خبر وتعليق    علي صالح هل غير جلده؟! أم إنه يهاجم بريطانيا ليطمئن الحوثيين؟
October 20, 2014

خبر وتعليق علي صالح هل غير جلده؟! أم إنه يهاجم بريطانيا ليطمئن الحوثيين؟


الخبر:


ألقى علي صالح الرئيس السابق - الذي نزعت منه السلطة في اليمن - كلمة أمام قيادات حزبه يوم 2014/10/16م حيث تطرق في كلمته إلى الاستعمار البريطاني وذلك في ذكرى رحيله من جنوب اليمن، حيث ذم معارضيه الذين قدموا اعتذارا لبريطانيا عن استعمارها لجنوب اليمن ومما قاله في كلمته (الاستعمار البريطاني ما زالت نفسه تراوده على جنوب الوطن، من الذي حط اليمن تحت البند السابع في الأمم المتحدة؟ هي بريطانيا وعملاء بريطانيا الذين سعوا إلى أن يحط هذا الشعب المناضل والمكافح تحت البند السابع في الأمم المتحدة، لماذا.. مشكلتكم مع من؟ مشكلتكم على السلطة، السلطة سلمناها طواعية ورحلنا من السلطة تجنباً لإراقة الدم اليمني مش خوفاً، كنا نمتلك الجاه ونمتلك المال ونمتلك الجيش.. الجيش المدرب والجيش المؤهل والشعب اليمني العظيم.. تركنا السلطة حرصاً على الدم اليمني الآن تشوفوا علي عبد الله صالح واقف على قدميه وتقوم عليكم القيامة)


التعليق:


يا للعجب إنه الهوس في السلطة فلا زال علي صالح يتكلم وكأنه رئيس اليمن؟!!، ليس من السهولة أن يغير العميل جلده، فعلي صالح رجل صنعه الإنجليز على عين بصيرة وحافظوا عليه في الحكم لمدة ثلاثة وثلاثين عاما، ووطدت بريطانيا له الحكم بما تملكه من وسط سياسي في اليمن ومكنته من القضاء على خصومه، بل إن بريطانيا احتوت ثورة أهل اليمن واعتبرتها أزمة شخصية بين العوائل الثلاث الموالية لها وعملت على إيجاد تسوية سياسية بين تلك العوائل كادت أن تنجح لولا تدخلات أمريكا ومزاحمتها عن طريق إيران ومخالبها الحوثية والحراكية الجنوبية، ومنحت علي صالح ومن عمل معه في فترة حكمه الحصانة فكيف ستعاقبه بالبند السابع؟!، وها هي بريطانيا تدسه على الحوثيين وتستخدم دهاءها ومكرها الذي رضع منه علي صالح لتعود من خلاله في حال ضعف الرئيس هادي أمام الحوثيين وقد كان، وما هذه الكلمات من علي صالح إلا طمأنةً للحوثيين وأنه يعادي من يعادون؟!!، فكما خرج سابقاً زعيم الحوثيين يتهكم على بريطانيا والبند السابع والتدخلات الخارجية، إذا بعلي صالح يستغلها فرصة في ذكرى رحيل المستعمر البريطاني - صورياً - لينال من خصومه الذين اعتذروا للاستعمار البريطاني لجنوب اليمن ويعزف على نفس المنوال الذي يعزفه الحوثيون خاصة في ظل تخوفات الحوثيين منه وإدراكهم لقوة نفوذه وتعاظم أطماعه، الأمر الذي يجعل بعض قياداتهم يصرحون بأن هناك فخاً يصنع لهم، إذ لم يكونوا يتوقعون أن تتهاوى اليمن بأيديهم بهذه السهولة إلا في ظل تحالفهم مع علي صالح الذي له مآربه وأطماعه، هذا في الوقت الذي تعمل فيه أمريكا لفصل الجنوب ويناضل الحوثيون والحراكيون لتحقيق ذلك فتأتي كلمة علي صالح لتحرجهم حيث يتهجم على بريطانيا في الظاهر لمسايرتهم لكنه يصرح فاضحاً لمشروعهم (الوحدة أو الموت؟!!)


قد يكون علي صالح مستاءً من بريطانيا حين تسرعت بإبعاده عن السلطة خوفاً من تفلت الأمور في اليمن من يدها، ولكنه كذلك يريد أن يثبت لها أنه الرجل الأقوى الذي يجب أن تعتمد عليه وخاصة بعد تواري وهروب حميد الأحمر وعلي محسن واضمحلال أتباعهم، فهل سيعود علي صالح المهووس بالسلطة أم أنه يمهد لابنه من بعده؟؟! الكل وارد حيث إن تحلل الحوثي من المبادرة الخليجية والتزاماتها ورفضه للعقوبات الدولية حسب البند السابع التي تتبنى مشروعها بريطانيا، يجعل بعض مخرجات الحوار (إن لم يكن كلها) لا معنى لها، ويخلق وضعيةً جديدةً ربما يستفيد منها صالح أو ابنه سواءً كان ذلك عبر انتخاب أو عبر انقلاب، في ظل شراكة ترضي أمريكا وبريطانيا اللتين تديران الصراع في اليمن، وحينها يتم تصوير الأوضاع في اليمن أنها خرجت من الوصاية الغربية وعقوبات البند السابع!!


ألا فليعلم أهل اليمن أن الاستعمار تتعدد أشكاله وإن كان المستعمر قد خرج عسكرياً وبقي نفوذه السياسي عن طريق الحكام والسياسيين العملاء الذين صنعهم، فقد رهنوا البلاد والعباد للأجنبي وتفانوا في طاعته، وليس هناك حل للخروج مما نحن فيه يا أهلنا في اليمن إلا بإقامة دولة الإسلام خلافة راشدة على منهاج النبوة وحينها نكون قد قمنا بالتحرير الحقيقي فأخرجنا المستعمر وأزلنا مخلفاته.


كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
عبد المؤمن الزيلعي
رئيس المكتب الإعلامي لحزب التحرير في ولاية اليمن

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon