خبر وتعليق   استغلال الأطفال سمة سائدة في النظام الرأسمالي
August 29, 2014

خبر وتعليق استغلال الأطفال سمة سائدة في النظام الرأسمالي


الخبر:


جاء في تقرير جديد نشرته عدة مواقع منها أسوشييتدبرس - الغارديان - إندبندنت يوم الأربعاء 2014/8/27أن نحو 1400 طفل، تعرّضوا لانتهاكات جنسيّة في بلدة شمالي بريطانيا على مدار 16 عاما على أيدي رجال باكستانيي الأصل. وهو ما يعكس فشل السلطات في حماية الأطفال الذين لا تتجاوز أعمارهم أحد عشر عاماً من الضرب والاغتصاب والاتجار. وذكرت كاتبة التقرير وهي كبيرة مستشاري العمل الاجتماعي في الحكومة الاسكتلندية ألكسيس جاي، أمثلة لأطفال صُبّ عليهم البنزين وهُدّدوا بالحرق، وآخرين هُدّدوا بالأسلحة الناريّة، فضلاً عن إجبارهم على مشاهدة اغتصابات جنسيّة وحشيّة وتهديدهم بالاغتصاب".


ويغطي التقرير الفترة بين عامَي 1997 و2013 في بلدة روثرام، التي يقطنها نحو 250 ألف نسمة.

التعليق:


إن جريمة استغلال الأطفال جنسيا ليست بالجديدة في بريطانيا فعلى سبيل المثال تعهدت بريطانيا في شهر تموز الماضي بفتح تحقيق في مزاعم بتورط ساسة مشهورين باستغلال الأطفال جنسيا في ثمانينات القرن الماضي واستخدامهم نفوذهم لإخفاء تلك الجرائم.


وفي عام 2013 نبهت مؤسسة برناردو الخيرية البريطانية إلى خطورة وصول معدل الارتفاع السنوي للاستغلال الجنسي للأطفال إلى 22 في المائة، وقالت المؤسسة أن ربع الحالات المسجلة التي وصلت إلى 1452 حالة والتي تم رصدها داخل المملكة المتحدة، كانت من أجل الاستغلال الجنسي.. وفي بداية هذا العام 2014 نجحت الشرطة البريطانية في تفكيك شبكة لاستغلال الأطفال جنسيا في بريطانيا وتعمل من الفلبين، حيث كشفت الوكالة الوطنية لمكافحة الجريمة في بريطانيا عن اعتقال 17 بريطانيا في العملية التي أطلق عليها "عملية انديفور"، التي امتدت عبر 17 دولة منها أستراليا والولايات المتحدة وفرنسا وألمانيا وكندا وهونغ كونغ والسويد والنرويج وتايوان والدنمارك وسويسرا.. ولا ننسى جريمة البابا بنديكت 16 الذي في عهده اغتصب عدد كبير من الأطفال في الكنائس.. والآن هذه الجرائم التي كشف عنها هذا التقرير.


ولكن الإعلام البريطاني ومن وراءه يستمر في استغلال أي حادثة يتورط فيها مسلمون ويقوم بتشويه صورة المسلمين ويصورونهم على أنهم منحرفون ومغتصبون للأطفال. فالجريمة التي يرتكبها مسلم تسلط عليها الأضواء وتُسنُّ الأقلام والألسن بالتحليلات والنتائج، ويتخذونها ذريعة لمهاجمة الإسلام ومحاولة تشويه صورته. وبالمقابل إن كان الضحية من المسلمين فلا يعيرون الأمر الاهتمام اللازم وهم من يدّعون أنهم لا يمارسون العنصرية في بلادهم!


ومن المثير للسخرية المريرة أن هذه الجرائم الواردة في التقرير استمرت 16 عاما بدون تدخل من السلطات بحجة خشيتهم من العنصرية في مدينة روثرام شمالي إنجلترا، مما حدا بأعضاء من الجالية الباكستانية إلى الاحتجاج، وقال مؤسس جمعية الشباب المسلم في روثرام محبين حسين لصحيفة "ديلي ميرور" إن المسلمين يشعرون بالاشمئزاز، لأن العدالة لم تأخذ مجراها للثأر لنحو 1400 طفل تعرضوا للاستغلال الجنسي على مدار 16 عاما، على أيدي رجال باكستانيي الأصل، وأضاف حسين أن "العرق أو الدين أو الصواب السياسي، لا ينبغي أبدا أن يكون ذريعة لإخفاء مثل هذه الجرائم البشعة". وقال جاويد خان، المدير التنفيذي لجمعية بارناردوز "لا يجب أن يخشى أحدٌ أبدا العملَ بحسم مخافة اتهامه بالعنصرية أو ارتكاب خطأ سياسي".


ولو نظرنا إلى هذه التصريحات لوجدنا أنها تصب في محاولة القضاء على فكرة التنوع الثقافي والتعددية كونها الذريعة الرئيسية لتقاعس الشرطة عن الإمساك بمن اغتصب 1400 طفل، هذه التعددية المزعومة التي تراها الجالية المسلمة في الهجمات الإعلامية المتكررة وتدنيس المساجد والتطاول على المحجبات في كل فرصة تسنح لهم.. فليكفوا عن شعاراتهم عن لغة الحوار واحترام الأديان، وأصلا إن هؤلاء الباكستانيين المتهمين بتلك الجرائم نتاج الأفكار الإباحية السائدة.


إن بريطانيا مثلها مثل كل الدول الرأسمالية التي تهتم بالمنفعة والمادية والتي لا تهتم بالفرد ولا تقدم له الرعاية إلا بقدر ما تأخذ منه من منفعة، ولهذا فإن مثل هذه الجرائم وغيرها في تزايد، فكما قالت أليكسس جاي "إن روثرام ليست المكان الوحيد في بريطانيا الذي يعاني من هذه المسألة". وأبلغت هيئة الإذاعة البريطانية B.B.C بأن "الطلب على هذا النوع من النشاط الجنسي مع الأطفال في تزايد، ويلقى تأييدا ليس في أرجاء بريطانيا فحسب، بل في أرجاء أوروبا والعالم أيضا".. أي انتشر الفساد وأصبح سمة سائدة، وكما قال تعالى: ﴿ظَهَرَ الْفَسَادُ فِي الْبَرِّ وَالْبَحْرِ بِمَا كَسَبَتْ أَيْدِي النَّاسِ لِيُذِيقَهُم بَعْضَ الَّذِي عَمِلُوا لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ﴾. وإن الإسلام فيه من الأحكام الشرعية ما يحفظ حياة الفرد وأمنه طفلا كان أو رجلا أو امرأة، وبه من الحدود والقوانين ما يضع حدا لمثل تلك الجرائم وغيرها. فإن الشريعة الإسلامية تحمي الأطفال كما تحمي الكبار، وكما قال الفقهاء أنه من غرر بطفل أو اغتصبه أو ارتكب معه أي نوع من أنواع الفواحش يعاقب بنفس العقوبة التي ترتكب بحق الكبار وقد تصل إلى القتل حدا على جريمة الإفساد في الأرض... أعاذنا الله وإياكم من الفساد والإفساد.


كتبته لإذاعة المكتب الإعلامي المركزي لحزب التحرير
أم صهيب الشامي

More from Habari na Maoni

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

Uturuki na Serikali za Kiarabu Zilitaka Hamas Iache Silaha

(Imetafsiriwa)

Habari:

Mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa ulifanyika New York mnamo Julai 29 na 30, wenye kichwa "Kupata Suluhu ya Amani kwa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu la Mataifa Mawili," ukiongozwa na Ufaransa na Saudi Arabia. Kufuatia mkutano huo, ambao ulikusudia kuitambua Palestina kama nchi na kumaliza vita huko Gaza, tamko la pamoja lilitiwa saini. Pamoja na Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Uturuki pia ilitia saini tamko hilo pamoja na nchi zingine 17. Tamko hilo, lililokuwa na vifungu 42 na kiambatisho, lililaani operesheni ya Al-Aqsa iliyofanywa na Hamas. Nchi zilizoshiriki ziliitaka Hamas iache silaha na kuwataka wakabidhi utawala wao kwa serikali ya Mahmoud Abbas. (Mashirika ya habari, Julai 31, 2025).

Maoni:

Kwa kuzingatia nchi zinazoendesha mkutano, ni wazi kuwepo kwa Amerika, na licha ya kutokuwa na mamlaka au ushawishi wa kufanya maamuzi, kuandamana kwa utawala wa Saudi, mtumishi wake, kwa Ufaransa ni ushahidi dhahiri wa hilo.

Katika suala hili, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mnamo Julai 24 kwamba Ufaransa itatambua rasmi taifa la Palestina mnamo Septemba, na itakuwa nchi ya kwanza kutoka kwa kundi la nchi saba kufanya hivyo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Faisal bin Farhan Al Saud na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noël Barot walifanya mkutano na waandishi wa habari katika mkutano huo, wakitangaza malengo ya tamko la New York. Kwa kweli, katika taarifa iliyotolewa baada ya mkutano huo, mauaji ya kimbari ya chombo cha Kiyahudi yalilaaniwa bila kuchukua uamuzi wowote wa adhabu dhidi yake, na Hamas iliombwa kuacha silaha zake na kukabidhi utawala wa Gaza kwa Mahmoud Abbas.

Katika mkakati mpya wa Amerika wa Mashariki ya Kati ambao inataka kutekeleza kwa kuzingatia makubaliano ya Abraham, utawala wa Salman unawakilisha kichwa cha mkuki. Utawala wa kawaida na chombo cha Kiyahudi utaanza baada ya vita, na Saudi Arabia; kisha nchi zingine zitafuata, na wimbi hili litageuka kuwa muungano wa kimkakati unaoenea kutoka Afrika Kaskazini hadi Pakistani. Pia, chombo cha Kiyahudi kitapata dhamana ya kiusalama kama sehemu muhimu ya muungano huu; kisha Amerika itatumia muungano huu kama mafuta katika mapambano yake dhidi ya China na Urusi, na kujumuisha Ulaya yote chini ya mabawa yake, na kwa kweli, dhidi ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Ukhalifa.

Kizuizi kwa mpango huu kwa sasa ni vita vya Gaza na kisha hasira ya umma, ambayo inaongezeka, na inakaribia kulipuka. Kwa hivyo, Marekani ilipendelea Umoja wa Ulaya, tawala za Kiarabu na Uturuki kuchukua hatamu katika tamko la New York. Ikidhani kwamba kukubalika kwa maamuzi yaliyomo kwenye tangazo itakuwa rahisi.

Ama serikali za Kiarabu na Uturuki, kazi yao ni kumridhisha Marekani, na kulinda chombo cha Kiyahudi, na badala ya utiifu huu, kujilinda na hasira ya watu wao, na kuishi maisha ya unyonge na makombo ya mamlaka duni hadi watupwe au kuadhibiwa kwa mateso ya akhera. Hifadhi ya Uturuki juu ya tangazo, mradi tu utekelezaji wa kile kinachoitwa mpango wa suluhisho la mataifa mawili, ni jaribio tu la kufunika lengo halisi la tangazo na kupotosha Waislamu, na haina thamani yoyote ya kweli.

Kwa kumalizia, njia ya ukombozi wa Gaza na Palestina yote sio kupitia taifa la uwongo ambalo Wayahudi wanaishi. Suluhisho la Kiislamu kwa Palestina ni utawala wa Uislamu katika ardhi iliyoporwa, na ni kupigana na mporaji, na kuhamasisha majeshi ya Waislamu kuwang'oa Wayahudi kutoka ardhi iliyobarikiwa. Na suluhisho la kudumu na la msingi ni kuanzisha Ukhalifa Uongofu na kulinda ardhi ya Israa na Mi'raj iliyobarikiwa na ngao ya Ukhalifa. Mungu akipenda, siku hizo haziko mbali.

Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alisema: «Saa haitasimama mpaka Waislamu wapigane na Wayahudi, na Waislamu watawaua, mpaka Myahudi atajificha nyuma ya jiwe na mti, kisha jiwe au mti utasema: Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, huyu Myahudi yuko nyuma yangu, njoo umuue» (Imesimuliwa na Muslim)

Imeandikwa kwa ajili ya Redio ya Ofisi ya Habari Kuu ya Hizb ut-Tahrir

Muhammad Amin Yildirim

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Kile ambacho Amerika inataka ni kutambuliwa rasmi kwa taifa la Kiyahudi, hata kama silaha itabaki

Habari:

Habari nyingi za kisiasa na kiusalama nchini Lebanon zinahusu suala la silaha inayolenga taifa la Kiyahudi, bila silaha nyingine yoyote na kulizingatia na wachambuzi wengi wa kisiasa na wanahabari.

Maoni:

Amerika inaomba kukabidhiwa silaha iliyopigana na Wayahudi kwa jeshi la Lebanoni, na haijalishi silaha yoyote itakayobaki mikononi mwa watu wote ambayo inaweza kutumika ndani ya nchi itakapoona faida yake au kati ya Waislamu katika nchi jirani.

Amerika, adui yetu mkuu sisi Waislamu, ilisema waziwazi, bali kwa ukosefu wa adabu, wakati mjumbe wake Barrack alipotamka kutoka Lebanon kwamba silaha ambayo lazima ikabidhiwe kwa serikali ya Lebanoni ni silaha ambayo inaweza kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi linalonyakua Palestina iliyobarikiwa, na sio silaha nyingine yoyote ya mtu binafsi au ya kati kwa sababu hii haidhuru taifa la Kiyahudi, bali inawahudumia na inahudumia Amerika na nchi zote za Magharibi katika kuhamasisha mapigano kati ya Waislamu kwa kisingizio cha watu wenye msimamo mkali au wenye itikadi kali au watu wa kale au walio nyuma, au maelezo mengine ambayo wao huyaeneza kati ya Waislamu kwa kisingizio cha madhehebu au utaifa au ukabila, au hata kati ya Waislamu na wengine ambao wameishi nasi kwa mamia ya miaka na hawakupata kutoka kwetu ila kuhifadhi heshima, mali na roho, na kwamba tulikuwa tunatumia sheria juu yao kama tunavyozitumia juu yetu wenyewe, wanayo yao na wanayo juu yao. Hukumu ya kisheria ndiyo msingi wa hukumu kwa Waislamu, iwe kati yao, au kati yao na raia wengine wa dola.

Na maadamu adui yetu mkuu Amerika anataka kuharibu au kutoa upande silaha ambayo inaumiza taifa la Kiyahudi, kwa nini wanasiasa na wanahabari wanaangazia hilo?!

Na kwa nini mada muhimu zaidi zinaibuliwa kwenye vyombo vya habari na katika baraza la mawaziri, kwa ombi la adui wa Kimarekani, bila kuzichunguza kwa kina na kufafanua ukubwa wa hatari yake kwa umma, na hatari zaidi kati yao ni kuchora mipaka ya nchi kavu na taifa la Kiyahudi, ambayo ni kutambua taifa hili la wanyang'anyi rasmi, na kwa namna ambayo hakuna mtu atakayeweza kubeba silaha baada ya hapo, silaha yoyote kwa ajili ya Palestina, ambayo ni mali ya Waislamu wote na sio watu wa Palestina pekee, kama wanavyojaribu kutushawishi kana kwamba inawahusu watu wa Palestina pekee?!

Hatari ni katika kuibua suala hili mara moja chini ya kichwa cha amani, na mara nyingine chini ya kichwa cha upatanisho, na nyingine chini ya kichwa cha usalama katika eneo hilo, au chini ya kichwa cha ustawi wa kiuchumi, utalii na kisiasa, na ustawi ambao wanaahidi Waislamu ikiwa watatambua chombo hiki kilichopotoka!

Amerika inajua vizuri kwamba Waislamu hawawezi kukubali kutambua taifa la Kiyahudi kamwe, na ndiyo maana unaiona inawapenyeza kupitia mambo mengine ili kuwatoa akili zao kutoka kwa jambo muhimu zaidi la hatima. Ndiyo, Amerika inataka tuangazie suala la silaha, lakini inajua kwamba silaha, haijalishi ni yenye nguvu kiasi gani, haitafaa na haiwezi kutumika dhidi ya taifa la Kiyahudi ikiwa Lebanon rasmi itatambua kwa kuchora mipaka nayo, na kwa kufanya hivyo itakuwa imetambua na kustahili kwake ardhi ya Palestina iliyobarikiwa, ikisingizia watawala wa Kiislamu, na mamlaka ya Palestina.

Utambuzi huu wa taifa la Kiyahudi ni usaliti kwa Mungu na Mtume wake na kwa waumini, na kwa damu yote ya mashahidi ambayo ilimwagwa na bado inamwagwa kwa ajili ya ukombozi wa Palestina, na licha ya yote hayo bado tunatumai mema katika taifa letu ambalo baadhi yao wanapigana huko Gaza Hashem na Palestina, na wanatuambia kwa damu yao: Hatutatambua taifa la Kiyahudi kamwe, hata kama itatugharimu haya yote na zaidi... Je, tunakubali nchini Lebanon kutambua taifa la Kiyahudi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani?! Na je, tunakubali kuchora mipaka nalo, yaani, kulikubali, hata kama silaha itaachwa nasi?! Hili ni swali ambalo lazima tulijibu kabla halijachelewa.

Imeandikwa kwa ajili ya idhaa ya ofisi ya habari kuu ya Hizb ut-Tahrir

Dkt. Muhammad Jaber

Mkuu wa kamati ya mawasiliano kuu ya Hizb ut-Tahrir katika jimbo la Lebanon