خبر وتعليق    أرهبوا العباد وأحرقوا البلاد بحجة الحرب على الإرهاب
خبر وتعليق    أرهبوا العباد وأحرقوا البلاد بحجة الحرب على الإرهاب

الخبر: حث الأمين العام للأمم المتحدة بان كي مون يوم الجمعة 2015/05/01م، جميع الأطراف المشاركة في العمليات العسكرية باليمن على حماية المدنيين والبنية التحتية المدنية، قائلا: "يجب وقف الهجمات على المستشفيات والمرافق الصحية فورا"، وقالت الأمم المتحدة، في اليوم نفسه أن أكثر من 1200 شخص لقوا حتفهم في اليمن، ونزح 300 ألف من منازلهم في الأسابيع الستة الماضية!   التعليق: إن حجم الضرر الذي يتحدث عنه مبعوث الأمم ما هو إلا غيض من فيض مما يعانيه مسلمو اليمن بكافة أطيافه رجالا ونساء وأطفالا، حيث صب التحالف حممه الحاقدة ونيرانه المغرضة والتي جلبت الدمار والخراب للبلاد والعار والشنار لمعلنيها، فأحالت البلاد لساحة حرب عنيفة أتت على كل مقدرات البلاد فلم تبق فيها ولم تذر. فإن "عاصفة الحزم" حملة جوية بأيدٍ مسلمة مستظلة بنار المشركين ألقت بحممها على النساء والأطفال العزل الذين لا ذنب لهم سوى أن الله اختار لهم هذه البلاد ليقطنوها، وأنها مثل غيرها من بلاد المسلمين ساحة صراع على النفوذ بين أمريكا وأوروبا متمثلة هنا ببريطانيا، فكانت حصيلة هذه الهجمة الشرسة مقتل ما لا يقل عن 1200 شخص منهم 115 طفلاً وإصابة أكثر من 172 آخرين بجروح متفاوتة، وآخرون أصيبوا بتشوهات، هذا غير المعطيات التي تشير إلى تجنيد أكثر من 140 طفلا من طرف جماعة الحوثيين... وبعد كل هذا يخرج هذا المبعوث متناسيا وغاضاً الطرف عن دعم حكومته العدوان على اليمن بحجة محاربة الإرهاب وإعادة الشرعية، ومتجاهلا الإرهاب والانتهاكات التي ارتكبتها في العراق وأفغانستان وفي الشام على يد عملائها في بلاد الإسلام.. عدوان شتت العباد وقسم البلاد ودمر المنشآت فلم يبق لشيء حياة.. فأحال البلاد من يمن كان سعيداً منذ عهد ليس ببعيد إلى يمن تعيس تشم رائحة الموت في طرقاته وأزقته.. تركه يعاني من كارثة إنسانية، وتحتاج إلى عمليات إغاثة عاجلة.. وقد أجبرت هذه الحمم النساء والأطفال إلى الفرار واللجوء إما داخليا فعانوا من انقطاع المساعدات وعدم وصولها إليهن، ومنهم من لجأ إلى بلاد أخرى مجاورة تعاني أصلا مثل جيبوتي والصومال الذي لا يختلف في حاله ومعاناته عن اليمن بل هو الأسبق والأكثر تجذرا في المعاناة وانعدام الأمن والاستقرار، فهو واليمن في الحال سواء، فكيف بهم يفرون من حرب طاحنة ووضع مأساوي خانق إلى بلاد تفوق معاناته حد الوصف من الجوع والأوبئة وسوء التغذية وقلة الخدمات والحاجات الأساسية لقضاء حوائجهم. فهم كمن استجار من الرمضاء بالنار، فكيف لفاقد الأمن والمعوز أن يسد حاجة أخيه؟!... والسؤال لمن خاض غمار هذه المعركة المخزية في حق أصحابها والتي سيسجلها التاريخ على أنها ذلة وصغار وخنوع لرغبات الغرب وتنفيذ لمخططاته، كيف يكون موت الأطفال والنساء ومعاناتهم وتشريدهم وتهجيرهم خادما ومحققا لنتائج مرضية في حربكم على الإرهاب والمغتصبين للشرعية؟! هل الـ 115 طفلا هم من أوجد الإرهاب؟! أم أن نساء اليمن هن من اغتصبن شرعية البلاد؟! بئست حربكم وخسئت حممكم التي ما أن خرجت من فوهات طائراتكم حتى وُجِّهت لرقاب المسلمين وصدورهم! لقد استفحل العداء للأمة وازدادت الهجمة الشرسة عليها فبلغ القتل والتجويع والتضييق والتهجير مبلغه.. فلا مغير لحال الأمة ولا منقذ لها من هجمة الغرب الكافر عليها إلا بدرعها الحامي، وحصنها المنيع، بدولة الخلافة الراشدة الثانية على منهاج النبوة، بالإمام الجنة الذي يقاتل من ورائه ويتقى به.. فبلاد الإسلام ما أصبحت مطمعا لكل طامع ولا مرتعا لكل خائن ولا مسرحا لكل مغرض ومبغض للإسلام والمسلمين إلا بسبب فرقتها وشتات أمرها، وتسلط أذناب الغرب ممن يسمون حكاما عليها، فإلى وحدة الأمة وعزتها وإعادة مكانتها فلنغذ السير أيتها الأمة مسرعين.. ﴿إِلا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ وَذَكَرُوا اللَّهَ كَثِيراً وَانتَصَرُوا مِن بَعْدِ مَا ظُلِمُوا وَسَيَعْلَمُ الَّذِينَ ظَلَمُوا أَيَّ مُنقَلَبٍ يَنقَلِبُونَ﴾       كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحريررائدة محمد

0:00 0:00
Speed:
May 05, 2015

خبر وتعليق أرهبوا العباد وأحرقوا البلاد بحجة الحرب على الإرهاب

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon