين، وقد أخبر ‏الضحايا عائلاتهم وأصدقاءهم أن هيكس كان يتنمر عليهم ويرهبهم لأن التزامهم بالإسلام كان واضحًا، ‏وهي تصرفات تكفي لإدانة المسلم بالإرهاب لو عُكست الأدوار. ومن خلال محاكاة تهكمية ساخرة، تجدر ‏الإشارة إلى أن هيكس نشر صورًا لبندقيته ونقل عن "الشيخ" المتطرف ريتشارد دوكينز، الذي قال ذات ‏مرة: "أعتبر الإسلام واحدًا من الشرور العظيمة في العالم". والشاهد هو أن هيكس أعرب عن حبه للعنف ‏وكرهه للدين وإعجابه بمُنَظّرٍ يهاجم فكرة الإيمان بالله ويستهدف الإسلام. وقد نشر ريتشارد دوكينز على ‏تويتر عن الإسلام بعد الهجوم على شارلي إيبدو قوله: "لا، جميع الأديان ليست عنيفة بشكل متساوٍ. ‏بعضها لم يكن عنيفًا أبدًا، وبعضها تخلى عنه منذ قرون. دين واحد لم يفعل بشكل واضح".‏


لقد وُضع عبء إثبات الإرهاب على عاتق الأسر المسلمة في مجزرة تشابل هيل، بينما لو عُكست ‏الأدوار، لكان الأصل هو أن المسلمين مذنبون بالإرهاب حتى يثبت خلاف ذلك! فلم يسأل أحد في وسائل ‏الإعلام اليهود عن وجهة نظرهم ما إذا كانوا يعتبرون القتل على يد من يدعون أنفسهم بأنهم أعداء السامية ‏بأنه عمل إرهابي أم لا. إن ذلك هو الأصل حتى يثبت العكس.‏


لقد تم التركيز بشكل كبير على صلاح وجاذبية القتلى المسلمين كأفراد شباب في مجتمعهم يحبهم ‏الجميع ويحترمونهم، ولكن عندما قتل اليهود في متجر في باريس الشهر الماضي فإن وسائل الإعلام لم ‏تبد الكثير من الاهتمام تجاه الضحايا. فقد كان يكفي أنهم قتلوا على يد مسلم حتى يكونوا جديرين ‏بالتعاطف. لماذا؟ هل ينبغي أن يكون الضحايا المسلمون متميزين على نحو غير عادي حتى يستحقوا ‏التغطية الإعلامية؟ ألا يوجد شكل من أشكال التمييز هنا؟ فنحن الآن نعرف الكثير عن الضحايا، ولكن ‏ماذا عن هيكس - أين هم أصدقاؤه، وزملاؤه في العمل ومعارفه في مدرسته السابقة؟ إن وسائل الإعلام لم ‏تبد حتى الآن أي اهتمام في معرفة ما عندهم ليقولوه.‏


إن السبب في أن أمريكا تبحث عن الإرهاب المحلي الأمريكي في الطريق الآخر هو أنه من المزعج ‏أن تنظر في المرآة وترى أنه ليس من الضروري أن تجد دوافع للإرهاب في غرف الدردشة والمشاركات ‏على شبكة الإنترنت، لأن الكراهية الشديدة تجاه الإسلام أصبحت الاتجاه السائد حيث أصبح المسلمون ‏يتحملون ضغوطًا شديدةً يوميًا لإثبات إنسانيتهم. إن الأفلام مثل فلم "القناص الأمريكي"، والدعاية ‏المتعصبة "أنا شارلي إيبدو"، وتأييد مهاجمة مقدسات المسلمين العظيمة، هي ما أشعل الكراهية ضد ‏المسلمين وروج للتطرف الأميركي. إن الوجه الأشد ظلمة لشعار "أنا شارلي إيبدو" هو "أنا كريج ‏هيكس"، وإذا كان هناك في أي وقت مضى حزامٌ ناقلٌ للإرهاب، فقد أصبح هو الاتجاه السائد في أمريكا ‏لدرجة أن وسائل الإعلام قد انخرطت به فلا تراه.‏

كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
د. عبد الله روبين

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon