September 05, 2014

خبر وتعليق أمريكا تقتل المسلمين بدم بارد ومشروع الخلافة الحقيقي ماض في طريقه رغم أنفها


الخبر:


"دعا رئيس الائتلاف الوطني السوري المعارض، هادي البحرة، المجتمع الدولي والأمم المتحدة إلى التدخل ضد "داعش" في سوريا، كما تدخلوا ضده في العراق، مشيرًا إلى أن الصمت الدولي تجاه مجازر داعش في سوريا يرقى إلى مستوى جرائم ضد الإنسانية". وقرر مجلس الأمن الدولي "الموافقة بالإجماع على قطع التمويل عما يسمى تنظيم "داعش" وجبهة النصرة، ووضع عدد من الأشخاص على القائمة السوداء لارتباطهم بالجماعتين المسلحتين، والتهديد بفرض عقوبات على أي شخص يساعد الجماعتين الإرهابيتين".


التعليق:


بعد أن غُض الطرف لمالكي العراق عن احتلال الموصل بشكل هزلي ومسرحي وخلال ساعات، لا بل وترك أسلحة متنوعة لما يقارب ثلاث فرق عسكرية، وقرابة النصف مليار من الدولارات الأمريكية، تأتي مسرحية هزلية أخرى لأوباما، وبعد أقل من شهرين من تثبيت الأوضاع لتنظيم الدولة، يأتي قراره بضربها جويًا، حتى لا يتعدى على المسموح به والمسكوت عنه، وبعدها بأيام قام مجلس الأمن الأمريكي الأممي باستصدار قرار على أشخاص من جبهة النصرة والدولة، ووضعهم على القائمة السوداء واعتبارهما إرهابيتين، وأن من يساعدهما يجب عقابه؛ وعليه فإن ما تم لهذا التاريخ هو محاولات تشويه لصورة الخلافة الإسلامية المنتظرة على منهاج النبوة، واستعداء العالم عليها قبل قيامها باعتبار تنظيم الدولة أنموذجًا لها، واستسهال ضربها حال قيامها!!


وأما المطلوب الآني لتلك القرارات الدولية فهو امتداد ملاحقة تنظيم الدولة داخل سوريا على اعتبار أنه ممتد داخل سوريا وأنه يفعل أفاعيل الإرهاب وخصوصًا بالرقة في شام الثورة، وهنا بيت القصيد الأهم، فكما ضرب تنظيم الدولة في العراق فيجب ضربه وملاحقته في شام الثورة ضد نظام الأسد، وعليه تقدم الائتلاف السوري المعارض والصنيعة الأمريكية بضرب التنظيم في سوريا كما ضربته أمريكا في العراق خوفًا وحمايةً للناس من جرائمه المعلنة على رؤوس الأشهاد والفضائيات.


وهنا نجد أن القرار الدولي أشرك به جبهة النصرة السورية المعارضة لنظام الأسد، فيكون استدعاء أمريكا وضربها للدولة في سوريا استدعاءً بطريقة غير مباشرة لضرب جبهة النصرة السورية ومعها كل الفصائل المخلصة والمرصودة مسبقًا ودون ذكر اسمها بالقرار الأممي والمعارضة لنظام بشار والمطالبة بتطبيق الشريعة الإسلامية وإقامة الخلافة على منهاج النبوة التي يعمل لإقامتها المسلمون في كل أنحاء الأرض، وهنا تكون أمريكا قد ضربت عصافير عدة بحجر واحد:


1. أوجدت تنظيم الدولة تهديدًا للمنطقة بأسرها، وخدمة لمصالحها مع تحديد نفوذه.

2. أسقطت المالكي الذي هيأ لها الأرضية لعودتها للعراق والمنطقة جويًا وبكل يسر وسهولة.
3. أوجدت كل المبررات المصطنعة لإتمام تقسيم العراق بشكل طائفي.
4. هيأت الأرضية لإشعال الحرب الطائفية الكبرى متى وأين أرادت.
5. التدخل بالشأن السوري بحجة ضرب تنظيم الدولة.
6. استنساخ ما فعلته أمريكا بالعراق مع شيء من التعديل المناسب لسوريا وشعبها وموقعها الجغرافي والديمغرافي.
7. تنفيذ تهديداتها السرية لكل دول المنطقة سواء الخليج أو الأردن أو لبنان وحتى كيان يهود وتحجيمها وفرض الحل السلمي عليها.
8. إبقاء ملف المنطقة مفتوحًا على الطاولة، والعمل به متى شاءت وبأيدي أهل المنطقة واستنجادهم بها لنجدتهم من تنظيم الدولة وأمثالهم.
9. التخلص من بشار ووضع البديل المناسب على الطريقة المالكية العراقية.


وهنا نرى أن أمريكا قد أعدت المنطقة بسياسة الترهيب والتقتيل الأمريكي وبدم بارد، ودون تدخل إلا وقت تشاء هي ولمصلحتها، ولذا نجد أن أوار الصراع يحتدم بشكل سريع في العراق وسيمتد لبقية المنطقة، ولذا نجد أن بريطانيا ستشارك بغارات جوية على تنظيم الدولة لحماية الناس في العراق. وفرنسا وألمانيا صرحتا بدعم دولة كردستان العراق، ودعم البشمركا وحماية النصارى في الموصل والطائفة الأزيدية وما شاكل ذلك.


وأما على صعيد دول الخليج والأردن، فإن زيارة ملك الأردن المفاجئة إلى السعودية وترحيب السعودية بالقرار الأممي بخصوص الإرهاب في سوريا، فإن الأمر يدلل على أن النار اقتربت، وأحس بها المعسكر الأوروبي وخوفه على عروشه والتهديد الأمريكي لهم، والذي يقضي بإزالتهم وإعادة تفعيل قاعدة تقسيم المقسم على الطريقة الأمريكية، وهنا نختم ونقول: إن أمريكا تتعامل مع دول المنطقة حسب ردات الأفعال وأجواء المنطقة وتأثرها بكل ما يحيط بها من نيران مشتعلة، وتحولات سياسية سواء في حرب حماس - يهود أو انتخابات تركيا ونجاح عميلها أردوغان، وقبله نجاح العميل العتيد السيسي والحراك الجاري بالخليج وعلى نار تشتد أوارها الهوينى، ولكن أمريكا لم تغمض عينها عما تحت الرماد، والذي أقلقها وهو مرئي لكل ذي عين سياسية بصيرة، ومتابع للأحداث بشكل معقول، ألا وهو تحرك الأمة نحو مشروعها ومطلبها الأساس والأصيل وهو استعادة خلافتها على منهاج النبوة، وبشكل راشدي رحيم وعادل، فلا قتل ولا تقتيل، ولا طائفية ولا عرقية ولا إقليمية، بل أمة واحدة تحفظ حقوق رعاياها بغض النظر عن الدين والمذهب أو العرق، وبدولة وقيادة فكرية سياسية وعقائدية، بدستور ودولة بشرية لا دينية كهنوتية، تمنح صكوك غفران ومفاتيح للجنّة السماوية! دولة قائدها ورائدها لا يكذب أهله وقد شق طريقه رغم التعتيم الإعلامي الذي استطاع كسره ألا وهو حزب التحرير ودولة الخلافة الإسلامية على منهاج النبوة.


كتبه لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
الأستاذ وليد نايل حجازات (أبو محمد)

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon